Mr Pikipiki Trading 🏍️📸 Profile Banner
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸 Profile
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸

@Mr_pikipiki

Followers
3,532
Following
1,711
Media
1,245
Statuses
28,805

Tunauza na kununua pikipiki used🔥 Tunapatikana Ubungo-Dsm📍 0747365096📞 Msaada kuhusu masuala yanayohusu pikipiki DM 5yrs experience | IG @Mrpikipiki 📸

Riverside Near boss kalewa
Joined July 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
ZIJUE FAIDA HASARA ZA PIKIPIKI ZA MIKATABA📌 Mwaka 2019 wakati naanza biashara ya kuuza na kununua pikipiki used nilifanikiwa kupata mteja wa kike wa kwanza kabisa ( CONSO ) Ambaye Hununua pikipiki used na kuwapa vijana mikataba Nilistaajabu Amewezaje kustahimili changamoto
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
31
158
816
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
23 days
Kuna Mteja wa Morogoro alikuja kununua pikipiki January kwangu Wakati anaondoka nikampa sweta langu ajikinge na Upepo maana alikua anaiendesha mpaka MORO. Nikajua yamepita dah leo kaja tena kununua Pikipiki nyingine na Kaniletea Mchele debe Moja 🙏 MORO TOWN ✊
10
30
515
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
4 months
UTAWEZAJE KUTOFAUTISHA KADI FAKE NA ORIGINAL ZA PIKIPIKI 📌 (VYOMBO VYA MOTO) Katika ulimwengu wa sasa ambao umekuwa na janja janja nyingi sana ni vyema ukawa na elimu kuhusu nyaraka mbalimbali hasa za vyombo vya moto. ORIGINAL ✅ FAKE❌
Tweet media one
Tweet media two
20
126
380
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
2 months
@IAMartin_ Kuna hii pia jamaa ni Geniuous balaa beat yoyote anajaza na anafit Mkuu kabisa 🎯🫡
15
73
275
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
6 months
@godbless_lema That will be a great expirience. kusikia kutoka kwake, sizani kama aliandama kwa ajili yake bali kwa vizazi vijavyo kwa umri wake na mvua hiyo huenda angekaa pembeni kukwepa homa na magonjwa mengine ila amechagua kupambana na kujitoa kwa ajili ya Tanzania mpya 🇹🇿
5
4
227
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
16 days
@IdrisSultan Huyu Hapa 👇🔊🔊
9
43
222
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
8 months
@ze_mandevu black X alituchezea mchezo Kwa session ya chid Benz kaweka mtu kavaa pigo kama za Roma afu wanatupa mgongo na session ya Roma akatafuta mtu mwingine akamtia pigo za chid akageukia nyuma 😁😁 ila 💯 Roma alikua USA 🇺🇸 na chid alikuwa Ilala 😂😂
5
0
109
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
4 months
@FKihamu Odergaard 🤗 Reason 👇
10
6
96
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
2 months
@DullahTheking2 Nakumbukaga nilikuwaga wa 88 kati ya 89 nikaongeza nukta nikawa wa 8.8 Aisee Nilipigwa kama Drum 😂😂😂
29
2
98
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
@DammitArsenal You Forgot this one 🤗
1
4
96
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
@Roma_Mkatoliki Hahahahaha vipi akisema "anagongelewa msumari wa moto kweli kweli aishi manula analia yeloi yeloi lama sabakhtan Akimtazama percy muzi tau akijisema baba kama ni mapenzi yako kikombe hiki kiniepuke"~ mpenja script al ahly vs simba tommorrow 😂😂
12
1
95
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
FAIDA ZA PIKIPIKI KAMA NJIA YA USAFIRI BINAFSI 🔥🔥 Leo Asubuhi alikuja mteja wangu ambaye nilimuuzia Boxer BM 125 ya 1,250,000/= Tarehe 21|March|2024 Baadaya kumuuzia na kumpatia ushauri juu ya maintainance na kulinda value ya pikipiki Hasa Top Up 🔝 ya pikipiki Aliendoka
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
27
93
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
16 days
@ze_mandevu Hamna Changamoto hapo mimi kipindi naishi kariakoo nilikua naona Fursa tu naamka saa kumi usiku naanua nguo zangu kali kali naingia nazo karume mpaka saa 2 mzigo umeisha narudi magetoni Nilipiga sana hela aisee 😋
10
1
88
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Ule hivyo yeye hununua pikipiki used bora (Smart) ambazo hu-range kuanzia 1,700,000- 2,100,000/= hivyo anaweza ku save 1,000,000/= kwa pikipiki moja ukilinganisha na bei ya dukani.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
2
89
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
8 months
@wasafifm BINAFSI nitafurahi sana kuona anapata nafasi nje ya Tanzania our own captain 🇹🇿🟡
1
0
83
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
1 month
BOXER HD 125 "CHASIS NUMBER🚀🚀" ukipenda iite "UBAYA UBWELA" unaipata kwa 2,980,000/= Tu pampja na usajili badala ya 3,250,000/= Bei ya dukani 😋 Ina 0 KM| Mafuta 3LT| Ipo Ubungo~Riverside 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: "Kuyaanza ni vigumu,Kutengana ni rahisi📌"
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
38
80
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Za biashara hii ambayo asilimia kubwa ya watu huikimbia na inawasumbua sana. Tulifanya biashara mara nyingi sana siku zikaja zikaondoka, miaka ikaenda sasa siku moja alipo kuja kununua pikipiki kwangu tena ilibidi nimuulize kwa undani anawezaje ku manage biashara hii.
