Thomas J. Kibwana Profile Banner
Thomas J. Kibwana Profile
Thomas J. Kibwana

@thomasjkibwana

Followers
6,935
Following
2,280
Media
2,318
Statuses
40,327

Political junkie| History buff| International Relations| Geopolitics| Digital world

Dar es Salaam, Tanzania
Joined June 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
3 years
Ephs 3:20 Never doubt God’s mighty power to work in you & accomplish all this. He will achieve infinitely more than your greatest request, your most unbelievable dream, & exceed your wildest imagination! He will outdo them all, for his miraculous power constantly energizes you.
6
21
98
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Tunapo mpa pole mama Sitti Mwinyi (First Lady) tusimsahau pia mke wa pili wa mzee wetu mama Khadija Mwinyi. Mungu awatie nguvu hawa bibi zetu.
Tweet media one
31
57
1K
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Watu masikini wanaoishi juu ya utajiri mkubwa #Afrika
Tweet media one
47
94
1K
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Ukisikiliza mahojiano ya CDF Mabeyo kwa upande mmoja unaingiwa na huruma dhidi ya Rais Samia. Aliingia madarakani kwenye mazingira magumu sana na alizunguukwa na watu waliotaka kumzunguuka na kukwapua madaraka yake ya kikatiba. Alikua amewekwa nyuma kiasi kwamba wa nyuma yake
98
89
1K
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Tusisahau pia rais-mteule wa Senegal Bassirou Diomaye Faye ana wake wawili 😁. Hakika wana mchango mkubwa katika mafanikio yale 😬.
Tweet media one
67
45
1K
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
9 months
RC wa Manyara, Queen Sendiga amekua akipambana sana toka maafa ya Hanang yatokee na bila kujipromote. Anastahili maua yake.
Tweet media one
61
41
921
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
2 months
Rais Ruto kawaita waandamanaji treasonous (wahaini). Kwa mujibu wa sura ya 40(3) ya penal code 23 ya Kenya, adhabu ya uhaini ni kifo.
Tweet media one
50
60
900
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Amini ya kwamba inawezekana kaka. Kuna mtu ni mchekeshaji ila ni mchungaji na pia ni mtangazaji. Hizo ni field tatu tofauti ila kuna mtu anazitumikia zote...
@mkandamizaji
Masanja
6 months
Mfugaji wa kuku anajadili sayansi ya speed ya treni ya umeme. Twitter ni kama wodi ya vichaa.
259
20
322
135
117
772
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
11 months
@NBAMemes Father time and Uncle injuries.
8
8
734
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
7 months
Ningependa kuzungumzia Edward Ngoyai Lowassa, Waziri Mkuu mstaafu aliefariki dunia leo Februari 10, 2024. Nimekaa nikawaza naandika nini kuhusu Edward Lowassa ambacho umma wa Watanzania hawaujui? Naelezea nini kipya kuhusu kada mkubwa wa CCM ambae akageuka na kuwa tishio kubwa la
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
66
153
683
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
7 months
Watching this I felt sorry for Hassan Sheikh Mohamud and the people of Somalia. I saw how some in Somalia barraged the East African Community countries by insulting Swahili and Bantu culture. Here is a fellow Muslim country with an Arab president warning his people by using
@thebhlub
bhlub
7 months
Humiliation of the century. President Sisi of Egypt breaches all diplomatic protocol and uses Somalia as an example of a failed state, right in the presence of Somalia's own president @HassanSMohamud . Wow.
280
631
1K
155
220
616
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
9 months
Jezi za yanga kipaumbele chao muonekano. Sisi Simba kipaumbele chetu matangazo ya mdhamini. Tunapo elekea wachezaji watalazimishwa kuchora tattoo za Mo 🥲
46
74
611
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
8 months
Somaliland's GDP in current prices, estimated by the expenditure approach, was $3.34 billion USD in 2021, while its GDP per capita stood at $775. In contrast, Somalia's total GDP was $7.628 billion, with a per capita GDP of $446.98. The population of Somaliland is 5.7 million,
Tweet media one
101
186
554
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
JE WAJUA HAYA KUHUSU TANGA? 1. Reli ya Kwanza Tanzania Bara - Tanga 1893. 2. Shule ya kwanza ya Sekondari- Tanga 1890 (Tanga Old School). 3. Shule ya Kwanza (Anglikana) Tanzania 1848 - Tanga Magila Muheza. 4. Taasisi ya Kwanza ya Utafiti wa Malaria Duniani - Tanga Muheza,
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
99
184
526
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Mzee EL kazikwa. Kamera zime zimwa. Vifaa mbalimbali vimeondolewa. Wageni wameaga. Kitabu cha maisha ya marehemu kimefungwa rasmi. Sasa familia inaanzia maombolezo yake mbali na macho yetu wanaadam. Mungu awatie nguvu na imani.
