edgar kibwana Profile
edgar kibwana

@KibwanaEdgar

Followers
40,932
Following
203
Media
2,591
Statuses
3,225
Explore trending content on Musk Viewer
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
Benard Morrison atakosekana mchezo wa kesho dhidi ya Mtibwa Sugar kwa sababu za kifamilia. Lakini katika picha anaonekana akizindua Taasis yake ya Benard Morrison nchini 🇬🇭Ghana. #KupangaKuchagua #UsiaminiVicheko
Tweet media one
161
101
4K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
Kila la Heri Feitoto
Tweet media one
42
31
3K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Hakuna shaka ndiye kiungo BORA kwa sasa 🇹🇿Tanzania.
Tweet media one
77
56
3K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
" Kaja dirisha dogo na ndio kwanza ana miezi 5 🇹🇿Tanzania.Sijui msimu ujao itakuwaje...." Mdau
Tweet media one
44
48
3K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Streka Chris Mugalu.... Maisha yanaenda kasi sana......
Tweet media one
12
35
3K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Streka Fosi Jina : Peter Shalulile Miaka : 28 Klabu : Mamelodi Sundowns Mshahara: 🇿🇦R 400000 = 🇹🇿Tsh Milioni 51 Uraia : 🇳🇦 Mnamibia
Tweet media one
47
45
3K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Moja kati ya makocha wenye kiburi sana cha ujuaji na kujua anachofanya. Mudathir nje Aziz Ki nje Timu inacheza vizuri kabisa.
Tweet media one
75
70
3K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
10 months
Timu ya Taifa ya Morocco imefika Tanzania 🇹🇿 tayari kwa mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Taifa Stars.
Tweet media one
29
51
3K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
Mudathir anacheza namba 10 Aziz Ki anaanzia benchi Hana Feitoto He is Profesa NB: Njia pekee ya kuwazuia Yanga Nabi apewe TIMU YA TAIFA au Aondoke nchini.
Tweet media one
45
79
3K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
Baada ya mchezo hapo jana , Rais wa 🇫🇷 Ufaransa Emanuel Macron alitembelea vyumba vya kubadilishia nguo vya tumu ya Taifa ya 🇲🇦Morocco na kumuambia Sofyan Amrabat mbele ya wenzake kuwa"wewe ndie kiungo bora mkabaji wa Michuano ya Kombe la Dunia 2022...."
Tweet media one
30
61
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
7 months
#EKsports || Klabu ya Simba imeuchagua uwanja wa New Amaan Complex wa visiwani Zanzibar kuutumia kwenye michezo yake ya kimataifa na ya ndani [Ligi ya mabingwa Afrika, FA na Ligi Kuu.
Tweet media one
45
68
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
MAENDELEO NI MCHAKATO... 🇹🇿 Simba SC vs 🇲🇦Wydad (Wydad Mabingwa Ligi ya Mabingwa × 3) 🇹🇿Simba SC vs 🇿🇦Mamelodi ( Mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika ×1 ). 🇹🇿Simba SC vs 🇹🇳 Esperance (Esperance ni Mabingwa ×4 Ligi ya Mabingwa Afrika). Maisha yanaenda Kasi sana.......
Tweet media one
30
74
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
" Mtanzania pekee kuwepo katika kikosi cha WIKI cha Ligi ya Mabingwa Afrika Raundi ya 5 kutoka kikosi cha Simba SC lakini bahati mbaya hayupo kuwakabili 🇺🇬Uganda ........" Mdau DM #UsiaminiVicheko
Tweet media one
46
64
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
Tweet media one
28
52
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Uungwana Michezoni kati ya Mzamiru na Fiston Kalala
Tweet media one
28
47
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
10 months
#EKsports || Signed an Sealed 😃 watu wapo serious sana aisee😃
Tweet media one
47
46
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
5 months
Kilipotoka Kikosi cha Yanga SC na wengi kuona Jonas Mkude ameanza na Aucho hayupo maswali yalikuwa mengi sana.Binafsi naamini Mpango kazi wa mwalimu unaanzia mazoezini... Mchezaji mkubwa katika mechi kubwa.Uzoefu na nidhamu ya mchezo kwa Jonas Mkude.
Tweet media one
25
50
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
25 days
"Kuliko kuichezea KMC, bora nikavue Samaki kwetu Unguja......" Awesu Awesu
Tweet media one
66
41
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
Simba wanafanya michuano ya Kimataifa kuonekana mirahisi sana ila kiuhalia haipo hivyo...
