Mafwele Profile Banner
Mafwele Profile
Mafwele

@JimmyManoti2

Followers
1,271
Following
1,745
Media
137
Statuses
4,252

ZuiaUtekaji

Joined September 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
Usiludie tena @Nnauye_Nape
Tweet media one
160
193
1K
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
Waziri hauna kazi za kufanya leo unanitishia kwahyo ambao mnawateka huwa mna sababu nao zipi hizo ili tuzijue ni zipi?? @Nnauye_Nape
Tweet media one
214
114
887
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
Tumefika hapa ndio maana tunatishwa hili tishio kwa hawa wenye mashule
Tweet media one
59
85
767
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
@Nnauye_Nape Ananifuata dm kunipa tahadhari aisee wanateka teka hovyo hawa sio wa kukalia kimya
10
4
129
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
Aibu yetu @SuluhuSamia Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga lilitoa RB namba HAN/CID/23/2024 ya kuanzisha Jalada la uchunguzi kuhusu Kutekwa na Kupotea kwa KOMBO MBWANA TWAHA
Tweet media one
5
28
126
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
@Nnauye_Nape Atakuwa anataka kuniteka ndio tabia yao hawa
4
0
113
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Je nikitekwa nani atawambia wana wa x nimetekwa? je nikinyamaza ndio nakomesha utekaji? @SuluhuSamia Achia vijana wenzetu komesha utekaji
Tweet media one
3
42
94
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
@Nnauye_Nape Wanaanza hivi badae wanatuteka tusipokufa kama walivyokusudia wanaludi na Pole za kinafiki
3
1
88
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
@Nnauye_Nape Kosa langu ni nini? Kwamba anatoa ujumbe wanaotekwa huwa wana sababu za kuwateka
4
0
69
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Kinachoendelea hapa hawa polisi wanajifanya wapole lazima wamasai wawe makini wanaweza kuvamiwa usiku na kuumizwa
Tweet media one
0
16
63
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Haki kwa wamasai wa ngorongoro na ndugu zetu wote wanaoteseka kupata haki zao haki kwa mbwa wote
Tweet media one
2
13
60
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
@tanpol Mlikuwa mmemteka hayo makosa ya kijinai ni makosa yapi hayasemwi mbona mmewanyang'anya waliokuwa nae simu kama sio utekaji ni nn? Mlitaka kumteka imeshindikana huyo bonyai mlishindwa kumpigia simu aje mwenyewe Nini? maana ya tii sheria bila shuruti?
2
6
53
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
Hii ndio machine ya kuua na kuteka kutoka kwa shahidi alietekwa na kupona kwa mapenzi ya MUNGU hii machine tunainunulia mpaka chupi kwa kodi zetu ili ituteke na wakubwa wake wa kazi wanalijua hilo @SuluhuSamia #ZuiaUtekaji
Tweet media one
0
19
50
@JimmyManoti2
Mafwele
24 days
Samia umeendelea kuwashikilia vijana wenzetu huku abdul anakula na kulala vizuri
Tweet media one
1
14
43
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
Chura kiziwi @SuluhuSamia Achia ndugu zetu utatuua sana hatuwezi kunyamaza Hatujazoea kunyamazishwa tutakufa huku tukiongea #ZuiaUtekaji Matukio yote upo macho kupongeza lkn utekaji aaah ni drama.