16
49
516
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Ila niwasifu kitu Wamarekani. Mifuko ina neno USA. Misaada inajulikana ni kwa hisani ya Wamarekani. Ingekua nchi moja huko Afrika hii mifuko ingekua na picha na jina la rais 😀
Tweet media one
102
44
509
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Post kuhusu vijana kujiajiri kutoka kwa @MsangiJr4 : "Nakujibu kwa uzi. Ili kijana mbunifu au anayetaka kufanya biashara kupitia kuwezeshwa kibenki 1. Inabidi uwe na kampuni iliyosajiliwa, BRELA. kiasi cha juu lazima uwe na TZS 500,000 kulipia BRELA, lakini kama utatumia
Tweet media one
Tweet media two
108
268
494
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Barabara ya Shekilango inatokana na Hussein Ramadhani Shekilango aliekua mbunge wa Korogwe Mjini na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- Utawala. Kabla ya kuchaguliwa mbunge katika uchaguzi wa 1975 alikua Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Usagishaji (National Milling Corporation).
Tweet media one
@Jo_African
Joe_African
5 months
Kumbe "Shekilango" ni asili ya Tanga..
1
0
5
37
53
490
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
4 years
Politics is about timing and patience. JK is a Masterclass in political endurance.
15
73
483
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
23 days
@jjowens_3 She is definitely the catch...pun intended 😄.
1
6
445
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
7 months
Leo chama chetu cha CHAUMMA kimewakilishwa na Mwenyekiti wetu Hashim Rungwe Spunda kwenye ghafla ya chakula cha mchana kilicho andaliwa na Ikulu kwa heshima ya Rais Andrzej Duda wa Poland. Kama sera yetu inavyo sema, ulipo ubwabwa tupo. Kama mdau wa CHAUMMA humu Twitter (X)
Tweet media one
81
37
417
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
"Serikali haiwezi kukulipia mahari uoe, kukutunzia mkeo, ama kukulipia ada za wanao; piga kazi kwa bidii"
Tweet media one
@HKigwangalla
Dr. Hamisi Kigwangalla
6 months
Serikali haiwezi kukulipia mahari uoe, kukutunzia mkeo, ama kukulipia ada za wanao; piga kazi kwa bidii, Tafuta hela! Serikali itajenga barabara- Kama hauna Gari zuri la kuendesha, wenzako watafaidi. Serikali imeleta huduma ya kurekebisha shepu pale Mloganzila, wenye hela zao
462
19
367
133
95
416
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
3 months
Mfanyabiashara haongezi thamani kwenye bidhaa. Ana nunua chungwa shilingi 100 analiuza shilingi 150. Mjasiriamali ana nunua chungwa na kutengeneza juisi kisha anauza.
@MarekaMalili
Lubasha Jr
3 months
Hivi tofauti ya Mjasiriamali na Mfanyabiashara ni nini?
61
7
136
28
62
334
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Kama ambavyo huwezi kuandika historia ya EL bila Chadema vile vile huwezi andika historia ya Chadema bila ZZK. Prime Zitto inawezekana ndio alikua the best young politician wa wakati wake.
@HistoriaYetu
Historia Yetu
8 months
Siasa.
Tweet media one
16
42
625
56
30
332
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Mhe. @HusseinBashe ni swala la aibu kwa Tanzania yenye ardhi inayo limika hekta 44,000,000, hekta 29,000,000 zinazo faa kilimo cha uwagiliaji na mvua za zaidi ya milimita 3,000 kwa mwaka kupokea misaada ya chakula..
@usembassytz
US Embassy Tanzania
5 months
Chini ya mpango wa 'Pamoja Tuwalishe', Wizara ya Kilimo ya Marekani, kwa ushirikiano na Jumuiya za Kimataifa, imetoa msaada wa kwanza wa mchele ulioongezwa virutubisho, maharage na mafuta ya alizeti kutoka kwa wakulima wa Marekani moja kwa moja hadi shuleni katika eneo la Dodoma
Tweet media one
Tweet media two
735
99
647
94
66
327
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Huu sio utabiri ila Mhe. Anthony Mtaka angefaa sana nafasi ya uenezi. Right man for the job.