Tweet media one
36
51
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
"Mchambuzi,mbona Dejan Georgijevic alivunja mkataba kupitia instagram na klabu ikamalizana naye kiroho safi.Lakini huyu mwingine mpaka kwa PILATO....?...." TARATIBU ZIFUATWE
Tweet media one
133
43
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
🇿🇲Zambia YASHINDA BILA CHAMA... FT: Zambia 3-1 Lesotho
Tweet media one
41
22
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
Maisha yanaenda kasi sanaa...
Tweet media one
23
28
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Pep aliijenga 🇪🇦Barcelona akaondoka Zidane aliijenga 🇪🇦Real Madrid akasepa Carlo Ancelloti aliijenga 🇮🇹 Ac Milan akasepa Sir Alex Ferguson aliijenga 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Manchester United naye akasepa Profesa ...........
Tweet media one
109
34
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
JONAS MKUDE Miongoni mwa wachezaji wachache nchi hii kuitumikia klabu moja pekee katika maisha yake ya Soka na bado anaendelea kuitumikia klabu hiyo. Legend wa Simba SC
Tweet media one
8
41
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
....Sijui tumeishiwa vya kujadili. Sijui huwa tunawaza nini. Sijui nani aliileta hii stori ya Bus la Simba kurudi kinyumenyume. Soka letu lina mengi ya kuyajadili kuliko hili Bus la Simba. Nchi haina kocha wa timu ya Taifa. Nini tufanye?
Tweet media one
211
52
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Baleke baada ya mechi ya leo kamtazame Mzize ujue jinsi ya umaliziaji...
Tweet media one
59
42
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Hii Yanga ni bora zaidi ya msimu uliopita, inakupa burudani na magoli pia, hii kampeni ya goli tano itakuja kutufanya timu zingine zisiingize timu uwanjani😃. FT: YANGA 5-0 JKT TANZANIA.
Tweet media one
21
55
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Klabu ya Al Hilal ya nchini 🇸🇩Sudan ipo tayari kutoa 💲600,000 sawa(Tsh 1.38b) kumsajili mchezaji wa Yanga SC Fiston Kalala Mayele.
Tweet media one
63
40
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Ni wakati wa Sopu kupata changamoto sehemu nyingine sasa.Moja ya wachezaji wazuri wazawa kwa sasa hapa nchini.
Tweet media one
38
30
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Simon Msuva amejiunga na klabu ya JS Kabylie ya Algeria kwa mkataba wa miaka 2.
Tweet media one
2
28
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
9 months
Neno moja kwake
Tweet media one
33
27
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Nadhani Yanga walipaswa kutoa taarifa kwa mashabiki zao ili wajue wako wapi hawa nyota wao. Kukaa kimya hivi haina mantiki yoyote.
Tweet media one
165
44
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
"Kalala ana kitu cha kunifunza kutoka kwa Jean..." Mdau #UsiaminiVicheko
Tweet media one
85
39
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Kwa sasa ndiye beki bora mzawa katika Ligi Kuu.
Tweet media one
33
12
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Nyota wa klabu ya Simba Pape Ousmane Sakho amemtakia kila la Heti nyota mpya wa kikosi hicho Luis Jose Miquissone ambaye ataivaa jezi namba 10 msimu ujao, ikumbukwe pia Sakho alikua akitumia namba hiyo akiwa Simba.
Tweet media one
4
32
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Sahau kuhusu Aishi wala Djigui Sahau kuhusu EDOUARD Mendy kwa sasa Andre Onana ndiye kipa bora barani Afrika.
Tweet media one
18
21
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Historia ya Timu ambazo zimefanya MAAFA LIGI YA MABINGWA AFRIKA: • 1998: 🇲🇦Raja [6-0] 🇹🇿Yanga • 2001: 🇮🇪ASEC Mimosas [7-0] CR 🇩🇿Belouizdad • 2019: 🇨🇩TP Mazembe [8-0] 🇹🇳Club Africain 2023: 🇹🇿Simba [7-0] 🇬🇳Horoya #UsiaminiVicheko
Tweet media one
33
65
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
YANGA ndio timu pekee kutoka 🇹🇿Tanzania kuifunga 🇨🇩TP Mazembe nyumbani na ugenini Michuano ya Ngazi ya klabu barani Afrika.