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
1 month
Just like in apartheid South Africa, in #Tanzania we have second class citizens however we are not divided by race but party affiliation Only CCM and its members plus praise singers have rights Opposition and critics are subject to abduction, illegal detention, police brutality,
12
134
359
0
15
43
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
OCCID unaehusika na huu ujinga uache mara moja nchi ni yetu sote Siku zote wajinga wakipewa vyeo inakuwa tatizo kwa wengine
Tweet media one
0
13
37
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
Ombi lipo kiamri sana wakuu wasipotekeleza watapata shida kubwa hata kufungiwa shule
3
2
35
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
@MariaSTsehai Tutakufa watakaobaki wataendeleza mapambano mpaka wahalifu waishe kwenye majeshi yetu
0
2
33
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Ikiwa polisi watatuua basi watuue hadharani ikiwa watatutesa basi watoto wetu watakuwa salama hatuezi kuendelea kunyamaza wakati ni sasa tuchukue hatua
Tweet media one
1
15
35
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
Mkapiga risasi juu alafu ikaelekea nyumba inayotazamana na kituo cha polisi ikaua binti asiye na hatia eeh my country 😭😭 saivi mnauwa tu kila siku mmeua watoto wasio na hatia
@tanpol
Police Force TZ
1 month
TAARIFA, UFAFANUZI WA TUKIO LA KUUAWA KWA WATU WAWILI MKOANI GEITA
Tweet media one
Tweet media two
373
57
671
3
8
34
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Ewe kijana amka ujitetee pamoja na taifa lako utatekwa na utakufa lazima tumalize zama za utekaji kama gharama itakuwa ni sisi kufa ili watoto wetu wasitekwe tena
Tweet media one
0
16
34
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
Muwe nae makini asije kujiteka hakikisheni anafika nyumbani😃😃
Tweet media one
4
7
33
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Walichukua simu yake sasa wamemteka wanajaribu kutengeneza uongo usio na maana @tanpol mwachieni soka na wote mliowakamata kinyume na sheria ama muwapeleke mahakamani
Tweet media one
Tweet media two
0
17
31
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
@_caro_mio @Nnauye_Nape Nimeiweka hiyo hawaaminiki uhai wetu ni hisani yao kama wanavyoona
0
0
32
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
Siku zimeisha naomba repost 200 mawakili waone wampigie kura Mwabukusi kuwa rais TLS
Tweet media one
2
19
30
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
Muuaji yuko ofisini anapitia mafaili kesho afe nani alafu @SuluhuSamia kaweka pamba masikioni chura kiziwi huku watu wake wanapanga mezani kesho afe nani😢😢
@Sativa255
SATIVA17
1 month
Siku ya kwanza nimeongea story yangu public niliongea kwenye Club house. Ilikuwa 7/8 saa mbili kamili usiku. Kwenye story yangu kuna mahali nilimtaja mtu mwenye sifa hizi hapo awali sikumjua kabisa kwa majina. Sifa nilizozitaja; 1. Mrefu 2. Mweusi 3. Mwili wa ukakamavu (kama
Tweet media one
472
807
3K
1
11
30
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Leo ni siku ya vijana, vijana wenzetu wanasherehekea wakiwa mahabusu kwa ujinga wa watawala kukosa maarifa huyu bibi ameteka haridhiki sasa ameamua kukaa mstari wa mbele kuhakikisha anavunja haki zetu watanzania
Tweet media one
0
15
29
@JimmyManoti2
Mafwele
5 months
@MariaSTsehai @TunduALissu @Rugemeleza1 Hawataeweza kumshusha aliempandisha ndio mwenye huo uwezo
0
4
26
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
@kajisijoLFC @Nnauye_Nape 😂😂😂 kutokuonekana wapi
2
0
26
@JimmyManoti2
Mafwele
2 years
@Cyancuty Nipo hapa 😴
0
0
26
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Polisi wanachoweza ni siasa na kututeka tusiwategemee tuamke muda ni sasa watuu na kutufunga kuliko kututeka
Tweet media one
0
8
24
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Vijana tuamke watatuteka na kutuua au watuteke na kutufunga vijana amkeni familia zao hawatekwi kwanini? Sisi ndio tutekwe kila kukicha wanatakiwa kutuua hadharani tuamke muda ni sasa tutasema free mpaka lini?
Tweet media one
0
10
23
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
4
0
24
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
@TanzaniaLeaks Malipo ni hapahapa marekani walisema anadhlumu watu uhai kwahyo kama amedhulumiwa na yeye fresh tu
6
0
23
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
@BabaAtifah @Nnauye_Nape Ilitakiwa kuwaje hivi ni bora wakuue hadharani au ukiwa umetekwa?