Tweet media one
144
17
322
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
1 month
Jana nimeona kakikundi cha baadhi ya wasukuma reli wakija na hashtag ya kushawishi watu wakatae mradi wa EACOP. Tweets hizo hazikuweka wazi EACOP ni nini na madhara yake ni yapi hivyo hashtags hizo ni kwa manufaa ya nani wanajua wenyewe wahusika. Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
89
140
314
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Ile post ya mganga ina bookmark 1000🙌🏾. Kwa yoyote ambae nitakua nimemkosea au kumkwaza humu naomba msamaha 😅🙏🏾
50
16
301
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
3 months
Nilibahatika kukutana na mzee mmoja ambae amejaliwa uwezo na kuna kaukweli alinipa. Aliniambia kuwa in life hard work will only get you to the level of middle income. If you want to go from middle income to upper income doors must be opened for you. Akasema kwenye level ya
@SwahiliBible
Mwemezi Rwiza, PhD
3 months
"Nilianza kwa kujitolea kuosha vyombo kwa mama ntilie pale Manzese Darajani. Sasa hivi ninamiliki mgahawa wa kimataifa Dubai." What was the one inspirational speech that made you raise your eyebrows? 🤨🤨
15
14
121
29
89
305
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
8 months
Comparing and Contrasting Somaliland and Somalia Political Status: Somaliland: Declared independence in 1991, but remains unrecognized by the international community. Operates as a de facto independent state with its own government, constitution, and democratically elected
Tweet media one
68
96
301
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Leo ni kumbukumbu ya miaka 40 tangu kufariki kwa aleikua Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Edward Moringe Sokoine. Alikua Waziri Mkuu wa Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Aliwahi kuwa Waziri Mkuu mara mbili, tangu tarehe 13 Februari, 1977 hadi 7
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
34
87
295
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Walio fariki Arusha wana ndugu, jamaa na marafiki ila pole anapewa Mama kwanza. Anyway labda itifaki imezingatiwa...
19
28
294
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Majaribio ya Mapinduzi ya 1983 Mnamo mwaka wa 1982, hatua za kuanza kwa njama za kumwondoa Rais Julius Kambarage Nyerere zilifanyika. Kinara wa mpango huo alikuwa Kapteni Eugene Maganga akishirikiana na wanajeshi wenzie kama vile Zakaria Hans Poppe, Mohamed Tamimu, Suleiman
Tweet media one
Tweet media two
31
61
281
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Hawa vijana wa watu Ramadhani Brothers wameshinda AGT kwa jitihada na juhudu zao wenyewe. Hongera kwa kwa juhudu binafsi na Mungu awatangulie kwenye safari yao ya kutafuta mafanikio.
Tweet media one
21
40
280
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
1 year
@NBAMemes Michael Carter-Williams 1. 11th pick of the 2013 draft 2. 2014 ROTY 3. Averaged 16p/6a/6r rookie year 4. How now player for 6 teams in 8 years. 5. Current career average 10p/4a/4r
Tweet media one
3
0
260
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
3 months
Pichani ni Rais Samia akishiriki Mkutano Maalum wa 23 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika kwa njia ya mtandao Ikulu Dar es Salaam tarehe 07 Juni, 2024. Mitandao imekua nyenzo muhimu sio tu ya mawasiliano bali kama kifaa cha utendaji kazi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
102
107
265
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
7 months
JWTZ🙌🏾
Tweet media one
55
27
266
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Tanzania Key Economic Indicators 1. Cars with plate numbers starting with E 2. Crowds at banks 3. Wedding halls being full 4. People paying for wedding donations We are developing a new economic system from scratch. In the future other countries will come to learn from us.
35
48
269
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
2 years
If you go through the CAG report you realize Tanzania does not need new revenue sources, it needs to maximize on current revenue sources & ensure funds are used for their intended purposes.
12
53
255
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
7 months
Wale wanafunzi 12 wa Yesu wangekua na hashtag ya #YesuYupoKazini 😃
@kambinitz_
KAMBINI.TZ
7 months
Imagine if Bible characters were Tanzanians?
26
17
89
61
56
264
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
9 months
Hawa wazee wetu utafikiri walituachia nchi iko level za Japan sisi tukarudisha nchi nyuma 😃. Nchi yetu bado inaongozwa na kizazi kilicho zaliwa 40s-60s ila lawama tuna pata millennials na Gen Z. Ila ni kawaida ya wazee kua na nostalgia na kuona kila kitu enzi zao kilikua bora
@TheChanzo
The Chanzo
9 months
Jenerali Ulimwengu: UDSM imekuwa 'extended high school' Mahojiano kamili>
63
273
752
66
62
251
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
7 months
Mama shikamoo. Mimi ni 1. Kijana 2. Mume wa mtu 3. Nahitaji kutimiza malengo Naomba nafasi yoyote ya uongozi kwenye serikali yako 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 Natanguliza shukrani kwa niaba ya wanaume wote mama 🙏🏾.
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
7 months
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa katika Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi hao (Diplomatic Sherry Party), Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Februari, 2024.
Tweet media one
43
65
538
83
26
244
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
1 year
Because of a lack of social media back then people don't realize just how tough Big Ben was. Big Ben was JPM before JPM & that is why he always kept JPM in the tough ministries. A great student of Mwalimu Nyerere through & through & one of the most intelligent politicians ever.
