Deep down mapenzi yanauma kinoma unaweza ukashindwa ata kuongea wazee ama kufanya chochote🙌🙌🙌
Ni vile haipo upande wako ikikufika utaelewa namanisha nn😢
Haya mambo mazuri akiwa anapitia mwingine🙌
Nyie endeleeni kuwachezea watoto wa watu si mtakuwa na watoto sio muda wengine mnao aya sawa
Msijekusema shetani sijui nani kumbe ni laan mmetengeneza wenyewe zinatafuna kizazi chako 🤝
Ukifanya biashara na mdada ni raha sana ata bargaining inakuwa kidogo tu ila masela sasa ukikaa vibaya tu unaweza kupata faida ya jero na umetumia an hr 🤣
Kama Kuna mahala niliwasema wadada weusi wafupi bas mnisamehe sana
Huyu anawawakilisha vyema sana mbinguni mnanafasi yenu tofauti 🤝
Namanisha "black byuti wenye vishape" nyie weusi tiiii hii haiwahusu 🤣
Kuna ile mwana akiwa na shida anakucheki mnasolve ila yeye ukiwa na shida sababu zinakua nyingi
Kiuharisi ukifanya kitu sio lazima upewe lakin ndo kila siku asee🤔
Kuishi na watu ni kazi kinoma
Kitu ingine ngumu ni kumtongoza mwanamke afu mtu mwingine anasikia/ yupo
Oyah bora ukaa mwezi mzima usability siku upatane nae yupo pekeake hii kitu ni privacy sna😀
Kuomba hela kwa wazazi sio dhambi wazee mkiwa wazazi pia mtajutia hizi nafasi..Mimi siachi ata kama nina zangu lazima niombe ata jero bwan😀
Sio lazima kuomba pia🤝
Nimekuja kugundua watu wakikujua in and out ni shida sana ..Ani humu ndani watu wanakujua kuliko unavojijua ww
Ni kuishi kwa akili huku ndani asee unless utajuta kuingia uku🤣
Hakuna namna unaweza kunishawishi et baba ni zaidi ya mama ani hapa hatutaeleweshana ni tutabishana hadi kesho usiku
Hawa wanawake ni watu wa muhimu sana hapa duniani🤝
My mom My hero ❤️
Ukiona mtu anakuchukui Kuna mawili
1.Kuna level ya kimaisha umemzidi ,anatamani kufikia ulipo ila hawezi
2.Anakupenda "Chuki ni njia nyingine ya kuonesha upendo"🤝🤝
Ukichukiwa take it easy endelea na maisha yako safi kabisa🤝