Kijash Jr.☆ Profile Banner
Kijash Jr.☆ Profile
Kijash Jr.☆

@BoyZang88

Followers
3,617
Following
1,654
Media
1,157
Statuses
82,975

Mom's LastSon💣Aries ♈️ #NothingSerious #HereForFunny

Bunda
Joined July 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
4 months
Heri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwangu...Naam nimeongeza mwaka mwingine tena 🥤 Nishaingia kwenye vitabu vya laana sasa 🤣
Tweet media one
62
77
195
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
4 months
My Twitter Interaction Circle ➡️
Tweet media one
26
38
106
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Skudu makudubela skudu mpigahela🤝
Tweet media one
Tweet media two
7
21
70
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Si nipate mtu tupige ata za hivi wajameni 😂
Tweet media one
Tweet media two
7
17
70
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
8 months
Caf awards 2023 thread📛🔥 Club of the year.. Men women
Tweet media one
Tweet media two
9
15
60
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Deep down mapenzi yanauma kinoma unaweza ukashindwa ata kuongea wazee ama kufanya chochote🙌🙌🙌 Ni vile haipo upande wako ikikufika utaelewa namanisha nn😢 Haya mambo mazuri akiwa anapitia mwingine🙌
17
22
55
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Nyie endeleeni kuwachezea watoto wa watu si mtakuwa na watoto sio muda wengine mnao aya sawa Msijekusema shetani sijui nani kumbe ni laan mmetengeneza wenyewe zinatafuna kizazi chako 🤝
2
15
51
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Ikawe siku nyingine ya baraka kwako ewe mpambanaji Kumekucha🤝🤗
6
21
49
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
19 days
0
1
49
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Vijana wa chuo saiz ni wapo busy kinoma unaweza kumsalimia kwa kumshika mkono ukajibiwa "Usinishike kicha changu"😂😂
6
14
42
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
2 months
Hii siku bila mtoto wa mtu itaisha vibaya sana ngoja nitafute option🙌
1
14
40
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
2 months
1
1
39
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
5 months
Ukiwa single kero ni nyingi ani unaumwa mgongo dakitari anakuuliza kama una mpenzi ili tu ukerekwe 😞
6
13
38
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
4 months
Mlisema hizi wanaangalia wadada si ndio Aya wakuu🤝
Tweet media one
Tweet media two
6
8
39
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Amka ufagie ata uwanja jobless udeki na vyoo uwaandae n madogo waende kusoma🤝 Kumekucha familia
12
15
38
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
3 months
Usiku mwema wakuu kesho nayo ni siku ...mkawe na time njema usiku huu🤝
4
12
38
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Tusichoke kuombeana na kuoneshana upendo hakuna anaenjua kesho yetu 🤝
5
19
38
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Sijawahi KUNYWA POMBE Sijawahi KUVUTA SIGARA Sijawahi KUNUNUA MWANAMKE Sijawahi KUPIGA NYETO Sijawahi KWENDA CLUB Sijawahi KULA MKE WA MTU/PISI YA MSELA Sijawahi KUBETI/KUCHEZA KAMALI Sijawahi KULA MARINDA Mimi ni nani🤣🙌
11
9
37
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Ukipata mtu sahihi mtunze sana hawa watu wanakuja mara moja hawajiludii 😢
4
14
35
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
4 months
Ukifanya biashara na mdada ni raha sana ata bargaining inakuwa kidogo tu ila masela sasa ukikaa vibaya tu unaweza kupata faida ya jero na umetumia an hr 🤣
6
14
38
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
14 days
4
0
38
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Kama Kuna mahala niliwasema wadada weusi wafupi bas mnisamehe sana Huyu anawawakilisha vyema sana mbinguni mnanafasi yenu tofauti 🤝 Namanisha "black byuti wenye vishape" nyie weusi tiiii hii haiwahusu 🤣
9
8
33
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
9 days
Ukishaona crop tops nyingi na vikuku plus Zara sandals kuwa tu makini mwanetu ukiweza vaa mfuko wa rambo hapo ni UTI street🤝
5
18
37
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Kuna ile mwana akiwa na shida anakucheki mnasolve ila yeye ukiwa na shida sababu zinakua nyingi Kiuharisi ukifanya kitu sio lazima upewe lakin ndo kila siku asee🤔 Kuishi na watu ni kazi kinoma
4
16
36
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
1 month
0
0
36
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
5 months
Tafuta lastborn mmoja nunulia ivory kiboksi kizima utanishukuru badae🤣
7
14
35
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
2 months
@_NiyiDaniels Let's be mutuals
0
0
36
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Kuna baraka katika utoaji kama unaweza kutoa hata jero fanya hivo Kuna namna tu hela yako itarudi tena na zaidi🤝
1
14
35
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
4 months
Sema kuwa na nguo chache jau sana niko hapa nawaza kesho nadrip vipi uko ibadani 😢
