DStv (TZ) Profile Banner
DStv (TZ) Profile
DStv (TZ)

@DStv_Tz

Followers
21,069
Following
144
Media
20,166
Statuses
27,655

Tanzania's top entertainment destination. FOLLOW us for the latest entertainment & programming news.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined November 2016
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
TAARIFA KWA UMMA
Tweet media one
241
88
960
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Tuzichambue 6 bora za EPL Ijumaa hii ndani ya Twitter Space Ijumaa hii kuanzia saa 8 mchana. Tutakua na @iamsalehjembe , @globaltv @ahmedabdallah05 @georgeambangile @jemedarisaid pamoja na @edgarkibwana #MsimuWaSokaLaKibabe -
13
22
316
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Weka alama ya 🟢🟡 kuitakia Yanga ushindi siku ya leo wanapotuwakilisha katika michuano ya Kombe la Shirikisho.. Mechi hii utaiona Live kupitia SS Variety 3 228. Piga *150*53# kulipia kwa urahisi kifurushi chako! #MsimuWaSokaLaKibabe
Tweet media one
16
8
191
@DStv_Tz
DStv (TZ)
7 months
Wahenga wanasema; KUTANGULIA SIO KUFIKA 😂 na mbio za sakafuni siku zote uishia ukingoni #AFCONndaniSuperSport 🎺🎺🎺🏆⚽️ Kama ilivyoada hatuna mkono wa birika. Kupitia ch 225 ndani ya DStv pekee! Kwa tshs 10,000 tu! #unakosaje #onjautamuwajuunadstv
Tweet media one
27
34
176
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
DStv tunakupa nafasi ya kuzindua Filamu hii siku moja kabla ya uzinduzi . Tuambie Majina ya Directors 1.Bad Boys (1995) 2.Bad Boys (2003) 3.Badboys For Life (2020) Majibu 2 sahihi ya mwanzo kujishindia tiketi ya VIP ya uzinduzi wa filamu hii kesho.
Tweet media one
31
11
135
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
‼️TAARIFA KWA UMMA ‼️
Tweet media one
Tweet media two
26
25
139
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
63
10
130
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Mvua ya Magoli kwa Mkapa Jumamosi hii… Mchongo ni huu, wewe Mteja wa Poa panda sasa na lipia kifurushi cha Bomba tukupandishe mpaka Shangwe upate kutazama mechi hii Live! #MsimuWaSokaLa Kibabe #PandaTukupandishe
Tweet media one
9
1
107
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Wakati tukielekea kwenye Kombe la Dunia 2022, timu za ulaya zimejipanga vp? Njoo tuyajenge na @Geoffrey87Lea , @jemedarisaid @PresenterNoah na @George_Ambangil -
16
8
99
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Baada ya kumpa badjeti ya $200M na zaidi kwa ajili ya wachezaji wapya, @ChelseaFC wamemtimua Thomas Tuchel! Je ni sawa? Kwa maoni yako, kocha gani atafaa kufundisha timu ya Chelsea?
@ChelseaFC
Chelsea FC
2 years
Chelsea Football Club part company with Thomas Tuchel.
43K
49K
259K
11
7
98
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
Always in our hearts 🙏🏽 #RestInPeaceNgwea
Tweet media one
2
20
98
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Hatupoi hatuboi! Ni Simba tena ndani SuperSport pekee kwenye michuano ya CAF Champions League! Mteja wa Poa panda ulipie Bomba sh 23,000 tu tupandishe hadi cha Shangwe ufurahie mchuano huu. #MsimuWaSokaLaKibabe #PandaTukupandishe
Tweet media one
2
7
91
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
Ikiwa wewe ni mdau wa Soka weka comment yako juu ya Matokeo haya ya jana.........