Tweet media one
Tweet media two
1
2
82
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
@HKigwangalla Hicho ndo kile kiatu Mungu alinena nae mussa akivue 😂😂
29
2
75
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
Boxer HD 125 (Chasis No) Surgical blade 😱 Unaipata kwa 2,780,000/= Tu 😋 Bei Dukani ni Ngeu 🤕 From K/koo One way kwa @Mr_pikipiki Tupo Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: Ng'ombe Amezaliwa na masikio pembe kazikuta nje. Bado una chance ya ku-win ✊
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
31
73
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Alicheka sana kisha akaniambia "Maisha mazuri yapo kwenye barabara zenye miiba" akaendelea kwa kusema yeye kaamua kufanya biashara hii ila kwa kununua pikipiki zilizotumika (Used) kwani inampunguzia cost za pikipiki ukilinganisha na kununua dukani kwa 2,800,000/= kwa wakati
1
1
77
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
6 months
Boxer HD 125 EDD unaipata kwa 2,720,000/= Tu badala ya 3,000,000/= Bei ya dukani 😋 Ina KM 756 Tu 😱 Very smart Ipo Ubungo Riverside Novo 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: "Mzoea punda hapandi Farasi" 📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
21
73
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Anaendelea kwa kusema "Nimenunua pikipiki maeneo mengi ila navutiwa zaidi na huduma kwani service zote hufanyika ofisini kwa bill ya ofisi hivyo haiongezi cost zaidi kwenye pikipiki husika hivyo bei niliyonunulia hubaki constant "What a BINGO" 🚀
1
1
74
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Kwanini Milleage (KM Readings) SI kigezo kikubwa sana kwenye ununuzi wa pikipiki used 👇 Katika talks na Fundi wangu nguli I tried to ask je? kuna umuhimu sana kuangalia KM readings wakati wa ununuzi wa pikipiki used. Aliniambia Sote tunakubaliana kuwa Kigezo cha KM kwenye
Tweet media one
Tweet media two
2
14
73
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
Boxer X 125 (DGB) 🔥🔥 Ukipenda iite Inter-Continental Basaltic Missile (ICBM) 🚀 Unaipata kwa 1,580,000/= Tu 😋 Ipo Ubungo Riverside📍 0747375096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: "Kuna maisha ya Aibu kabla ya mafanikio, Mwenye njaa hana Choice kila kitu ndio ndio"~YK msodoki 📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
28
69
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
2 months
Boxer X 150 "DAM" 🔥🔥🔥 Kali kama Usajili wa "Aziz Ki" 😋 Unaipata kwa 1,690,000/= Tu 🤗 Tairi zote mpya| Injini Mpyaa| Full starter ✅ Ipo Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: "No Human is Limited. Unaweza kuwa unavyotaka" 🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
22
71
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
SATURDAY SPECIAL 🎁 Boxer X 124 (DXX) 🔥🔥 Golden Soul 😱 Unaipata kwa 2,290,000/= For Twitter customers 😋 Tupo Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma NB: "Ukisema chini hapana inamana fanya unyanyuke, Na ukiamini umesimama mwana komaa usiangunge"
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
19
66
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Swali likawa linabaki kwangu sasa ni kivipi yeye anafaidika? Au Hesabu gani anatumia kujua muda ambao dereva atatumikia mkataba? Akacheka sana kisha akasema niagizie Msosi nikwambie sikusita maana naamini "Every Magic comes with a prize to pay, And this one is a Pure Magic 🪄"
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
3
68
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