15
48
242
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
3 months
Kipande cha hotuba ya Julius Malema Bunge la South Africa mara baada ya bunge hilo kumchangua Cyril Ramaphosa kama raia wa nchi.
29
46
240
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Mhe. Waziri mtumishi huyu hapaswi kupongezwa kwa sababu haikupaswa kufanya kazi kwenye mazingira haya. Chochote kingemtokea mngekua wakwanza kusema huo sio utaratibu wa kazi na mngewasihi watumishi wafuate utaratibu wa kazi. Matokeo ya haya ni mawili: 1. Watumishi wengine
@ummymwalimu
Ummy Mwalimu MP🇹🇿
6 months
Sijui ni Halmashauri gani hii? Hakika Mtumishi huyu anapaswa kupongezwa. Nimemuelekeza Katibu Mkuu Afya wamtafute. Lkn pia nasi viongozi tunapaswa kufanya kitu ili kuboresha mawasiliano kuwezesha wananchi kupata huduma za afya.
395
95
1K
30
43
238
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
8 days
Sisi tuendelee tu kutukanana mitandaoni.
Tweet media one
78
15
238
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
7 months
Siasa siku zote haitabiriki. Ukiona mwanasiasa ameanguka weka akiba ya maneno. 2015, Sophia Simba, Adam Kimbisa na Emmanuel Nchimbi walitoka hadharani kupinga kutenguliwa kwa jina la Lowassa katika kinyangayiro cha uraisi. 2017, Sophia Simba afukuzwa uanachama huko Adam
Tweet media one
24
31
226
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
9 months
Cousin 420, Ngurdoto ilikua/ipo chini ya The Impala Group of Hotels (IGH) ambayo ilikua ina jumuisha Impala Hotel (Arusha), Impala Hotel (Moshi), Ngurdoto Mountain Lodge (Arusha), Naira Springs Hotel (Arusha), Impala Shuttle Services (Arusha) na The Classic Tours and Travels.
@420Cousin
cousin 420
9 months
NGURDOTO HOTEL IMEREJEA TENA, HONGERA RAIS SAMIA.! Hapo nyuma kidogo kulitokea sintofahamu hotel ya nyota tano ya Ngurdoto kubadilishwa matumizi iwe hostel kisa imekosa watalii! Maana yake Uchumi uliyumba na mamia walipoteza ajira.! Tulipompata Rais Samia alikuja na Quick
Tweet media one
Tweet media two
33
27
107
22
32
225
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
7 months
Foreign military bases in Africa.
Tweet media one
26
96
217
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Mzee wetu Hashim Rungwe Spunda inabidi atoe tamko kuhusu swala hili la ubwabwa kutoka Marekani. Naamini CHAUMMA wana sera kuhusu hii.
Tweet media one
25
17
209
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
7 months
Tanzania ndio nchi pekee ambayo mvua chache zime sababisha uhaba wa umeme lakini mvua nyingi zimesababisha uhaba wa sukari. Tanzania ndio nchi pekee kukiwa na jua mazao yana haribika na kukiwa na mvua mazao yana haribika. Wenzetu wameshaondoka kwenye kutegemea hali ya hewa sisi
18
48
208
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Kweli utembelee VX umsifie mtumishi kwa kuvuka mto hatarishi kufikisha chanjo? Mtumishi yule angekua ndugu, jamaa, rafiki yako ungemsifu kwa kuji-risk vile?
22
43
205
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
4 months
Nina-admire vijana ambao wanajenga chochote kutoka mwanzo, iwe ni kampuni, taasisi, au shirika. Kujenga kutoka chini ni jambo gumu.
18
46
204
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
7 months
Huyo aliejirusha si mfanyakazi wa NSSF wala hakwenda kufuatilia mafao NSSF (kama baadhi wanavyo sema). Ni mtu mwenye nafasi nzuri tu TPDC na hakwenda kufuatilia mafao bali alienda kwa nia ya kujirusha.
@mwaipungu24
George E. Mwaipungu
7 months
🔷🔷🔷Hiyo picha nimeipata leo posta mpya jengo la benjamini mkapa mtu mmoja amejilusha kutoka katika jengo hilo na kufaliki papo hapo inasemekana alienda kufuatilia mafao ya NSSF ,kama nikweli hii hali sio mzuri kiukweli mtu kafanya kazi anaangaikia mafao yake miezi bila kupata.
