Abdulmajid Nsekela Profile Banner
Abdulmajid Nsekela Profile
Abdulmajid Nsekela

@amnsekela

Followers
13,578
Following
52
Media
300
Statuses
450

Group CEO @CRDBBankPlc | Chairman of @ushirika_tcdc | Former Chairman of @tba_forbankers

Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 years
Jana usiku nimepokea uzi mpya wa Mnyama ambao kwa hakika umetulia na ikabidi nianze nao usiku huo huo. Niwatakie kila la heri @SimbaSCTanzania katika tamasha la Simba Day leo. Benki ya CRDB tupo tayari kuendelea kushirikiana nanyi kwa maslahi mapana ya mpira wetu. #SimbaNguvuMoja
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
127
209
4K
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 years
Mafanikio niliyonayo ni kwa neema ya Mwenyezi Mungu, na upendo na kujitoa kwa wazazi wangu. Namshukuru Mungu kwa kumpa uhai na siha njema mama yangu kuona matunda ya kazi yake. Leo amekuja kunitembelea ofisini pamoja na familia yangu. ASANTE MAMA 🙏🏽 #Mwanakijiji #RamadanKareem
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
117
147
2K
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 years
Nikiwa nyumbani Nyakatuntu Kyerwa na ndugu yangu tukithaminisha moja kati ya mikungu ya ndizi iliyopo shambani. Bado hatujakubaliana ikishushwa hapa imbatane na samaki, nyama au utumbo. Mnasemaje ndugu zangu? #Homesweethome
Tweet media one
Tweet media two
161
54
1K
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 years
Miaka kadhaa iliyopita nilimchagua Malkia huyu kuwa mke wangu. Siku zote amekuwa mama bora kwa familia yetu, rafiki na mshauri. Katika changamoto na mafanikio yangu, amekuwa msaada mkubwa sana. Ninamshukuru Mungu kwa ajili yake. Asante kwa uvumilivu na upendo wako. #IWD2021
Tweet media one
33
41
883
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Mazoezi ya asubuhi husaidia kuufanya mwili na akili kuwa vizuri "active" kwa siku nzima ambapo ni muhimu sana katika kufanikisha malengo yetu ya siku. Najua wengi wetu kuamka asubuhi ni changamoto lakini nawa-challenge kuanza sasa kuimarisha afya zetu. #TunapashaMisuli 💪
Tweet media one
58
59
878
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Nikiwa na dada yangu Mkubwa, Bi. Mwajuma Nsekela, nilipomtembelea kijijini kwake Rukuraijo leo nikiwa safarini kuelekea kijijini kwetu Nyakatuntu wilayani Kyerwa, mkoa wa Kagera.
Tweet media one
Tweet media two
45
30
773
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Leo nimepata ugeni wa Mkurugenzi Mtendaji wa @wasafimedia , Ndugu Nasibu Abdul @diamondplatnumz pamoja na viongozi waandamizi wa Wasafi Media. Tumezungumza mengi ikiwamo ushirikiano baina ya taasisi zetu @CRDBBankPlc
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
18
34
710
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Katika mazoezi yangu ya leo nimefika hadi #TanzaniteBridge Nimpongeze Mhe. Rais @SuluhuSamia kwa ujenzi wa daraja hili zuri, la kisasa na lenye viwango vya kimataifa. Nimefurahi pia kukutana na kaka yangu Harry Kitilya, Kamishna Mkuu Mstaafu wa TRA na yeye akipasha misuli.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
73
31
678
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 years
Nikiwa na mama yangu kipenzi nyumbani Nyakatuntu Kyerwa. Hakika bado hakuna maneno ya kutosha kumuelezea mama na ndo mana wengine wakaimba "Nani kama Mama". #SalamuzaKyerwa #MamaMajid
Tweet media one
57
28
669
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
5 years
Nimepata heshima ya kutunikiwa tuzo ya kiongozi bora na kuingia katika jopo la watu mashuhuri wenye mchango katika maendeleo ya bara la Africa iliyotolewa na Jarida la Uongozi Africa. Niwashukuru Watanzania na wateja wetu wa @crdbbankplc Mafanikio haya yasingekuwepo bila ninyi🙏
Tweet media one
Tweet media two
85
60
627
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Moja kati ya njia kubwa za kujiongezea maarifa ni kusikiliza. Mzee wetu Jakaya Kikwete aliwahi kusema "Dhamana ya uongozi haikufanyi uwe zaidi ya watu wengine. Kujishusha hakukufanyi wewe usiwe kiongozi". Hii ni moja kati ya nukuu zangu bora ninazojitahidi kuziishi kila wakati.