So ili nipate idadi ya miezi huwa na calculate Hivi Boss 👇 Mfano pikipiki ni ya 1,700,000/= huwa najumlisha na faida yangu 1,200,000/= kisha nagawa kwa 300,000/= ya kila mwezi 1,700,000 +1,200,000 = 2,900,000/= Then √2,900,000 = 9.6 Months 3,00,000
2
1
65
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
25 days
TVS STAR 125 "DPW" Ukipenda iite "Nyota ya Mashariki"🔥🔥🔥 Unaipata kwa 1,450,000/= Tu 😋 Full starter🚀| Body safi✅| Engine ✅|Tairi zote ✅ Iwahi hii Tupo Ubungo Riverside📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: "Mafanikio yako yamejificha kwenye kauli ya watanionaje" 📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
27
63
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Je umewahi kumiliki pikipiki za mkataba au kuendesha pikipiki za mkataba unaweza kushare Expirience yako hapa watu wajifunze 🙏 TUNAUZA NA KUNUNUA PIKIPIKI USED TUPO UBUNGO RIVERSIDE-NOVO📍 0747365096📞 MIKOANI TUNATUMA🇹🇿 FOLLOW KUONA PIKIPIKI ZETU 🙏
6
7
65
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
Toyota IST (DRP) on sale 🪄 Price13.5 ml chap 😋 2004 Cc 1290 Km 70,000 Android system✅ Subwoofer ✅ New tyre✅ Music system ✅ (Ipo kwa good condition Mnoo) Ipo Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Popote Tanzania inakufikia( uwe na ndugu wa kuikagua na kulipia kabla)
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
36
64
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
4 months
Boxer HD 125 "EDB" 🔥🔥 Ukipenda iite "OPTIC FIBER" 🧵Unaipata kwa 2,600,000/= Tu 😋 Ni balaaa | Haina utafauti na ya kariakoo utapata Oil na mafuta 1LT⛽ Ipo Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma🇹🇿 NB: "Hasira ni Adhabu ambayo mtu hujipa kwa makosa ya mtu mwingine"
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
22
61
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Vikafika Akaanza na kunambia Siri ya "Mapishi ipo kwenye viungo na viungo ni siri ya mpishi" ila mimi nakwambia zikaanza Hesabu hapa Akaniambia kwa kila pikipiki yeye huweka faida ya 1,200,000/= At first baada ya bei ya Pikipiki na asipate chini ya 1,000,000/= per one pikipiki
1
1
65
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
2 months
@Roma_Mkatoliki Mimi kabla sijaja Tanzania I used to see Tanzanians Actors greets "Mambo" to all genders but nimeishi huku nimemsalimia mwanaume mambo he was like yo "unataka kunitongoza ama" Nusu ugomvi 😂😂
5
1
62
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
2 months
@PresenterNoah Ni ndogo kwasababu Umekopa 50,000/= Kati ya mwezi 100,000/= Umemtumia Misibi 50,000/= Mmetumia CoCo beach na misibi 50,000/= Kuangalia mpira na misibii Umebakiwa na 50k ila 300k ni kubwa sana Jitathimini
5
4
61
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
14 days
BOXER HD 125 "EML" 🔥🔥🔥Ukipenda iite "ZIRKEE ⚡" Unaipata kwa 3,000,000/= Tu Mpyaaa 😋 Ina wiki Moja Toka Inunuliwe|Mafuta 2LT|Helmet 1✅ Ipo Ubungo Riverside 0747365096 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: "Kama msafi ana zamani, Basi mchafu naye ana Future" Usiache kuomba 🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
33
61
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Boxer BM 125 "EAD" 🔥🔥🔥 Katulivuu ukipenda iite "Crown 👑" Unaipata kwa 2,350,000/= Tu 😋 Maini ya Ngamia| Tairi zote mpyaa| Oil nabadilisha Bure 😱 Ipo Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: Hujachelewa sana Kuanza tena 📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
26
58
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