1
0
23
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
@SuluhuSamia Ngorongoro hakuna watoto huko mheshimiwa? Hawa wote ni watanzania wanahitaji haki sawa na mtanzania yeyote kwakuwa tumekupa jukumu la kusimamia ulinzi na usalama wetu tunapaswa kulia na kuomboleza pamoja katika nyakati zote Bado ule ubakaji upo kimya mh?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
5
23
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
@MsigwaPeter Umeenda lkn unateseka 😀😀 si ukae utulie ufurahie ulichoendea huko umekuwa kama mwanamke mapambio sana hatukukuzoea hivyo Ukitaka kuamini jifanyie tathimini mwenyewe shirikisha nafsi yako utaelewa maana yangu
6
6
23
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
@SuluhuSamia Zuia utekaji ludisheni vijana wenzetu
Tweet media one
2
7
23
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Namba ya IGP Wambura Tanzania kwasasa matukio yanayo tukela hasa utekaji na uhalifu wowote ule ama unafanywa na polisi au raia apewe yeye taarifa pengine wanasingiziwa vijana wake au wanamdanganya haambiwi ukweli
Tweet media one
1
6
21
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Waachieni huru ndugu zetu hawa mliowateka
Tweet media one
4
8
21
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
Ameshinda tunawashukuru mawakili 🤝
Tweet media one
0
1
19
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Tweet media one
3
7
17
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Mmemteka mmemnyang'anya simu sasa mnaleft magroup kutumia simu yake tukisema nyie ni wajinga mnataka kutuua hivi mnadhani sasa tutaogopa kufa tena kwa huu ujinga wenu hata jeshi la wananchi mmeshindwa kutulinda sisi wananchi wenu naumia sana moyo wangu😭😭
Tweet media one
0
7
18
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
@MariaSTsehai @DEUSDEDITHSOKA Shangazi ndio hii namba
Tweet media one
0
3
18
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
Tweet media one
2
2
18
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
Huu ndio ujinga aliopewa na akina mtekaji mafwele mama yenu wa drama
Tweet media one
0
4
17
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
@TanzaniaLeaks Hiyo kama nyongeza igp wetu apewe taarifa moja kwa moja msipitie kwingine uzuri simu zinapokelewa
Tweet media one
0
4
17
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Unatoka asubuhi watoto wanajua baba kaenda kazini kumbe umeenda kumteka soka Mnakumbuka kauli ya siro baada ya hamza kuwalamba alisema wazazi walee watoto vizuri yeye akashindwa kuwalea polisi vizuri na kutufanya tujute kuwa na igp aliepita kama yeye
Tweet media one
Tweet media two
0
8
17
@JimmyManoti2
Mafwele
22 days
Achia vijana wenzetu damu za watu sio nzuri unaona leo umeanza kujitangaza kuua Mafwele yupo mtaani polisi kila siku wanapiga watu risasi imekuwa jambo la kawaida sasa report za polisi kuua na wewe upo kimya maana yake wewe ndio unaua
Tweet media one
0
5
20
@JimmyManoti2
Mafwele
10 months
@ummymwalimu @ExMayorUbungo Buzuruga kuna huduma za hovyo sana unaweza kukaa siku nzima na usipate huduma kwasababu kile kituo kinazidiwa nyie kazi ni kumsifia Samia na sisi ndio walipa kodi mwisho muda wa kutatua kero za wananchi mnautumia kutafuta maneno mazuri ya kumsifia Madame
0
2
16
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Vijana wenzetu wametekwa tusikubali kukaa kimya @SuluhuSamia achia vijana wenzetu
Tweet media one
1
12
16
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
0
0
16
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
@derickmgeni @Nnauye_Nape Mwanasheria anahitajika ukiwa umetekwa?
1
0
15
@JimmyManoti2
Mafwele
6 months
@CarolNdosi Utekwaji na unyimwaji haki wamasai uuzwaji bandari hamuoni nyie machawa tulieni sindano ziingie nyie endeleeni kusifia
0
3
15
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
@Nnauye_Nape Dunia ina watu wajinga sana sijui hata nasema nn?
