Sometimes you are the problem, you can take all of the credit for the things you do right as long as you also take renspobility for the things you do wrong, MUST BE A BALANCE EQUATION!! 💬
Thank God, limekwisha. Over 20 yrs nimekuwa na Chronic Tonsils finally nimefanyiwa operesheni zimeonolewa, ziliika wakati zikawa zinathiri boksi ya sauti. Niwatie moyo wenye hilo tatizo msiogope mkatoe.
Mungu baba wa mbinguni akakupe kibali cha kutimiza ndoto zako za kuwa Ivona wa baadaye, Ninakubariki kwa jina la Yesu kristo, na kukuombea kila wakati ewe mtoto wa Tanzania mwenye ndoto yako na ikatimie, Nawapenda watoto wote, Na huyu akawe mfano wa Mamlaka. 🙏
Amekuwa mtangazaji mkuu wa Habari pale
@azamtvtz
lakini umeshawahi kuwaza siku Ivona Kamuntu akifanya colabo na
@SamSasali
na PJ kwenye magazeti na Mastory ya town pale Clouds 360 asubuhi? Unafikiri Colabo hili litakuwaje?
Ijumaa hii ataonekana kwenye Clouds 360 ya Clouds TV na
Happy birthday to mimi, asante Mungu, familia yangu, ma Mama, sweet babe, kampuni yangu
@azamtvtz
wadau na wapenzi wote wanaonifuatilia kwa karibu. Bila nyie hakika nisingekuwa IVONA KAMUNTU(Ninavyojitamka🤣🤣) Asanteni sana sana na Mungu atubariki
Nipo bado
@azamtvtz
@utvtz1
ni matembezi tu ya kudumisha umoja wetu, tusonge mbele. Azam News J3-Ijumaa, Jmosi - Jpili Habari wikiendi, Jarida la Wikiendi kwa ushirikiano wa
@VOANews
@citizentvkenya
na
@azamtvtz
Jumapili saa mbilk na nusu usiku!. Usikose 🙏
Facts: High Taxes kill the economy, tupate misaada na mikopo ila the devil here is the high taxes! Njia nzuri bado inabaki katika ku minimize taxes ili uchumi ukue, ni kheri ukusanye kodogo(Principal ya Mzee wetu SSB) lakini kinapatikana kuliko kisichowezekana.
Narudisha sifa na utukufu kwa Mungu baba wa Mbinguni, naendelea vizuri. Ajali imekuwa mbaya, ila Madaktari wametimiza wajibu wao pale Amana na sasa MOI, Mbarikiwe sana. Healing will take time, mapumziko hayaepukiki,Tuendelee kuombeana uzima. 🙏
Sauti ghafla ikagoma na ndo nimeanza habari baada tu ya Mukhtasari wa kwanza daah!
Any way Niko vizuri msijali ni vile nimekaa mno kwenye kipupwe nilikuwa na kikao kirefu leo kwa zaidi ya saa nane, hii ni Mara ya pili, ya kwanza nikiwa STAR Tv.
Nimerudi nyumbani binti yangu Hillary ameniambia siwezi kumkutanisha na
@SuluhuSamia
maana ana maswali angependa amuulize ambayo ameyagawa katika mpangilio wake huu.
@ikulumawasliano
Nawasilisha.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linaipongeza timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwa ushindi wa goli 3 dhidi ya timu ya Taifa ya Uganda.
Taifa Stars imefuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2019, zitakazo fanyika nchini Misri Mwezi Juni Mwaka huu.
Yusuph Makamba ni miongoni mwa Wazee ambao hawachoshi kupiga naye story kwa kweli 🤣🤣🤣, Mungu ampe afya zaidi 🙏 nimefurahi kumsikia nilimmisi sana aiseee.
Tumekubalianaje?...Sanamu la CLATOUS CHOTA CHAMA, THE GREAT Mwamba wa Lusaka
@ClatousCC
linajengwa wapi?. Afanalekiii! What a player. Yupo kwenye Dunia yake.
SIMBA HONGERENI KWA KUFUZU ROBO FAINALI YA LIGI YA MABINGWA AFRIKA KIBABE....Woow! 6-0 dhidi ya Jwaneng Galaxy?,
Tumefika sehemu wananchi tunaibiwa halafu hatuoni umuhimu wa kuripoti polisi, kimsingi hakuna mfano wa aliyeibiwa katika kaya akapata vitu baada ya kuripoti. Mtu unaingiliwa ukikosa ka TV kako, Mziki au vifaa vya umeme, unasema WAMESHANIWEZA! Unasonga 🤦♀️
These kids bwana only thing they have is technology and their phones, sasa nyie endeleeni kuwatunishia misuli wakati hurka za mwenye nacho ni majivuno hadharani basi na wao watawalazimisha muwajibike hadharani, msikimbilie kuimba nyimbo za kizalendo ili Hali waitikiaji ni wao!!
Hivi huu utamaduni wa mtu usiambiwe ukweli licha ya ukweli kuuma ni kheri usake njia za kumsakama, kutafutana, kutishana na hata kutumia mabavu kisa huwezi kuvumilia kuambiwa ukweli, umetokea wapi?? Mbona tunajikosesha utu kwasababu hutaki kuambiwa ukweli why?
Watanzania wanatoa taatifa njema za awali waliopo Ukraine kwamba wapo salama na Ushirikiano na Ubalozi ukiendelea vyema.
Japo anga imefungwa ila wanaendelea kupokea ushirikiano wa Karibu sana kutoka Ubalozini.
Wanaomba TUWAOMBEE 🙏
Happy birthday
@IvonaKamuntu
wife wa
@Nyamwihularay
. Nakutakia kheri nyingi, baraka tele na afya njema leo na kila siku rafiki yangu.
Jazakallah Kheir.
Kuna wakati unafika unaandikaaaa Halafu ukifikiri kidogo tu unafuta! Yaani!! Hadi unajihisi mfungwa hivi!! Anyways tusaidieni kufikiri kwa sasa! Tuombeane uzima.