Ukweli ni kwamba hata waliokufa jana waliamini kifo chao kipo mbali, Hivyo tusichoke kushukuru kwa nafasi ya uhai tunayoipata.
GOOOD MORNING X FAMILIA👊
X ni kama familia vile japo hamjuani ila mnashare idea, mna show love, ukifaili unapigwa spana na mtu humjuh, na zaidi michongo ni mingi sana ukiishi vema na matajili humu🤔
Kuna demu hapa status kapostiwa na wana watatu tofauti, kila mwana kaweka caption nzito makopa yakushato, ngoja niwatengenezee kagroup niwaunge wote then nileft kama vipi wauane tu😂