Taivina James Profile Banner
Taivina James Profile
Taivina James

@Thereal_taivina

Followers
21,551
Following
1,300
Media
14,011
Statuses
122,106

1TB Brain Hard Disk 🧠

Where The Money Resides 📍
Joined December 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Thereal_taivina
Taivina James
29 minutes
CHAKA LA HELABET 🔥🔥🔥 Kama hauna account ya helabet Jisajiri hapa👇👇 Helabet: Promo Code andika:  VINA88 Application: Uki deposit tu Bonus 200% Kuhusu Code za mikeka usiwaze Join Haya machimbo👇👇 Nenda Whatsapp andika ADD
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@Thereal_taivina
Taivina James
1 month
BETTING CHEAT CODE THREAD Kuelekea msimu ujao natamani sana wawekezaji wafaidike kupitia Betting leo ntawaambia baadhi ya Cheat code ambazo wengi wanatumia kwenye Betting kupata madusco. Ukweli ni kwamba watu wengi wamefirisika kisa Betting na wengine wametajirika kupitia
Tweet media one
47
256
359
4
37
40
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Kwa kipindi kifupi nimeshinda na hawa watu kwa ukaribu sana kitu nilikuja kugundua hawa watu kwa Ground wanafanya mambo makubwa sana kuliko hata yanayoonekana huku. Hata siku ambayo tupo Muhimbili tukisuburi Ambulance ya Sativa ifike nilishangaa sana Martin kuwa busy na Simu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
283
850
4K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Nilitaka niandike baada ya kuona upande wetu ambao ni wa familia ni nini kitafanyika baada ya Statement ya jana lakini bado kimya. Acha niongee kwa upande wangu mwenyewe iko hivi Sativa alipotea kwa siku zaidi ya 3 mimi ndo mtu wa kwanza kugundua kuwa Sativa amepotea na ndio mtu
Tweet media one
610
1K
3K
@Thereal_taivina
Taivina James
3 months
Siku ambazo sio za Game Huyu Dogo kila nikienda Beach lazima nimuone Jioni anapita kupasha anapambania sana namba Mungu amtangulie
Tweet media one
17
84
2K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Survival is a game of chance.
Tweet media one
150
405
2K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Nikifika Hospital leo hii ndio story ya kwanza kumpa Mwanangu. 😂🤲
Tweet media one
65
205
2K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Leo asubuhi nilienda Hospital kama kawaida yangu kwasababu Sativa toka ameenda kufanya upasuaji juzi hakuna aliyekuwa akiruhusiwa kumuona Hivo leo nilienda kumuona hali yale iko vp anaendelea vizuri tu japo anapata shida ya kuongea kwasababu upasuaji ulifanyika kwenye taya.
Tweet media one
273
430
2K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Kwenye maombi yetu leo tusisahau kumuombea Sativa. Muda wowote kwanzia sasa anaweza akaingia chumba cha upasuaji kwa ajili ya kuanza marekebisho ya sehemu ya Taya yake ambapo risasi ilitokea kutoka nyuma chini ya skio na kumletea shida ya kula na kuongea. Zoezi hili limechelewa
Tweet media one
346
503
2K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Wakati nipo kwenye Bolt naenda kumuona mwanetu nikapoteza Wallet ikapelekea nichelewe kufika hospital nimefika bado dakika 10 muda kuisha. Nilivoingia Mwanetu akagoma akidai hatuwezi kuongea kwa dk chache vile kwahiyo ameomba kesho kwanzia asubuhi nikapoe pale mpaka jioni flani
Tweet media one
169
257
2K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Post ya mwisho ilikuwa ni kuhusu mimi, familia na Sativa. Turudi kwa wawili sasa ambao ni mimi na Sativa. Sativa alipopotea kabla hata ndugu kujua kuwa kapotea mimi ndo nilikuwa wa kwanza kujua na hata yeye mwenyewe alikili mbele ya Brother Patrick kuwa hata yeye alivotekwa
Tweet media one
119
398
2K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
And I take great pleasure in introducing Edger Edson Mwakabela vingine atakuja kusema mwenyewe ila yupo home now.🙏🙏