Tweet media one
102
90
603
56
27
194
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
11 months
Maisha ya Tanzania ni mazuri kuliko hata nchi zilizoendelea 😃
@thisisnkirah
Nkirah✨
11 months
Unpopular opinion about life in Tanzania
2
0
9
39
20
193
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Hii thread tunaweza i-summarize hivi 👇🏾👇🏾👇🏾
Tweet media one
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Post kuhusu vijana kujiajiri kutoka kwa @MsangiJr4 : "Nakujibu kwa uzi. Ili kijana mbunifu au anayetaka kufanya biashara kupitia kuwezeshwa kibenki 1. Inabidi uwe na kampuni iliyosajiliwa, BRELA. kiasi cha juu lazima uwe na TZS 500,000 kulipia BRELA, lakini kama utatumia
Tweet media one
Tweet media two
108
268
494
31
46
191
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Mimi mpaka sasa hivi sielewi Mwendokasi imetushindaje kuendesha wenyewe. Hadi mwendokasi tuendeshewe na makampuni ya nje?
@ayubu_madenge
Ayubu Madenge
5 months
Kampuni ya ENG ya Dubai iliyoshinda tenda ya Kuendesha Mwendokasi hapa DSM inatoa huduma huko Egypt ikiwa na Mabasi 400 na Dubai Mabasi 600. Mabasi yake yana A/C mwanzo mwisho, hayana kusubiri Kituoni Muda mrefu, yana CCTV Camera na maeneo ya Walemavu. Waje wafanye zaidi ya haya.
Tweet media one
319
148
3K
89
19
193
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
1 year
Nimefanya kazi kwenye makampuni ya vinywaji karibia career yangu yote. Margins za pombe ni ndogo sana na zinategemea high volume. Fine ya 5M ni wastani wa faida wa kreti 2500. Hiyo ni faida ya mwezi au zaidi. Mtaziumiza hizo biashara na familia zinazo tegemea hizo biashara.
@millardayo
millardayo
1 year
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) ambalo leo limezifungia Baa za wazi zaidi ya 80 limesema ndani ya siku 14 Watu waliofungiwa Baa zao wasipolipa faini walizopigwa watafungiwa kabisa leseni zao za biashara. Akiongea wakati wa Mkutano na Wadau wa
Tweet media one
83
22
738
37
36
185
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
4 months
Hizi story zinaenda mbali sana Kenny. Yapo madai mzee Karume alitokea Malawi na kuja Zanzibar akiwa mdogo sana huko wazazi wake wakitokea Ruanda-Urundi (Rwanda na Burundi ya leo). Mzee Karume hakuwa na cheti cha kuzaliwa original cha Zanzibar bali alisaini affidavite miaka ya
@KennedyMmari
Kenny Mmari Snr.
4 months
Fatma, hizi ni taarifa za kweli kuwa Abeid Karume alizaliwa “Nyasaland”, yaani Malawi? Hivyo hakuwa na asili ya Tanganyika wala ya Zanzibar. Alikuwa muhamiaji tu kama sisi sote tulivyo. Hivi vidole tunanyoosheana kwa asili zetu vinatokana na nini? Tujisahihishe!
Tweet media one
75
56
351
35
34
184
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
4 months
Afadhali Katibu Mkuu wa @ccm_tanzania Ndugu Emmanule Nchimbi kakemea kauli ya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhan. Isingekua busara kuliacha lipite hivi hivi. I hope internally watamkalisha chini na kumpa onyo kali kama sio hatua za kinidhamu.
63
37
182
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
8 days
Hii pia ndio sababu Tanzania watu weusi wenye generational wealth ni wachache sana. Hatutengenezi mifumo. Kwa biashara yake ilipofikia haitaji kufanya kazi masaa hayo. Ila utakuta hataki kutengeneza mifumo. Tuna biashara nyingi ambazo ni makampuni ila zinaendeshwa kama sole
@TBConlineTZ
TBCOnline
9 days
"Mimi hapa nikikwambia muda ninaoamka na muda ninaolala ni vitu tofauti. Mimi kila siku naamka saa 11:00 asubuhi lakini nalala saa 7:00 ya usiku kila siku. Haya ndio maisha yangu. Sasa mtu mwingine hawezi kuamini lakini ndio ukweli. Muda mwingi nautumia kwenye kufanya kazi".
35
29
152
63
28
184
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
9 months
Yuko Bakhresa kwenye bodi ya Tanesco.
Tweet media one
@RahmaMwita
Rahuuuum
9 months
Dubai mbali kote hii Tanesco akipewa Bakhresa tuu Maisha ya watanzania yatabadilika vilivyo.
12
1
71
31
19
179
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
4 months
Hii stesheni mpya ya treni ya TRC ni 🙌🏾🫡. Mungu atusaidie tu tuepukane na kale kautamaduni wetu wa uharibifu.
59
37
180
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
4 months
Luhaga Mpina ana jaribu mno kutafuta relevance. Hayati alikua na matatizo ya moyo tangu ujana wake. Alikua kwenye high stress job ya urais. Hakuna mkono wa mtu labda kama kuna anayo yafahamu zaidi ya hayo aliozungumza.
