Nilivyoendaga JKT siku ya pili nili doji mpango kazi wa jioni alaf nilikua mgeni kikosini nikalala zangu angani kizazi tu na mwana mmoja
Kuna service man wakapita wakatunyaka tukala doso moja sio poa
Dah nikaona hali ishakua Tete nikawa nawaza nisepe tu , yule mwana ndio
Jamaa kaniambia nimtengenezee logo alaf jina la biashara hana 😂😂
Ananipa maelekezo kuhusu biashara yake mwishoni kamaliza wewe si mtaalamu unajua cha kufanya
@FKihamu
Sijawahi kukataa kipaji cha Sancho na Mimi sijawahi kuwa kwenye mjadala wa kipaji chake bali mjadala wa kusema only ETH kamfelisha Sancho wakati ETH kamkuta hapo,hoja yangu ilikuwa Sancho hajawahi kuperform United under 3 coaches ( Ole,Ralf na ETH ) so wote hao wanastahili lawama
Wajuaji
AI itachukua kazi za programmers
AI itachukua kazi za architecture
Ai itachukua kazi za producer
AI itachukua kazi za photographer
Ai itachukua kazi za walimu
Alafu hajui hata kirefu cha AI 😂😂
Blood don't build family man... but loyalty does
Ndio tuna marafiki ,washkaji ,WANETU ambao ni kama ndugu au zaidi ya ndugu
Wanatupa back up /100% kuliko baadhi ya ndugu zetu
S/0 to you NIGGAZ
Thapelo Maseko na Bongani Zungu wameni follow 🫵
Nimeplay gibella na Anza kula training za amapiano then kuzulu kwa mbali
Tarehe 30 ndani ya Uzi wa UBUNTU BORTHO
alikuwa ananisihi nikaze tu kule sio nyumbani after siku kadhaa nika cope kimtindo nikapata na ulinzi wa anga wa kudumu , yeye mwana akawa anasota tu na mipango kazi
Siku moja nikashangaa anatafutwa haonekani kumbe mwana kasepa tayari
Jamaa alinishangaza sana mpaka leo
Namuelewa sana
@George_Ambangil
anavyokwepa mambo ya kariakoo
Wabongo wana necessary hate , hata kama utaongea ukweli
Ila I appreciate Mzee Jemedari na team yake Ile kwa kuwa wapo imara muda wote ,watasema hata Yale watu wasiopenda kuyaskia
Kuna mwanangu Jana kanipigia (nakaa nae kitaa) kaniambia Kuna kazi IPO hapa njoo tuongee kama vipi uishi nayo
Nikasogea akanipa maelekezo nikamwambia hio imeisha kesho sogea mtaani tu hapa uniletee nimalize
Asubuhi simu imeita mwana kafika na mwenye kazi kaja
Kuna watu wamefanya sana interview mpaka kufanyiwa interview na kusafiri kwenda Dodoma imekuwa kazi yao🥹
Mungu awapiganie mwakani January wakajibiwe haja za mioyo yao🙏
Nilikua na Convo na mwanangu mmoja hvii anauza viatu kkoo Leo akawa anani brief kuhusu business yake inavyoenda anapataje hela na estimated income anayopata kila mwezi (alidrop college)
sponsored ads za ig kwa miezi kama 7 kashatumia $2500+ na bado ana profit
Kipindi wenzenu wanaenda kusoma telecommunications engineering nyie mkaamua kusoma political science , sociology, education
Ila sasa mpo busy kuuliza nini kinasabisha internet kuwa down sio 😂😂
Katika Dunia ambayo watu wamechagua kuwa watu wa picha na sio kuwa watu halisia
We chagua kuwa mtu mwema
Katika Dunia ambayo watu wamechagua sababu ya watu kulia we chagua kuwa miongoni mwa watu ambao utasababisha furaha kwa watu
@_Mosflow
Kwani Pep SI ndio alimuuza etoo au ?
Sio lazima atumie wa Africa lakini watu wa Spain huwaga wabaguzi sana
Hawa ndio wanamzomea vini kila siku
Usikate tamaa maana siku unayotaka kukata tamaa huenda M/Mungu ndio alipanga akufungulie mambo yako yanyooke
Keep pushing wanangu, push harder usi give up as long bado ni mzima we kaza mwanangu
Kuna wadada ma secretary wana roho safi kichizii
Inshaallah mambo yakienda sawa ntamwita Binti yangu wa kike jina la yule sis
Allah akuongezee ulipopungukiwa
@kalegamyeh
Watu wa afya mmekuwa mikifanya kazi nzuri sana kwa ujumla japo katika kada yenu pia ni kama shuka jeupe lenye madoa meusi
But keep doing good job
@chapo255
Yah nakumbuka nishagombana na konda asubuhi wakati napanda alaf wakati nashuka nikampa buku 10 akaanza kusema dogo unapandaje gari na 10 nikamwashia moto kinoma akanipa chenji yangu kihuni nikasepa jamaa kani mark mpaka sasa hvii nikikutana nae tunachekaga tano nyingi 😂
I started young, I made my mother's womb a drum
My umblirical chord a guitar, muhoji aliyenizaa
Bongo Flava mzuri kiasi, hiphop we ndo my Queen
My first my last & everything in between
Mzee
@FidQ
ngosha ulinyonga sana humu
Kuna wanao ambao ukiwa una kipengele wanasolve chap for love na wewe hivyohivyo
Siku wakioa utakuja kumcheck a solve hata 10k atakwambia ngoja akaongee na mke wake
Na huo utakuwa mwisho wa uwana wenu
Dogo mmoja kapita mtaani akasema
"Mwanenu kapata ajali juu pale kavunjika kichwa upande wa nyuma yaani yupo nyang'anyang'a ndio wanamuhaisha hospital sasa hvii lakini sjui kama atapona"
Baada muda kidogo taarifa zinatoka mwamba amepumzika tayari
Ila hizi boda wazee basi tu