S A B I S T A R Profile Banner
S A B I S T A R Profile
S A B I S T A R

@sabi_blessed

Followers
11,671
Following
1,185
Media
2,450
Statuses
54,637

Photographer | YouTuber | Ready to Create your Contents | Follow Your Passion and Success Will Chase You | Shabiki wa @azamfc #LetLoveLead #UnlimitedCreativity

Iringa, Tanzania
Joined February 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
Nimepiga story na mabinti mapacha, watoto wa Mbunge wa Iringa Mjini ⁦ @MsigwaPeter ⁩ na mojawapo ya swali ni ‘Wanachukuliaje baba kuwa mwanasiasa’ Video kamili iko YouTube, bonyeza link hii kuitazama 👉🏾
12
42
270
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Sehemu ya fedha zilizokamatwa na Jeshi la Polisi Mkoani Iringa kutoka kwa watuhumiwa wa wizi wa zaidi ya BILIONI 2 walioufanya kwa 'kuingilia' mfumo wa Kampuni ya Selcom Paytech!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
237
197
3K
@sabi_blessed
S A B I S T A R
1 year
Ghafla tapeli kajikuta kasahau kazi ya kutapeli 😂😂😂😂
660
690
2K
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Daah nimepata file la hawa Marine Special Force unaambiwa ni balaaa…sasa kubwa kuliko kuna siku kamanda wao aliwapeleka Kivukoni pale ye akapanda boti af kawaambia awakute Zanzibar! Unaambiwa kamanda kafika anawakuta washkaj forodhan wanakula pweza! Kamanda akazimia
Tweet media one
Tweet media two
357
95
2K
@sabi_blessed
S A B I S T A R
1 year
Hii ndiyo maana ya 'Wazee hawazeekagi maini' 😂😂😂
120
488
2K
@sabi_blessed
S A B I S T A R
1 year
"..... Mnaua Kariakoo...Mnaua Kariakoo...."
118
418
1K
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
Mtu kama @mpambazi_ kasafiri toka Kigoma, kilomita zaidi ya 1000 na bidhaa yake mpaka #TOTBonanza ni UTHUBUTU unaohitaji kuungwa mkono! Bro nalipia dozen moja ya sabuni na watu 12 wa mwanzo ambao watakuja apo na screenshot ya tweet hii mpe pakti moja akaenjoy! @CHAMPsoap
Tweet media one
20
93
1K
@sabi_blessed
S A B I S T A R
1 year
Iringa leo ni majonzi ya kumpoteza kijana mwenzetu Rashid Msigwa (Rasso MVP) kwa ajali ya gari Ipogolo. Brother flan hivi aliyekuwa na roho ya kutupush vijana wenzie bila kuchoka, ameenda na kutuachia somo la kubwa la vijana kushikana mikono!
Tweet media one
Tweet media two
139
68
1K
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
THREAD.. ILIVYOKUWA WIZI WA BILIONI 2! Ndugu Wanahabari, Kwa ujumla Mkoa wa Iringa hali ni shwari, Nichukue fursa hii kuwashukuru vyombo vyote vya habari na wananchi kwa ushirikiano wenu katika mapambano dhidi ya uhalifu.
Tweet media one
Tweet media two
137
247
1K
@sabi_blessed
S A B I S T A R
2 years
Tunapoenda kuanza wiki mpya, tumewaombea BARAKA, UPENDO na AMANI!
Tweet media one
26
45
930
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Tarehe kama ya leo mwaka mmoja uliopita, mchumbaangu alikua kanisani anaolewa na mchumbaake wa maisha. Happy Anniversary kwake...
Tweet media one
65
36
891
@sabi_blessed
S A B I S T A R
2 years
Kingereza kimemchapa KO Twaha Kiduku 🤣🤣🤣🤣
163
113
871
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
We Lost a Family Hero| COVID-19 Took Him From Us! Take All Precautions Not Just For Your Life, But For Lives of Other People Who Are Valuable to Others! Rest Easy Uncle 🙏🏾
114
66
798
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Vans au Converse??
Tweet media one
234
25
762
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
Kama masihara vile girlfriend wangu ameolewa!