Tweet media one
131
258
2K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Hii Miujiza yote imetokea ndani ya Wiki moja tu. Kwa macho yangu nilikuwa nikishuhudia watu wanatuma mpaka 100 Tshs wengine 1M sio kuwa wana hela au shobo hapana ni Love tu. Sasa REPOST huu muujiza mpaka waliosema X ifungiwe waone aibu. MUNGU MKUBWA
Tweet media one
Tweet media two
43
773
2K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Combo imeshakamilika Mrusi na Kanjibai wajiandae. Jana nilitaka nifanye Give Away ya Mitaji ila wengi walidai ni bora nilete Code tu. Mwanangu kasharudi here We Go Rollover, Pre Games, Live Games✅✅ Turn on Notifications @Sativa255 X @Thereal_taivina
Tweet media one
80
184
2K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Kwa Siku nne nimekuwa nikiomba maombi ya aina moja kila asubuhi nikiamka na kumuomba mwenyezi Mungu amrejeshe ndugu yetu akiwa salama na Mungu kafanya. Leo imekuwa tofauti kidogo baada ya Mungu kujibu maombi yangu kwa Leo nimeomba yoyote aliyeshiriki kwa njia yoyote ya kupost,
Tweet media one
344
536
2K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Msiwe watu wa kupuuzia hisia zenu sometimes zina maana kubwa. Baada ya kuona video ya Sativa akihojiwa na kudai alikuwa Oysterbay nikakumbuka Jumatatu nilipelekwa na gari ya @millardayo Oysterbay nikakutana na Brother Patrick baada ya kupata majibu yasiyo na matumaini
Tweet media one
Tweet media two
189
505
2K
@Thereal_taivina
Taivina James
4 months
Wazungu wanavojali Afya ya Akili😂😂
Tweet media one
27
65
2K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Siku Tatu Bila kula, Risasi ya Kichwa, hawezi kutembea ametupwa katikati ya Pori lenye wanyama wakali. Look at him now Ukimpa hii story mtu atakwambia ni Uongo au ni movie. Ila akikuuliza imewezekanaje mwambie huyu ndo Mungu akitaka inakuwa Can't Wait to See You Bloodline🫶
126
471
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
7 months
Imagine huyu Babu ana akili kuliko Byemo na Noah🚮🚮
Tweet media one
44
119
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Kabla haijawa mbaya naomba niongee pengine ntapata Msaada wa haraka jana jioni nilimtafuta Sativa sikumpata Sativa ana Simu 3 kati ya hizo moja tu ndo ambayo ilikuwa hewani Within Hours zote zikawa hazipatikani mi nilikuwa na route ya Dom nilivofika Moro ikabidi ni cancel
Tweet media one
152
917
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
1 month
Kabla hatujaendelea na mengine kwanza naomba Repost 200 hapa👇👇
Tweet media one
26
853
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Kama nilivowaomba kuwa kwenye maombi yenu msiache kumuombea Sativa anaenda kwenye Upasuaji ndio hivo hivo nakuja kuwashukuru kwa maombi yenu ambayo Mungu ameyajibu kwa 100%. After Two days finally amerudi wodini kutokana na kuwa Surgery ilifanyika eneo la taya kwa takribani masaa
Tweet media one
185
245
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Sisi ni Familia sisi ni ndugu hii haitakiwi iwe kwa Sativa tu tutafanya kwa kila mtu. Hii ni kubwa sana sio kitu kidogo kabisa watu walikuwa wanatuma mpaka Tsh 100 Finally We Made It. Retweet bila sababu kusherehekea umoja wetu.🙏🙏
Tweet media one
59
560
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Tukiwa katika kujitafutia Mkate wetu wa kila siku Mwenyezi Mungu ukatuepushe na mabaya tusiyoyatarajia. 🙏
Tweet media one
58
199
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
27 days
Msaada unaweza kuwa kwenye timeline yako naomba u repost tumpate kwanza. 🙏🙏
Tweet media one
14
981
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Hayo maombi ya Mama Sativa jumlisha maombi ya Mama Matarra usiku wa Leo. Shetani atafute pa kutokea na nyie Familia ya X kama hamna andaeni sehemu ya kutunzia hiyo mibaraka itakayomiminika. Kwanzia kesho ni Madusco tu
