Nimepiga story na mabinti mapacha, watoto wa Mbunge wa Iringa Mjini
@MsigwaPeter
na mojawapo ya swali ni ‘Wanachukuliaje baba kuwa mwanasiasa’
Video kamili iko YouTube, bonyeza link hii kuitazama 👉🏾
Sehemu ya fedha zilizokamatwa na Jeshi la Polisi Mkoani Iringa kutoka kwa watuhumiwa wa wizi wa zaidi ya BILIONI 2 walioufanya kwa 'kuingilia' mfumo wa Kampuni ya Selcom Paytech!
Daah nimepata file la hawa Marine Special Force unaambiwa ni balaaa…sasa kubwa kuliko kuna siku kamanda wao aliwapeleka Kivukoni pale ye akapanda boti af kawaambia awakute Zanzibar! Unaambiwa kamanda kafika anawakuta washkaj forodhan wanakula pweza! Kamanda akazimia
Mtu kama
@mpambazi_
kasafiri toka Kigoma, kilomita zaidi ya 1000 na bidhaa yake mpaka
#TOTBonanza
ni UTHUBUTU unaohitaji kuungwa mkono! Bro nalipia dozen moja ya sabuni na watu 12 wa mwanzo ambao watakuja apo na screenshot ya tweet hii mpe pakti moja akaenjoy!
@CHAMPsoap
Iringa leo ni majonzi ya kumpoteza kijana mwenzetu Rashid Msigwa (Rasso MVP) kwa ajali ya gari Ipogolo.
Brother flan hivi aliyekuwa na roho ya kutupush vijana wenzie bila kuchoka, ameenda na kutuachia somo la kubwa la vijana kushikana mikono!
THREAD..
ILIVYOKUWA WIZI WA BILIONI 2!
Ndugu Wanahabari,
Kwa ujumla Mkoa wa Iringa hali ni shwari,
Nichukue fursa hii kuwashukuru vyombo vyote vya habari na wananchi kwa ushirikiano wenu katika mapambano dhidi ya uhalifu.
We Lost a Family Hero| COVID-19 Took Him From Us! Take All Precautions Not Just For Your Life, But For Lives of Other People Who Are Valuable to Others!
Rest Easy Uncle 🙏🏾
Ukiweka sindano kwenye reli treni likikanyaga linapinduka...
Ndege inatumia mafuta ya korosho...
Treni lina sumaku mbele linavuta magari...
Ongeza na ujinga wako mwingine uliokua ukiuamini enzi za utoto 😁😁
Mnaochoma moto, mnao vunja chungu, mnaosoma albadir, mnaowaendea kwa waganga, mnaotumia njia nyingine zozote pale mnapoibiwa NAWAELEWA, NAWAELEWA SANA!
Hatimaye leo 3/10/2024 imetimia MIAKA MINNE tangu mcumba wangu aamue kuolewa na mchumba wake wa maisha!
Naendelea kuwaombea na kuwatakia kila la heri kwenye maisha yao ya ndoa 🤲🏾
DM- Direct Message
TL - Timeline
DP - Display Picture/Photo
RT - Retweet
ToT - Tanzanians on Twitter
Mpwa - Rafiki/Mshkaji
Uzi/Thread - Tweet zaidi ya moja kwa pamoja zikielezea mada fulani kwa urefu
.....Ongezea na wewe unayoyafahamu
Wezi wamevunja studio na kuiba HP IPS Monitor screen, canon 70-200 lens, HP desktop, Speaker! Unapiva hatua mbili mbele wasenge wanakurudisha hatua 100 nyuma!
UZI
Nimeitazama video ya Kitenge na shogaye Oscar mpk mwisho, kosa lao ni point waliochagua kuanza nayo wakisahau mchanganyiko wa wanayama pori na wa kufugwa ndio upekee wa Ngorongoro.
Makazi ya ngorongoro yanapaswa kuwa ya mtindo huu ili ASILI iendelee kuwepo kizazi hadi kizazi
Assallam Alaykum
Maisha Haya Ya dunia ni mafupi sana ndgu
@mwanafa
Ishi duniani kwa Kufuata maamrisha ya Allah na Mtume wake na Upende kukridhisha yeye na sio uishi kwajili ya kuwafurahisha watu na kuwaridhisha watu
Leo umefanya hivyo ipo siku utaingia kanisani kabisa👇
Miezi michache kabla ya ndoa, kila kitu kilianza kuvurugika!
Deals, kazi everything went shaghala baghala, hatujakaa sawa COVID hii hapa!
