jerko Richard mwaikonorich 🇹🇿
4 months
Moyo wa mtoaji wakweli daima huwa ni mkimya na wenye hekma kwa kila jambo ,, ukitoa toa kwa moyo wako wote piah usike kuliweka akilini mwako hilo 📌,, piah ukishapokeaa usisahau kamwe khusu hilo lipa fadhila na ufanye kma content hii inavokuambia ,, 📌📌