TVS Gold 125 (DRG) 🔥🔥 Iite Jiwe walilokataa waashi Unaipata kwa 1,750,000/= Tu 😋 Haijabadilishwa chochote/kila kitu chakutokea na pikipiki ✅ Wahi huwa hazikai 😎 Ipo Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: "Usihofie kupitwa ila make sure muda hakuachi" 📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
23
57
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
4 months
Boxer BM 125 (DMM &DMP) 🔥🔥🔥 Unazipata zote kwa offer ya 1,470,000/= Tu badala ya 1,550,000/= 😋 Unanunua na kuanza kuendesha Offer ya Service za mpaka 30,000/= 😋 zipo Ubungo riverside 0747365096 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: Ukiwa kwa giza Dont Trust Everylight. 📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
24
56
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
Boxer BM 125 (DMJ) 🔥🔥 "Blackberry" unaipata kwa 1,580,000/= Tu No Excuses ✅ Well mantained (engine na body) Ipo Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma🇹🇿 NB: "Ukichoka kuumia haujakua"
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
24
56
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
2 months
4
1
53
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
2 months
JE UNATAKA KUUZA PIKIPIKI YAKO NA HUJUI WAPI UTAIUZA ❓ Jibu lako ni @Mr_pikipiki Iwe pikipiki ya mkopo, Umemaliza mkataba AU hata pikipiki Binafsi Kwa pikipiki za mkopo tunakusaidia kulipa deni lililobaki 😋 Nipigie 0747365096 Au nitumie picha za pikipiki yako watsap 📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
26
54
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
18 days
BOXER HD 125 "Chasis Number" 🔥🔥🔥 Unaipata kwa 3,060,000/= Tu Badala ya 3,200,000/= 😋 USAJILI BURE| IPO MOJA Ipo Ubungo Riverside 0747365096 📞 Mikoani Tunatuma🇹🇿 NB: "Wakikuuliza una mipango gani? Always Tell'em Lies and keep the real ones to urself and you'll be safe"
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
24
54
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Akacharuka Ngeu zipo Ngeu zipo ndugu yangu hata nisikufiche Enhee nikadakia Akasema changamoto kubwa ipo kwenye management ya vijana (Madereva) Ila yeye ameajiri kijana mwingine wa kuzisimamia hivyo humpa urahisi zaidi katika kuzisimamia (Brave sana/Akili Nyingi)
2
1
55
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
@MarekaMalili Ila huu ishindi wa yanga wa leo ni funzo kubwa sana kama ukiamua kuliweka katika maisha. "Kuna muda mambo hayaendi ka tulivyotaka ila sio sababu ya kukata tamaa na kuna bahati mambo yananyooka sio mida wa kuzubaaa bali kukaza zaidi" 📌 TUSIKATE TAMAA HATA KAMA MWANZO NI MGUMU
Tweet media one
1
5
54
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
1 month
TVS STAR 125 "DVD" 🔥🔥🔥 unaipata kwa 1,850,000/= Tu 😋 Hii ni balaa ndo ilimbeba kiongozi baada ya kuachwa na ndinga 😋 Full starter|Body limenyooka|Engine mpyaa| Offer ya oil 😋 Ipo Ubungo Riverside 📍 0747365096 📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: OGOPA MUNGU NA TEKNOLOJIA 📌 ~RUGE
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
34
54
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Hivyo nakuwa najua kuwa Mkataba huu utadumu kwa miezi Tisa {Ebwanaweeh) 😱 Akawa amenivutia sana sana Lakini nikakumbuka Mr Blue alisena "Usiulize ninavyokula Raha uliza pia msoto" Nika muuliza changamoto za Biashara hii zaidi upo wapi 🤕
1
2
54
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
1 month
Boxer X 125 DVQ 🔥🔥 Na TVS STAR 125 EBS 🔥🔥 Zote Unaxipata kwa Bei ya 2,350,000/= Tu kwa kila moja😋 Ubora Kilo 150|Mafuta 3LT| Oil Buree 😋 Zipo Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: "Dharau huanza pale wanapogundua unawahitaji zaidi ya wanavyokuhitaji".