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
13
6
84
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Baadhi ya wageni walioshiriki jana katika uzinduzi wa punguzo kubwa la bei za vifurushi vya DStv #WatuWakowapi Washtue washikaji kwani DStv pamenoga #KilaMtuMachoKodo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
10
6
81
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Jumapili Ndio leo, Jumapili iliyobeba mechi ya ufunguzi wa pazia la FA Community Shield, hapa Man City hapa Arsenal, kivumbi leo….!
Tweet media one
3
6
76
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Tabiri na ushinde! Jumatano hii ni Man United dhidi ya Man City ndani ya Old Traford ,je nani kuondoka na ushindi? Tuandikie utabiri wako ukiambatanisha na Smartcard number yako, ujipatie nafasi ya kushinda zawadi kutoka kwetu. #DStvInogilee
Man United
310
Man City
382
64
12
68
@DStv_Tz
DStv (TZ)
3 years
Msimu mpya wa Soka umewadia, DStv tumezindua rasmi leo Msimu wa Soka 2021/22 kupitia Bonanza linalondelea sasa kwenye uwanja wa Taifa shamba la Bibi, likishirikisha wachezaji wa timu ya Taifa wa zamani Tanzania veterans,TASWA na Timu ya DStv. Biriani Iendelee!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
8
1
65
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
Mkuu wa kitengo cha Masoko wa Multichoice Tanzania Ronald Baraka Shelukindo, akiongea katika uzinduzi wa kipindi cha Date My Family. #MMBDMF
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
5
68
@DStv_Tz
DStv (TZ)
3 years
#UEFA Super Cup Final 2021 Live ndani ya Bomba! Chelsea kukipiga na Villarreal Jumatano tar 11 kupitia SS Football, 225. Unakosaje? Lipia kifurushi chako sh 19,900 tu kwa kupiga *150*53#
Tweet media one
3
3
60
@DStv_Tz
DStv (TZ)
7 years
WCW: @MinnieDlamini ungana nae ijumaa kwenye kipindi "Becoming Mrs Jones"ijumaa @vuzutv #Womancrushwednesdaywithdstv #20yearsofawesomeness
Tweet media one
2
8
53
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Ratiba ya mechi zitakazo chezwa EPL wiki hii. Hakikusha unalipia mapema kifurushi chako kwa kupiga *150*53#. #MsimuWaSokaLaKibabe
Tweet media one
3
10
61
@DStv_Tz
DStv (TZ)
6 years
Simbaaaaaa 3-0 💪🏾🔥🔥🔥 #TumekiwashaDStv #SSFootball
Tweet media one
1
14
59
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Inakwenda kuwa Jumatano ya Kibabe sana kwa wapenzi wa #Soka ambapo wote tutaelekeza mawazo na macho yetu kwenye mtanange wa Real Madrid dhidi ya Frankfurt katika fainali ya UEFA Super Cup.
Tweet media one
3
9
60
@DStv_Tz
DStv (TZ)
3 years
Usipitwe na mtanange wa FA Community Shield ndani ya Bomba siku ya Jumamosi tarehe 7 Agosti saa 1:15 jioni Live ndani ya SS Football, 225. Je nani kuibuka kidedea? Hakikisha unapiga *150*53# kulipia mapema na kwa urahisi sh 19,900 tu #BirianiIendelee
Tweet media one
4
6
58
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Taarifa maalum kwa umma
Tweet media one
4
6
56
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Tweet media one
22
1
56
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 months
NGUVU YA BUKU 10 imerudi tena kwa MKAPA🔥🔥🔥💥 Shuhudia mitanange ya #cafchampionsleague ndani ya DStv ch 295. Ijumaa ni #Simba vs #AlAhly na jumamosi ni #Yanga vs #Mamelodi . waarabu na wazee wa amapiano wakilambishwa nyasi na wababe hawa wa Kariakoo. Piga *150*53# kulipia
Tweet media one
11
11
60
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Comment fupi fupi.......Mliuonaje mchezo huu pamoja na matokeo yake...! #MsimuWaSokaLaKibabe
Tweet media one
8
0
59
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
@AVFCOfficial @Samagoal77_ Our Boy 🔥🔥🔥
5
1
55
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 months
#yanga #tabuleleee 💛💚💛💚💛🖐🏾
Tweet media one
3
4
59
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Point 3 zitachukuliwa na kundi litaongozwa na Yanga…..! Kituo ni kile kile Supersport Variety 3 228 kinachokupa kutazama Live mechi hii! Mchongo ni huu, wewe Mteja wa Poa panda sasa na lipia kifurushi cha Bomba tukupandishe mpaka Shangwe upate kutazama mechi hii Live!
