@mangekimambi
Wakati tunamsubiri Bi Dada alete Taarifa Kamili, sisi wenye akaunti ndogo tuendelee kuinuana, chapa hendo hapo chini tufoliane, chap chap tuko nje ya muda.
@mangekimambi
Niko tu Hapa Kuwakumbusha kuwa Dada Kakataa Msiweke Matangazo, anatembeza Matofali, ila wale wanangu tuendelee kuinuana tu, mnajua cha kufanya.🤝
Namna Ya Kufanya Interview Na Kampuni Za Nje Ya Nchi Kama Marekani na Nchi za Ulaya:
Jana tarehe 17/06/2024 Kwenye Space ya "Melch Leonard" iliyokua inahusiana na Maokoto Online kuna Jamaa anaitwa Jackson Ilangali alizungumzia....
Repost Kabisa afu Shuka na Mimi..🧵👇
Kama Bado Uko Chuo na Unasoma;
- Information Technology.
- Information Systems.
- Computer Science.
Au Course yoyote inayofanana na hizo,
Usimalize Chuo bila Kusoma Uzi huu....🧵🪡
Repost Kabisa Iwafikie Wengi.
Ulisha-Repost? Safi, Haya njoo huku tupige Stori Sasa👇🏾
@HKigwangalla
@SimbaSCTanzania
Wakati Kigwangalla anaendelea Kupiga Spana, wewe mwenye akaunti ndogo hamna anaekujali, Mimi ndio nnajali, sasa weka hendo yako hapa tuinuane wenyewe.
Najua Kila unaposafiri kwa Ndege huwa unakerwa sana
kuvulishwa viatu wakati wa ukaguzi. Nataka nikwambie
hilo wala sio tatizo lako, badala yake mlaumu huyu
jamaa anaitwa.......(REPOST afu Shuka Nayo)...🧵👇
@Thereal_taivina
Kama tuliweza kuwachangia Kina Halima, Heche, Mbowe na wenzao 40M kila mmoja ili watoke ndani, 35M kitu gani?
Isitumike kufuta uovu uliotendeka, hawa watu wanajulikana, wakamatwe washtakiwe na wafungwe.
@millardayo
Upuuzi mtupu, tuna masheria ya kipumbavu mno, miaka 22 ni mingi sana kwa kosa la kijinga namna hii, faini tu ya laki5 mpaka 1M ilikua inatosha kabisa.
Kama ilivyo kwenye Simu yako Kuna PhoneBook kwa ajili ya Kuhifadhi Namba za Simu na Majina yake (Contacts).
Basi Vilevile Kwenye Mtandaoni Kuna Kitu Sawa na hicho (Not exactly), ambacho kinatumika kuhifadhi Majina ya tovuti (FQDN) na anuani zake..
Fuatana na Mimi......🧵🪡
@mangekimambi
Wakati watafunaji wa Keki ya Taifa wakiendelea kuanikwa, sisi akaunti ndogo tuendelee kuinuana wenyewe. Chapa hendo apo chini, tufoliane. Muda ni sasa.
@millardayo
Kifo ni fumbo aisee😮💨. Mungu awarehemu waliopoteza maisha na awasaidie majeruhi wapone haraka. Pole kwa familia zilizoathirika na tukio hili kwa namna moja au nyingine.
A year from now, you should be able to look back and say to yourself;
"Yes! I worked very hard by doing every possible thing I could have done and I am where I deserve to be."