greencity136 Profile Banner
Stopper•• Profile
Stopper••

@greencity136

Followers
11K
Following
10K
Media
248
Statuses
21K

https://t.co/O9uTnKnV0m ••Soldier•• https://t.co/r7E1lxmnh0

South Carolina, USA
Joined March 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
@greencity136
Stopper••
4 months
Repost kaz nzur hiiwanaifikisha mpaka ulipo.
@nyambizider
misszider
4 months
G.Morning hope mko poa. Mungu awabariki wiki yenu iwe nzuri na yenye baraka nyingi🙏. Royalty modern furniture hawajawahi kukosea hata uwe na chumba kimoja tunapendesha na kukupa kitu unataka🤗
Tweet media one
4
8
10
@greencity136
Stopper••
2 years
Kumekucha wapwa shusha handle yako nikufollow chap 🔥.
85
41
194
@greencity136
Stopper••
2 years
Naomba handle zenu niwafollow chap chap 🔥.
60
18
130
@greencity136
Stopper••
2 years
Naomba handle zenu wadau niwafollow.
59
28
130
@greencity136
Stopper••
1 year
Shindana shindana kunywa mipombe mikali na watoto wa kishua, hao matibabu ya figo kufeli wanayamudu, sasa wewe utatuuzia mashamba ya urithi.Take care nyumban man, majina ya ukoo yenyewe wanatugomea kurithi $RATIO.
56
69
95
@greencity136
Stopper••
2 years
Kumekucha drop handle zenu tufanye uvuvi wapwa 🔥🔥💪.
84
18
119
@greencity136
Stopper••
2 years
Kumekucha weka handle mpwa tuinuane bado mapemaaaa 💪.
34
9
85
@greencity136
Stopper••
2 years
Umeashwa na morning kiss au kikubwa pumzi 😊.
14
10
79
@greencity136
Stopper••
2 years
Naomba handle zenu niwafollow chap 🔥.
43
13
79
@greencity136
Stopper••
1 year
Daaaah, tuacheni utan, wanaume tunapungua sana, papai zinaiva mno, oyaaa kama una dogo la kiume jaribu kumfanya a feel sense ya kua mwanaume, hawa wanakata mauno nikajua ni wadada kumbe daaah, maombi na ssla kuokoa hiki kizaz, .Morning familia.
14
35
69
@greencity136
Stopper••
1 year
Kila ukiangalia hujion ukijipata, sio mchongo au connection ya mchongo, zaid usnitch tuu, halaf kitaa simu zinaanzia kuita kwako, ukiulizwa unachochote kitu, sala na harkat za michongo, Mungu atabless tuuu.
10
34
66
@greencity136
Stopper••
2 years
Jioni hii followers ni wengi mpwa leteni handle tuzifollow chap.
19
13
63
@greencity136
Stopper••
1 year
Katika nyakati za kipuuz, ngumu au zenye furaha sana, ambazo huwez kuzihimili, kabla hujalewa na baada ya kulewa, Mshirikishe Mungu, furaha zetu zina msimu mchache kuliko hata mche wa mchicha. Ila taabu hutuimarisha zaid kiiman.
11
39
64
@greencity136
Stopper••
1 year
Hakuna mtu anapenda kushinda njaa, hao mnaokutana nao kwenye ma PS, ni watoto wa kishua, wapambanaji hawapo huko.
7
42
64
@greencity136
Stopper••
2 years
Kumekucha shusheni handle tutoane akili follow for follow back 🔥🔥🔥.
26
7
63
@greencity136
Stopper••
1 year
0
0
56
@greencity136
Stopper••
1 year
Katika kila kampan za wanao, malengo ni tofaut, usipoteze lengo kisa kuiridhisha kampan yako. Ulipotoka si unapajua, focus mtu wangu.Goodmorning familia.
16
35
60
@greencity136
Stopper••
1 year
Jana hata ambao hua hawatamb pande zangu wametamba sana.
8
41
61
@greencity136
Stopper••
1 year
Kwenye elimu uteseke, umalize huelewek wana wanapita na wewe, kaz ya kusaidia fund sio mchezo, somen wanangu mateso tuachien sis tuliokimbia kwa maksud.Goood morning familia.
16
42
56
@greencity136
Stopper••
1 year
Huna kitu mfukon, kihome umepokea simu dogo hajaenda ki skuli kisa mambo mambo flan hayajakaa sawa, wewe asubuh umeamka unaibishana na watu kuhusu mpira kwenye maeneo yao ya kaz, unawapa kamapan yaan.
9
41
55
@greencity136
Stopper••
1 year
Matatizo mengi ya kiafya yanatokana na mtindo wa ulaji wetu wa vyakula, na matumiz ya vinywaji vikal, wanangu cost za za repair afya ni hatar, Kula msosi wa dona hapa mjini sio ujanja kama hiyo nafaka hujalima wewe, we yakoboe tu, vyumu ni vingi sana.
13
34
52
@greencity136
Stopper••
1 year
0
0
51
@greencity136
Stopper••
2 years
Good morning ila mapenzi yatawauwa 😀🙏.
5
3
51
@greencity136
Stopper••
2 years
Wanaume wote tumekubaliana kuwa upande wa hakimi 😂✊.
12
4
49
@greencity136
Stopper••
2 years
Hakikisha kila siku unaongeza followers 🔥🙏.
29
11
50
@greencity136
Stopper••
1 year
Tunakosea wote katika nyakati tofaut, ila tunatofautiana namna ya kutambua umuhinu wa msamaha, kuna mda kwakua ni fukara, unalazimika kuomba msahama ulipokosewa. Tupambane aisee, pesa hainunui furaha kwao, kwetu inanunua mpaka utu wa mtu.
8
32
50
@greencity136
Stopper••
1 year