Tweet media one
3
2
58
@DStv_Tz
DStv (TZ)
6 years
The A- Team Wamekwishasafiri na wapo tayari kwa ajili ya Mashambulizi ya FIFA Kombe la Dunia kwa Lugha yetu hadhimu ya Kiswahili. Masaa machache yamebaki, Je upo tayari? #DStvNiMoto #KamaSioDStvPotezea #Connectwithgreatness
Tweet media one
2
5
54
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Hatupoi hatuboi! Monastirienne kuwakaribisha Yanga kwenye michuano ya CAF Confederation Cup! Furahia mechi hii ndani ya Shangwe! Kupitia ofa ya #PandaTukupandishe mteja wa Poa lipia Bomba sh 23,000 tu tukupandishe cha Shangwe ufurahie mechi hii #MsimuWaSokaLaKibabe
Tweet media one
3
2
56
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
#facommunityshield Mechi ya mabingwa 🏆 jumapili hii siyo ya kukosa kabisa. #sokapromax #tvnidstv
Tweet media one
4
2
55
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
Tazama mechi hii Live kesho kupitia SS5 kwa lugha ya kiswahili. Lipia kifurushi chako cha Compact sh. 44,000 kushuhudia mechi za #EPL na upandishwe kifurushi cha Compact Plus mwezi mzima bila malipo ya ziada na ushuhudie mechi hii. Vigezo na Masharti kuzingatiwa #DStvStepUp
Tweet media one
18
9
51
@DStv_Tz
DStv (TZ)
10 months
‼️MTV EMA AWARDS 2023 🎶🎙️‼️ Mpambano wa kumsaka mkali wa bara letu, mkeka umeshona. Simba Dangote #diamondplatnumz anaipeperusha #swahilination 🇹🇿 tupige kura za kutosha ili kuileta tuzo hii nyumbani. #mtvema2023paris #unakosaje #burudaninidstv
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
9
52
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Aisee DStv haijawahi kuwa nafuu kiasi hiki. Furahia punguzo la 36% kwa vifurushi vyetu huku ukipata uhondo ule ule. #KilaMtuMachoKodo #WatuMkoWapi
Tweet media one
18
14
48
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Mapema leo katika uzinduzi wa ofa kubwa ya “Kitu juu ya kitu “ uliofanyika leo katika ofisi za MultiChoice Tanzania Ni bonge la ofa Njaanuari hii ambapo kwa mteja wa kifurushi cha Family cha Tsh 29,000 akilipia atapandishwa hadi kifurushi cha Compact cha Tsh 44,000. #DStvStepUp
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
18
14
49
@DStv_Tz
DStv (TZ)
3 years
Ratiba ya #EPL wikiendi hii ndani ya chaneli za michezo za SuperSport! Hakikisha hupitwi na michuano hii kwa kulipia kifurushi chako mapema kwa kupiga *150*53# #Birianiiendelee
Tweet media one
1
6
50
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Tabiri na Ujishindie zawadi kutoka kwetu! Kati ya Barcelona na Man United ni timu ipi kuondoka na ushindi? weka utabiri wako huku ukimbatanisha na Smartcard number yako #UEFA
Barcelona
501
Man United
188
67
5
43
@DStv_Tz
DStv (TZ)
7 months
Maswali ni mengi 🤔 mbona ch 222 haipo kifurushi cha POA? Ondoa wasiwasi ch 222 itapatikana ndani ya kifurushi cha POA katika muonekano ang’avu (HD) kuhakikisha unashuhudia mubashara michuano yote ya #AFCON #unakosaje #afconndaniyasupersport