Tweet media one
43
40
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Tweet media one
29
29
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
"Jambo la kusikitisha ni kuwa wakati wenzake wanarudi katika timu zao yeye anarudi mtaani......." Mdau
Tweet media one
72
24
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Baada ya mazungumzo marefu baina ya upande wa Yanga na Fiston Mayele hatimae mambo yameeleweka na atatimkia Pyramids ya Misri baada ya mchezaji mwenyewe kuomba kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine.
Tweet media one
21
34
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
"Sema basi tu ila jamaa mbabe kwa NABI na kachukua NGAO kwa Gamondi.Kifupi jamaa ni Mbabe sana kwa Yanga......" Mdau
Tweet media one
47
41
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Hawa AL HILAL wanamkosa mtu kama CHAMA.
Tweet media one
45
17
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
7 months
Katika maiaha ya MPIRA kama mchezaji pia OMBA uwe na bahati. Mjomba Inonga ndani ya Nusu Fainali
Tweet media one
14
22
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
Mheshimiwa Naibu Waziri wa Utamaduni ,Sanaa na Michezo hongera sana kwa uteuzi na sisi wanamichezo tutakupa USHIRIKIANO.
Tweet media one
11
24
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Leo klabu ya Simba imecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Kipanga ya Zanzibar na kumalizika kwa matokeo ya Ushindi wa goli 3-0. Magoli ya Simba yamefungwa na Aubin Kramo, Moses Phiri na Luis Miquissone
Tweet media one
19
27
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Msimu Ujao........
Tweet media one
10
12
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Msimu huu katika ligi ya mabingwa klabu ya Simba itaanzia hatua ya pili kuelekea makundi sawa na vilabu vya Wydad AC, Al Ahly, Esperance, Mamelod Sundowns, Petro de Luanda, TP Mazembe, Enyimba, CR Belouzdad na Pyramid fc.
Tweet media one
19
36
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
"Hv lini hizi timu kongwe zitajenga Viwanja vyao.....Kongole sana IHEFU.." Mdau
Tweet media one
40
25
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
"Si nchi zote zinawawakilishi katika Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho barani Afrika 2022/23. Kama 🇹🇿Tanzania tuna kila sababu ya kusema ni hatua kubwa sana kama NCHI katika maendeleo ya SOKA ......"
Tweet media one
16
36
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
21 days
Jean Charles Ahoua sio mchezaji mbaya hata kidogo ila kwa Awesu Awesu kocha Fadlu anakuwa machaguo mengi ya eneo la ushambuliaji kutokea katika kiungo. Awesu Awesu top 🇹🇿Tanzanian talent
Tweet media one
10
26
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Kutoka kulazimishwa kuwa Daktari wa binadamu mpaka kuwa mshambuliaji hatari sana Ulaya. Victor Osimhen...Chelsea mchukueni Didier Drogba mpya huyo.
Tweet media one
24
30
2K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Tweet media one
47
38
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
"Wamezoea maisha haya ... Wanaitangaza nchi kila sehemu ikija kutoka makundi kwenda Robo fainali Hawana presha kabisaaaa Fahari ya nchi michuano ya kimataifa......" Mdau
Tweet media one
24
42
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Umekumbuka nini juu ya Rally Bwalya
Tweet media one
28
19
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Kwa mujibu wa shirika la tafiti na habari Duniani la IFFHS limeitaja klabu ya Yanga kama klabu namba tatu (3) Barani Afrika ikiwa nyuma ya Al Ahly na Wydad Casablanca. Hizi ni takwimu za kuanzia mwezi wa tisa (9) mwaka Jana hadi mwezi wa nane (8) mwaka huu.
Tweet media one
61
52
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
TUISILA KISINDAAA WINGA TELEZA Ndio mchezaji pekee 🇹🇿Tanzania mwenye medali ya Kombe la Shirikisho Afrika akiwa anacheza Yanga SC.
Tweet media one
19
16
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
11 days
Hakuna timu imchukue hata kwa mkopo acheze Ligi ya Mabingwa Afrika au Kombe la Shirikisho ... Ubora wake na uwezo wake unatosha sana kumfanya acheze makundi Michuano ya Afrika ngazi ya klabu msimu huu. #KupangaNiKuchagua
Tweet media one
272
38
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
"Katika hizi pasi za magoli mbona hakuna mchezaji wa Yanga...!?..." Mdau DM
Tweet media one
189
28
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
8 months
Hello Abidjan...
