Ezekiel_Son Profile Banner
Ezekiel_Son Profile
Ezekiel_Son

@devis_ezekiel

Followers
4,328
Following
4,190
Media
276
Statuses
18,744

Mkulima wa nyanya toka bonde la mbeya👊

Tanzania
Joined June 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 day
Mkatoliki ana misimamo ya pekee yake, Enewei Goood Morning X Family👊
Tweet media one
25
28
455
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Sema jeshi moraliii sanah wanangu👊
20
100
535
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
4 months
@ze_mandevu Hiyo hapo😂
Tweet media one
3
0
129
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
16 days
Mapenzi yakikunyoosha ngoma za huyu jamaa utazijua tu wanangu🤔
Tweet media one
22
18
123
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
20 days
Ukweli ni kwamba hata waliokufa jana waliamini kifo chao kipo mbali, Hivyo tusichoke kushukuru kwa nafasi ya uhai tunayoipata. GOOOD MORNING X FAMILIA👊
22
23
74
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
5 days
@ze_mandevu Hapa mbeya Viazi vya jelo Kitunguu hamsini Mafuta 100 Nyanya 100 Inabaki 250 kilinda mfuko
17
0
86
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
2 months
Sheria ni ile ile wanangu, mihogo ya jero na chai nzito inayokaa tumboni masaa mengi then tukutane jioni👊 Goood Morning Wana X
20
24
60
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
26 days
Ukweli ni kwamba hakuna aijuae kesho yake, Epuka kuishi na watu kama hutowahitaji tena kesho👊 Gooood Morning Familia
10
24
47
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Hivi mbeya ukitoa vumbi na hili daraja tunabakiwa na nini wananguu🤔
Tweet media one
11
9
44
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
23 days
Hustle zetu zikajipe, Milango ya baraka ikafunguke, Mwanakondoo tumfuate na Mguu wa kutoka ukawe na baraka. Goood Morning X Family👊
20
23
42
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
25 days
Hatari zingine ikibidi zikimbie wewe mwenyewe kwa miguu yako🤔 Goood Morning X Family
14
25
42
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
15 days
Maisha tuliyokulia yametujengea imani kubwa sana kwa Mungu, Huenda leo yetu ingebaki historia🤔 Goooood Morning X Family👊
Tweet media one
22
19
39
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Ukweli ni kwamba wanaokudharau leo ipo siku watakunyonga kabisa. Goood Morning X users
10
16
39
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
2 months
Tunatamani maisha mazuri kama wao lakini Mungu katuweka hapa kwa sababu.Mungu ana njia zake🙏 Good Morning Familia
Tweet media one
7
12
37
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
3 months
Ukikielewa kifo basi umeyaelewa maisha🙏 tuishi kwa kupendana wanangu
Tweet media one
2
4
37
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
18 days
Kwenye ile list ya maadui wa Mtanzania muongezeni na huyu halotel wanangu, Hawa jamaa bado wapo zama za mawe za kale aisee🤔
10
18
35
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
13 days
Maisha ni watu, Ufunze moyo wako kuyakubali madhaifu ya wengine maana hakuna aliye mkamilifu👊 Goooood Morning X Familia
16
24
34
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
21 days
Kwa uzoefu wako hii game inachezewa home or away🤔
Tweet media one
19
11
34
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Tumalize utata hapa wakuu, upi uzi mkali🤔
Tweet media one
7
9
30
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
19 days
Ukweli ni kwamba hakuna umaskini unaodumu, ukipewa nafasi ya kuwa hai usichoke kupambana👊 Gooood Morning X Familia
16
16
32
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
19 days
Morning gain, lets connect familia👊
Tweet media one
5
12
32
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
12 days
Twitter Maengineer hii barabara kwanini imezunguka kote huku na sio kukatiza pale🤔
Tweet media one
9
12
31
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
2 months
Ukaonekane katika mapambano yetu ya siku ya leo Eeenh Mungu. Goood Morning Familia👊
Tweet media one
7
12
30
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
27 days
Tulionekana wasumbufu sana kipindi tulipowahitaji, tukaonekana tuna dharau pale tulipo move on kwa kifupi hatuna jema kwao. Goood Morning X Familia👊
11
22
32
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
18 days