Tweet media one
Tweet media two
34
71
553
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
10 months
Feliz Navidad 🎄
Tweet media one
20
36
552
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Hadithi za maisha yetu yote haziwezi kuandikwa bila kutajwa kwa hadithi za Mama zetu kwa kuwa wao ni mwanzo wa hadithi zetu. Heri ya Siku ya Mama Duniani!
Tweet media one
7
18
470
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Najisikia fahari kubwa kutembelea kijijini kwetu Nyakatuntu, Kyerwa kumsalimu mama #Mwanakijiji , ndugu, jamaa na marafiki. Safari yangu huwa haikamiliki bila kupita shambani, na safari hii nilifaidi sana mahindi ya Mwanakijiji. Kweli hakuna kama nyumbani. #NyumbaniNyakatuntu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
36
37
444
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Ni wiki nyingine tena inayotupa nafasi ya kuzisogelea ndoto zetu. Matokeo ya jitihada zako za wiki iliyopita yasikupe unyonge wa kujaribu tena wiki hii. Martin Luther King aliwahi kusema hauhitaji kuona ngazi yote ili kuchukua hatua ya kwanza. Nawatakia wiki yenye mafanikio!
Tweet media one
24
59
416
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
11 months
Today is the day I celebrate another year of growth, joy, and adventures. 🎂✨ I am truly grateful for all the experiences and lessons that have shaped me into the person I am today. 🌟 I am incredibly fortunate to have such amazing family, friends, and loved ones who have
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
58
27
376
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
11 months
Niwatakie mchezo mzuri watani wa jadi @yangasc na @simbasctanzania katika mechi ya leo. Lakini pia niwajuze kama yupo mwenye mapungufu nafasi ya ushambuliaji nawakumbusha kuwa "free agent striker wa boli" nipo. Kuhusu uwezo naacha picha ziongee mana wanasema "A picture is worth
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
46
30
367
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
I am delighted to have the opportunity to attend the UN Climate Change Conference #COP26 in Glasgow UK 🇬🇧. As @theGCF partner @CRDBBankPlc advocates for climate action and a more sustainable world 🌎 . #COP26Glasgow #TogetherForOurPlanet
Tweet media one
29
30
349
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 years
Kupitia #CRDBMalkia tumepunguza riba ya mikopo kwa wanawake wajasiriamali kutoka asilimia 24 hadi asilimia 14, vilevile tumeboresha mchakato wa upatikanaji wa mikopo ili kutoa fursa kwa wanawake wengi kunufaika zaidi. Huu ni wakati wa #KufanikishaZaidiNaCRDBMalkia
Tweet media one
30
33
331
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Tunaendelea kupasha misuli 💪. Leo baada ya kukimbia tulipiga sit-ups kukata tumbo kidogo. Wewe umefanya mazoezi gani? au usingizi ulishinda mipango 😃 #TunapashaMisuli
46
24
328
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Eid al-Adha hii, nakutakia baraka za Mwenyezi Mungu ziambatane nawe na wapendwa wako. Tusheherekee kwa amani na upendo. #EidalAdha
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
9
18
315
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 years
Nimeshtushwa sana na taarifa ya kifo cha Rais wetu mpendwa @MagufuliJP Taifa limepoteza Kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kwa nchi yake. Natoa pole kwa Serikali, familia na Watanzania wote kwa msiba huu mkubwa kwa taifa letu. Pumzika kwa Amani Mhe. Rais, Amina 🙏!
Tweet media one
13
34
315
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Mithali 1: 8-9 Mwanangu yasikilize mafundisho ya baba yako, wala usiiache sheria ya mama yako. Kwa maana hayo yatakua kilemba cha neema kichwani pako, na mikufu shingoni mwako. Nawatakia Jumapili njema watu wa Mungu.
