LuambanoDennis Profile Banner
Dennis Luambano Profile
Dennis Luambano

@LuambanoDennis

Followers
685
Following
426
Statuses
2K

A Father | Skilled Journalist | Editor | Born July 29| Mikocheni | Tosamaganga & Azania High School | DSJ | College of Business Education (CBE)| UDSM| 🇹🇿

Dar es Salaam, Tanzania
Joined August 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
2 days
@TheRealEkiswaga @MwanaFA Hajakosea. Yuko sahihi kabisa kwa sababu hata mwaka 2020 hakushinda kura za maoni lakini akawa mbunge..
0
0
0
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
2 days
@thomasjkibwana Maendeleo hayana chama 😂 @aikande
0
0
0
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
3 days
@Michael79781989 @rutaraka @ikulumawasliano @StateHouseKenya @StateHouseUg @SouthSudanGov @TheVillaSomalia @Presidence_RDC @mfa_tanzania @Mindi_Kasiga @ezekiel_kamwaga @dr_makame @allanmzalendo @Ro_Shayo @tzDiscovery @TZMsemajiMkuu @awamisammy Basi tu. Ila kuna mtu leo alipaswa kuzuiliwa asiondoke hapa nchini hadi "anyooshe maelezo", dawa ya moto ni maji sio moto 😂..
0
0
2
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
4 days
@TheRealEkiswaga @kafulila_david @zittokabwe Afadhali ya Zitto, Kafulila NO. Miaka ya nyuma nikiwa RAI aliniambia ana taarifa nyeti ziko ktk flashi. Nikatoka Sinza hadi Tegeta/Kunduchi kumfuata lakini patupu. Nikamwambia Muhingo kwamba jamaa "haaminiki" @rutaraka @ezekiel_kamwaga @thomasjkibwana
5
1
21
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
4 days
@awamisammy Sammy, punguza kukabia kwa juu..
0
0
1
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
4 days
@LarryMadowo Larry, by any chance @elonmusk is Shadow President of USA.
0
0
1
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
4 days
@zittokabwe Anaanzaje wakati anataka kupinduliwa? Unakumbuka kilichotokea kwa Nkurunziza alivyokuja Dar? Ila PK anawaambia mabalozi kwamba Tshesekedi hajashinda uchaguzi huku Rais wa M23 alikuwa Chair wa CENI! Unganisha doti @rutaraka @ezekiel_kamwaga @thomasjkibwana
0
0
3
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
4 days
@ezekiel_kamwaga @zittokabwe @JMakamba Eze, serikali ya DRC imeshatoa waranti ya kukamatwa Rais wa M23, Nangaa, kutokana na mauaji ya Goma. Pengine kuna dau "limetangazwa kimyakimya" kwa atakayefanikisha, je, wanaomzunguka wanaweza kushikilia bomba wasimuuze mwenzao? @thomasjkibwana @rutaraka
0
0
0
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
4 days
@HistoriaYetu So, siku hiyo Dk. Kimei alikuwa anamkabidhi Nsekela cheti cha mafunzo ya bima huku akiwa amevalia shati la CCM? @rutaraka @ezekiel_kamwaga @thomasjkibwana @amnsekela
4
0
27
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
5 days
@thomasjkibwana Tom, si kwamba natetea wizi/udokozi lakini kuna matukio fulani yanafikirisha kwamba unatoaje uhai wa mtu kisa tu kaiba mayai matatu? Kuna yule aliyeuawa Kimara kisa alituhumiwa kuiba Sh 200K. Mahakama zipo wapelekwe hao watuhumiwa @rutaraka @ezekiel_kamwaga
1
0
1
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
5 days
@CarolNdosi Sorry, ni Tramontano..
0
0
1
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
8 days
@TheRealEkiswaga Wamefanya kosa gani hadi waombe msamaha?
0
0
0
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
8 days
@CarolNdosi @elonmusk Huyo ni Rais Kivuli wa Marekani. Kila atakachokisema lazima kitekelezwe na @realDonaldTrump
0
0
0
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
8 days
@swahilitimes Elon @elonmusk ni kama shadow president wa Marekani. Naamini baada ya miaka miwili kuanza sasa ushawishi wake utazidi kupungua @rutaraka @thomasjkibwana @ezekiel_kamwaga
1
0
2
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
9 days
@LarryMadowo Larry, ili kubalance mambo ukitoka hapo nenda kafanye interview na Tshisekedi. Ila vita vya Goma vinashangaza sana. Kila mtu anamlaumu mwenzake kwamba anataka kumpindua! @ezekiel_kamwaga @awamisammy @thomasjkibwana @zittokabwe
0
1
5
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
9 days
@DuniaSlaveDunia Nimeamini maneno ya @fbuyobe kwamba tangu mapigano yaibuke Goma kuna watu wanashindwa kuficha asili zao..
0
0
10
@LuambanoDennis
Dennis Luambano
9 days
@KennedyMmari Kwa hiyo tukubaliane kwamba @elonmusk ni kama Rais kivuli wa Marekani. Kwamba anachokisema au kukitaka lazima @realDonaldTrump atekelez? Maana katoa kauli ya kusitisha misaada SA na @CyrilRamaphosa akamjibu kibabe @awamisammy
1
0
0