Tweet media one
68
28
757
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
Umegundua nini kwenye hizi picha !?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
219
20
711
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
Ukiweka sindano kwenye reli treni likikanyaga linapinduka... Ndege inatumia mafuta ya korosho... Treni lina sumaku mbele linavuta magari... Ongeza na ujinga wako mwingine uliokua ukiuamini enzi za utoto 😁😁
207
53
646
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Kumbe kupiga picha na mke wa mtu ni raha hivi na hamsemi!!
Tweet media one
27
15
610
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
'Wahujumu Uchumi'
Tweet media one
42
28
591
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Mnaochoma moto, mnao vunja chungu, mnaosoma albadir, mnaowaendea kwa waganga, mnaotumia njia nyingine zozote pale mnapoibiwa NAWAELEWA, NAWAELEWA SANA!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
154
35
573
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Our Valentine on her first ever Valentine! Happy Valentine Fam ❤️
Tweet media one
Tweet media two
20
24
568
@sabi_blessed
S A B I S T A R
11 months
Waoneeni huruma First Year wa watu, wamekuja Dar kusoma jamani kwao huko wanategemewa 😢
217
92
584
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Ngoja tukawachanganye viewers uko mjini YouTube!
Tweet media one
34
15
501
@sabi_blessed
S A B I S T A R
12 days
Hatimaye leo 3/10/2024 imetimia MIAKA MINNE tangu mcumba wangu aamue kuolewa na mchumba wake wa maisha! Naendelea kuwaombea na kuwatakia kila la heri kwenye maisha yao ya ndoa 🤲🏾
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Tarehe kama ya leo mwaka mmoja uliopita, mchumbaangu alikua kanisani anaolewa na mchumbaake wa maisha. Happy Anniversary kwake...
Tweet media one
65
36
891
111
43
541
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
DENGUE IS REAL... DENGUE IS FUCKING REAL... I've just lost a cousin! R.I.P Baharia
84
62
498
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
DM- Direct Message TL - Timeline DP - Display Picture/Photo RT - Retweet ToT - Tanzanians on Twitter Mpwa - Rafiki/Mshkaji Uzi/Thread - Tweet zaidi ya moja kwa pamoja zikielezea mada fulani kwa urefu .....Ongezea na wewe unayoyafahamu
39
91
503
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
STOP MAKING STUPID PEOPLE FAMOUS!!!!!
17
64
504
@sabi_blessed
S A B I S T A R
2 years
Mafinga asubuhi ya leo, Coaster na Tandam uso kwa uso! Bado taarifa kamili ya chanzo na madhara ya ajali haijatolewa na Jeshi la Polisi! 😭😭😭
Tweet media one
Tweet media two
40
26
494
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Wezi wamevunja studio na kuiba HP IPS Monitor screen, canon 70-200 lens, HP desktop, Speaker! Unapiva hatua mbili mbele wasenge wanakurudisha hatua 100 nyuma!
108
17
460
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
UZI Nimeitazama video ya Kitenge na shogaye Oscar mpk mwisho, kosa lao ni point waliochagua kuanza nayo wakisahau mchanganyiko wa wanayama pori na wa kufugwa ndio upekee wa Ngorongoro. Makazi ya ngorongoro yanapaswa kuwa ya mtindo huu ili ASILI iendelee kuwepo kizazi hadi kizazi
Tweet media one
35
72
462
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
Chukueni majina yoooootote ila KOMANDO ni @JideJaydee
6
15
454
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
As my daughter turns 2 months old today, I have learned that, being a father is not just a TITTLE, but it's about RESPONSIBILITIES.
Tweet media one
26
22
449
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
Tuanawe na sabani kwasababu ya Amfifiroo
148
45
424
@sabi_blessed
S A B I S T A R
1 year
Toto Afya ni HASARA kwa Serikali!
91
116
436
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Utaratibu ni kutoa boriti jichoni kwako kabla hujataka kuondoa kibanzi kwenye jicho la mwenzako…!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@Amiini1nd
Al.amiin ndekeja
3 years
Assallam Alaykum Maisha Haya Ya dunia ni mafupi sana ndgu @mwanafa Ishi duniani kwa Kufuata maamrisha ya Allah na Mtume wake na Upende kukridhisha yeye na sio uishi kwajili ya kuwafurahisha watu na kuwaridhisha watu Leo umefanya hivyo ipo siku utaingia kanisani kabisa👇
Tweet media one
313
28
308
155
74
421
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
Sisi vijana tuliaoanza maisha direct kwa kujiajiri, aisee msitusahau kwenye maombi yenu ya kila siku!