Tweet media one
7
3
49
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
⚽️🔥Hapa United pale Villa, karata yako unampa nani ? #LiveSportsReturns
Greenwood
328
Samatta
301
6
9
46
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Ile siku tuliyokuwa tukiongejea sasa imewadia!!!! Kaa tayari kupokea #MTAZAMO kombingenga la kibabe likimleta Zainab Chodo pamoja na @masoudkipanya kila Jumatatu-Ijumaa saa 2 usiku ndani ya @cloudsplus DStv mamba 294, kwa kifurushi cha Bomba 19,000 tu #kilamtumachokodo
Tweet media one
1
4
47
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Hayo maoni ya @nikkwapili ndio kuhusu game ya leo, Kama wewe ni shabiki wakati wako ndio huu, na watag mashabiki wa Man United wote unaowafahamu kutoa mtazamo wao. #DStvInogile
5
2
47
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Tutakukumbuka Daima
Tweet media one
1
11
46
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Mchaka mchaka kuelekea Kombe la Dunia 2022 unazidi kushika kasi. Na hivi ndivyo chaneli zilivyopangwa kuhakikisha unapata mechi zote 64! Uhakika wa kutazama mechi zote 64 unaupata ikiwa una DStv na umelipia kifurushi cha Compact.
Tweet media one
12
8
47
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
Je Ni njia gani kati ya hizi amabayo unapendelea zaidi kutumia kufanya malipo,kubadili kifurushi pamoja na kupokea taarifa kutoka DStv ?
My DStv App
64
Whatsapp
86
USSD (*150*53#)
120
Tovuti ya DStv
13
37
5
43
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Mzigo wote huu unaupata kupitia kifurushi cha Poa cha 10,000/= tu. Piga *150*53# kulipia kwa urahisi zaidi kifurushi chako ili usikose burudani hii. #TVNiDStv #Unakosaje
Tweet media one
4
10
47
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Lazima kiumane Jumamosi hii… Mchongo ni huu, wewe Mteja wa Poa panda sasa na lipia kifurushi cha Bomba tukupandishe mpaka Shangwe upate kutazama mechi hii Live! #MsimuWaSokaLa Kibabe #PandaTukupandishe
Tweet media one
1
1
45
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
Mipira ⚽️⚽️ inaendelea kubamba ndani ya DStv, Alhamisi hii ni 🔥🔥 na nyasi zitaomba poo, Mbwana Samatta kukipiga na Red Devils. Nani kuibuka kidedea?.. Piga *150*53 kulipia kifurushi chako cha Compact sh 44,000 tu kushuhudia mtanange huu. #EPL #LiveSportsReturns
Tweet media one
0
2
43
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Tuzichambue 6 bora za EPL Ijumaa hii ndani ya Twitter Space Ijumaa hii kuanzia saa 8 mchana. Tutakua na @Salehjembe79 @globaltv @ahmedabdallah05 @georgeambangile @jemedarisaid pamoja na @edgarkibwana #MsimuWaSokaLaKibabe
Tweet media one
2
4
43
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Kivumbi cha EPL kinaendelea na leo hii, Chelsea wanakwenda kuparuana na Manchester City, je tutegemee matokeo yapi...?
