Aibu yetu
@SuluhuSamia
Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga lilitoa
RB namba HAN/CID/23/2024 ya kuanzisha Jalada la uchunguzi kuhusu Kutekwa na Kupotea kwa KOMBO MBWANA TWAHA
@tanpol
Mlikuwa mmemteka hayo makosa ya kijinai ni makosa yapi hayasemwi mbona mmewanyang'anya waliokuwa nae simu kama sio utekaji ni nn?
Mlitaka kumteka imeshindikana huyo bonyai mlishindwa kumpigia simu aje mwenyewe
Nini? maana ya tii sheria bila shuruti?
Hii ndio machine ya kuua na kuteka kutoka kwa shahidi alietekwa na kupona kwa mapenzi ya MUNGU hii machine tunainunulia mpaka chupi kwa kodi zetu ili ituteke na wakubwa wake wa kazi wanalijua hilo
@SuluhuSamia
#ZuiaUtekaji
Just like in apartheid South Africa, in
#Tanzania
we have second class citizens however we are not divided by race but party affiliation
Only CCM and its members plus praise singers have rights
Opposition and critics are subject to abduction, illegal detention, police brutality,
Ikiwa polisi watatuua basi watuue hadharani ikiwa watatutesa basi watoto wetu watakuwa salama hatuezi kuendelea kunyamaza wakati ni sasa tuchukue hatua
Mkapiga risasi juu alafu ikaelekea nyumba inayotazamana na kituo cha polisi ikaua binti asiye na hatia eeh my country 😭😭 saivi mnauwa tu kila siku mmeua watoto wasio na hatia
Ewe kijana amka ujitetee pamoja na taifa lako utatekwa na utakufa lazima tumalize zama za utekaji kama gharama itakuwa ni sisi kufa ili watoto wetu wasitekwe tena
Walichukua simu yake sasa wamemteka wanajaribu kutengeneza uongo usio na maana
@tanpol
mwachieni soka na wote mliowakamata kinyume na sheria ama muwapeleke mahakamani
Siku ya kwanza nimeongea story yangu public niliongea kwenye Club house. Ilikuwa 7/8 saa mbili kamili usiku.
Kwenye story yangu kuna mahali nilimtaja mtu mwenye sifa hizi hapo awali sikumjua kabisa kwa majina.
Sifa nilizozitaja;
1. Mrefu
2. Mweusi
3. Mwili wa ukakamavu (kama
Leo ni siku ya vijana, vijana wenzetu wanasherehekea wakiwa mahabusu kwa ujinga wa watawala kukosa maarifa huyu bibi ameteka haridhiki sasa ameamua kukaa mstari wa mbele kuhakikisha anavunja haki zetu watanzania
Vijana tuamke watatuteka na kutuua au watuteke na kutufunga vijana amkeni familia zao hawatekwi kwanini?
Sisi ndio tutekwe kila kukicha wanatakiwa kutuua hadharani tuamke muda ni sasa tutasema free mpaka lini?
@SuluhuSamia
Ngorongoro hakuna watoto huko mheshimiwa?
Hawa wote ni watanzania wanahitaji haki sawa na mtanzania yeyote kwakuwa tumekupa jukumu la kusimamia ulinzi na usalama wetu tunapaswa kulia na kuomboleza pamoja katika nyakati zote
Bado ule ubakaji upo kimya mh?