Tweet media one
62
240
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 years
Nyie huyu muhuni hana acc Twitter!??😂😂
Tweet media one
Tweet media two
118
38
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
25 days
Bango linaeleweka Repost ifike mbali wanangu bora zikaibiwe ila tutimize wajibu wetu wasije sema wameshinda kwa kura 3 kumbe ndo sisi wenyewe.👊
Tweet media one
10
506
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 years
King Sele😂😂😂
Tweet media one
96
85
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Toka Asubuhi nimeshinda Hospital ndo nafika home now Simu ni nyingi Dm ni nyingi Texts ni nyingi notifications ni nyingi pia kama reason ni hii story niliyoiskia basi ni ya kusikitisha sana na ni lazima kuwekana sawa ngoja nipitie Notifications zenu wakubwa.🙏
30
119
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
6 months
Retweet bila sababu
Tweet media one
12
448
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
6 months
Mzee hana huruma😂😂
Tweet media one
19
69
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
29 days
"Niache kula matunda porini nije kuchezea umeme wenu mnaumwa nyie"
Tweet media one
76
102
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 years
Watu wamemaind kweli😳😳😳 Before After
Tweet media one
Tweet media two
70
43
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
10 days
Hii nchi utatekwa hutafutwi, utateka watu hutafutwi, Utabaka wanawake hutafutwi, Utalawiti wanawake hutafutwi, Utaiba hela za serikali hutafutwi. JICHANGANYE UCHOME PICHA YA PREZ D Unapigwa mvua kesi inaendeshwa Mbio kama Pikipiki za Mkaa
Tweet media one
71
265
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
7 months
Kama nishawahi kusema huyu ni Best Comedian kwa TZ naombeni mnisamehe Binadamu hatujakamilika.🙏🏽🙏🏽
Tweet media one
101
96
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
1 year
Nilipewa hela ya Suti kwenye gradu nikavaa asante Karume nyingine yote nikampa nauli mwanang afuate mchongo Dom akapata akabadilisha namba ya simu mchongo ukaisha akapewa NSSF akanunua IST mi sjui amepata ajali juzi kati gari ipo polisi leo ananipigia phone yupo Mbupu nimsave 50k
198
84
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
11 months
Natoka nje nakuta kuna mwana anaokota makopo ya Energy namwambia mbona night mwanang akasema nataka nifikishe kilo 10 nikauze nipate ya kula man nikamuuliza kilo 10 sh ngapi akasema buku tatu Nikamwambia shika buku nne hii kale utaendelea kesho.Zile UBARIKIWE ni nyingi sana🙌🏽🙌🏽🙌🏽
61
111
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Well mi sitaongelea tena hii issue though mi napitia mambo mengi sana since hili tatizo limetokea. Nimekuwa nikipigiwa simu mara kwa mara Mama angu anazima sometimes anafahamu ukaribu wa mimi na Sativa ulikuwaje so binafsi haamini kama mimi nipo salama yupo na mawazo nafanya
Tweet media one
139
182
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
22 days
Popote utakapoona hii post nakuomba usipite bila Ku retweet🙏🙏
Tweet media one
Tweet media two
4
881
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Account ya Sativa niko nayo mimi now natoa matofali kwa wana wote aliopishana nao kabla ila Wapush # atakuja kuwatoa mwenyewe.🤝
Tweet media one
44
101
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Watu wa ACT wananishambulia mkiwaona huko nyie fanyeni lolote tu wakuu mimi nimetoka kwenye Matatizo siwezi kugombana na mtu. Kosa langu kubwa wanadai ni kuwashukuru nyie bila kumtaja kiongozi wao na Ile ni tweet ya shukrani sio ya vyama vya siasa mi sioni kosa langu.