Tweet media one
3
3
43
@DStv_Tz
DStv (TZ)
6 years
Wapenzi wa mpira mpo? Mteja anaetumia Bomba(19,000),Family(39,000)akilipia kwa muda atazawadiwa chaneli Compact69,000/- na anaetumia Compact(69,000),Compact plus(109,000)chaneli za mpira Premium169,000/-siku 7. #DStvThanks #MotoHauzimi #KamasioDStvPotezea
Tweet media one
8
12
41
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
Ni wiki nyingine tena na mambo ya EPL yanazidi kuwa 🔥🔥🔥 Manchester City wakiwa weneyeji wa mechi yao dhidi ya Burney, je kwa uwezo wa City je unadhani Burnley watatoboa? Tukutane saa 4 usiku ndani ya Supersport 3 kupitia kwa kifurushi cha Compact 44,000 tu. #LivesportsReturns
Tweet media one
0
2
44
@DStv_Tz
DStv (TZ)
3 years
Je Man United kuendeleza ubabe wao leo...? Hakikisha hupitwi kwa kulipia mapema kifurushi cha Compact 51,000/- ili usikose mtanange huu. #BirianiIendelee
Tweet media one
4
1
43
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Mkuu wa Masoko wa kampuni hiyo, Ronald Shelukindo, amesema kuwa msimu huu wa soka, DStv inawahakikishia wateja wakewote kuendelea kuliona soka katika muonekano bora zaidi huku wakiweza kufuatilia ligi ya Uingereza yatakayorushwa kwa lugha ya Kiswahili. #SokaMwaMwiNaDstv
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
8
3
41
@DStv_Tz
DStv (TZ)
3 years
Wanaofungua pazia la EPL wikiendi hii ni Arsenal dhidi ya Aston Villa. Kwa sh 9,900/- tu utapata kutazama mechi hii Live leo saa 4 usiku kupitia Supersport Football 225. Piga *150*53# kulipia kwa urahisi kifurushi chako ili usikose burudani hii. #birianiiendelee
Tweet media one
0
3
41
@DStv_Tz
DStv (TZ)
3 years
Baada ya kuonyesha ubabe ndani ya UEFA Super Cup, je Chelsea wataendeleza nguvu hiyo ndani ya EPL…? Piga *150*53# nalipia kifurushi cha Bomba 19,900 tu ili kutazama mechi hii. #BirianiIendelee
Tweet media one
2
2
42
@DStv_Tz
DStv (TZ)
3 years
Bado siku 4 Biriani Iendelee! Kaa tayari kwa msimu mpya wa soka ambapo mechi zote Ligi Kuu Ya Uingereza EPL utaipata kupitia kifurushi cha Compact 49,900 tu. #BirianiIendelee
Tweet media one
3
1
41
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
Jumapili hii ni kufa na kupona, #EPL 🔥🔥Leicester City kukipiga na Manchester United nani kuibuka mshindi namba 3?Westham nae dhidi ya Aston Villa,Samatta ataweza kuendelea kwenye mashindano ya EPL mwakani? Piga *150*53 kulipia kifurushi chako chako mapemaa. #LiveSportsReturn
1
2
41
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
Shule ndani ya DStv! Waruhusu watoto kujifunza masomo mbalimbali kupitia chaneli zetu za Elimu. #TupoNawe
Tweet media one
0
1
41
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
ZBC sasa ndani ya DStv! Furahia maudhui kabambe na ya kusisimua ikiwemo habari, makala, elimu, michezo na burudani. ZBC sasa inapatikana kupitia DStv Chaneli namba 291 kupitia vifurushi vyote kuanzia kifurushi Bomba shillingi 19,000 tu #DStvInogilee
Tweet media one
Tweet media two
10
6
39
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Shabiki wa Man United @nikkwapili anasema ushindi Ni lazima Jumamosi hii ndani ya OT. Je utabiri wako wewe Ni upi? Kwa kifurushi Bomba 19,000 tu utashuhudia mtanange huu Jumamosi saa 12 jioni kupitia SS10. #TiaKituPataVituz #JiungeNaFamilyYetu
1
2
38
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Mpera mpera wa michuano ya CAF Confederation Cup unaendelea… Je ni nini utabiri wako juu ya timu inayotuwakilisha leo, timu ya Yanga…..?