Tweet media one
11
17
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
😀😀😀😀
Tweet media one
25
38
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
9 months
#EKsports || Young Africans imekamilisha usajili wa mkopo wa mshambuliaji wa Kaizer Chiefs Ranga Chivaviro usajili ambao utatambulishwa kwenye dirisha dogo la usajili la mwezi January.
Tweet media one
13
30
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 months
Baada ya msimu wa mateso kwenye klabu ya Manchester United kumalizika, nyota wa klabu hiyo Sofyan Amrabat amekuja kufurahia likizo yake kwenye mbuga ya @mikumi_nationalpark Tanzania imekuwa sehemu salama sana kwa wachezaji mbalimbali Duniani kujivinjari.
Tweet media one
7
26
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Alianza kuamini katika uwezo wa Kibu D na kumpa tuzo katika mazoezi ya Simba SC.The rest ni historia......
Tweet media one
7
21
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Afisa habari wa klabu ya Yanga Ali Kamwe amesema sababu ya kuipamba zaidi jezi namba sita ni kwasababu za kibiashara zaidi, pia jezi namba sita ilikuwa ni kwaajili ya burudani kwa mashabiki. Kamwe amesema Yanga imeingiza pesa nyingi katika utambulisho.
Tweet media one
35
31
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
14 days
Kutana na Top Scorer (Mfungaji Bora ) wa Simba SC Valentino Mashaka Mechi 2 Goli 2
Tweet media one
9
23
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Vipi timu zetu za 🇹🇿Tanzania
Tweet media one
20
23
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Kwa mujibu wa shirikisho la soka nchini Sudan limethitisha mchezo kati ya El Merreikh dhidi ya Yanga SC utachezwa nchini Morocco badala ya Rwanda ambapo waliitumia kwenye mchezo wa hatua ya awali.
Tweet media one
13
29
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
"Kwenye maisha OMBA bahati...." Mdau
Tweet media one
12
16
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 months
Aucho vs Aziz Andambwile......2024/25
Tweet media one
9
21
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Robertinho ni Nabi ajaye......
Tweet media one
73
11
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
Makomandoo wanalinda Uwanja ambao si wa klabu yao ilhali Viongozi wao wamehaidi ujenzi wa Uwanja kwa nyakati tofauti.Inafikirisha......
Tweet media one
57
15
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Kinachoenda kufanyika ni kukimbizana zaidi kuliko kucheza mpira😃.
Tweet media one
27
16
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Mtibwa walishaamua kuchukua njia yao ya kupata wachezaji.Shida ni moja tu wanajiendesha kimazoea na hawataki kushindana kupata nafasi ya kucheza Michuano ya Kimataifa pamoja na rasilimali walizonazo.
Tweet media one
8
21
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
Maisha ni HATUAA.... Mwaka 2020 Arsenal ilishinda Kombe la FA ikiwa na kikosi hicho hapo katika picha.Leo wanaongoza LIGI pasipokuwa na mchezaji hata mmoja kati ya wale waliochukua Kombe la FA. AMINI MCHAKATO....
Tweet media one
453
35
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
11 months
Tukaione TP Mazembe vs Esperance de Tunis....Bureeee
Tweet media one
10
22
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
"Mshahara anaopata ni mkubwa sana na anastahili kwa makubaliano ya kkabu na yeye ila mchezaji wa KAWAIDA....". Mdau
Tweet media one
115
24
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
8 months
Ukiangalia magoli ya NGUSHI unaona ni suala la kupewa nafasi na kuaminiwa tu katika timu . Kifupi NGUSHI ni mmaliziaji mzuri sanaa.........
Tweet media one
23
20
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
9 months
Namuona Nickson Kibabage kuwa nyota wa mchezo LEO...vs Medeama.
Tweet media one
8
20
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Novatus Dismas aka Alessandro Bastoni Sitoshangaa baadae nikimuona Ufaransa au Ujerumani au Hispania.Ana uwezo wa kucheza nafasi zaidi ya moja uwanjani. ✅Beki wa kushoto ✅Beki wa Kati ✅Kiungo Kwa umri wake ana nafasi ya kukua zaidi.
Tweet media one
14
21
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 month
✔️Msemaji wao ni mmoja ✔️Timu haina Kombe la Ligi wa Kombe la TFF ✔️Wachezaji wao wachache wanajulikana ✔️Kocha mpya na benchi jipya la ufundi ✔️Wamejaza Tamasha lao.....