Tweet media one
106
132
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
X imejaa watu wenye akili inahitaji akili kuwapanga otherwise utaumbuka na ukilipa watu kupush ujinga hata kama ni wa uongo watapiga hela zako pia na watafanya kazi unayoitaka. But mwisho wa siku BLACK IS BLACK.
42
166
985
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
POKEENI SHUKRANI ZANGU NA MENGINE. Zikiwa zimekamilika siku 14 za misukosuko ya hapa na pale ntakuwa sina busara kama sitaweza kushukuru upendo ambao mmeuonyesha kwa ndugu yangu na mimi pia. Sativa alipotea tar. 23 nilijitahidi kumtafuta mwenyewe nikaona bila msaada wenu
Tweet media one
Tweet media two
108
230
985
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Hata mimi kipindi cha matatizo mke wangu alinikimbia Matarra mmemuandalia vipozeo ila mimi mnaishia kunipa pole.
Tweet media one
67
90
967
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Leo narudi kubeti rasmi nataka niwa bless wana mitaji ya kuanza nayo japo ni kidogo ila sijui ntatumia njia gani ili nisionekane nimependelea au kubagua. Tunafanyaje wanangu au nikaushe tu
Tweet media one
175
132
965
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Finally nimeona Video ya Sativa akiwa ameokotwa kwenye Pori kubwa akiwa na mavazi yale yale aliyopotea nayo. Inatisha Sana sana Eeh Mungu nisaidie nisaidie hiki ndio kipindi nakuhitaji zaidi. Mungu nionee huruma 💔💔🙏🙏
188
324
950
@Thereal_taivina
Taivina James
9 days
Haya Mambo sikiaga tu kwa watu yasikukute🙌🙌
Tweet media one
20
297
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
1 year
Mmk Saizi Twitter tutaheshimiana humu King Herode sisi hatuna cha kukulipa Mkubwa wa kazi utalipwa na Mungu Leo umekomesha tabia moja ya kiseng sana humu ndani.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
73
97
920
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Naomba Repost aliyemuona anaweza akawa kwenye Timeline yako.🙏🙏
Tweet media one
5
811
935
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Wote tunajua Sativa ni mgonjwa sio kidogo ni mgonjwa sana sana na mbaya zaidi alipigwa risasi eneo la taya hivo anapata shida sana kuongea na kula. Inapotokea mtu anaenda kumuhoji na kuchukua maelezo mgonjwa anashindwa kuongea na kisha kuanza kuwapigia wahusika kuwa mgonjwa
Tweet media one
66
192
927
@Thereal_taivina
Taivina James
1 month
Bado hamjalala naombeni Repost mobb hapa kabla saa 6 usiku niwaze mengine🙏🙏
Tweet media one
13
566
916
@Thereal_taivina
Taivina James
25 days
Hamisa akiwa kwenye Side Hustle zake za kila siku.
Tweet media one
62
48
915
@Thereal_taivina
Taivina James
26 days
Repost bila Sababu
Tweet media one
7
387
904
@Thereal_taivina
Taivina James
7 months
Huyu Mwamba kila mtu anamjua na ana moment naye. Ila wote wanatumia picha moja kumuelezea humu ndani.🙌🏽😂😂
Tweet media one
51
25
875
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Sativa kapelekwa kituo cha Afya Kibaoni njia ya kwenda Majimoto. Kwahiyo wakazi wa Rukwa mnaweza kutusaidia kwa taratibu za mwanzoni ili awe salama zaidi wakati tunaendelea na taratibu zingine za kumuhakikishia Usalama zaidi na zaidi. Lakini pia zinapigwa simu nyingi sana wakidai
70
395
871
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Leo nimeamka na Amani na Furaha na Energy niliyoikosa kwa siku tano. Jana ndugu yetu @prossoff alihangahika kuhakikisha kuwa anafika Hospital ambayo Sativa yupo. Lakini cha kushangaza Prosper alivofika pale cha kwanza Sativa alihitaji mawasiliano yangu kabla ya yote. Kwa Love
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
114
317
861
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Wakifanya kwa ubaya tunafanya kwa Upendo.🙏🙏
Tweet media one
Tweet media two
8
149
847
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Wakamaria kwakuwa kesho naenda kushinda na jeshi letu siku nzima akipata nguvu ya kuongea fresh itabidi kesho anipe hata slip moja ya kwenye Challenge ya #DAW tuishi nayo au mnaonaje? #DAW
Tweet media one
50
115
840
@Thereal_taivina
Taivina James
8 days
Chaula na Soka wana familia wamepotea hatujui walipo sasa Leo siombi m repost Kamari ni jambo la kijamii na kibinadamu hakuna ubaguzi. Ukikutana na Hii post weka Retweet moja tu na Mungu atakubariki🙏
Tweet media one
Tweet media two
24
1K
1K
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
STORY NZIMA YA SATIVA. 🙏🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
52
205
835
@Thereal_taivina
Taivina James
7 months
Pakia Music Producers wawili tu humu.👇🏽
Tweet media one
163
46
784
@Thereal_taivina
Taivina James
1 year
Rest In Peace Mwanangu Michael 💔🕊 #Oneway
Tweet media one
98
32
785
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Repost Bila sababu mpaka tuje kuelewana.