4
10
35
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
8 months
@JamalPacman @Remiazania1 •**•.. //✪✪\\ ❤️THANK YOU Friend! (/(_ᴥ_)\) Have an amazing day! _/''*''\_ @boy_zang61 (_)^(_) #galaxystarnetwork #F4F #IFB #GSN #FRIENDSHIP
0
0
33
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Kama umeamka salama usisahau umshukuru Mungu kwa siku nyingine tena Gm X family 🤝
11
17
34
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
2 months
@_NiyiDaniels Let's be mutuals
0
0
34
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
3 months
0
0
34
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
3 months
Kuna kale ka situation unaangalia picha yake unacheka pekeako ule ndo upendo wenyewe sasa
4
12
34
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
4 months
Gm X wakishua, wapambanaji na majobless Tuamke sasa 🤝
11
16
32
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
3 months
Tutafuteni pesa wakuu hizi mishe za kutembea na madem zenu road kama boda boda sio unyama kabisa🤣
4
13
34
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
2 months
3
0
29
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
2 months
1
0
31
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Kitu ingine ngumu ni kumtongoza mwanamke afu mtu mwingine anasikia/ yupo Oyah bora ukaa mwezi mzima usability siku upatane nae yupo pekeake hii kitu ni privacy sna😀
3
12
32
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
15 days
1
0
32
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
8 months
0
0
26
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Kila binadamu kaumbiwa wivu ,chuki , hasira ,upendo ,roho mbaya na roho nzuli ndani yake Tunatoautiana kwenye kuzishikilia na wakati wa kuzionesha 🤝
1
16
31
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
5 months
Kinachoendelea kuhusu huyu jamaa ni kweli???
Tweet media one
6
9
31
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Mtu ni anakaa Musoma afu Twitter ni from dasilamu ila watu😆
6
7
29
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
3 months
2
0
30
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
2 months
0
0
29
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
3 months
Wanangu kabla hakujaanza kufuka moshi huku ndani nawakumbusha tu mapenzi ni matamu sana msiwe single mnapunguza siku za kuishi 🤝
6
8
31
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
3 months
Nikiamka asubuhi ntachaji sim TANESCO be like 🤝👇
Tweet media one
5
13
31
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
7 months
@_blaise250 @cornel_evance Following back guys 👦
1
0
30
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
2 months
@Strictlyirene Let's be mutuals
1
0
30
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
2 months
0
0
30
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
2 months
@_NiyiDaniels Let's be mutuals
0
0
31
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
11 months
0
0
30
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
2 months
0
0
27
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Kuomba hela kwa wazazi sio dhambi wazee mkiwa wazazi pia mtajutia hizi nafasi..Mimi siachi ata kama nina zangu lazima niombe ata jero bwan😀 Sio lazima kuomba pia🤝
2
12
30
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
4 months
Nimekuja kugundua watu wakikujua in and out ni shida sana ..Ani humu ndani watu wanakujua kuliko unavojijua ww Ni kuishi kwa akili huku ndani asee unless utajuta kuingia uku🤣
6
17
30
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
3 months
0
0
28
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Wakuu punguzeni matusiiiiiiiiiiii🙌🙌
7
11
29
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
6 months
Hakuna namna unaweza kunishawishi et baba ni zaidi ya mama ani hapa hatutaeleweshana ni tutabishana hadi kesho usiku Hawa wanawake ni watu wa muhimu sana hapa duniani🤝 My mom My hero ❤️
8
15
30
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
22 days
0
0
29
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
4 months
Hivi uyo baby wako anajua kuwa hizo convo zenu unazifanya content huku🤔
6
10
28
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
24 days
1
1
28
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
3 months
Mtafute tu sasa utafanyaje labda kesho atakutafuta na yeye😀
2
5
29
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
2 months
Ukiona mtu anakuchukui Kuna mawili 1.Kuna level ya kimaisha umemzidi ,anatamani kufikia ulipo ila hawezi 2.Anakupenda "Chuki ni njia nyingine ya kuonesha upendo"🤝🤝 Ukichukiwa take it easy endelea na maisha yako safi kabisa🤝
1
20
28
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
3 months
Habarini za asubuhi mabibi na mabwana..Jumatatu hii ikawe ya kheri na baraka tele kwa kila mmoja wetu🤝
2
10
29
@BoyZang88
Kijash Jr.☆
7 months
@Neypaul01 🔥🔥🔥🔥
0
0
29