Tweet media one
6
4
41
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Baada ya kuwakalisha Waganda kwao sasa wanakuja kwetu.. ⚽️Simba v Vipers Kwenye viwanja vya nyumbani lazima mtu akae! Kifurushi cha Bomba cha 23,000/= tu kinachokupa kutazama Live mechi hii! Piga *150*53# kulipia kwa urahisi zaidi kifurushi chako. #MsimuWaSokaLaKibabe
Tweet media one
1
0
40
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Jumamosi si ndio leo! Timu Horoya inakipiga na timu Simba wakiwa ugenini! Mashabiki wa Simba watafurahia ushindi au watapigwa? Kupitia #PandaTukupandishe mteja wa Poa lipia kifurushi cha Bomba tukupandishe cha Shangwe ufurahie mechi hii. #MsimuwaSokaLaKibabe
Tweet media one
2
3
40
@DStv_Tz
DStv (TZ)
6 years
Here they come....WEUSI Multichoice Tanzania proudly announce WEUSI ( @nikkwapili @johmakinitz @gnakowarawara ) as DStv Ambassodor. Let us keep it rolling! Multichoice Tanzania inayofuraha kuwatambulisha rasmi WEUSI kuwa Mabalozi wa DStv. #kamasiodstvpotezea #dstvnimoto 🔥🔥🔥
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
6
39
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Jumapili hii Yanga wanashuka Congo kwenda kuwakabili TP Mazembe katika mechi za mwisho za makundi ndani ya Kombe La Shirikisho...
Tweet media one
2
2
40
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 months
Tweet media one
0
4
41
@DStv_Tz
DStv (TZ)
11 months
Itafahamika Leo 🔥⚽️🫱🏾‍🫲🏼 Usikose kuangalia #uefachampionsleaguedraw leo saa 1:00 usiku ch 225 Piga *150*53# kulipia #unakosaje
Tweet media one
1
2
40
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Hapa Chelsea hapa Southampton kwenye mchuano wa #EPL ... Kikosi kipi kuibuka kidedea? Piga *150*53# kulipia kifurushi chako cha Poa sh 10,000 tu ufurahie mechi hii Live. #MsimuWaSokaLaKibabe #PandaTukupandishe
Tweet media one
2
1
41
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Ratiba ya #Laliga wikiendi hii ni 🔥🔥🔥🔥. hakikisha unalipia mapema kifurushi chako usikose uhondo! #SokaMwaaMwii #AlwaysFootballTime #SSFootball #KilaMtuMachoKodo
Tweet media one
2
3
35
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Umeanzaje Jumatatu yako? Ungana na Zainab Chodo pamoja na @masoudkipanya kila siku ya Jumatatu-Ijumaa saa 2 usiku ndani ya @cloudsplus DStv mamba 294, kwa kifurushi cha Bomba 19,000 tu #kilamtumachokodo
Tweet media one
1
1
37
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Man United uso kwa uso na Arsenal!!! Kwa takwimu hizi ukilinganisha na viwango walivyonavyo timu hizi, je ni timu ipi kukalishwa? Tukutane saa 4:00 usiku ndani ya SS3 kwa kifurushi Compact 44,000 tu. #SSFootball #SokaMwaaMwii #AlwaysFootballTime
Tweet media one
2
6
40
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Wakwetu! chezo la Community Shield 🛡️⚽️🛡️lipo kitonga linakuja kwa kasi ya kimondo. Usikose michuano hii inayotazamiwa kuanza mapema mwezi wa 8, Man CIty vs Arsenal. Ni ndani ya kifurushi cha Poa kwa sh 10,000 tu. #sokanidstv #unakosajesasa
Tweet media one
2
4
39
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
Huu utakuwa ni mdahalo wa mwaka pale ambapo wababe wawili wa siasa za Marekani kwa sasa Donald Trump na Joe Biden watakapotoana jasho. Kila mmoja atataka kuudhihirishia ulimwengu kuwa anastahili kuwa Raisi wa Marekani. Je kipi kitajiri, nani kuibuka kidedea nani kulamba mchanga?