Tweet media one
7
546
791
@Thereal_taivina
Taivina James
7 months
Kiongozi wa nchi akizidiwa wakati nyie mnampeleka Hospital Peter Msechu anawahi Studio akimaliza kurecord tu mnafunga maturubai huwa hakosei.
Tweet media one
55
36
776
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Acheni kusema Familia imekataa hela. Kipindi matatizo yametokea nyie wenyewe ni watu ambao mlimuomba jamaa aje kuongea chochote japo atoe neno kuhusu jamaa alikataa. Now amepatikana anakuwa mstari wa mbele kutoa mchango sio tu kutoa mchango na masimango juu. Tulihitaji zaidi
90
222
786
@Thereal_taivina
Taivina James
1 year
BETTING BETTING BETTING Leo nataka niwape Thread ya ukweli kuhusu Betting Betting ni nini? Betting ni Nzuri au Mbaya? Kwanini kuna watu wamefilisika kisa Betting na kwanini kuna watu wametajirika kisa Betting. Kwanini watu wana lost Slips na hawaachi ku bet? THREAD 👇🏽
Tweet media one
111
381
768
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Mpaka sasa yametimia masaa 60 hatujui ndugu yetu Sativa alipo. Ni jambo la kusikitisha na la kutisha kwa zaidi ya siku mbili tumemtafuta bila mafanikio yoyote. Wapo ambao walitoa ushauri kuwa tumtafute Boda aliyembeba kijiweni mara ya mwisho lakini kwa bahati mbaya sana alichukua
Tweet media one
68
437
766
@Thereal_taivina
Taivina James
25 days
Hii nchi ina maumivu sana aisee So Sad💔💔
Tweet media one
18
106
763
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Saizi ni saa 10:18 kuamkia Asubuhi ndo naingia home kulala. Mwanangu tumemuweka sehemu safi uhakika na salama. Hatimaye leo nalala usingizi wenye amani nilioukosa kwa siku 6. Mungu amefanya🙏🙏
59
108
758
@Thereal_taivina
Taivina James
29 days
Tokeni Maghettoni
Tweet media one
38
47
752
@Thereal_taivina
Taivina James
1 month
Mkiniona napush mchongo wa huyu Master msije sema nimelipwa nimeamua mwenyewe nitam support Mshua.
Tweet media one
19
185
754
@Thereal_taivina
Taivina James
25 days
Kwenye Salama Na Ally B alisema analipwa hela nyingi ila akija kupiga show anahakikisha hela uliyotoa inaonekana na kweli mi binafsi sina mashaka na huyu mchizi alivoshika mashine uwanja wote umejua kuna Dj mpya kaingia.
Tweet media one
14
45
748
@Thereal_taivina
Taivina James
1 year
Masnitch kama wewe nang'oa Pua Hapa labda zikuokoe Dua Country kakupika kabla haujaiva kakupakua Kwanza hatujawahi kumuona demu wako dogo acha kujichua😂🙌🏽🙌🏽 Ooh Mai ana hali gani huko😂😂
Tweet media one
77
39
737
@Thereal_taivina
Taivina James
17 days
Kuna mtu anatumia Adidas au Puma pale Jangwani?