@Jambotv_
Jambo TV
4 months
VIDEO: Mbunge Luhaga Mpina ataka kuundwa tume ya kuchunguza "Utata" kifo cha Hayati Magufuli
154
208
1K
83
23
170
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
4 months
Mimi kuna vitu sielewi. Kwamba nchi hii Mzanzibari hana haki ya kuwa rais wa JMT? Kwamba katika marais 6, wawili tu kuwa kutoka Zanzibar tunaona nongwa? Katika nchi hii hii ambayo isingekua rais aliepo madarakani pengine ingechukua miaka mingi sana kuja kutokea tena rais
@Twaha_Mwaipaya
Twaha Mwaipaya
4 months
"Tanganyika tunatawaliwa na Rais kutoka nchi jirani ya ZANZIBAR" Mh. Freeman Mbowe
89
162
730
235
25
170
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
9 months
Kama kijana epuka sana kuingilia au kutumika kwenye ugomvi wa watu wengine. Marafiki hutafutwa, maadui huja wenyewe. Usitafute maadui.
8
40
173
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
1 month
Nape Nnauye alikua Katibu Mwenezi wa CCM na mjumbe wa kampeni za chama mwaka 2015. Akaita ushindi ule "bao la mkono" lililo zaa jina la utani la "Diego Maradona.  Leo Nape Nnauye ni waziri wa wizara nyeti ambayo inasimamia maswala ya habari na maswala ya mawasiliano. Ametoa
52
55
172
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
7 months
Huwezi kutenganisha safari ya kisiasa ya Jakaya Kikwete na Edward Lowassa. Lowassa alitoa mchango mkubwa sana kwenye kampeni za urais za Kikwete mwaka 1995 na mwaka 2005. Kuna sababu kwanini marafiki hawa waliitwa Boys 2 Men. Mwaka 1995, walipanda ndege ya kukodi pamoja kwenda
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
37
168
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Walau nyumba ya vyumba vitatu. Magari mawili, lako na mkeo. Biashara inayo ingiza walau milioni 1 kwa wiki. Mengine uta tafuta na mkeo mdogo mdogo.
@fumbokhanJr
Fumbo Khan
5 months
Kabla ya Kuoa unatakiwa uwe unamiliki nini??
135
31
447
42
16
170
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
1 year
Balozi Liberata Mulamula: 1. BA in International Relations- UDSM 2. MA International Affairs- Columbia University 3. Over 35 years experience in diplomacy 4. PS- @mfa_tanzania 2006-11 5. ES- ICGLR 2011-16 6. Ambassador to US- 2016-21 7. Minister at @mfa_tanzania 2021-23
Tweet media one
4
43
165
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Kaka @IdrisSultan una ushauri gani kwa Ramadhani brothers juu ya ushindi huu wa TZS 637,500,000? 😃
@JamiiForums
Jamii Forums
6 months
#BURUDANI : Raia wawili kutoka Tanzania maarufu kama #RamadhanBrothers wamefanikiwa kuibuka Washindi wa Shindano la Kusaka Vipaji la American Got Talent - Fantasy League na kuondoka na Dola za Marekani 250,000 (Takriban Tsh. Milioni 637.5) Kundi hilo linaloundwa na Wanamichezo wa
86
144
1K
30
16
158
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
4 years
@Andrewakawaka__ Kila kitu kina faidia na hasara zake. Huyo anaelipwa 600K ana job security. Kipato chake hakitegemea aingie kazini hata kama anaumwa. Utakuta ana bima ya afya kwa ajili yake na familia yake. Benki ana dhamana ya kukopa nk. Informal sector has its risks pia...
13
5
154
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
9 months
Hakuna alie nje ya muda. Mungu hachelewi wala hakawii.
6
34
158
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Natamani report ya CAG ya kila mwaka ingekua ina ambatana na report nyingine inayo orodhesha hatua zilizo chukuliwa kwa report ya nyuma yake.
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
5 months
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia Akaunti zetu za Instagram: ikulu_mawasiliano, Facebook: Ikulu Tanzania Facebook fanpage: Ikulu Mawasiliano Twitter: ikulu_Tanzania Youtube Channel: Ikulu Tanzania Tovuti:
Tweet media one
24
38
176
26
45
158
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
8 months
Huwa sijali sana nani anateuliwa na kutenguliwa na raisi kwa sababu mteuliwa yoyote ana huduma kwa matakwa ya mteule. Ila hii ya DART naomba serikali muitazame sana. DART ilianza kuyumba baada ya Maxmalipo kutolewa na tiketi zikaanza kutolewa za mkono baada ya za kielektroniki.