Tweet media one
Tweet media two
21
29
316
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 months
Ninajivunia na kufurahia sana upendo wa watoto wangu. Leo walinipokea uwanja wa ndege wakiwa na maua kama ishara ya upendo wao na kunitakia kheri ya Siku ya Baba Duniani. Nawapenda sana watoto wangu, na dua yangu kwa Mwenyezi Mungu S.A.W ni awajalie hekima, busara na maarifa ya
Tweet media one
Tweet media two
20
13
316
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Thank you @reputationpoll I'm deeply honoured to be listed among Africa's 50 Most Reputable CEOs for 2021. I dedicated this to our esteemed customers and my colleagues at @CRDBBankPlc 🙏🏽
Tweet media one
32
44
302
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Jumapili iliyopita tulikua na nyinyi tukiwashangilia kwa nguvu katika mchezo wenu wa kwanza wa fainali ya kombe la Shirikisho. Leo hamtosikia sauti zetu nyingi lakini tambueni kuwa dua zetu zipo na nyinyi. Kila la heri @yanga katika mchezo wa leo. #Whynotyou ?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
14
26
302
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Mzee Kassimu Mugasha ni rafiki yangu anayenipenda sana. Nami nampenda. Pamoja na kuwa na umri wa miaka 104, bado ana nguvu za kutosha. Kila nikipata wasaa wa kwenda nyumbani Nyakatuntu huwa naenda kumsalimia na kupata nasaha zake. Tuwaenzi na kuwatunza wazee wetu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
27
22
288
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
At #COP26   had a wonderful meeting with the CEO of @theGCF Yanick Glémarec. GCF has recently approved $100mn for @CRDBBankPlc #TACATDP for financing climate-resilient agriculture and adaptation projects in the country. Our Bank has also set aside $100mn for the programme. #COP26
Tweet media one
Tweet media two
15
55
276
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Nikiwa mapumzikoni leo nimepata fursa ya kushiriki na waumini wenzangu wa Kiislam katika Ibada ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti wa Kijiji cha Kimkunda, Nyakatuntu Wilaya ya Kyerwa mkoa wa Kagera. #JumaaKareem 🕌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
23
29
269
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 years
DR Congo📍 Jana tulifanya kikao maalamu kuelekea ufunguzi wa kampuni yetu tanzu ya CRDB Bank Congo. Pichani nikiwa na baadhi ya Wajumbe Huru wa Bodi ya CRDB Bank DRC, MD DRC, na Viongozi wengine waandamizi wa @CRDBBankPlc baada ya kikao hicho. Tunaendelea kuvuka mipaka ✈️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
22
33
271
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
10 months
Ikiwa ni siku chache zimebaki tunapoelekea kumaliza mwaka 2023, leo nimepata neema ya kutembelea msikiti wa Bukulu Wilaya ya Kondoa pamoja na kufanya dua kwa ajili ya ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki. Sambamba na hilo, pia nilipata nafasi ya kuiombea Benki yetu na
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
21
13
251
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
5 years
Leo nikiambatana na Mwenyekiti wa Bodi Dr. Ally Laay tumemkabidhi Mhe. Waziri Mkuu @kassim_majaliwa msaada wa shilingi milioni 150 kutoka @CRDBBankPlc katika kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona #COVID19 , tukio ambalo lilishuhudiwa na Waziri @wizara_afyatz @umwalimu
Tweet media one
Tweet media two
13
25
248
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 years
Nimepata baraka ya kutembelewa na Askofu Mkuu Kanisa la Wasabato, Jimbo Kuu la Kaskazini Mchungaji Dkt. Godwin Lekundayo. Tumejadili mengi ikiwamo matumizi ya mifumo ya kisasa katika kanisa. Aidha, nimemshukuru kwa sala na maombi kwa Taifa letu Tanzania 🇹🇿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
13
20
236
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
#COP26 was great meeting with Tanzania 🇹🇿 Environment Minister, Selemani Jaffo. I assured him of @CRDBBankPlc commitment to climate change through our #PendezeshaTanzania 🌳 program, which targets to plant 1 million trees across the country in 3 years. #TogetherForOurPlanet
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
10
30
228
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Jana Benki yetu @CRDBBankPlc iliandika historia kwa kushirikiana na #SMZ @DrHmwinyi kuzindua program ya #INUKA inayowawezesha wajasiriamali Zanzibar kupata Mikopo BILA RIBA. Tunajivunia kwa hatua hii ambayo itakwenda kuleta mapinduzi ya kiuchumi Zanzibar. YAJAYO NI NEEMA TUPU!
