@daktarimtalii
Ndo kumuuliza kwan unamatatizo ya kifua, pumu au n nn??Hasemi zaid ya kulia.
Nikachanganyikiwa na kukosa la kufanya, nikawaza kumpigia dada ake ila nikajawa woga,nikawaza kwenda hospital usiku ule ndo nikaona nitajikamatika kama ikitokea atafariki mimi nitasema nn?