Mapenzi si kuhusu muonekano, kwamba mpenzi wako ana six packs na anaweza kubeba tembo, au chuchu saa sita na tumbo flati kama TV ya bar kali. Mapenzi ni kupeana tafu, kuongozana na kuwashiana taa kwenye giza, kama atakua na muonekano mzuri basi ni BONUS! Using’ang’ane na LOOKS!
Huna pesa? Maisha magumu? Mipango haisogei? Milango ya kugongwa ni ya shaba? Madeni hayalipwi? Ulokua/Ulichokua unakitegemea/unamtegemea hakueleweki? Munange you’re not ALONE. Keep going. Usiwe myonge, YATAKUA TU, In Shaa Allah!
Yule Mkude kabla ya penalties alikua kawakusanya kandambili anawadanganya kuhusu penalties na wapigaji wa Simba. 🤣😂😂
Job well done Nungunungu, UMEWACHOMA.
UKIOMBA KUKOPESHWA LIPA. Trust na heshima huanzia HAPO. Ukikaa kimya SHIDA HUWA HAZIISHI. Kuna siku utakua na UHITAJI MKUBWA na HUTAKUA NA WA KUMWAMBIA maana HURUDISHAGI.
Today...
Muombe Allah akupe moyo wa kuridhika na ulivyo na alichokubariki NACHO. Akuepushe na tamaa za kidunia na kutaka maisha yaliyo nje ya uwezo wako. While at it muombe AKUEPUSHIE ROHO MBAYA na WIVU.
🤎🤍
Aibu ni ku over price ‘show’ wakati huna cha ‘kushow’. Kwa jinsi medali na trophies zilivyozurura hadi mtu akizisogezea mkono zinaukwepa, time wa kugawa ticket za BURE kwa Ndugu na jamaa imefika pengine? Kisha we pretend TUMEUZA?
Nacheeeeka!
Tajiri, nunua zote Bwana. Huna baya.
Hey Barbara... Hongera kwa nafasi yako mpya kwenye club yako pendwa. Naamini utafanya mazuri maana umekuwepo, umeona, umejifunza na sasa ni wakati wako kwa KUONGOZA. Nakutakia kila la kheri.
@bvrbvra
Muombe Mungu akuepushe na imani za KISHIRIKINA. Fundi mmoja tu, Allah Subhana Wa Taala, mlilie yeye, muombe yeye, ongea siri zako na maombi yako na YEYE! Utakupa kwa wakati wake maana yeye ndo AJUAYE kila kitu.
Mtoto wa kiume kuwa mmbea ni turn off ya teke la punda. Badala ya kuendeleza mishe kutwa kucha kuchonga mdomo kama seremala kuwasagia kunguni watu. You’ll NEVER WIN. Kila mtu unamjua wewe, kila dili ulikua na mkono wako.
Pls get a cigarette and smoke pale kona? Mengi HAYAKUHUSU!
Jamani eee, mbona kama mnataka kunigombanisha na Mama yangu… Hela ya watu wa BSS nishachukua na NISHAKULA. Hizi ni MBINU tu ya kuomba ruhusu niende KULA KEKI kisha nirudi kuja KUFANYA KAZI YANGU.
Endeleeni ku tweet PENGINE na NYIE MTAJIBIWA.
Kha!
WE’RE GOING TO EGYPT, TANZANIA IS GOING TO AFCON!!!!
OH MY GOOOD GOD!!! ALHAMDULILLAH ALHAMDULILLAH ALHAMDULILLAH!!!
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
💪🏼💪🏼💪🏼
Mara nyengine suluhisho la mapenzi sio kumuacha ulo naye sasa kwenda kwengine kwasababu ‘hakuna raha na amani na furaha tena’. Mara nyengine mapenzi huhusisha uvumilivu na upendo wa kweli, kukubali kukaa na kujenga na kuyafanya yawe kama ‘upendavyo’. Try to stick around and see.
Ukiwa unaomba msaada sehemu au unapomtongoza mtu, ACHA KABISA TABIA YA KUWASEMA VIBAYA WATU WALOPITA AU WA PEMBENI YAKO.
Uza SERA zako, pata UNACHOTAKA maisha yaende!
Weka simu pembeni ukiwa unaongea na mtu. Au sema samahani kama kuna UMUHIMU wa kugusa simu yako wakati mko kwenye mazungumzo. Hizi ni baadhi ya HESHIMA za ENZI HIZI.
Hey
@premierleague
@SkySportsPL
If you ever need a football corespondent from Tanzania I’m your girl... Just hit my DM! I’m pretty good at what I do!
😀