Tweet media one
24
35
226
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Nikiwasilisha Taarifa yangu katika Mkutano Mkuu wa Wanahisa: “Mwaka 2020 tulijikita kusaidia sekta zilizoathirika zaidi. Hii ilitusaidia kuja na suluhisho linaloendana na wateja. Tunaishukuru Serikali kwa hatua ilizochukua kwani zilisaidia sana kuimarisha biashara.” #AGM2021
Tweet media one
12
25
209
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
7 months
Nawatakia mfungo mwema ndugu zangu Waislamu. Allah apokee funga zetu na kujibu dua zetu InshaAllah. #ramadanmubarak 🌙
Tweet media one
Tweet media two
11
16
203
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 years
Nimepata nafasi ya kukutana na kubadilishana mawazo na viongozi mbalimbali wakati bajeti ya serikali kwa mwaka 2020/2021 iliposomwa bungeni leo jijini Dodoma. @crdbbankplc tupo tayari kuendelea kushirikiana na serikali kuhakikisha utekelezwaji wa bajeti unafanikiwa. #TupoTayari
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
14
204
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Leo nimepata heshima ya kutembelewa na Rais mpya wa @Mastercard Sub Sahara Africa, Mark Elliott. Tumezungumza mengi ikiwamo namna ambavyo ushirikiano wetu unaweza kukuza na kuboresha huduma kwa wateja na Watanzania. Yajayo yanafurahisha! @CRDBBankPlc
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
18
205
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
8 months
I am filled with gratitude for my colleagues at @crdbbankplc , who made my Valentine's Day an unforgettable one. Happy Valentine's Day to all, and may we continue to spread love and kindness wherever we go. #HappyValentinesDay ᥫᩣ
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
12
13
193
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Leo Benki yetu @CRDBBankPlc imefanya Mkutano Mkuu wa 28 wa Wanahisa ambapo ajenda mbalimbali zilijadiliwa na kupitishwa, ikiwamo gawio la Sh. 45 kwa hisa ikiwa ni ongezeko la 25% kulinganisha na mwaka jana. Wanahisa pia walipata kujadili mkakati mpya wa biashara wa 2023-2027.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
18
188
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
6 months
Hakika Ramadhan ya mwaka huu imekua ya kipekee sana kwangu baada ya kushiriki futari ya siku ya mwisho ya mfungo nikiwa na Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania, Dkt. Abubakar Zuberi. Katikati ya futari hiyo taarifa za kuandama kwa mwezi zilithibitishwa na Mufti kutangaza kukamilika
Tweet media one
12
15
190
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
10 months
Salamu za Pole kutoka @CRDBBankPlc kwa wenzetu wa Hanang. Mwenyezi Mungu awatie moyo 🙏
Tweet media one
3
17
188
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 month
Leo nimepata heshima ya kushiriki ibada na kuongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa la mtaa wa Katembe Usharika wa Kituntu. Usharika huu upo chini ya Kanisa la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe chini ya uongozi Baba Askofu Dkt. Benson Bagonza. Mungu amekua mwema
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
19
191
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
#KijijiniNyakatuntu nimepata nafasi ya kwenda kuhani msiba kwa mzee wetu Clemence Kagaruki na kukutana mama Kagaruki ambaye ni rafiki wa familia. Mwenyezi Mungu aendelee kuwatia nguvu 🙏.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
6
180
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
5 years
Leo @crdbbankplc imetoa shilingi Milioni 30 kwa Chama cha Madaktari (MAT)kusaidia kampeni ya elimu dhidi ya mapambano ya ugonjwa wa Corona. Pia tumeendelea na kampeni ya uhamasishaji kunawa mikono ambapo nimeelekeza #SafeHands   challenge kwa kaka yangu @wazirik @TTCLCorporation
13
35
174
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Tukiwa na Waziri wa Kilimo Mhe @HusseinBashe wakati wa ziara ya Waziri Mkuu alipotembelea kiwanda cha mbolea cha Itracom kinachojengwa Nala, Dodoma jana. Benki ya @CRDBBankPlc tunajivunia kuwa sehemu ya uwezeshaji ujenzi wa kiwanda hicho. #TupoTayari
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
10
15
172
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
I had an incredible experience at the 6th annual #GPIC2023 🌍 in Nairobi. It was inspiring to see global leaders come together to drive private finance for climate action in developing nations. Proud to share how CRDB Bank is leading the way in green financing!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
7
24
168