15
44
427
@sabi_blessed
S A B I S T A R
2 years
Miezi michache kabla ya ndoa, kila kitu kilianza kuvurugika! Deals, kazi everything went shaghala baghala, hatujakaa sawa COVID hii hapa! Hatukukata tamaa, Leo ni miaka miwili ya ndoa yetu 🤩 @JaneCammillius
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
39
27
412
@sabi_blessed
S A B I S T A R
1 year
Nendeni kwanza mkajifunze kwa TBL wawaambie wanawezaje kutengeneza Safari Lager Karume pale, waisafirishe mpaka Kigoma alaf bei wakaiuza sawa na Dsm ihali nyie mafuta yakifika Moro tu bei tofauti!
@EwuraTanzania
EWURA Tanzania
1 year
Tweet media one
136
23
134
61
57
421
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
"Unajiskiaje kusililiza Clouds asubuhi mpaka jioni na husikii wimbo wa Diamond?" "Unajiskiaje kusikiliza Wasafi FM asubuhi mpaka jioni na husikii wimbo wa Ali Kiba?"
70
16
388
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Haka kaprobox ukiambiwa kanabeba watu 13 huwezi kuamini mpaka siku utakayotakiwa kukapanda...
Tweet media one
66
19
397
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
LEO ikitumika vyema inaweza kukupa KESHO iliyo njema! Kikubwa kutokukata tamaa......
Tweet media one
Tweet media two
13
30
386
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 months
Cashless payment kwa TZ ni UKICHAA! Imagine mteja analipia bidhaa ya 900k anakatwa 6k, muuzaji akienda kwa wakala kutoka 900k anakatwa 8k! Mteja anaona atoe once alipe cash tu, in return hela nyingi zinakua njeya mzunguko! Kitu pekee Waziri ameweza i kumantain tai ya bendera
31
75
396
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Mojawapo ya kitu nimezoea ni ile hali ya kujikuta niko peke yangu nikiwa na shida licha ya kwamba ikiwakuta wenigine huwa siwaachi peke yao!
15
36
386
@sabi_blessed
S A B I S T A R
6 years
Washkaji eeeh kanuni yetu ni ileile #KushikanaMikono na Tutatoboa! #UjanjaKipato
18
116
372
@sabi_blessed
S A B I S T A R
6 years
Ni vile tuu Watanzania ni watu wa kusahau lakini toka lini wamasai wakawa watu wa kukaa sehemu moja? Kuhama hama ni asili ya maisha yao! Wao pamoja na mifugo yao!
Tweet media one
27
41
362
@sabi_blessed
S A B I S T A R
6 years
Washkaji eeeh leo hii nimegraduate bwana ila ningeachagua kukata tamaa na kulalamika amini kwamba siku hii nisingekuja ifikia maisha yangu yote!!
Tweet media one
48
42
358
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Unadhani Kwanini imekuwa hivi? Interview ya Zuchu Wasafi 6k+ views Kipindi cha michezo cha TEN 92 Views Maadhimisho ya Siku ya Sheria Tanzania 81 Views Baadae saa 2:00 usiku kwenye Space ya #DundaKidijitali
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
54
24
340
@sabi_blessed
S A B I S T A R
6 years
Safari ya maili elfu huanza kwa hatua moja.... InshaAllah tutafika japo safari bado ndefu!
Tweet media one
10
51
326
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Duuuh kumbe Selcom walipigwa 2.1 Bilioni!! Tyson Kasisi wa Iringa ndo anatajwa kuwa ‘master plan’ wa mchezo wote!!!
Tweet media one
26
14
331
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Haikuhitaji Utu, Gidigidi wala nguvu ya Jeshi! Katika mtandao wa YouTube, kijana kutoka Buza kwa Lulenge, Steve Mweusi anashikilia rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kwa video yake kufikisha watazamaji milioni 16 ndani ya siku 7! #ElimikaWikiendi
Tweet media one
41
18
330
@sabi_blessed
S A B I S T A R
6 years
Aisee kujiajiri ni ngumu zaidi ya kuajiriwa........ubaya ni mabroo na masista hawatuambi ukweli! System ya Bongo iko uelekeo tofauti kabisa na kujiajiri! One mistake and everything is gone.