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
20
52
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
6 months
TVS STAR 125 (DQV & DSV) 🔥🔥 Very smart zimetunzwa balaa unazipata kwa 1,580,000/= Kwa kila moja na 3,100,000= kwa zote Zipo Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: MUNGU ni Mkuu sana katupa vyote na Katuruhusu kuomba tena, Tusiache kuomba ila Tusikufuru.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
27
52
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
8 months
GARI LIPO SOKONI 💹 BMW 3SERIES ( BLACK🖤) MWAKA-2011🌹 CC 1980 HAIJARUDIWA RANGI >FULL AC PRICE 12.5 MIL ( Maongezi yapo) Ipo Ubungo Riverside 📍
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
28
51
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
6 months
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUNUNUA PIKIPIKI USED 📌 1: UBORA WA PIKIPIKI. hapa zingatia vitu mbalimbali kama ubora wa injini kwa kupima mlio wa pikipiki, angalia kama pikipiki imewahi kufunguliwa injini na hitilafu zote zilizopo kwenye inijini, lakini pia angalia ubora wa
3
17
50
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Easy Like "Ukitaka kulenga nyota upime mwezi" ili ukiukosa utatua juu ya nyota na mambo yatakua shkopa ndo maana akaongeza 200,000/= ili apate 1M kamili Hivyo ili kupata idadi ya miezi huwa napiga hesabu kwani kwa siku mkataba ni 10,000/= Ambapo kwa mwezi ni kama 300,000/= Hivi
1
1
52
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Lakini pia kuna kipindi Niliwahi kuibiwa pikipiki ila baada ya pale nilizifunga (GPRS/GPSTracker 📍) ili kuongeza usalama wake ndipo nikapata wazo la kutoa huduma ya kufunga GPS ofisini kwangu.
1
1
53
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
BOXER X 125 "DPG" 🔥🔥 Ukipenda iite "Flat bottomed Flask" 🧴unaipata kwa 1,760,000/= Tu 😋 Haloo ni nzuri sana Hapa matunzo na Ubora vimekutana|Offer ya oil ipo pale pale ✅ Zimebaki 2 tu Ubungo Riverside📍 0747365096💫 Mikoani Tunatuma🇹🇿 NB: Be kind 📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
24
49
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
Boxer BM 125 (DVX) 🔥🔥 "Theater of Dreams" 😋 Unaipata kwa 2,050,000/= Tu 😋 Imetunzwa sana kama mboni ya jicho lake Discount available for TL clients 🙏 Ipo Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: "Siku zote mla raha na uchungu hula" 📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
25
49
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
7 months
GARI LIPO SOKONI 💹 BMW 3SERIES ( BLACK🖤) MWAKA-2011🌹 CC 1980 HAIJARUDIWA RANGI >FULL AC PRICE 12.5 MIL ( Maongezi yapo) Ipo Ubungo Riverside 📍 ( 700,000 Tsh ipo Kwa wapambanaji ✊) PLZ REPOST IFIKE MBALI MBALI 🙏🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
30
50
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
@YoungAfricansSC Ila huu ishindi wa yanga wa leo ni funzo kubwa sana kama ukiamua kuliweka katika maisha. "Kuna muda mambo hayaendi ka tulivyotaka ila sio sababu ya kukata tamaa na kuna wakati mambo yananyooka sio muda wa kuzubaaa bali kukaza zaidi" 📌 TUSIKATE TAMAA HATA KAMA MWANZO NI MGUMU
Tweet media one
1
6
51
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
6 months
@FKihamu Fuatilia wachezaji walioingia AVIC TOWN kwenye league au timu zao mpya wanaendeleaje hawa ni mfano tu saido_ni msaada alipo✅ ambundo ✅ Waziri junior✅ Bryson ✅ Kaseke✅ Kiufupi Avic ni processing industry ya vipaji vya mpira bongo elewa neno "processing"
2
2
50
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
CANON CAMERA INAUZWA 📸 CANON D 750 📸 Lens Mbili (50mm Na 18-55 mm 🎥) Speedlite 1 charger and rechargable batteries🔋 Vyote 1,050,000/= Tu 😋 Ipo Ubungo Riverside📍 0747365096📞 Imetumika miezi Mitatu tu (kwa matumizi ya ofisi) 😋 NB: "Every level has it's devil" 🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
22
50
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
4 months
Boxer BM 125 (DHQ) Imeuzwa Muda si mrefuu. Watu wanakuja Chap Niliwaambia Hizi huwa hazikai sana Pikipiki bado zipo Tupo Ubungo riverside📍 0747365096 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 Wahi pikipiki Bado zipo za kutosha
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
4 months
Boxer X 125 (EAB)🔥🔥 unaipata kwa 2,300,000/= Tu pamoja na Boxer BM 125 (DHQ)🔥🔥 unaipata kwa 2,000,000/= Tu😱 Zote zimetunza vyema sana Bei ndo hivyo njoo ununue kwa bei chee u save pesa 😋 Zipo ubungo riverside📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 Wahi sasa hizi hazikai
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
17
36
3
21
50
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
kuna muda nao wanaumwa na changamoto nyingine kama binadamu hivyo naamua kuwavumilia tu Wakati mwingine nawahimiza kufanya service mara kwa mara ili kuhakikisha pikipiki zangu zinadumu katika ubora ambao utamlipa hata yeye dereva baada ya kumaliza mkataba.