Simple mathematics Asiyefanya kazi na asile, kutokula(njaa) × siku 7 = Kifo, This means ASIYEFANYA KAZI NA AFE. Gooood Morning X Familia👊
12
17
31
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
17 days
Hatukujiumba sisi wenyewe, ufunze moyo wako kumshukuru Mungu kila uionapo siku mpya. Gooood Morning X Family
13
19
30
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
5 days
Ukiachana na maji kupanda mlima , pia hili la mondi kuwa tajili namba moja duniani nalo pia haliwezekani kabisa🤔
5
14
29
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
3 months
Tunapambana sana ni vile wakati wa Mungu bado haujatufikia tuzidi kuwa na subira wanangu👊 Good Morning Fam
Tweet media one
10
6
28
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
17 days
Wanangu wa faida kabisa sijawah kuwapinga ,Chapa handle down tuanze kuisaka 10k pamoja wanangu👊
Tweet media one
17
13
26
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
18 days
From Dar To Mikoani Route ya mkoa upi ina wasafili wengi zaidi wakuu🤔
Tweet media one
9
12
28
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
16 days
Hii team yetu aliyebadilika ni mdhamini tu, Sema tuzidi kuvumilia hizi dozi wanangu lipo jibu tusipozimia mioyo🤔
Tweet media one
7
8
27
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
2 months
Umelala usiku wa manane gafla linakutokea hili jini makata, utafanyaje mpwa🤔
Tweet media one
14
7
26
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
25 days
Simu na vimemo visingekuwepo kuna wana wangekufa single daima😂
6
12
26
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
22 days
Kama na wewe unafurahia kichapo anachopewa migos fc weka handle nikufollow mda huu😂
Tweet media one
8
6
26
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
21 days
Amka tukapambane familia huenda leo ndiyo zamu yetu ya kupata🙏 Gooood Morning Familia
12
12
25
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
"Kunywa lakini usilewe" haka kasheria mlijitungia wenyewe wanangu😂
5
11
25
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
8 days
Dah mapenzi usenge sana wanangu muhimu tunaishi🙏
11
15
25
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
2 months
Umaskini unaumiza na kudhalilisha sana lakini usitufanye tusahau neema ya Mungu iliyo juu yetu. Mungu ana njia zake🙏 Good Morning Familia
Tweet media one
4
6
24
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
12 days
Wanakufollow 10, Wanakuunfollow 20 hii safari ishakuwa ya mlevi dadekiiii🤔
9
10
25
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Au kisa kaona me jobless ndo mana kila siku night ananipeleka shambani kwake nikamlimie, haki nikimjua huyu mchawii namchoma kisu cha figo
5
11
25
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
2 months
Hatimae jobless nimeyakanyaga rasmi,huyu mam mtu ana mimba dah,🤔
Tweet media one
7
7
25
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Dogo angekuwa na GPA Ya 4 wala asingechitiwa na demu wake ni vile amekataa shule🤔 STAY SINGLE, VUMILIA MATESO
Tweet media one
8
12
23
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Uku mbeya wanayaita "Team mbembela" yameua sana dereva bajaji haya🤔
Tweet media one
2
9
23
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
12 days
Yeremia 17:7 Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea Bwana, Ambaye Bwana ni tumaini lake. Gooood Morning X Familia🙏
10
12
24
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
20 days
Nimefungua Twitter (X) kwenye daladala hapa wazee si wakaona zile watoto wamelala threads,hivi now nipo napewa ushauri niache uzinzi eti🤔
5
14
24
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Ile situation Yanga tunapigwa, wahuni wanapita na simu hapo taifa, nauli unaangusha na kwenu ni tegeta nyuki😂😂
8
9
24
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Ukweli ni kwamba huwezi kuwa bora kwenye story ya kila mtu, mda mwingine wema huonekana kama dharau na kujipendekeza. GOOD MORNING FAMILIA
5
12
22
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
19 days
X ni kama familia vile japo hamjuani ila mnashare idea, mna show love, ukifaili unapigwa spana na mtu humjuh, na zaidi michongo ni mingi sana ukiishi vema na matajili humu🤔
7
13
24
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
6 days