Tweet media one
42
31
742
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Leteni kila Agenda ila swala la kubeti lipo pale pale lazima tubeti.
Tweet media one
57
61
725
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Jina lake kamili anaitwa Edger Edson Mwakabela wengi wanamfahamu kwa jina la Sativa. Ndugu yetu hajulikani alipo toka tarehe 23.06.2024 Majira ya saa 12:45 jioni maeneo ya ubungo alipoaga kwa Kaka yake Patrick na kuchukua Boda ya kurudi nyumbani kwake Kimara. Sisi kama ndugu,
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
466
717
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Toka tukio la ndugu yetu kupotea usingizi kwangu ulikuwa changamoto sana jana nilivopata taarifa kuwa Sativa kapatikana niliamua niende kulala ghetto kwake maana pale palivunjwa pakabadilishwa kitasa na funguo niko nazo nikaona leo nikabadilishe upepo. Imagine unamuangalia mtu
Tweet media one
97
182
715
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Kuwa kwa rada za hao wanaharamu kwa kosa la msimamo basi kuwa kidnapped ni swala la muda tu maana siwezi kubadilika kila nilichokuwa na type ndo nilichomaanisha sibadiliki. Kwangu mimi kuwa Real ni Ibada siwezi fake ever mwisho wa siku lolote litakalotokea ni Mapenzi ya Mungu🙏
Tweet media one
52
111
707
@Thereal_taivina
Taivina James
25 days
Mungu atusaidie na leo tupige madusco.🙏🙏
Tweet media one
36
82
706
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Zimetimia siku 3 sawa na Masaa 72 Ndugu yetu Edger bado haonekani. Ni jambo la kutisha na la kusikitisha kadri siku zinavozidi kwenda tumemtafuta sehemu nyingi sana Staki Shali, Temeke, O bay, Gogoni, Mloganzila, Mwananyamala na sehemu nyingine nyingi lakini juhudi hazijazaa
Tweet media one
Tweet media two
70
402
700
@Thereal_taivina
Taivina James
7 months
Mwanetu kamkanda Baba Levo safi kabisa chafu yangu wahuni hawavumilii dharau.
Tweet media one
29
29
690
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Kaka yetu @TitoMagoti Alitupa story fupi kuwa kipindi amepata matatizo kuna Mtu alimkejeli na kumuuliza ana Followers kiasi gani kama wapo waende kumsaidia maana hao ndio waliokuwa wakimpa kichwa. Siku chache mbele alifanikiwa kutoka na kisha mtu huyo huyo kumwambia kuwa ashukuru
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
25
330
694
@Thereal_taivina
Taivina James
6 months
Mabadiliko ni mchakato wenye maumivu ndani yake tunashukuru Mungu wapo walio tayari kupitia hayo maumivu kwa ajiri ya Mabadiliko. Ipo siku🤟🏻🤟🏻🤟🏻
Tweet media one
22
121
688
@Thereal_taivina
Taivina James
25 days
Hivi Aziz Ki amejenga huko kwao wasije sema hela za Tanzania zina majini wachezaji wa nje hawaendelei mi namuonya kama Familia tu.😂
Tweet media one
30
52
697
@Thereal_taivina
Taivina James
30 days
Kama we ni mpenda haki chapa Repost hapa ina cost zero Tshs/=
Tweet media one
2
484
692
@Thereal_taivina
Taivina James
1 month
Sio wakamaria tu ambao tume lost jana hata Mario pia alibeti akakutana nacho.😂😂
Tweet media one
53
64
686
@Thereal_taivina
Taivina James
6 months
Kifo cha Zizi sija Recover mpaka leo itakuchua time sana.💔🕊️
Tweet media one
27
38
671
@Thereal_taivina
Taivina James
9 months
Imenichukua Muda kusema hili ila kwa akili zangu Timamu leo natangaza kuacha kubeti na kuanza kutafuta kazi ya halali ya kufanya. Good Luck Wawekezaji🙏🏽🙏🏽