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Leo nilipata heshima ya kushiriki harambee ya kukamilisha ujenzi wa Shule ya Jumapili, ununuzi wa mabenchi na kuanzisha mfuko wa ardhi kanisa la KKKT Makongo Juu. Niwashukuru washarika wakiongozwa na Mchungaji Kiongozi, Rabisante Lema kwa kunialika kushiriki baraka hii 🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
10
168
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Nikiwa hapa Glasgow 🇬🇧 katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi #COP26 nimepata wasaa wa kukutana na kujadiliana na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mhe. Dkt. Asha-Rose Migiro juu ya mikakati ya makabiliano na mabadiliko ya tabianchi. #COP26Glasgow
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
13
15
169
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 months
Nina furaha kubwa kutunukiwa tuzo ya heshima ya Kiongozi Bora wa Benki Afrika kwa mara ya tatu katika Tuzo za 14 za Uongozi wa Biashara Afrika (ABLA) 2024. Tuzo hii ni kielelezo cha mafanikio ambayo Benki yetu imekuwa ikiyapata kwa kuwekeza katika huduma na bidhaa bunifu, na
30
24
173
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 years
Shukrani zangu za dhati ziende kwa Mhe. Japhet Hasunga,Waziri wa Kilimo, ambaye jana ametuzindulia rasmi mikopo ya zana za kilimo inayotolewa na Benki ya CRDB kwa ushirikiano na ETC Agro, Loan Agro na Agricom. #OngezaTijaKwenyeKilimo #ChukuaTrektaTukalime
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
9
30
169
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 years
Baada ya kuwapata  mabinti zangu ndipo nilipoanza kujua fahari ya  kumlea mtoto wa kike. Kama baba ninajitahidi sana kuwa katika kila hatua ya maisha yao. Kuelewa changamoto wanazopitia na kuwasaidia kuishi ndoto zao. Ni matarajio yapi uliyonayo kwa watoto wako wa kike? #IWD2021
Tweet media one
9
4
163
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Leo ni siku ya kihistoria kwa @CRDBBankPlc baada ya kukabidhiwa leseni ya kuanzisha kampuni yetu tanzu ya bima ya CRDB Insurance Company Ltd. Kipekee niishukuru TIRA na Serikali kwa ujumla kwa kufanikisha mchakato huu. Ahadi yetu ni kutoa huduma bora za bima katika soko!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
24
167
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 years
Tunajivunia kuwa Benki inayohamasisha michezo kama sehemu ya kimarisha afya na kujenga mshikamano baina ya wafanyakazi wetu. Leo tumezindua msimu wa pili wa ligi yetu ya #CRDBBankSuperCup 🏆 @CRDBBankPlc #Togetherformore
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
13
162
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 years
Leo nilipata fursa ya kuhudhuria hafla ya Serikali ya kupokea gawio la Sh. bilioni 100 kutoka kampuni ya madini ya Twiga na Sh. bilioni 1.1 kutoka Shirika la Madini la Taifa @STAMICOTZ . Ni faraja kuona Sekta ya Madini inaendelea kuwa na mchango mkubwa kwenye pato la Taifa.
Tweet media one
11
13
160
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 months
Leo nimepata heshima ya kumtembelea Balozi wa Tanzania 🇹🇿 nchini Uingereza 🇬🇧, Mhe. Balozi Mbelwa Kairuki. Tumezungumza mengi ikiwamo ushirikiano wetu na Ubalozi, Wizara ya Mambo ya Nje na Serikali kwa ujumla kupitia dirisha letu la huduma kwa Watanzania waishio nje ya nchi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
19
164
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Jana nilipata heshima ya kuhudhuria maadhimisho ya miaka 26 ya shule ya wasichana ya Marian, na kuendesha harambee kwa ajili ya ujenzi wa shule ya wavulana na zahanati. Nilifurahi sana kuona utayari wa watu kujitoa kwa ajili ya kuhakikisha watoto wetu wanapata elimu bora.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
6
162
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
7 months
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Tweet media one
8
10
162
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
With former President of Tanzania 🇹🇿 and Patron of African Leadership Forum (ALF), H.E. Dr at the gala dinner during the 7th ALF Meeting in Accra, Ghana 🇬🇭 #ALF2023
Tweet media one
4
13
159
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 months
Nimepata heshima kubwa ya kutembelewa sana na Mhe. Paul Peter Kimiti. Huyu ni moja kati ya viongozi wakongwe ambao wametumikia Taifa letu na kutoa mchango mkubwa wakati wa utumishi wao. Mhe. Kimiti aliwahi kuwa Waziri wa Kilimo na Ushirika kuanzia mwaka 1995 hadi 1998 na pia
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
7
14
159
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
8 months
Nimepata nafasi ya kufika kuomboleza msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Edward Ngoyai Lowassa. Kama kiongozi yapo mengi ambayo nimejifunza kupitia uongozi wake lakini kubwa zaidi ni uthubutu wake katika kufanya maamuzi na kuwa tayari