Tweet media one
4
3
36
@DStv_Tz
DStv (TZ)
3 years
Burnley kukipiga dhidi ya Liverpool ndani ya uwanja wa The Mystery na @georgeambangile atarusha matangazo ya mechi hii kwa lugha ya Kiswahili. Tutegemee matokeo gani ndani ya dakika 90? Lipia kifurushi mapema kwa kupiga *150*53# na uweke chaneli namba 223. #Birianiiendelee
Tweet media one
4
2
39
@DStv_Tz
DStv (TZ)
3 years
Biriani Iendelee! Kaa tayari kwa msimu mpya wa soka ambapo mechi zote Ligi Kuu Ya Uingereza EPL utaipata kupitia kifurushi cha Compact 49,900 tu. #BirianiIendelee
Tweet media one
11
1
35
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Waikati tukijiandaa kushuhudia Kombe la Dunia 2022, karibuni tubonge mawili matatu kuhusu tamasha hili na @George_Ambangil @KibwanaEdgar @Geoffrey87Lea na @AhmedAbdallahTL
2
3
36
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
Shule ndani ya DStv! Waruhusu watoto kujifunza masomo mbalimbali kupitia chaneli zetu za Elimu. #TupoNawe
Tweet media one
1
2
37
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Chaneli za Tanzania sasa ndani ya DStv Mapema asubuhi ya leo katika ofisi za DStv , Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye ametangaza kurejeshwa kwa chaneli za Tanzanzania (Local channels) kwenye mfumo wa matangazo wa moja kwa moja wa Satelite kuanzia wiki hii
Tweet media one
19
6
36
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Ukurasa ni wenu sasa hapa Uganda watachapwa ngapi Jumanne hii..? Kifurushi cha Poa cha 10,000/= tu kutazama Live mechi hii, piga *150*53# kulipia kwa urahisi zaidi. #MsimuWaSokaLaKibabe
Tweet media one
1
0
37
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Je Mwana Af anakuambia yeye anaamini kabisa Asernal watafungwa na Manchester United nini maoni yako mdau wa soka juu ya mechi hii?usikose uhundo huu Jumatatu hii. Lipia mapema kifurushi cha Compact 44,000 tu kupitia SS3 au piga 0659070707 kujiunga na DStv pekee.
13
6
37
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
Muangalie Samatta akifanya makeke yake ndani ya timu ya Aston Villa kupitia Ligi kuu ya Uingereza pamoja na Carabao Cup. Lipia kifurushi chako cha Family na upandishwe kwenda Compact na utazame #EPL pamoja na Carabao Cup mwezi mzima bila malipo ya ziada. #DStvStepUp
Tweet media one
4
14
36
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Hayawi hayawi sasa Yamekua! Tune in chaneli namba 389 leo hii tarehe 27 saa 5:00 kamili ufurahie vipindi mbalimbali ndani ya chaneli hii. Usikubali kupitwa! #zimerudikwao
Tweet media one
17
4
36
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Simba tena ndani ya Supersport..! Lazima kuwake kwa mkapa Jumamosi hii wakati ambapo Simba watavaana na Casablanca ikiwa ni michuano ya CA Championship na mechi hii utaiona Live kupitia kifurushi cha Shangwe.
Tweet media one
4
2
35
@DStv_Tz
DStv (TZ)
5 years
BamTeddy 💏💏💏 Fuatilia hadithi tamu ya penzi lao kupitia makala maalumu itakayoanza kuruka Jumapili hii ndani ya chaneli Africa Magic Family 154 kwa kifurushi cha Bomba 19,000 tu. #BAMTEDDY #KilaMtuMachoKodo
Tweet media one
2
9
32
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Wikiendi ya Tanzania na Uganda, maana tunaanza na mechi ya kufuza Afcon leo, na Jumamosi Masumbi, Mandonga akikipiga dhidi ya Mganda Kenneth Lukyamuzi.... Burudani yote hii ni kifurushi cha Poa cha 10,000/= tu! Piga *150*53# ili usikose burudani hizi za kibabe
Tweet media one
2
2
36
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
Mambo ni 🔥🔥🔥 ndani ya ulimwengu wa kimichezo #SSRelive . Tazama maudhui mbalimbali ya kimichezo kupitia chaneli za Supersport. #TupoNawe
Tweet media one
0
3
36
@DStv_Tz
DStv (TZ)
7 years
Exclusive ya harusi Ya @professorjaytz ndani ya #harusiyetu Alhamisi hii saa 1 usiku kupitia @MaishaMagicTZ (160).