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
8 months
UTEUZI
Tweet media one
57
67
416
52
22
152
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Hotuba ya Bassirou Diomaye Faye ( @DiomayeFaye ), rais mteule wa Jamhuri ya Senegal: Msenegali, Msenegali Wapendwa wenzangu Wageni wa kigeni Wanaoishi kati yetu Kufanyika kwa uchaguzi wa urais ambao tumepitia hivi punde zaidi ya yote kunaashiria ushindi wa watu wa Senegal.
Tweet media one
28
32
151
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Tunasubiria NEC ya Senegal itangaze matokeo rasmi tuandae makala. Sijaandika muda mrefu.
Tweet media one
21
11
149
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
1 year
Julius Kambarage Nyerere, always imitated but never duplicated. Many have talked his talk but very few have walked his walk. Loved & hated in equal amounts by both his admirers & detractors. Truly one of the greatest sons of Africa.
14
59
151
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Maeneo aliofanya vizuri: 1. Mahusiano ya kimataifa. 2. Sekta ya utalii. 3. Demokrasia. 4. Ulinzi na usalama (haswa kama umekua ukifuatilia maswala ya mipaka yetu na Msumbiji/Kongo/Rwanda). 5. Uwekezaji. Maeneo ya kutazama zaidi: 1. Sekta ya Nishati. 2. Pengo kati ya wenye nacho
@eastafricatv
EastAfricaTV
5 months
Miaka 3 ya Rais @SuluhuSamia madarakani eneo gani amefanya vizuri na wapi apatazame zaidi katika hatua inayofuata?. Tuwekee maoni yako na sisi tutasoma Live kwenye #MJADALA hapa #EastAfricaTV kuanzia saa 3:00usiku.
Tweet media one
215
19
578
48
28
150
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
8 months
Nilishawahi kusema ukitaka kuondoa wabunge wapambe ondoa tu kigezo cha waziri kuwa mbunge. Ni vigumu mbunge kushauri na kuiwajibisha serikali kama yeye mwenyewe anafanya usaili wa kuingia serikalini.
13
44
146
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
1 year
Unpopular opinion: Anyone with a foreign spouse should not hold an office that requires access to state secrets.
@friendsof1847
Friends of Roberts
1 year
@ChezCharde 💪🏿🤌🏿😌 BM always fight 4 the womn they love!
Tweet media one
6
4
32
6
34
137
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Muda wa kuwakumbusha (au kuwajuza) kwamba Benjamin William Mkapa ndio rais pekee katika historia changa ya Tanzania aliepunguza deni la taifa. Deni la taifa 1995- $7,370,950,563 Deni la taifa 2005-$4,117,816,817
@swahilitimes
Swahili Times
5 months
“Kufikia tarehe 30 Juni 2023 deni la serikali lilikuwa shilingi trilioni 82.25 sawa na ongezeko la asilimia 15 kutoka shilingi trilioni 71.31 kwa mwaka 2021/2022. Deni hilo linajumuisha deni la ndani la shilingi trilioni 28.92 na deni la nje la shilingi trilioni 53.32.” – CAG,
Tweet media one
78
63
640
25
28
145
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
9 months
Kama umezaliwa na kukua kwenye mazingira una strong support system Shukuru Mungu sana. Wengine chanzo cha depression kina sababishwa na watu ambao ndio walipaswa kua faraja na msaada kwao.
8
27
140
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
10 months
Happy birthday to Benjamin William Mkapa aka Big Ben. Today we remember some of the legacy he left behind. Education: Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM), Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES), Tanzania Education Authority (TEA), Higher Education
Tweet media one
19
44
143
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
1 month
Ma-influencer wa Kenya wanapush kweli swala la January Makamba kuwania uenyekiti wa African Commission. Nani yuko nyuma ya hiyo kampeni na kwanini?
30
7
144
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
2 years
Balozi @tonytogolani ni ushahidi tosha kwanini vijana wanapaswa kuandaliwa na kupewa nafasi muhimu za uongozi. Hapa mama Samia alisajili.
16
13
140
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
2 months
Ni baraka kubwa Mungu kuniwezesha kuuona mwaka wangu wa 35 ulimwenguni. Kuanzia mwakani naondoka rasmi kwenye jumuiya ya vijana napokea kadi ya jumuiya ya wazazi/wazee 😄. Mwakani ni mwendo wa kuzungumzia pensheni tu na huduma za afya kwa wazee 😃.
68
17
143
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
2 months
Kuna vitu vitatu haupaswi kumruhusu mtu avichezee: 1. Ndoa yako 2. Ujira wako 3. Afya yako Mtu akihatarisha vyovyote kati ya hivyo hapo juu ni haki yako kumchukulia hatua stahiki.
