![Umoja wa Mataifa Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1324107147358179330/fR4IaHPd_x96.jpg)
Umoja wa Mataifa
@UmojaWaMataifa
Followers
30K
Following
10K
Statuses
35K
Akaunti rasmi ya Umoja wa Mataifa. Kwa amani, utu & usawa katika ulimwengu wenye ustawi.
New York, NY
Joined August 2009
Tofauti kati ya 1.5°C na 4.5°C ya ongezeko la joto duniani humaanisha hali tofauti sana za siku zijazo. Hatutaweza kuhimili na kuishi na joto kali iwapo hatutachukua hatua sasa. #ActNow.
0
0
0
RT @UN_HRC: DRC: Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa @UmojaWaMataifa leo akizungumza katika Kikao Maalum cha Baraza la Haki za Binadamu am…
0
4
0
🌊 Je, wajua? Bahari yetu ni shujaa mkubwa duniani, kwa kuwa inafyonza 23% ya hewa chafu ya CO2, na 90% ya ongezeko la joto. Lakini... tunakaribia kupoteza nguvu hii kwa sababu ya uchafuzi. Ni wakati wa kutenda! I #SaveOurOcean
1
3
4
DRC: "Mapigano yamezidisha hali mbaya zaidi ya kibinadamu iliyokuwepo, ambayo ni matokeo ya ukiukwaji wa haki za binadamu sugu." - @VolkerTurk, Kamishna Mkuu wa @UNHumanrights akitoa wito wa haraka wa kusitisha mapigano:
1
3
8
RT @HabarizaUN: Mgogoro wa kibinadamu unazidi kuongezeka nchini #Haiti huku makundi yenye silaha yakiendelea kutekeleza ukatili wa kutisha…
0
1
0
RT @unwomentanzania: Leo ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga #Ukeketaji kwa wanawake na wasichana! #Ukeketaji ni ukiukaji wa haki za binadamu…
0
5
0
Kwa miaka karibu 80 sasa, Umoja wa Mataifa umekuwa nguzo muhimu katika: 🇺🇳Kulisha wenye njaa 🇺🇳Kuwasaidia wakimbizi 🇺🇳Kutoa chanjo kwa watoto 🇺🇳Kutetea haki za binadamu 🇺🇳Kulinda mazingira yetu 🇺🇳Kusaidia wakati wa majanga na dharura #UN80
0
2
1
#FBF kwenda 1961. Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipotembelea Umoja wa Mataifa jijini New York. Hapa alikuwa Waziri Mkuu wa Tanganyika ambayo ilikuwa bado haijapata uhuru. Kwa picha zingine tembelea maktaba yetu hapa:
2
40
120
RT @HabarizaUN: Majimbo ya #Kordofan Kusini na #BlueNile nchini #Sudan yako ukingoni mwa janga kubwa la kibinadamu huku ghasia zikiendelea…
0
2
0
Kuwekeza katika elimu ni kuwekeza katika mustakbali bora wa nchi. Upatikanaji wa elimu bora kwa wote unaondoa matabaka, na kuwezesha jamii kustawi na kuendelea. #GlobalGoas inalenga elimu sawa na bora kwa wote.
0
2
3
TAARIFA MUHIMU: Uganda yazindua jaribio la kwanza duniani la chanjo dhidi ya virusi vya #Ebola aina ya Sudan! WHO na washirika wamejipanga haraka kukabiliana na mlipuko. Matumaini mapya katika vita dhidi ya ugonjwa huu hatari.
0
3
2
RT @HabarizaUN: Mkurugenzi Mkuu wa shirika la @UmojaWaMataifa la Afya duniani, @WHO @DrTedros Ghebreyesus amesisitiza kuwa shirika hilo h…
0
3
0
Jumanne ni Siku ya Undugu wa Kibinadamu! Siku hii inatukumbusha kwamba pamoja na tofauti zetu za dini na imani, sote ni familia moja ya kibinadamu. Tunahitaji kuelewana na kushirikiana zaidi kuliko wakati mwingine wowote. I #HumanFraternityDay!
1
1
5
“Ubaguzi unaua. Ingawa unatisha na kuchukiza, unavuma kila mahali. Ni lazima tuilaani bila kusita, bila kukawia, bila kupotoka” - Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa @antonioguterres #FightRacism
0
1
2
Hata katika vita, kuna sheria. Kutoka Gaza hadi Sudan, DRC, Myanmar, Syria, Ukraine na kwingineko, tunaona kushindwa kwa ulimwengu kulinda raia wakati wa vita. Ulinzi wa raia ni lazima. #NotATarget v @UNGeneva
0
1
3