Siku zote naamini maisha ni kuishi vema na watu, hatupo sawa wengi wametuzidi vingi na mengi, Jichanganye ujue vingi na mengi kwao👊
8
21
24
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Baada ya kazi ngumu usiku wa jana tupooze koo kwanza wanangu, sema hii nchi ngumu sana😂
Tweet media one
6
10
23
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Huyu apelekwe kwa wajeda kwanza akajibu ishu ya kitambaa hicho ndo mengine yaendelee🤔
Tweet media one
8
5
22
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Huyu dere wa bajaji akiruka tu naruka nae mamae hafi mtu kizembe hapa😂
Tweet media one
8
6
23
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 year
0
0
21
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Endelea kuangalia game taifa, kuna wana wanabeba vitu gheto kwako hapa😂
7
8
23
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
27 days
Ikiwa bado unampenda basi punguza washauri 👊
5
11
23
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
7 days
Hapa kitaani kuna kasichana ka form 2 kamepata mimba, nimeamua kutoroka zangu maana huwa ni kaongo kaongo🤔
7
13
23
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
6 days
Kama na wewe unaamini mwaka huu Man U tunachukua vikombe vyote kwa kishindo cha wakoma I Wish You Gooooood Morning Familiaaaa👊
13
16
22
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Tunaishi mara moja ukipata nafasi fanya kweli👊 Goood Morning X Familia
8
11
22
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
9 days
Hii game tunaifuatilia kwa ukaribu zaidi, Lets go Brighton👊
Tweet media one
5
8
22
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
8 days
Tuendelee tu kuforce michongo wanangu, mapenzi sio ridhiki aisee
3
12
22
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
25 days
Malaika kitengo cha upepo na vumbi ukanda wa mbeya aongezewe mshahara kazi yake tunaiona🤔
4
10
22
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
7 days
Kama na wewe unaamini msimu ujao man u atacheza championship I Wish You Goooooooood Morning Familia👊
11
17
22
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
10 days
Namshukuru Mungu nimefika hapa Bangladesh salama kabisa na sasa nipo online🤔
4
13
21
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
29 days
Ikawe jumapili yenye baraka kwako na familia yako Goood Morning X Familia
Tweet media one
9
10
21
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
24 days
Tunahitaji utulivu humu wanangu, team kubwa ulimwenguni tunacheza mda huu🤔
1
9
21
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
12 days
Mnatuchanganya nyie maparod kumamake, kila mtu kawa malkia nyuki🤔 wanangu naombeni handle og ya malkia nimfollow
2
9
21
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
1 month
Kuna demu hapa status kapostiwa na wana watatu tofauti, kila mwana kaweka caption nzito makopa yakushato, ngoja niwatengenezee kagroup niwaunge wote then nileft kama vipi wauane tu😂
5
8
21
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
5 days
KIJIWENI HAPA WANAULIZA🤔 Ni sahihi kumzuia mke wako kufanya biashara na kumuweka kama mama wa nyumbani pekeee.
5
13
21
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
10 days
Nililala wakuu game ya hawa matapeli iliishaje jana🤔
Tweet media one
6
7
20
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
27 days
Humu ndani mnajua kukaanga watu aisee,Huyo mrembo lazima aombe maji😂
Tweet media one
3
8
21
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
5 days
Zile penalt za yanga alizotoa zimembeba piah katika hili,🤔
Tweet media one
7
11
21
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
6 days
Zimefanyaje hizi jezi mbona zinatrend sana wakuu🤔
Tweet media one
3
8
21
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
11 days
Acheni uchawi nyie kagera hiii ya dube imetokaje nje🤔
3
10
20
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
14 days
Expectations always kill the vibe🤔 Goood Morning X Family
9
14
20
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
7 days
Jana mda kama huu mashabiki wa man u tulikuwa tushalala, hii team huwa inatulaza mapema sana wanangu🤔
5
9
20
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
5 days
Wakuu nawezaje kuwaona hawa non- followers wote, nataka niongee nao lugha moja mda huu🤔
4
11
20
@devis_ezekiel
Ezekiel_Son
22 days
Jobless nimetoka kwa ibada kuimba nataka gari huku sina kazi🤔
2
7
19