1
2
14
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Hawa wote ni ndugu zetu utanzania wetu ndio udugu wetu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
7
13
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
@SuluhuSamia Zuiautekaji Achia vijana wenzetu Polisi wataua wangapi? ndio uridhike
Tweet media one
1
7
14
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Waachieni soka na wenzake hizi kazi chafu hazijengi nchi zinaibomoa
Tweet media one
0
9
14
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Tweet media one
0
1
14
@JimmyManoti2
Mafwele
5 months
@MsigwaPeter Mimi nawaamini wote wewe pamoja na sugu nitaendelea kukuamini Dikiteta alikuwa hashauriki alikuwa ameshachagua upande wa mizimu ikulu haikuwa sehemu sahihi kwako kwenda kwa wakati ule Asanteni kwa mdaharo
2
0
13
@JimmyManoti2
Mafwele
11 months
@Nnauye_Nape Asee ndio ametoka kula Bata wakati ushelisheli wamekufa raia 3 Rais katangaza hali ya dhalula huku kwetu ni kupiga Picha walianza mawaziri kwenye helkopita kamalizia bi mkubwa leo na wahanga😀 tuiombee nchi yetu makamo wa rais arejee kutoka nje ya nchi
0
1
13
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
@MsigwaPeter Tunza heshima yako msigwa bado tunakuheshimu lakini unachokifanya hakikusaidii lakini unajichoresha tu nadhani lisu alikuzungumza vizuri sana kwa muktadha wa uamuzi wako Tunakushukuru asante ndio tunaweza sema hivyo kwako
0
0
12
@JimmyManoti2
Mafwele
29 days
@MsigwaPeter Haya majinga hatuwezi kuyaelewa ikiwa utekaji bado upo mafwele bado yupo mtaani chekeshaneni huko na wajinga wenzenu
0
1
12
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
Tunataka uwajibikaji na tunataka kufa hadharani sio kututeka sisi wote ni watanzania tuna haki sawa za kuishi kama wengine na ni lazima tujivunie kuwa nyumbani Tanzania
Tweet media one
0
7
12
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
@kwamekivaisi Ameuza bandari zote kaua na kuuza ngorongoro Mungu ambariki sana Maria kwa utume wake saivi yupo zake kuzimukazi
0
1
12
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
@Twaha_Mwaipaya Ccm na mzoga wa mbwa nitachagua mzoga maana nitauchimbia harufu itaisha
1
2
12
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
Hii mbona haiingii akilini kumbe ndio maana mlianza drama za waganga🙌 Vijana amkeni hatupo salama @SuluhuSamia Zuia utekaji watanganyika hatupo salama
@tanpol
Police Force TZ
2 months
WAFANYABIASHARA WALIODAIWA KUPOTEA SONGEA, WALIUWAWA NA MGANGA WA KIENYEJI
Tweet media one
Tweet media two
273
83
849
2
9
11
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
Team ushindi ni hivi🎳
Tweet media one
0
3
11
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
@YerickoNyerereT Hao wahuni wamwachie
0
0
11
@JimmyManoti2
Mafwele
6 months
@fatma_karume Kwakuwa hujamuelewa TL akiona ujumbe wako atakufundisha utaelewa tu shangazi
0
1
10
@JimmyManoti2
Mafwele
6 months
@HKigwangalla Mbona unakoswa akili hiyo Tabora Ina rais? Kama ilivyo Zanzibar hiyo Tabora Baraza lolote any way tunaemdelea kuwa na watu wajinga sababu ya madaraka
0
1
11
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
Gen z Tz
Tweet media one
0
4
11
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
Wakumbushe wewe ni Baba MUNGU WA MAJESHI samia amesahau ameingiaje hapo
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
1 month
Badala ya kuongelea vitisho, utekaji na mauaji ya wapinzani na wakosoaji wake @SuluhuSamia analeta vitisho, zaidi dharau na amekuwa outright dismissive of political targeting Sasa namkumbusha huko @UmojaWaMataifa asifikiri ataweza kuleta hii callous “kifo ni kifo tu” remark na
Tweet media one
58
285
1K
0
2
11
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
Hello mafwele mtekaji acha uhuni huu mnaoufanya
0
7
11
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
@tanpol Kukoswa maarifa tu kwani kutishia watu sio kutatua changamoto iliopo ya wananchi wengi kuwa na hofu ya utekaji wa watoto
0
2
9
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
@tanpol Watuhumiwa tuone na picha zao tatizo hamuaminiki
2
1
10
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
@tanpol Mama anaupiga mwingi sana
0
0
9
@JimmyManoti2
Mafwele
2 months
@SuphianJuma @MariaSTsehai @SuluhuSamia Wewe k si uandae space yako umuite huyo mama yako aje uzungumze nae upumbavu wenu huo
0
0
9
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
@MariaSTsehai Tusipo amka mpaka tutaamshwa
0
1
9
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
@MariaSTsehai Usipige usoni shangazi
0
1
9
@JimmyManoti2
Mafwele
5 months
@earadiofm @ChademaTz @kissadaniel2 Kipindi walimu wanachanga hela za fom ya rais mbona hamkusema watumie hizo nguvu kupigania masrahi yao
0
0
9
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
@MsigwaPeter Kuna mwananchi kakoswa laki 5 ya operation amekufa bunda umeona hilo?