@MsigwaPeter
Umeenda lkn unateseka 😀😀 si ukae utulie ufurahie ulichoendea huko umekuwa kama mwanamke mapambio sana hatukukuzoea hivyo
Ukitaka kuamini jifanyie tathimini mwenyewe shirikisha nafsi yako utaelewa maana yangu
Namba ya IGP Wambura Tanzania kwasasa matukio yanayo tukela hasa utekaji na uhalifu wowote ule ama unafanywa na polisi au raia apewe yeye taarifa pengine wanasingiziwa vijana wake au wanamdanganya haambiwi ukweli
Mmemteka mmemnyang'anya simu sasa mnaleft magroup kutumia simu yake tukisema nyie ni wajinga mnataka kutuua hivi mnadhani sasa tutaogopa kufa tena kwa huu ujinga wenu
hata jeshi la wananchi mmeshindwa kutulinda sisi wananchi wenu naumia sana moyo wangu😭😭
Unatoka asubuhi watoto wanajua baba kaenda kazini kumbe umeenda kumteka soka
Mnakumbuka kauli ya siro baada ya hamza kuwalamba alisema wazazi walee watoto vizuri yeye akashindwa kuwalea polisi vizuri na kutufanya tujute kuwa na igp aliepita kama yeye
Achia vijana wenzetu damu za watu sio nzuri unaona leo umeanza kujitangaza kuua
Mafwele yupo mtaani polisi kila siku wanapiga watu risasi imekuwa jambo la kawaida sasa report za polisi kuua na wewe upo kimya maana yake wewe ndio unaua
@ummymwalimu
@ExMayorUbungo
Buzuruga kuna huduma za hovyo sana unaweza kukaa siku nzima na usipate huduma kwasababu kile kituo kinazidiwa nyie kazi ni kumsifia Samia na sisi ndio walipa kodi mwisho muda wa kutatua kero za wananchi mnautumia kutafuta maneno mazuri ya kumsifia Madame
@MsigwaPeter
Mimi nawaamini wote wewe pamoja na sugu nitaendelea kukuamini
Dikiteta alikuwa hashauriki alikuwa ameshachagua upande wa mizimu ikulu haikuwa sehemu sahihi kwako kwenda kwa wakati ule
Asanteni kwa mdaharo
@Nnauye_Nape
Asee ndio ametoka kula Bata wakati ushelisheli wamekufa raia 3 Rais katangaza hali ya dhalula huku kwetu ni kupiga Picha walianza mawaziri kwenye helkopita kamalizia bi mkubwa leo na wahanga😀 tuiombee nchi yetu makamo wa rais arejee kutoka nje ya nchi
@MsigwaPeter
Tunza heshima yako msigwa bado tunakuheshimu lakini unachokifanya hakikusaidii lakini unajichoresha tu nadhani lisu alikuzungumza vizuri sana kwa muktadha wa uamuzi wako
Tunakushukuru asante ndio tunaweza sema hivyo kwako
Tunataka uwajibikaji na tunataka kufa hadharani sio kututeka sisi wote ni watanzania tuna haki sawa za kuishi kama wengine na ni lazima tujivunie kuwa nyumbani Tanzania
@HKigwangalla
Mbona unakoswa akili hiyo Tabora Ina rais? Kama ilivyo Zanzibar hiyo Tabora Baraza lolote any way tunaemdelea kuwa na watu wajinga sababu ya madaraka
Badala ya kuongelea vitisho, utekaji na mauaji ya wapinzani na wakosoaji wake
@SuluhuSamia
analeta vitisho, zaidi dharau na amekuwa outright dismissive of political targeting
Sasa namkumbusha huko
@UmojaWaMataifa
asifikiri ataweza kuleta hii callous “kifo ni kifo tu” remark na
@mokertz__
Watu ambao tumekuwa watumiaji wa boda boda muda mrefu tukinunua gari vile boda akikatisha mbele tunamuona hana akili lkn wakati hatukuwa na gari tulikuwa tukipitwa na gari mbele tulikuwa tukiwaona wanalinga
😁😁😁
@MsigwaPeter
Umeingia kwenye mkenge uleule jana nilisikia unalaum chama hakijaandaa vijana wewe kwa muda huo wote jukumu lako lilikuwa lipi maana niliona kuna baadhi ya maswali hukuulizwa na salim alikuwa anawapoza ccm baada ya kutoa damu muriro
@tanpol
Viatu 10
Kaptura 11
Shat 5
Sweta 10
Kunyoa jero
Madaftar elfu nne
Hiv inakuwaje Picha wiki nzima kwa huyo mtoto kana kwamba hamna kazi nyingine ya kufanya
@MariaSTsehai
Waliokutukana wakuombe radhi na sio wewe tu uliekuwa unakataa ule uongo nakumbuka na mzee lalasalama na wengine walikuwa wakali haswa kiko wapi sasa