31
56
319
@sabi_blessed
S A B I S T A R
11 months
Bro aliendaga interview, piga gia,chora S zakutosha ila sasa kurudi reverse ndo alitoka toka nje, mbele ya bosi, aliyesimamia akamwambia we ni dereva mzur tatizo reverse ndo imekuangusha! Akajib we ushawah ona lori linenda Kongo kwa reverse? Asubui yake alianza kaz 😂😂😂
@Adventure_36
Adventure-360
11 months
Kwenye interview kuomba kazi ya dereva wa Lori 😃😃🙌
45
48
522
79
49
334
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
How it started How it is going
Tweet media one
Tweet media two
14
17
319
@sabi_blessed
S A B I S T A R
6 years
JUZI: Bia zote nusu bei LEO: Nchi inashabikia walevi watu wa hovyo
Tweet media one
25
49
306
@sabi_blessed
S A B I S T A R
1 year
Singeli to the World 🔥🔥🔥🔥🔥
25
72
316
@sabi_blessed
S A B I S T A R
2 months
Kila mwezi Bongo kuna Marathon ila ajabu Olympics tumepeleka watu wawili 😂😂😂😂😂 Hata Kavishe wa vilima vya Goba na 10km kibindon jamani 😂😂😂😂
26
16
320
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
“Nilianza na tikiti moja tu sasa hiv namiliki kiwanda cha juice”
Tweet media one
40
11
300
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
3/9/2019 mshkaji wangu alitoka Bukoba mpaka Arusha kunisindikiza kulipa mahari. 22/5/2021 amerudi tena Arusha na mimi ndio nimempokea yeye kwenye nyumba ileile aliyonisindikiza miaka 3 nyuma!
Tweet media one
Tweet media two
31
18
288
@sabi_blessed
S A B I S T A R
6 years
TBC wachambuzi wa mpira wamevaa sare ya vitenge sasa ukimute sauti unaweza dhani ni kipindi cha nyimbo za injili! #KamaSioDSTvPotezea
42
46
280
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
'For Better and Better' Happy Birthday babe @JaneCammillius ....
Tweet media one
24
16
285
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
Uko kwenye timu ya kampeni na bado hamna uhakika wa nani atawapa huduma ya picha na video za kumnadi mgombea? Niko hapa tayari kwa kazi! DM is open WhatsApp 0713338861 #NipeDili
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
36
264
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Ambapo wakala wa Selcom aitwaye TYSON KASISI wa mkoani Iringa kupitia huduma ya ‘Selcom Pay’ isivyo halali alihamisha fedha kwenda nambari mbalimbali za simu na kisha kuchukuliwa taslimu kupitia wakala wa huduma za kifedha za mitandao mbalimbali ya simu pamoja na akaunti za Benki
1
12
252
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Ndugu Wanahabari Jeshi la Polisi mkoani Iringa linafanya Uchunguzi/Upelelezi dhidi ya watuhumiwa wa wizi wa fedha za kitanzania kiasi cha TSh 2,129,856,000= mali ya kampuni ya SELCOM PAYTECH LIMITED.
Tweet media one
4
10
242
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
Akijiita BAHARIA na hana ndevu huyo ni Beach Boy tu!
12
15
236
@sabi_blessed
S A B I S T A R
1 year
Mbona ghafla sanaa mzee wa 'Toka hapa na meno yako ya kuoza' 😂😂😂😂🤣🤣
47
25
248
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
Kazi za bure watakuja kwako wakisema zitakutengenezea connection. Kazi za hela watazipeleka kwingine wakisema huna experience!
16
44
240
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
Kuna baunsa ana kitambi kuzidi cha Chapo 😂😂
9
1
236
@sabi_blessed
S A B I S T A R
1 year
Full-time 1 - 1 Nikikaza kidogo tuu msimu ujao Ligi Kuu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@sabi_blessed
S A B I S T A R
1 year
Nikinyoa ndevu sikosi namba Under 17...