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
11
20
156
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
8 months
Kwa mara nyingine nimepata heshima ya kutembelewa na Katibu Mtendaji wa CCTTFA, Wakili Okandju Okonge Flory. Nimeendelea kumshukuru kwa ushirikiano mkubwa ambao ameendelea kutupa Benki ya CRDB na kumuahidi ushirikiano zaidi katika kuendelea kukuza biashara baina ya nchi za
Tweet media one
Tweet media two
10
16
152
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Jana nimepata heshima ya kutunikiwa tuzo ya kiongozi bora katika #ConsumerChoiceAwards , wakati Benki yetu @CRDBBankPlc ilipata tuzo ya huduma bora za kidijitali Afrika Mashariki. Niwashukuru wateja na wadau wetu kwa kuendelea kutufanya kuwa bora zaidi. Yajayo yanafurahisha 🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
12
18
148
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Nawatakia Sikukuu njema ya Eid El Fitr Waislamu wote. Mwenyezi Mungu atujaalie furaha na kila lenye kheri katika siku hii ya leo tunaposherehekea tukiwa na familia, ndugu na jamaa zetu tukiendelea kudumisha mema ya mwezi Ramadhan. #EidMubarak 🌙✨
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
10
10
151
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Nimefika nyumbani kwa Hayati Bernard Membe Mikocheni Dar es Salaam kwa ajili ya kutoa pole kwa familia, ndugu na jamaa, na kuungana nao kuomboleza kifo chake. Hakika Taifa limepoteza kiongozi na mwanadiplomasia mahiri. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi 🙏
Tweet media one
Tweet media two
6
2
147
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
6 months
Jana kampuni yetu tanzu ya CRDB Bank DR Congo ilifanya Mkutano Mkuu wake wa kwanza wa Wanahisa ikiwa ni miezi 9 toka tufungue milango ya kutoa huduma nchini Congo katika jiji la Lubumbashi. Tunajivunia namna ambavyo Benki yetu imepokelewa nchini Congo. Niwakaribishe ndugu zetu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
13
146
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
5 years
Mwaka 2019 ulikuwa ni mwaka wa mafanikio kwa @CRDBBankPlc Shukrani za kipekee kwa wateja na wadau wetu. Mwaka 2020 tunaahidi kuendelea kuboresha huduma zetu ili kuwapa uzoefu ulio bora zaidi #TupoTayari #UlipoTupo @dsetanzania @BankOfTanzania @tba_forbankers
9
22
137
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 years
Akiwa US 🇺🇸 Mhe. Rais @SuluhuSamia alikutana na @Mastercard na kuwashawishi kuongeza ushirikiano na taasisi za hapa nchini kuimarisha ushirika, kutoa elimu ya fedha na kuanzisha huduma bunifu kwa wakulima. Kipekee nimshukuru Mhe. Rais kwa kutupa fursa hii. Yajayo yanafurahisha!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
7
15
138
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
11 months
Our Bank @CRDBBankPlc has signed a game-changing Memorandum of Understanding (MoU) with #Afrieximbank , sealing a robust $115 million facility agreement at #IATF2023 .  Focused on key sectors like agriculture, oil & gas, and trade, this agreement underscores our dedication to
Tweet media one
Tweet media two
5
18
133
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 years
Asante Waziri Mkuu Mhe. @kassim_majaliwa na Waziri wa Viwanda na Biashara @innobash kwa kutembelea banda la @CRDBBankPlc katika Maonesho ya 44 ya Sabasaba. Niwakaribishe Watanzania wote kutembelea banda letu na kupata huduma zilizo bora katika msimu huu wa Sabasaba #TupoTayari
Tweet media one
5
11
132
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
7 months
Jana nilipata wasaa wa kujumuika katika hafla ya futari iliyoandaliwa na wenzetu wa superdoll katika hoteli ya Serena. Mwenyezi Mungu awabariki kwa sadaka hii waliyoitoa kusaidia waislam hasa wenye uhitaji katika kukamilisha ibada ya funga ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
7
132
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
10 months
Jana nilipata fursa ya kuhudhuria mahafali ya kidato cha nne katika Shule za Sekondari Musabe (Wasichana na Wavulana) iliyopo Buhongwa, mkoani Mwanza. Nilifurahi kuona namna ambavyo vijana wetu wanajituma katika ubunifu kupitia miradi (projects) ambayo wamekuwa wakifanya kama
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
18
129
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 month
Umekua wakati mzuri kukutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Prof. Elisante Ole Gabriel. Tumezungumza mengi kuhusu mashirikiano baina ya taasisi zetu katika kuhakikisha tunatekeleza vyema wajibu wetu wa kuwahudumia vyema Watanzania.