0
2
9
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
Tukisema dunia ina watu wajinga mnasema aaaaah
1
4
8
@JimmyManoti2
Mafwele
10 months
@IAMartin_ Hapo Buzuruga sio hilo tu unaweza kupanga foleni siku tatu na usipate huduma
0
0
8
@JimmyManoti2
Mafwele
5 months
@mokertz__ Watu ambao tumekuwa watumiaji wa boda boda muda mrefu tukinunua gari vile boda akikatisha mbele tunamuona hana akili lkn wakati hatukuwa na gari tulikuwa tukipitwa na gari mbele tulikuwa tukiwaona wanalinga 😁😁😁
0
1
8
@JimmyManoti2
Mafwele
6 months
@Getrude_mollel @420Cousin @__abdulazack Zanzibar ni nchi tunaongozwa na mgeni
0
1
7
@JimmyManoti2
Mafwele
10 months
@shaffihdauda1 @Tanfootball Hakuna nchi inaitwa Tanzania bara wajinga wanaendelea kushupaza tu shingo huku ni Tanganyika
2
0
8
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
@TuliaAckson Acha unafiki
0
1
8
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
@AlexSamoja Ukishaona mtu anaongea hivyo unajua kabsa anatumia tumbo na makalio kufikiri
1
0
7
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
@MsigwaPeter Umeingia kwenye mkenge uleule jana nilisikia unalaum chama hakijaandaa vijana wewe kwa muda huo wote jukumu lako lilikuwa lipi maana niliona kuna baadhi ya maswali hukuulizwa na salim alikuwa anawapoza ccm baada ya kutoa damu muriro
0
0
7
@JimmyManoti2
Mafwele
26 days
@Sativa255 @naythetrueboy @tanpol Binti yake tulimsalimia akatupiga tofari ila ujumbe alisoma😀 cha muhimu kashajua baba yake ni mashine ya kifo
0
1
6
@JimmyManoti2
Mafwele
4 months
@AbroadTanzania Acheni drama ccm wanaweza kumtuma mpina aje kuvuruga huku waachwe wanaoenda waende chama kibaki salama
0
0
7
@JimmyManoti2
Mafwele
10 months
@tanpol Viatu 10 Kaptura 11 Shat 5 Sweta 10 Kunyoa jero Madaftar elfu nne Hiv inakuwaje Picha wiki nzima kwa huyo mtoto kana kwamba hamna kazi nyingine ya kufanya
0
0
6
@JimmyManoti2
Mafwele
3 months
@HildaNewton21 Nakosa hata maneno ya kusema zaid ya kusonya tu
0
0
7
@JimmyManoti2
Mafwele
1 month
@MariaSTsehai Waliokutukana wakuombe radhi na sio wewe tu uliekuwa unakataa ule uongo nakumbuka na mzee lalasalama na wengine walikuwa wakali haswa kiko wapi sasa
0
2
7