Hatukukata tamaa, Leo ni miaka miwili ya ndoa yetu 🤩
@JaneCammillius
Nendeni kwanza mkajifunze kwa TBL wawaambie wanawezaje kutengeneza Safari Lager Karume pale, waisafirishe mpaka Kigoma alaf bei wakaiuza sawa na Dsm ihali nyie mafuta yakifika Moro tu bei tofauti!
"Unajiskiaje kusililiza Clouds asubuhi mpaka jioni na husikii wimbo wa Diamond?"
"Unajiskiaje kusikiliza Wasafi FM asubuhi mpaka jioni na husikii wimbo wa Ali Kiba?"
Cashless payment kwa TZ ni UKICHAA!
Imagine mteja analipia bidhaa ya 900k anakatwa 6k, muuzaji akienda kwa wakala kutoka 900k anakatwa 8k!
Mteja anaona atoe once alipe cash tu, in return hela nyingi zinakua njeya mzunguko!
Kitu pekee Waziri ameweza i kumantain tai ya bendera
Ni vile tuu Watanzania ni watu wa kusahau lakini toka lini wamasai wakawa watu wa kukaa sehemu moja? Kuhama hama ni asili ya maisha yao! Wao pamoja na mifugo yao!
Unadhani Kwanini imekuwa hivi?
Interview ya Zuchu Wasafi 6k+ views
Kipindi cha michezo cha TEN 92 Views
Maadhimisho ya Siku ya Sheria Tanzania 81 Views
Baadae saa 2:00 usiku kwenye Space ya
#DundaKidijitali
Haikuhitaji Utu, Gidigidi wala nguvu ya Jeshi!
Katika mtandao wa YouTube, kijana kutoka Buza kwa Lulenge, Steve Mweusi anashikilia rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kwa video yake kufikisha watazamaji milioni 16 ndani ya siku 7!
#ElimikaWikiendi
Aisee kujiajiri ni ngumu zaidi ya kuajiriwa........ubaya ni mabroo na masista hawatuambi ukweli!
System ya Bongo iko uelekeo tofauti kabisa na kujiajiri!
One mistake and everything is gone.
Bro aliendaga interview, piga gia,chora S zakutosha ila sasa kurudi reverse ndo alitoka toka nje, mbele ya bosi, aliyesimamia akamwambia we ni dereva mzur tatizo reverse ndo imekuangusha! Akajib we ushawah ona lori linenda Kongo kwa reverse?
Asubui yake alianza kaz 😂😂😂
3/9/2019 mshkaji wangu alitoka Bukoba mpaka Arusha kunisindikiza kulipa mahari.
22/5/2021 amerudi tena Arusha na mimi ndio nimempokea yeye kwenye nyumba ileile aliyonisindikiza miaka 3 nyuma!
Uko kwenye timu ya kampeni na bado hamna uhakika wa nani atawapa huduma ya picha na video za kumnadi mgombea?
Niko hapa tayari kwa kazi!
DM is open
WhatsApp 0713338861
#NipeDili
Ambapo wakala wa Selcom aitwaye TYSON KASISI wa mkoani Iringa kupitia huduma ya ‘Selcom Pay’ isivyo halali alihamisha fedha kwenda nambari mbalimbali za simu na kisha kuchukuliwa taslimu kupitia wakala wa huduma za kifedha za mitandao mbalimbali ya simu pamoja na akaunti za Benki
Ndugu Wanahabari
Jeshi la Polisi mkoani Iringa linafanya Uchunguzi/Upelelezi dhidi ya watuhumiwa wa wizi wa fedha za kitanzania kiasi cha TSh 2,129,856,000= mali ya kampuni ya SELCOM PAYTECH LIMITED.
Wizi wa fedha hizo ulifanyika kwa njia ya mtandao katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Iringa,DSM na Morogoro kati ya tarehe 9 hadi 27 Nov 2021 baada ya wakala huyo TYSON KASISI kufanikiwa kuchezea mfumo wa kieletroniki wa ‘Selcom Pay’ unaomilikiwa na Kampuni ya SELCOM PAYTECH LTD
Asanteni kwa salamu za upendo na faraja, tumefanikiwa kumpumzisha baba mzazi na kumaliza msiba salama. Alifariki akiwa ANAPAMBANA mgodini! Kifo chake kimenipa funzo kubwa sana kama mwanaume, kijana na mtafutaji kwamba kwenye haya maisha ni 'Get Rich or Die Trying'
-Sabi
"Mi namba moja, mi namba mbili, mi namba tatu na ndio mwisho" - Young Lunya
"Mi nakupa mistari mingine kaipokee Ubungo" - Young Killer
Oyaa
@chapo255
chagua upande bado mapema
Mbwana Samatta becomes the second Tanzanian to play in English Premier League right after Victor Wanyama of Tottenham. Tanzania is a blessed country indeed 🥰
#KaribuSamatta
Upelelezi uliofanyika mpaka sasa umebaini kuwa genge la uhalifu na wizi wa fedha za Selcom uliongozwa na watu watatu ambao ni TYSON KASISI, PATRICK CHALAMILA na EVARISTO CHALAMILA ambao wamebainika kuwa wanufaika wakuu wa uhalifu huo.