Tweet media one
1
2
34
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Wakati tukisubiri msimu mpya wa soka, kwanza na Premier League Summer Series..! Na hii ni zaidi ya kitonga, Yani kwa mtonyo wa 10,000/= tu unapata kutazama mechi 8 za Summer Series. Piga Sasa *150*53# kulipia kwa urahisi zaidi. #TVNiDStv #Unakosaje
Tweet media one
3
3
36
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Arsenal kuwakaribisha Brentford Jumamosi hii! Brentford wataezana? Au Arsenal watakaza waendelee kuongoza ligi? Kupitia #pandatukupandishe mteja wa Bomba Lipia Shangwe tukupandishe Compact ufurahie mchuano huu. Kulipia piga *150*53# #msimuwasokalakibabe
Tweet media one
1
1
36
@DStv_Tz
DStv (TZ)
3 years
Mechi za EPL wikiendi hii. Kulipia piga *150*53# kulipia kifurushi cha Bomba 19,900 tu, ili kutazama mechi hizi. #BirianiIendelee
Tweet media one
Tweet media two
0
2
34
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Tumetinga hatua ya Nusu Fainali, na mechi ya mzunguko wa kwanza tunaicheza nyumbani. Yanga v Gallants DStv tunakupa kutazama mechi hii Live kupitia kifurushi cha Poa cha 10,000/= tu, lipia mapema kwani Jumatano hii kwa Mkapa hatoki mtu. Piga *150*53# kulipia kwa urahisi zaidi.
Tweet media one
2
4
35
@DStv_Tz
DStv (TZ)
4 years
Lipia kifurushi cha DStv sasa, na upandishwe cha juu yake bila malipo ya ziada, ambayo ni sawa na punguzo la 35% , ikiwa ni shukrani kutoka DStv kwako wewe Mteja Wetu! Kwa nini upitwe na mambo mazuri kama haya? Jiunge sasa na DStv kwa kupiga 0659 070707. #thereforyou
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
3
34
@DStv_Tz
DStv (TZ)
2 years
Kaa mkao wa kula! Jiandae kufurahia burudani mbalimbali kupitia chaneli pendwa ya Startv itakayokujia hivi karibuni kupitia namba 389! #zimerudikwao
Tweet media one
9
2
33
@DStv_Tz
DStv (TZ)
6 years
Mechi ya Fainali #UEFA ilikuwa hatari hasa baada ya Mo Salah Staa wa Liverpool kuumia dakika 30 baada ya mechi kuanza hivyo kusababisha Liverpool kumpoteza mchezaji wao uyo, Je unamaoni gani kuhusu Ushindi wa Madrid wa 3-1? #SSFootball #DStvNiMoto #KamasioDStvPotezea
Tweet media one
6
4
34
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
Jenne Li ndio pair nyingine iliyoyaga mashindano ya Big Brother Titans.. Lakini Drama bado zinaendelea,fuatilia show hii kali ya kupitia chaneli ya BBT 198 inayopatikana kupitia kifurushi cha Bomba cha 23,000/= tu.
Tweet media one
0
2
35
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
🤔🤷🏽‍♀️🫵🏾👇🏾 #sokapromax 🔊⚽️🏆⚽️💥 #unakosaje #premierleague
Tweet media one
7
3
34
@DStv_Tz
DStv (TZ)
1 year
⚽️France v Netherlands Hapa karata ya ushindi unaitupia wapi…?
Tweet media one
2
1
34