Tweet media one
82
59
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Klabu ya Mamelod Sundowns inataraji kutua nchini Tanzania wakati wowote wakitokea nchini Afrika Kusini kwaajili ya mchezo wao wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Bumamuru ya Burundi utakaopigwa ijumaa hii.
Tweet media one
8
16
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
"Kama nikipewa kuiongoza ile timu ya Azam naweza kuchukua ubingwa wa ligi kuu mara Nne (4) mfululizo, kwasababu wana miundombinu yote ya kuwafanya wabebe ubingwa." Julio - Kocha wa KMC
Tweet media one
26
29
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
7 months
Inonga aipeleka DR Congo 🇨🇩 Robo fainali......😊😊😊
Tweet media one
14
7
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 months
Duke Abuya RASMI mchezaji wa Yanga SC Atacheza wapi anajua Gamondi 😊😊😊
Tweet media one
12
20
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania na klabu ya Yanga Clara Luvanga (18) amejiunga na Dux Logrono ya nchini Hispania kwa mkataba wa miaka 3
Tweet media one
12
24
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Mwanançhi eeeh hii ya mwisho, sema hili chimbo lilikua na mawe mengi sana na lilikua gumu mno😂😂😂 Tukutane usiku wa manane sasa kwenye utambulisho, Skudu Makudubela is Green & Yellow.😂😂
Tweet media one
13
21
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Kiungo mshabuliaji wa Kimataifa wa Tanzania Simon Happygod Msuva amezimwaga ofa za klabu za Simba na Yanga baada ya kupata dau nono kutoka klabu ya CR Belouizdad ya Algeria. Tetesi Msuva amesajiliwa kwa ada ya Billion 1.5 na atakuwa akipokea zaidi ya Million 50.
Tweet media one
16
22
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Kuna ubishi katika hili?
Tweet media one
48
27
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
23 days
Basi popote ulipo embu taja wachezaji raia wa 🇨🇲Cameroon ambao wamefanikiwa katika Ligi yetu..😊😊 #KupangaNiKuchagua #bampa2bampa
Tweet media one
225
18
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
2028/29 Ibrahim Bacca ➖ AS Monaco Novatus Dismas ➖ Bayer 04 Levekusen #UsiaminiVicheko
Tweet media one
23
15
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
5 months
#EKsports || Wadhamini wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika Total Energies wameupa jina la SADC DERBY mchezo wa Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns.
Tweet media one
6
29
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
8 months
Ila maisha bhana yani Mzize hajaitwa Timu ya Taifa kwenda AFCON ... #Taaluma
Tweet media one
52
24
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
Moja ya wachezaji wenye uwezo mkubwa sana wa kufunga magoli miongoni mwa wachezaji wa Ligi Kuu sasa. Yupo salama chini ya Nabi ila.. USHAURI :Msimu ujao Yanga wamtoe kwa mkopo.
Tweet media one
43
16
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Ungekuwa wewe ungefanyaje ? 😂😂 Sema mwana kajikaza sana aisee😂
Tweet media one
19
26
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
7 months
Anaitwa Hugo Broos kocha wa timu ya Taifa ya 🇿🇦 Afrika Kusini.Kiumri ana miaka 71 ila ukiniuliza miongoni mwa makocha bora Afrika kwa sasa yeye yumo. Haogopi kuweka wachezaji 8 wa klabu ya Mamelodi Sundowns katika kikosi cha kwanza cha 🇿🇦 Afrika Kusini.
Tweet media one
21
35
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
#EKsports || Kwa maelezo ya hii picha unadhani Gamondi na Hans walikuwa wanaongea nini ?😃
Tweet media one
13
20
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
2 years
"Sheria za kazi haziruhusu utoro wa makusudi kazini ,kwa nini mfanyakazi mtoro asifukuzwe kazi.....?....." Mdau
Tweet media one
154
29
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
LIWALO NA LIWE 🇩🇿 CR Belouizdad 🇩🇿 JS Kabylie 🇪🇬 Al Ahly SC 🇹🇳 Espérance Tunis 🇿🇦 Mamelodi Sundowns 🇲🇦 Raja Club Athletic 🇲🇦 Wydad AC 🇹🇿 Simba SC
Tweet media one
8
13
1K
@KibwanaEdgar
edgar kibwana
1 year
Sio tu magoli yake 17,bali amekuwa na takwimu nzuri sana msimu huu.Anastahili kuwa MVP...
Tweet media one
64
31
1K