Hiz 3yrs of experience, hasa kwenye private sector, nikama wako sahih, una uhakika wewe fresh from chuo, ukipewa kitengo kwa vile vitu ulikua unafundishwa class unaweza kugenerate profit ya taasis?.Ukipata nafas ya kujitolea, fanya hivyo aisee.Morning.
7
38
49
@greencity136
Stopper••
11 months
1
0
49
@greencity136
Stopper••
2 years
Hakimi matter leteni handle wapwa niwafollow chap chap 😂💯.
33
8
47
@greencity136
Stopper••
1 year
Kama ukiona hakuna ujuz unaweza kuutumia kukupata kipato, usiwe muoga na mwenye aibu kujifunza, jichanganye man, kuna watu mtaan wana kila hitaji lako na hajawagusa elimu. Chuo si ulikua unasoma kuepuka sapu.
8
26
46
@greencity136
Stopper••
1 year
Kati ya hawa viumbe wawili, mvuta bangi na mvuta sigara , nadhan kuna namna kwenye sigara kuna nicotine nying zaid kuliko bangi, mtu wa bang anaweza vuta akafanya kaz ngumu, ila huyo mvuta sigar anakohoa damu tuu pumz empty, chagua chakufnya vyote ni hatar.
6
32
42
@greencity136
Stopper••
1 year
Big time. kwenye mafanikio yetu kuna wale wanetu wa damu kabisa. Wale waliotupa nauli tukafosi mishe mtaani, tuliporudi na chochote, hawakutaka chochote kama malipo na wala hawakujenga usnitch kabisaa.Morning hustlers.
9
34
49
@greencity136
Stopper••
1 year
Wewe mwanetu kata tamaa, halaf sisi tutakusapot kwenye maamuz yako ya kijinga, ila oa mwanamke mzur il tujue tunakusaidiaje. Morning.
10
29
45
@greencity136
Stopper••
1 year
Hakuna sehem utakuta wamedirect mafanikio yako, mwanang force tu, lazimisha lazimisha tena kamanda, ila angalia usalama wa afya yako usije ua nguvu kwa kuforce pesa, tutakuzika na kuzila ukiwa hujazitumia.Morning familia.
15
36
46
@greencity136
Stopper••
1 year
Hiv kuna utaratibu mgumu sana wa ku adopt mtoto kutoka vituo vya kuleles watoto yatima,.
4
25
46
@greencity136
Stopper••
1 year
Ni neema na ni kher kwakua siku yako hawez kua sawa na jana, baraka itakufuata utakapo na uingua malangoni, kila la kher katika utafutaji na M/Mungu akaifanye siku iliyo bora.Morning farm toka $RATIO.
6
37
48
@greencity136
Stopper••
1 year
Mm sina vitu vya thaman kabisa gheto, mwanamke mwenye kichaa akifauka akakunja hata kijiko, kwakweli nahofia sana maamuz yangu, sasa wale wanaovunjiwa TV, sijui ma vitu gan, kuna watu wana moyo wa plastic.
3
30
40
@greencity136
Stopper••
1 year
Wale ma bi mkubwa wanapush biashara zao kwenye frame za washua wenu, mkishindwa kuwaheshimu waelekezen kwa upendo utaratibu wa namna anaweza fanya asikukere, sijui mnanielewa lakin, shida mmekalilishwa sadaka lazima utolee kanisan.
3
28
43
@greencity136
Stopper••
1 year
Ni either umekata tamaa au wana wanakuzingua, oyaaa familia, maskan si unapaona palivyo, usipoamka wewe, unataka bi mdash aaamke sahiv akakusakie msosi, Bado una nguvu, lazima home waseme asnte tumepata. Morning familia, pita pinned post yangu pale.
5
32
41
@greencity136
Stopper••
1 year
@Neypaul01 👣.
0
0
43
@greencity136
Stopper••
1 year
Mungu akafanye siku yako tofaut na matarajio yao, nawe ukawe nuru zaid.Muwe na siku njema.
8
27
39
@greencity136
Stopper••
1 year
Kama nyumban bado hawasema asante na wewe ukairidhia, twende usichague nn cha kufanya, kata mshipaa wa aibu twende tukachafuke.
5
30
38
@greencity136
Stopper••
1 year
Hakuna nyakat ngumu kwa vijana ambao hatuna mikataba na maboss, sometimes unaamka asubuh na hujui utapata pesa kwa mchongo gan, mda ambao unatakiwa uwe msaada kihome, we bado uko empty, Weekend nyingine tena ya kutesaka na betting,.
5
24
37
@greencity136
Stopper••
1 year
Kwan hiz kienyeji wanang hua mnazitolea wapi, maana kitaa had standard 7 ni man made tena from china. Mkawe na siku ya uhakika.Morning wanang sana.
17
33
40
@greencity136
Stopper••
1 year
Kinachofanya mtu anakua na roho ya kikatili ni kumzoesha mazingira hayo, uvumilivu wa huruma umekatishwa na harakati zenu. Kuna watu wanakatishwa tamaa na namna mnavyowadharau, mwisho anaamin ubaya hulipwa kwa kwa ubaya.
6
26
40
@greencity136
Stopper••
2 years
Huyo my wako amekutafuta leo? 🙂.
8
3
40
@greencity136
Stopper••
2 years
Drop handle yako mpwa tuinuane usiku huu 🔥🔥🙏.
21
7
39
@greencity136
Stopper••
1 year
Me nitasimama hapo, kuliko nioe single maza, bora nivae bomu la bangi nipite nalo central police pale.
7
29
40
@greencity136
Stopper••
1 year
Kuna mda harakat hazijilipui kabisaa, si betting si michongo mengine, halaf shida ni kama zinaambizana, .Mapambano mema makamanda,.
8
20
38