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
7
2
21
25
8
235
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
Unawafahamu hawa? au ndio Diamond nye nye nyeeee nchi za nje nye nye nyee...
28
31
221
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Tweet media one
18
1
216
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Wizi wa fedha hizo ulifanyika kwa njia ya mtandao katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Iringa,DSM na Morogoro kati ya tarehe 9 hadi 27 Nov 2021 baada ya wakala huyo TYSON KASISI kufanikiwa kuchezea mfumo wa kieletroniki wa ‘Selcom Pay’ unaomilikiwa na Kampuni ya SELCOM PAYTECH LTD
Tweet media one
1
10
220
@sabi_blessed
S A B I S T A R
2 years
My girl turns 2 today 😍😍
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
21
10
217
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Asanteni kwa salamu za upendo na faraja, tumefanikiwa kumpumzisha baba mzazi na kumaliza msiba salama. Alifariki akiwa ANAPAMBANA mgodini! Kifo chake kimenipa funzo kubwa sana kama mwanaume, kijana na mtafutaji kwamba kwenye haya maisha ni 'Get Rich or Die Trying' -Sabi
43
15
211
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Wezi wenyewe hawa hapa walivyofikishwa mahakamani!
30
28
214
@sabi_blessed
S A B I S T A R
1 year
"Mi namba moja, mi namba mbili, mi namba tatu na ndio mwisho" - Young Lunya "Mi nakupa mistari mingine kaipokee Ubungo" - Young Killer Oyaa @chapo255 chagua upande bado mapema
Tweet media one
Tweet media two
2
7
215
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
Mbwana Samatta becomes the second Tanzanian to play in English Premier League right after Victor Wanyama of Tottenham. Tanzania is a blessed country indeed 🥰 #KaribuSamatta
Tweet media one
29
41
202
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Upelelezi uliofanyika mpaka sasa umebaini kuwa genge la uhalifu na wizi wa fedha za Selcom uliongozwa na watu watatu ambao ni TYSON KASISI, PATRICK CHALAMILA na EVARISTO CHALAMILA ambao wamebainika kuwa wanufaika wakuu wa uhalifu huo.
1
10
205
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
Pale mwalimu @bajabiri anapofundishwa kutupia 😃😃😃 #TOTBonanza
Tweet media one
Tweet media two
16
21
204
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
Watanzania tunahitaji wawekezaji kama Bakhresa! Jamaa kwenye kila bidhaa yake mpya sokoni, zinatengeneza ajira kwa maelfu ya vijana WAKITANZANIA! Fikiria wale wanaouza ukwaju wangekuwa wapi saa hii?
6
22
209
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Oya @Eric_Bernard94 hiv hatuwez waajiri Arsenal wawe wanatusaidia kunyanyua haya makombe?
13
5
190
@sabi_blessed
S A B I S T A R
6 years
Raha ya ndoa ni kwamba ukimaliza kula ukashiba unaanza kumla mpishi!
7
134
196
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Watu wanavibe na kina Lubasha, Maneno, Magiri maeneo kibao, wanapiga nao picha ila hawajawahi kuwapost. That’s LOYALITY in FRIENDSHIP!
9
9
197
@sabi_blessed
S A B I S T A R
6 years
CAG asema mahojiano aliyofanyiwa yawekwe hadharani, inaonyesha kuna jambo! Anaitwa kuhojiwa mbele ya hadhara, anaojiwa kimyakimya ila anahukumiwa hadharani! Mheshimiwa Spika tunaomba mahojiano hayo tujionee
7
24
191
@sabi_blessed
S A B I S T A R
8 months
Kizazi cha king’amuzi hakiwezi elewa struggle ya kuzungusha antena kila ukibadili channel 😂😂
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
38
32
198
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Aidha, kiasi cha fedha za kitanzania TSh 121,215,783= zimezuiliwa katika moja ya benki za biashara mkoani Iringa ikiwa ni mazalia ya uhalifu.
Tweet media one
2
10
194
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Wakala huyo kwa njia ya udanganyifu alianza kujitumia fedha pamoja na kuwatumia watu wengine na kwa kushirikiana na genge lake la uhalifu walifanikiwa kuiba kiasi hicho cha TSh 2,129,856,000=.