1
1
51
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
@DullahTheking2 Nakumbuka hii ngoma kuna mshikaji wangu alikuwa anjajidai gengsta amsikilizi Zuchu One day kaja kavaa pods anatikisa kichwa like anamsikiliza Tupac shakur kuchomoa moja nisikilize nikakuta ile sehemu ya ikipanda ndo balaa (naogopa) ikishuka ndo hatari~ 🎶 Nilicheka balaa 😂
6
3
49
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
@prossoff My point of view Twitter ni University and mtumiaji ataamua asome kozi zipi zakujenga au kubomoa but honestly na enjoy na kujifunza sana kuhusu huu mtandao Wanakupa ka idea kidogo then naenda deep kutafta maarifa zaidi Twitter ni bahari
2
1
47
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
Boxer X 125 (DYS) OFF-ROAD Imeuzwa kwenda Morogoro kwa kina @FKihamu Asanteni sana kwa kuichagua na kuiamini Mr pikipiki 🙏🙏 Nashukuru kwa support na RT wakuu MUNGU abariki hustle za kila mmoja ✊ Tupo Ubungo Riverside 0747365096 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 VISIT RIVERSIDE 📍
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
Boxer X 125 (DYS)/ No filter ) Legendary stuffs 🪄 Imetulia sana unaipata kwa 2,350,000/= Tu 😋 Ulizia bei ya dukani uone malezo zaidi kuhusu ubora wa boxer anayo @IdrisSultan Tupo Ubungo Riverside Novo 📍 0747365096 Mikoani Tunatuma. NB: Mpanda ngazi hushuka 📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
11
19
5
17
49
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
Pia kuna baadhi ya vijana pia huwa hawamalizi mikataba huacha katikati hivyo mimi huwa natafuta kijana mwingine wa kuendeleza mkataba au niiuze ili kushika thamani ya pikipiki kwasababu nikiiweka ndani pikipiki hushuka thamani. Mengine ni uvumilivu tu maana
1
1
48
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
8 months
@iamcleopatricia Bei zake BOXER zinaanzia Bei ziguatazo kushuka.. Boxer X 125 shop 3,200,000/= hapo🔥 Boxer X 150 shop 3,300,000/= hapo🔥 Boxer BM 125 2,850,000/= shop hapo🔥 Boxer BM 150 2,950,000/=🔥 2. TVS 125 2,750,000/= Dukani🔥 TVS 150 3,400,000/= Dukani🔥
2
1
48
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
19 days
@Exquisite_255 HE NEVER EXIT HE WILL ALWAYS BE THERE GOD IS THE KING 🙏
1
0
48
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
4 months
@TillahBlessed Kababaye ni jina la mwana mazingaombwe aliyetamba sana arusha na alitumia kumaanisha mtu asiueweza kuzuilika au mwenye nguvu za ajabu
3
1
48
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
8 months
NAITUPA "BMW 3SERIES 2011 CC1980" BEI 12.5M, NAFANYA EXCHANGE PIA 🔥🔥 SIMU-0747365096/0676238482 IPO UBUNGO RIVERSIDE 📍
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
11
46
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
19 days
@FKihamu Hauna Unafki aisee mimi ni simba ila yanga Tunakikosi kipana mnoo Dj play ile nyimbo unaifungajeeee af usiweke kich kich
11
0
45
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
6 months
Boxer BM 125 DRF 🔥🔥🔥 Unaipata kwa 1,700,000/= Tu bei ya kufuzu robo fainali 😋 wahi mapemaa huwa hazikai sana 😋😋 Ipo ubungo riverside📍 0747365096📞 Mikoani tunatuma 🇹🇿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
17
45
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
2 months
@ze_mandevu @Mr_pikipiki Leo silali kama unanisha follo uone
4
1
43
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
Boxer X 125 (DRF) 🔥🔥 Unaipata kwa 1,890,000/= Tu AK47 🪄 All Right Reserved ✅ Ipo Ubungo Riverside 0747365096 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: "Hapo mwanzo kulikuwako neno naye neno alitoka kwa Bwana naye neno alikuwa ni Bwana" (Yohana 1:1-14) -kuna nguvu kubwa sana katika neno 🙏
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
23
42
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
4 months
@prossoff If you choose to be loyal tjen dont mention that statement " Nakutana na vishawishi vingi" Ni maombi tu sometimes Mambo hayaendi sawa kwa muda mrefu ila Keep praying and suport him in Each way atakuwa sawa tu Na mtakuwa na Furaha 📌
1
1