Tweet media one
Tweet media two
8
6
129
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 years
With profound humility, I am deeply honoured to be named "Retail Banker of the Year" by the organizers of the 8th Afrıca Bankıng 4.0 Summıt. I am dedicating this to our customers and the hardworking staff of @CRDBBankPlc 🇹🇿 and our subsidiary in Burundi 🇧🇮 @CRDBbankBurundi
24
18
121
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Nitoe shukrani za dhati kwa ndugu jamaa na marafiki waliojumuika nasi katika dua ya kuwaombea ndugu zetu waliotangulia mbele za haki ikiwamo almarhum baba yetu, Alhaj Mussa Nsekela iliyofanyika nyumbani Nyakatuntu, Kyerwa. Allah aendelee kuwarehemu 🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
8
124
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Nimeshiriki ufunguzi wa kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji wakuu wa Taasisi za Umma na Wakala wa Serikali leo Agosti 19 jijini Arusha ambapo Mgeni Rasmi ni Mhe. Rais @SuluhuSamia Umekua wakati mzuri kukutana, kujifunza na kubadilishana mawazo na viongozi mbalimbali.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
14
116
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Jana nilipata heshima ya kuhudhuria Bungeni wakati Waziri wa Fedha na Mipango, @mwigulunchemba1 akiwasilisha bajeti ya Serikali Mwaka wa Fedha 2023/24 iliyobeba dhima ya kuchochea kasi ya ukuaji uchumi, na kuimarisha sekta za uzalishaji ili kuboresha hali ya maisha.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
13
122
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Benki yetu @CRDBBankPlc imeandika historia ya kuwa benki ya kwanza Tanzania 🇹🇿 kupata idhini kutoka CMSA ya kuuza Hatifungani ya Kijani #KijaniBondi ☘️ ya miaka 5 yenye thamani ya USD 300 milioni (TSh Bilioni 780), ikiwa ni kubwa zaidi kuwahi kutolewa Kusini mwa Jangwa la Sahara.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
21
118
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Leo nimepata heshima ya kupata ugeni wa Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania, Bw. Damas Mfugale. Pamoja na mambo mengine tumejadili ushirikiano baina ya taasisi zetu ili kuendelea kukuza sekta ya utalii nchini na kuongeza mchango wake katika pato la Taifa.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
11
115
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Kinshasa, DRC – Tumesaini Mkataba wa Makubaliano (MOU) na washirika wetu kibiashara NorFund kutoka Norway na IFU kutoka Denmark kufungua kampuni tanzu katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) katika hafla iliyofanyika katika hoteli Fleuve De Congo. #CRDBBank
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
15
24
113
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 years
Nikipata huduma kwa CRDB Wakala @fedhainvestment . Huduma za @CRDBBankPlc sasa zinapatikana karibu yako. Wewe unafanyaga miamala yako kwa CRDB Wakala yupi? Miamala yote inatiki ✅ kwa #CRDBWakala
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
17
114
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
7 months
Nimefika kutoa pole kwa dada na rafiki yangu @bkinemo na familia kufuatia kifo cha Baba yake Timon Msangi ambae ni mmoja katika viongozi mahiri kuwahi kutokea hapa nchini akiongoza taasisi mbalimbali kwa mafanikio makubwa ikiwemo Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC). Binafsi
Tweet media one
Tweet media two
9
10
115
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Nimepata heshima ya kukutana na Katibu Mtendaji wa CCTFA, Wakili @FloryOKANDJU . Nimemshukuru kwa ushirikiano aliotupa kufanikisha upatikanaji wa leseni kwa @CRDBBankPlc nchini DRC na kumuahidi ushirikiano katika kukuza biashara baina ya nchi za ushoroba wa kati (Central Corridor)
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
14
113
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
Tukiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki yetu @crdbbankplc leo tumemtembelea Gavana wa Benki Kuu ya Burundi 🇧🇮, Jean CIZA. Tumemshukuru kwa ushirikiano wanaotupa, na kuahidi kuendelea kushirikiana na Serikali, pamoja na sekta binafsi nchini Burundi katika kukuza uchumi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
11
113
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Jana nilipata nafasi ya kufungua na kushiriki mkutano wa Jukwaa la Ushirika mkoa wa Dar es Salaam kujadili changamoto na mikakati ya kuimarisha ushirika. Ninavutiwa na mwako wa wadau, na utayari uliopo katika kuleta mapinduzi ya ushirika. Pamoja Tujenge Uchumi Imara na Endelevu!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
11
112
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 years
Tukiendelea kupasha kuelekea CRDB Bank Marathon. Mpaka sasa hivi sidhani kama nina mpinzani labda Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango na Alphonce Simbu 😀. Tukutane Jumapili hii tarehe 14.8.2022 viwanja vya 'The Greens' Oysterbay kuanzia saa 11 Alfajiri. #KasiIsambazayoTabasamu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
9
12
110
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 years
Tunaendelea kupasha misuli na kuimarisha afya zetu. Leo tuliungana na kaka yangu Harry Kitilya, Kamishna Mkuu Mstaafu wa TRA. Wewe unafanya mazoezi mara ngapi kwa wiki?!