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
149
62
669
@Thereal_taivina
Taivina James
1 year
Hii Picha hadi mwenye nayo aliikataa akasema sio yeye najiulizaga ni nani aliileta humu sasa😂😂
Tweet media one
65
21
658
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Sema hii ya Mwanaume kum Crush mwanaume mwenzio kila ukiona picha zake unalowana imekaa lame sana.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
53
54
668
@Thereal_taivina
Taivina James
7 months
Ma Followaz Rundo ila ameamua kuwa na akili timamu. Influefunza mna la kujifunza hapa
Tweet media one
8
87
658
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Toka nimepigwa na kitu kizito muda nimenunua umeme nimekuja kulalamika kwenu siwaelewi wanangu mnaniambia nimekatwa kodi ya Nyumba kwahiyo Faza House Miezi ijayo hanidai?? Au hii nyumba yake wanamiliki wangapi?? SERIKALI ITUMIE UBINADAMU WAKATI FLANI 🙌
29
89
654
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Hii Rollover tuliipa jina la Mwamposa Rollover tulianza na 10k tuliikimbiza mpaka day 7 Mkononi tulikuwa na 150k day 8 ilikuwa ni tareh 23 siku ambayo ndo Sativa alitekwa Rollover ikafa. Record zinasema kwa Mwaka 2024 hamna Punter wa kibongo amefikisha rollover day 7 Mpo Tayari?
Tweet media one
58
94
655
@Thereal_taivina
Taivina James
29 days
HUU NDIO UKWELI👇👇 Ni hivi kabla hamjalaumu Mashabiki ya Yanga Viongozi wenyewe pia nao wajirekebishe Hii Timu sio ya kwenda uwanjani kuangalia Bure, Sio timu ya kununulia Mashabiki tickets mara Arafat sijui kanunua tickets afu kumi sjui mara nani kanunua tickets elfu tano
Tweet media one
117
126
638
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Sativa bado hajaonekana akionekana tutawajulisha tusijisahau sana Nguvu iliyotumika kuanza kupaza sauti ndo tuendelee nayo mpaka mwisho apatikane akiwa mzima. Hivo tupush tupaze sauti kadri ya uwezo wetu. Tunaomba yoyote atakayepata taarifa yoyote ya kuonekana kwake au Tetesi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
18
400
635
@Thereal_taivina
Taivina James
1 year
Sasa nimeelewa😂 Sema Mwana aache kujiogopa ye alisemaga ana collable na Tunech na watu hawakuandika Essay Insta Story ila hii ya Konde ndo kapagawa kichizi😂😂
Tweet media one
29
20
624
@Thereal_taivina
Taivina James
7 months
Kwahiyo Dada yenu wa State anasema ile ni App ya Taifa ila kashindwa kumvua mask mwanetu Sudy?
Tweet media one
24
27
625
@Thereal_taivina
Taivina James
9 days
Mitandao ina Nguvu ndio maana tukikemea wanatoa statement mara mbili mbili. Huyu ndugu yetu bado hajapatikana tusimsahau wala tusichoke hatuwezi jua tunaweza tukawa msaada na muujiza kwa familia ya Chaula kupitia Sauti zetu. Repost Repost Ndugu zangu. 🙏🙏🙏
Tweet media one
6
419
666
@Thereal_taivina
Taivina James
2 months
Mara ya mwisho Sativa alivaa hivi na hizi ni picha ambazo alipiga jana saa 10 jioni wakati ametoka Coco beach kisha baada ya masaa mawili mbele hakuonekana kabisa huyo wa kushoto ni kaka yetu Mkubwa ambaye amefuatana na Sativa anaitwa @PatrickMnyama96 ndio mtu wa mwisho kuonana
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
302
610
@Thereal_taivina
Taivina James
7 months
Rapper wa Tanga anaenda Mwaka wa 5 huko State cha ajabu analalamika Vyoo vya kukata Gogo viko Mbali.😂😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
57
47
598