44
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
TVS STAR 125 (EEH) 🔥🔥 Ukipenda iite Robot Eunice 🤗 Unaipata kwa 2,350,000/= Tu 😋 Mpya sana ina miezi michache sana|Mafuta 1LT⛽ unapata Ipo Ubungo Riverside📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: "Why being normal while you can be the best" @Ibra_official 📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
20
43
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
1 month
@prossoff Kuna raha flani ambayo ipo wakati unajitafuta au unatafuta pesa af uwe na mama inayo elewa mitikasi yako na kukuheshimu na kujiheshimu yeye pia Na awe anatake part hata 10% kuhakikisha upo ready kupambana kila siku
5
9
42
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
Boxer BM 125🔥🔥 (DPV & DTB)/ North and South pole🌍 unazipata kwa 1,780,000/= kwa kila moja 😋 Zimetulia balaa 🪄 zipo Ubungo Riverside📍 0747375096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: Mafanikio ni Adhabu 🤕
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
24
42
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
2 months
"Lakini nitakurudishia afya yako na kuyaponya majeraha yako,’ asema bwana, ‘kwa sababu umeitwa mwenye kutupwa, Sayuni ambaye hakuna yeyote anayekujali" Yeremia 30:17 🙏 Eeeh Mungu baba mjalie uponyaji wa haraka mpambanaji na kijana mwenzetu @Sativa255 MR PYALA PYALA 🙏 👇
Tweet media one
@MiriamMkanaka
MIRIAM💜
2 months
Asanteni kwa Muitikio natoa Update ya Michango Vodacom (M-Pesa) 5,029,000 Lipa Namba (Voda) 2,054,265 Airtel Money 1,305,000 Jumla = 8,388,265 Malipo Bill ya Hospitali: 250000 Asanteni kwa Moyo wenu wa utoaji 🙏
29
241
1K
2
8
43
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
4 months
OFFER!!!! OFFER!!!! Leo jipatie Boxer kwa Punguzo (3,325,000/= Kwa Boxer X 😋) (2,950,000/= Tu kwa Boxer HD 😋) Zote ni mpyaa kabisa namba EG na EH Usajili bure kwa jina lako Zipo 11 Tu zikiisha hakuna nyingine Tupo Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
21
42
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
TUESDAY SPECIAL 🌀💹 Boxer X 125 "DRF" 🔥🔥A.K.A Micrometer screw Gauge ♻️ Unaipata kwa 1,780,000/= Tu 😋 Hii ni balaa Buluu Tairi mpyaa|Engine haijaguswa| body limenyooka ✅ Ipo Moja Tu 😋 Ubungo Riverside 0747375096 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 Piga simu chaap kabla hawajapita nayo.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
18
41
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
2 months
@ExMayorUbungo Muda umewadia wa kwebda kuzikomesha zile samaki za tricy
2
0
41
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
28 days
@DullahTheking2 Umeandika kitu kimenyooka mno kikiwa na Details Muhimu kama ranks N.k Kongole sana kwako kaka Huifanyi for Fame huifanyi kwa njaa hii kitu~ 🔥🔥
1
2
40
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
Boxer X 125 "DLJ" 🔥🔥"Aziz ki Goal" 🚀 Unaipata kwa 1,680,000/= Tu 😋 Hii imevuka mstari wa ubora ✅ Well mantained ✅ Ipo ubungo Riverside novo 📍 0747365096📞 Mikoani tunatuma 🇹🇿x🇿🇦 NB: Mpigie simu, muandikie Text mwambie unampenda ♥️ acha icho kiburi duniani Tunapita 🥲
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
20
39
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
@FKihamu "Wissa Amesema hii ni mali msiiache" Hapa bado ADINGRA tumalize kazi
2
1
38
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
4 months
Boxer BM 125 DLM /Black Paradise 🪄 Unaipata kwa 1,650,000/= Tu Full Document 😋 Service zote zinafanyika kwa gharama ya ofisi (Up to 50,000/=) Tu Except Oil Ipo Ubungo Riverside📍 0747365096📞 Mikoa Yote Tunatuma 🇹🇿 NB: Happy New Month Fanya yote ila usisahau kujipenda 🪄
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
20
40
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
@HKigwangalla Binafsi nafurahia sana unachokifanya sijuutii kukufolo japo sometimes wengine huita braging ila una inspire wengi sana sio kuwa kwenye siasa bali kuwa na kiu ya mafanikio katika kila wanachokifanya NAKUBALI FIGHTER ✊
0
0
39
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