Watanzania tunahitaji wawekezaji kama Bakhresa! Jamaa kwenye kila bidhaa yake mpya sokoni, zinatengeneza ajira kwa maelfu ya vijana WAKITANZANIA!
Fikiria wale wanaouza ukwaju wangekuwa wapi saa hii?
CAG asema mahojiano aliyofanyiwa yawekwe hadharani, inaonyesha kuna jambo!
Anaitwa kuhojiwa mbele ya hadhara, anaojiwa kimyakimya ila anahukumiwa hadharani! Mheshimiwa Spika tunaomba mahojiano hayo tujionee
Wakala huyo kwa njia ya udanganyifu alianza kujitumia fedha pamoja na kuwatumia watu wengine na kwa kushirikiana na genge lake la uhalifu walifanikiwa kuiba kiasi hicho cha TSh 2,129,856,000=.
Jeshi la Polisi mkoa wa Iringa limefanikiwa kukamata (Kuokoa) fedha taslimu kiasi cha TSh 956,974,000= kutoka kwa watuhumiwa na washiriki wa uhalifu huo ambao walipokea sehemu ya fedha hizo kwa ajili ya kuzificha katika maeneo mbalimbali ikiwemo makazi na shambani.
Jamani
@DStv_Tz
, kwa niaba ya wanaume wote mashabiki wa mpira, tunaomba angalieni namna ya kubadili ratiba za Selina, Sarafu, Huba, Njoroo wa Uba, Pete, Rebecca kwa siku ambazo kuna mechi za mpira maana tunanuniwa sana humu majumbani!
Hivi kumbe ni kweli mwanasiasa akikwambia usiku mwema basi inabidi utoke nje uangalie kama kweli giza limeingia?
Anyways la mifuko ya plastic ni alama kubwa umetuachia!
Bila ya wewe nisingefahamu maana halisi ya UPENDO. Umenifanya nifurahie mapenzi, umenipa vyote ambavyo anayependwa anastahili kupewa.
Umeyabadalisha maisha yangu, umeipandisha thamani yangu,umenipa zawadi ya maisha.
We mwanamke wewe, mie nakupenda kufaa!
Happiest Birthday kwako
...lililotumika kufanikisha uhalifu kwa kusafirisha fedha za wizi kutoka Madibira Wilayani Mbarali na Ilula Wilayani Kilolo kwenda kuzificha Kilombero mkoani Morogoro.
Washkaji zako mnapiga wote mishe mmoja kanunua kiwanja.....mwingine kaanza kufyatua matofali....mwingine anatafuta shamba.....huyu naye anafikiria kuanza kufuga kuku wa kienyeji!!
Sasa mawazo ya kuweka heshima bar utayatoa wapi, saa ngapi?
Ushahidi uliokusanywa mpaka sasa umetosha kuwafikisha watuhumiwa kumi (10) Mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili kwa makosa ya Kuongoza Genge la Uhalifu na Kujipatia Fedha kwa njia ya Udanganyifu.
MWISHO
Washkaji zangu mlioko mavyuoni changamkeni na mzigo wa
#fynbyfalsafa
muende nazo huko mavyuoni mkawauzie wanafunzi! I am sure ukija na plans nzuri
@MwanaFA
mwenyew hatoshindwa kuja ata kwa dakika kadhaa tuu kuipa promo. Msiishe kutegemea boom/mzazi pekee!
Halikadhalika, mali ambazo ni mazalia ya uhalifu zimekamatwa na kuhifadhiwa ikiwa ni magari manne (4) yenye thamani ya TSh 303,000,000= ambayo ni;
i.SCANIA yenye jina la mtuhumiwa PATRICK CHALAMILA kwa thamani ya Sh 128, 000,000=
Sijui kwanini tunaamini kwenyw kuwafundisha na kuwakaririsha wanafunzi vitu vigumu bila sababu ya msingi ilihali vyepesi vipo!
Nina imani hapa mwanafunzi atafeli kwasababu ya misamiati migumu na sio kwamba haelewi! Elimu hii sijui tulijikwaa wapi!!