Tweet media one
1
9
191
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Jeshi la Polisi mkoa wa Iringa limefanikiwa kukamata (Kuokoa) fedha taslimu kiasi cha TSh 956,974,000= kutoka kwa watuhumiwa na washiriki wa uhalifu huo ambao walipokea sehemu ya fedha hizo kwa ajili ya kuzificha katika maeneo mbalimbali ikiwemo makazi na shambani.
Tweet media one
2
13
189
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
Jamani @DStv_Tz , kwa niaba ya wanaume wote mashabiki wa mpira, tunaomba angalieni namna ya kubadili ratiba za Selina, Sarafu, Huba, Njoroo wa Uba, Pete, Rebecca kwa siku ambazo kuna mechi za mpira maana tunanuniwa sana humu majumbani!
26
13
183
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
Hivi kumbe ni kweli mwanasiasa akikwambia usiku mwema basi inabidi utoke nje uangalie kama kweli giza limeingia? Anyways la mifuko ya plastic ni alama kubwa umetuachia!
7
19
179
@sabi_blessed
S A B I S T A R
1 year
Bila ya wewe nisingefahamu maana halisi ya UPENDO. Umenifanya nifurahie mapenzi, umenipa vyote ambavyo anayependwa anastahili kupewa. Umeyabadalisha maisha yangu, umeipandisha thamani yangu,umenipa zawadi ya maisha. We mwanamke wewe, mie nakupenda kufaa! Happiest Birthday kwako
Tweet media one
35
23
190
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
...lililotumika kufanikisha uhalifu kwa kusafirisha fedha za wizi kutoka Madibira Wilayani Mbarali na Ilula Wilayani Kilolo kwenda kuzificha Kilombero mkoani Morogoro.
Tweet media one
2
8
184
@sabi_blessed
S A B I S T A R
6 years
Washkaji zako mnapiga wote mishe mmoja kanunua kiwanja.....mwingine kaanza kufyatua matofali....mwingine anatafuta shamba.....huyu naye anafikiria kuanza kufuga kuku wa kienyeji!! Sasa mawazo ya kuweka heshima bar utayatoa wapi, saa ngapi?
7
47
175
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Ushahidi uliokusanywa mpaka sasa umetosha kuwafikisha watuhumiwa kumi (10) Mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili kwa makosa ya Kuongoza Genge la Uhalifu na Kujipatia Fedha kwa njia ya Udanganyifu. MWISHO
Tweet media one
4
12
181
@sabi_blessed
S A B I S T A R
6 years
Washkaji zangu mlioko mavyuoni changamkeni na mzigo wa #fynbyfalsafa muende nazo huko mavyuoni mkawauzie wanafunzi! I am sure ukija na plans nzuri @MwanaFA mwenyew hatoshindwa kuja ata kwa dakika kadhaa tuu kuipa promo. Msiishe kutegemea boom/mzazi pekee!
Tweet media one
3
29
180
@sabi_blessed
S A B I S T A R
3 years
Halikadhalika, mali ambazo ni mazalia ya uhalifu zimekamatwa na kuhifadhiwa ikiwa ni magari manne (4) yenye thamani ya TSh 303,000,000= ambayo ni; i.SCANIA yenye jina la mtuhumiwa PATRICK CHALAMILA kwa thamani ya Sh 128, 000,000=
2
8
178
@sabi_blessed
S A B I S T A R
5 years
Sikia mshkaji.... akikwambia “I have a boyfriend” Mjibu “That's cool, but I thought you might need a husband, here is my phone number!”
14
18
167
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
Samaleko......
Tweet media one
Tweet media two
38
1
166
@sabi_blessed
S A B I S T A R
4 years
Off to Zanzibar!
Tweet media one
38
3
162
@sabi_blessed
S A B I S T A R
6 years
Sijui kwanini tunaamini kwenyw kuwafundisha na kuwakaririsha wanafunzi vitu vigumu bila sababu ya msingi ilihali vyepesi vipo! Nina imani hapa mwanafunzi atafeli kwasababu ya misamiati migumu na sio kwamba haelewi! Elimu hii sijui tulijikwaa wapi!!
Tweet media one
69
40
159