23 days
Kuna mwanangu mmoja alikua anasimamia choo cha kulipia kariakoo baadaye yule Muhindi akamuachia kiwe chake aisee kama utani saivi ana maisha balaa 🙌
1
6
38
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
Hero Hunter 150 (EAD) Carrot 🥕/Private plate Number 🟡 unaipata kwa 1,850,000/= 😋 Mafuta yaendane na kazi na mbio hii ndo kipchoge 🪄 Ipo Ubungo Riverside 📍 0747375096 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: Akili ni nywele leo, watu hawataki tena akili wanataka hela 😂
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
22
38
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
@Roma_Mkatoliki Acha tu mzee baba 🥊🥊
0
7
38
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
4 months
Boxer X 125 (DWB) Private/Carrot 🥕 Unaipata kwa 2,250,000/= Tu 😋 Injini imetulia Tuli mlio kama kuna nyuki ndani (Well mantained✅) Kadi ya kubadilisha 🙏 Ipo Ubungo Riverside📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma🇹🇿 NB: "Hakuna ugonjwa mbaya kama wa kusahau ulipotoka" Mbosso 📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
18
38
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
3 months
BOXER BM 125 "DTB" 🔥🔥🔥 Unaipata kwa 1,750,000/= Tu Ukipenda iite "Chocolate Box" 🍫 Imetunzwa sana|Tires Zote mpyaa|Free services 🤗 Ipo Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: "Quality of ourlives is measured on how we treat others"📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
18
37
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
6 months
@prossoff Best revenge is on improving yourself. my friend told me that and this shit is real .. #pray ,hustle hard, Fanya mazoezi, kula vizuri pumzika jipende. booom unakuwa mpyaaa ✊✊
2
1
37
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
7 months
RED MONDAY STOCK 💹 Tunauza na kununua pikipiki used zenye ubora wa hali ya juu Kwa Bei nafuu 😋 Tunapatikana Ubungo Riverside 📍 0747365096📞 Mikoa yote tunatuma 🇹🇿 NB: "Haijalishi upo wapi ama unafanya nini kama inaleta ugali basi Usichoke kufanya kama haiharibu utu wako"
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
10
35
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
4 months
Boxer X 125 (EAB)🔥🔥 unaipata kwa 2,300,000/= Tu pamoja na Boxer BM 125 (DHQ)🔥🔥 unaipata kwa 2,000,000/= Tu😱 Zote zimetunza vyema sana Bei ndo hivyo njoo ununue kwa bei chee u save pesa 😋 Zipo ubungo riverside📍 0747365096📞 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 Wahi sasa hizi hazikai
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
17
36
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
5 months
@PresenterNoah Na huwa anatekeleza A night before game ya mamelodi aliingia insta live na Ali kamwe akamhaidi atafunga mara kweli motsepe akapita nalo 🥱
3
0
37
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
2 months
ULAJI WA MAFUTA KWA PIKIPIKI ZA BOXER 📌 1:BOXER CC 125 zote hutembea Kilomerer 60 kwa mafuta Litter 1 yaani 60KM/L 😋 2: Wakati BOXER CC 150 Hutembea Kilometer 49 kwa mafuta Litter 1 yaani 49KM/L 🔥 Ila kila moja hukupa uimara na uthabiti ziwapo barabarani #ZijuePikipiki
7
15
36
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
4 months
Boxer X 125 (EAB/Carrot🥕) Private 🟡 Unaipata kwa 2,680,000/= Tu 😋 Ipo safi Kila kitu cha pikipiki Huwa hazikai sana hizi ni kama maharage ya mbeya ( post 1 tu) Ipo Ubungo Riverside 📍 0747365096 Mikoani Tunatuma 🇹🇿 NB: When the Deal is too good Think Twice 🤔 @FKihamu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
24
34
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
1 month
@JayleenRickie Tunabaki na Ngorongoro Crater Mt Meru Bang Pisi kalii Tarangire Gran melia hotel Ngorongoro tower Arts Gallery Impala Beatiful waterfalls Forest Mount Meru hotel Lifestyle Meno ya kuungua Lafudhi ya kibabe
8
0
36
@Mr_pikipiki
Mr Pikipiki Trading 🏍️📸
2 months
@FKihamu Bongo Huku wakiachiwa tu pyepyepye Nyingiii mara nilikua "nakula ugali na sukari" Mara nilikua nambebea Dube viatu mazoezini sijui nini 🚮
Tweet media one
0
0
35