12
33
141
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
6 months
Naona kuna DC mstaafu ana social media campaign ya kuomba uteuzi wa u-RC kupitia Twitter. Sidhani kama kuna uteuzi ushawahi kutokana na Twitter lakini labda ni kampeni ya kutuandaa kisaikolojia.
24
9
139
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Binafsi siamini kama wapo viongozi wanaolipa watu kumchafua Rais halafu Rais asiwajue ila Makonda awajue. Itakua ajabu sana. Hapa aidha: 1. Hao watu wapo na Rais anawajua ila Makonda ametumwa "kusend message". 2. Makonda anatengeneza mazingira ya kuonekana "mtoto wa kipekee wa
44
23
137
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
4 months
Tukutane Jumamosi hii kwenye #ElimikaWikiendi tujuzane mawili matatu kuhusu kujibrand.
Tweet media one
13
34
135
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
7 months
Kiutaratibu mwenye msiba ni alie na cheo sawa na alicho kuwa nacho kiongozi alietangulia. Kwa mantiki hiyo mwenye msiba huu ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Na kiuhalisia kwenye taratiba za mazishi Rais anakuaga mgeni rasmi tu ila Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Mazishi ya Viongozi
Tweet media one
Tweet media two
@EduTalkTz
(---) Onesmo Mushi
7 months
@thomasjkibwana Nimewaza kwa sauti tu maana ni “utamaduni wetu” kuenzi misiba kwa style hiyo mkuu.
2
0
2
17
37
129
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Jenerali Venance Mabeyo kafunguka mengi ila sio yote. Taifa lilikua na bahati ya kuwa nae kama CDF wakati wa kufariki kwa Rais John Magufuli. Mengine tunasema yanabaki historia. Ila itoshe kusema Mungu anaipenda sana Tanzania.
13
24
130
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
9 months
Chimbuko la jina la Tanganyika. Kabla ya 1920 tukiwa chini ya utawala wa Ujerumani hakukua na nchi inaitwa Tanganyika. Eneo hilo (lililo jumuisha Tanganyika, Ruanda-Urundi na sehemu ya Msumbiji) lilikua linaitwa Deustche Ost-Afrika au German East Africa kwa Kiingereza. Baada
Tweet media one
27
47
129
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
5 months
Umenufaika vipi na mitandao ya kijamii (haswa Twitter) tangu uanzie kuitumia? Mimi nimekutana na vijana wengi wanao ni-inspire nijitafute mpaka nijipate kama wao 😀. NB- ofisi sio yangu nimeomba tu kupigia picha.
Tweet media one
39
13
130
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
3 months
DC kweli uko serious? Na PhD yako kabisa mkuu? Haiwezekani.
56
12
127
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
3 months
Ifike wakati dada Upendo aache kuwaongelea chama alicho toka na aweke focus zaidi chama alichopo.
@MwananchiNews
Mwananchi Newspapers
3 months
Mbunge wa zamani wa Viti Maalum kupitia Chadema ambaye sasa amehamia CCM, Upendo Peneza amesema kabla hajama chama hicho, aliomba ushauri kwa Rais wa zamani wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf na pia alifunga na kuomba kabla hajatimiza uamuzi huo.
223
16
183
64
13
125
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
7 months
In my opinion it's not that the Tanzanian security official was unprepared to handle the situation. I think he avoided escalating the matter. If the Tanzanian agent had used force then things could have taken a turn for the worse.
@kabsjourno
Erick Kabendera
7 months
Over the years, I have come across several articles describing how Paul Kagame's security team is notorious for violating diplomatic protocols in foreign countries. There was no apparent security threat from Tanzania that would justify Kagame's security team carrying weapons to
103
126
469
22
25
123
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
8 months
Ni vile tu Wallace Karia ni polarizing na hayuko PC ila ndio the most successful football executive kuwahi kutokea Tanzania.
@bedjosessien
Collins Okinyo
8 months
Tanzania Football Federation (TFF)has signed a cooperation agreement between Tanzania and Saudi Arabia. TFF are on the right trajectory managing Football ⚽️ in Tanzania positively @soka25east
Tweet media one
18
59
686
12
7
121
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
2 months
Kiungo wa Manchester United na Timu ya Taifa ya Moroko, Sofyan Amrabat, ametembelea Hifadhi ya Mikumi, Morogoro na kuposti: “Tanzania, East Africa: Leo Simba wa Atlas Amekutana na Simba Mwenyewe!” Awali alitembelea Zanzibar. Pia, beki wa PSG Ashraf Hakimi yupo nchini kwa
Tweet media one
16
30
122
@thomasjkibwana
Thomas J. Kibwana
12 days
Kweli kwenye siasa usimkatie mtu tamaa. Hili la mzee Kabudi na mzee Lukuvi kurudi kwenye Baraza nisingeweza kulitabiri.
27
5
122