Tweet media one
Tweet media two
5
8
112
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 months
Ulikua wakati mzuri siku ya jana kujiunga na maelfu ya washiriki wa ndani na nje ya nchi katika msimu wa tano wa CRDB Bank Marathon tukiongozwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Doto Mashaka Biteko @DBiteko . Tunawashukuru wote ambao mliungana nasi katika "Kasi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
13
115
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 years
Nimefika msibani na kusaini kitabu cha maombolezo cha msiba wa aliekua Meneja wetu wa Matawi ya Azikiwe na Mbezi, Domina Msoka. Familia ya @CRDBBankPlc tunaungana kuiombea faraja familia ya marehemu katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wetu. #RIPDomina
Tweet media one
Tweet media two
18
8
109
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 years
Kesho nitakua LIVE @CloudsMediaLive #Clouds360 kuanzia saa 2:30 asubuhi kuelekezea kwa kina kuhusu Mkutano Mkuu wa 25 wa Wanahisa wa @CRDBBankPlc ambao mwaka huu unafanyika kidijitali. #TukutaneJuni27 #SasaKidijitali
Tweet media one
3
8
108
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 years
Kinshasa, DRC📍 Leo tumefanya mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Rais wa DR Congo 🇨🇩, Prof. Serge Tshibangu. Prof. Tshibangu ameueleza ujumbe wetu uliongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Bodi, Prof. Neema Mori kuwa Serikali ya DRC inafurahia ujio wa @CRDBBankPlc nchini humo.
Tweet media one
7
11
109
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
4 years
Dodoma kumuaga mpendwa wetu. Tunamshukuru Mungu kwa ajili yake 🙏! Moja ya funzo kubwa alilotuachia Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ni kuwa "Wazalendo" na nchi yetu. Tutamkumbuka kwa upendo wake kwa mama Tanzania. Lala salama mpendwa wetu, daima tutaendelea kukuenzi. #RIPJPM
Tweet media one
11
7
107
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
5 years
Nani kama mama! Mama yangu ni nguzo muhimu sana katika maisha yangu. Upendo wake na kujitoa kwake kumenifanya nichukulie kwa umuhimu wa kipekee nafasi ya mwanamke katika jamii na uongozi. #AsanteMama 🙏 #Mwanakijiji #SikuYaWanawakeDuniani2020
Tweet media one
5
14
103
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Niipongeze Serikali kupitia @mfa_tanzania @DrTaxs kwa kuzindua Mfumo wa Kusajili Diaspora wa Tanzania 🇹🇿 kidijitali (DDH). Benki yetu @CRDBBankPlc inajivunia kuwa sehemu ya mafanikio ya uanzishwaji wa mfumo huu ambao tunaamini utasaidia kuboresha huduma kwa diaspora.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
18
105
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
1 year
Benki ya @CRDBBankPlc imezindua rasmi uuzaji wa Hatifungani ya Kijani #KijaniBond inayotoa fursa ya uwekezaji kwa riba ya 10.25%. Nimshukuru Mhe Prof @kitilam kwa kutuzindulia hatifungani hii ya kwanza kusini mwa Jangwa la Sahara, na niwakaribishe watu wote kuchangankia fursa hii
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
20
104
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
3 years
#KijijiniNyakatuntu nimepata nafasi ya kutembelea moja ya #CRDBWakala @CRDBBankPlc anayetoa huduma katika mtaa wa Bushongole, Nyakatuntu na kubadilishana mawazo namna ya kuboresha huduma. Huduma za uwakala zina mchango mkubwa sana katika kuongeza ujumuishi wa kifedha nchini.
Tweet media one
Tweet media two
8
9
104
@amnsekela
Abdulmajid Nsekela
2 years
Tukiwa Benki kiongozi @CRDBBankPlc tunajivunia kuandika historia mpya ya uwezeshaji wa vijana na wanawake kupitia programu ya #IMBEJU . Asante Mhe. Waziri Mkuu kwa kutufungulia rasmi dirisha la maombi. Nitoe rai kwa vijana kuchangamkia fursa hii inayoambatana na mitaji wezeshi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
11
101