Your Essay Help Profile Banner
Your Essay Help Profile
Your Essay Help

@your_essayhelp

Followers
53,956
Following
37
Media
534
Statuses
12,026

Essays||Assignments||Quizzes||Course work. for help, text or WhatsApp +1 (831) 301-5937

global
Joined February 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@your_essayhelp
Your Essay Help
4 months
Dm @your_essayhelp for help with your Essays PowerPoint presentation Research papers Homework Assignments Discussion boards Quizzeonline exams.
1
1
0
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Kuna kipindi flani kwa nyakati tofauti, @nikkwapili na @BobWangwe walitangaza nia ya kuja kugombea uraisi wa nchi hii. To date, Nikki amekuwa muandika mipasho, while Bob anatembea korido za Mahakamani akijaribu kubadiri mifumo kandamizi ya kidemocrasia If you know you know
34
50
445
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Magali Zaidi ya 40, pikipiki za polis na Chopper mbili…….theluthi ya waliohudhulia mkutano ni polis na majeshi. Massive protection, but why??? Unapoongoz wanyonge unahitaji Haya yote??
48
26
283
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Twitter can change your life if you use it wisely. Heshimu watu na onyesha ukomavu katika kujenga hoja zako. Twitter is not just a social media, it's bigger that that.
7
36
266
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Mkenya mmoja alitoa kauli za kibaguzi dhidi ya watanzani, wakenya wote hadi viongozi wa chama chake walimvaa na kukemea uovu ule Hapa kwetu mkenya katekwa, viongozi wa kiserikali na hata polisi wako kimya kama hamna ishu vile #StopAbductionInTanzania #BringBackRaphaelOngagi
11
30
222
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Mpwa @TitoMagoti nilikuwa nje ya mtandao kwa siku kama tatu hivi, nipe direction nianzie wapi? naona kila kona ni @kigogo2014 Kigogo, huyu jamaa sasa tumfunge speed gavana, anamtoa meko na regime yake yote makamasi sana.
6
15
192
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Tatizo la siasa za CCM ni hili, WanaCCM wote wanaamini kabisa Raisi Na mwenyekiti wao kamwe hawezi kukosea. Tatizo KUBWA zaidi ni hili, Raisi Na mwenyekiti wa CCM ni kudhani anajua kila kitu Na kuwa yuko juu ya kila sheria. Raisi anaweza Kwenda kinyume cha ilani na asikemewe
14
27
169
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Watu waliathirika Na tetemeko, hakuwa mfariji wao. Watu waliuliwa kinyama Na kutupa mto Ruvu, hakusimama kukemea. Watu walitekwa mchana kweupe, hakusimama kukemea. Watu walipigwa risasi hakuonesha kujali. Ni lipi linalotufanya kufikiri hili la Teleza litakuwa Na maana kwake??
4
27
151
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
@MarekaMalili Nilisafiri kutoka Dar mpaka Mwanza na kutumia boom lote kwaajili ya manzi, nilikaa Kembice hotel na kula bata kama mtoto wa kigogo kumbe kapuku mmoja tu, siku naondoka hadi maneger wa hotel akanipa business card🤣🤣
11
11
150
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Hedhi kwa mtoto wa kike si chaguo lake bali ni mfumo wa mwili unamlazimu kupitia kipindi hicho, kuweka kodi kwenye sodo zinazomsaidia kipindi cha hedhi ni kumpa adhabu kwa jambo ambalo hana maamuzi nalo, Tuondoe kodi hizi. #PediBilaKodi
2
32
125
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Mwenye wizara yake kaendesha zoezi smooth Na nonviolently Na kafanikiwa kwa kiasi kikubwa, here comes a headless manic try to ruin everything. No wonder Bashiru anasema hawa madogo hawajapewa vizuri. SMH😒😒
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
5 years
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amesema anatamani kuongezwa kwa adhabu ya viboko kwa watu watakaokamatwa na mifuko ya plastiki ili wakifika nyumbani kwao wawasimulie wake zao. (Mwananchi). #KwanzaHabari
Tweet media one
196
14
276
4
7
112
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Je wajua za midnight, je wajua watu wengi twitter wanajua kuwa @MarekaMalili na anafanana na Kendrick? je wajua watu wengi twitter wanajua kuwa @kigogo2014 na anafanana na Jay Z?
8
4
108
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Nikianza kilimo cha mapapai na kuwa nayapanga barabara ya Magogoni, ebu nitabirie nitakuwa naingiza shilingi ngapi kwa siku.
5
4
92
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Walianza facebook, watu makini wakashitukia wakaamsha Wakaamia Instagram, watu makini wakashituia wakaamsha Now wanaingia kwa kasi huku Twitter, na slowly wanapoteza direction ya watu kujadili mambo ya maana. Kuna wimbi kubwa sana la character za ajabu ajabu zinaingia twitter.
10
14
91
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Waliomchukua Martin Maranja Masese leo hii wanadai hawana taarifa juu ya wapi alipo😕😕 Tunapoelekea kama taifa ni gizani, huu utamaduni wa watu kupotea na wanaotakiwa kuwa walinzi wa RAIA na malizao kukana hawana taarifa unapaswa kukemewa. #ChangeTanzania
0
15
87
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
4 Hard Truths About Life 1. Nobody cares if you fail or succeed. 2. Your spouse isn’t responsible for your happiness. 3. Life’s not meant to be easy. 4. You’re responsible for your mental and physical health. PINGAMIZI???
6
19
81
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Angalizo!! Hakuna mtu mwenye hakimiliki ya bonanza la leo, go mingle and make meaningful connections, usi-act kama wewe ndo bab kubwa na wengine ni mbuzi tu.
3
10
76
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
@BMatungwa @MoruoKing Tatizo la msigwa ni kushindana Na activists wa humu Twitter Kama kina @MariaSTsehai Na platform nzima ya @ChangeTanzania , anadhani wao wako kwaajili ya kupinga tuuu, kumbe watu wako for great cause, sasa katika kushindana huko anaexpose incompetence Na kuchafua ofisi ya raisi
6
16
72
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Hizi drama za watu kufurahia ndege nazifananisha na drama za mwana anayeishi kwenye chumba cha kupanga maeneo ya Jangwani (Uswazi), hana hata parkini afu ananunua Bentley au Porsche. Hii kitaalamu huwa inaitwa "LODILOFA ECONOMY" #ChangeTanzania
3
3
66
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Definitely! These maniacs don’t want to hear anything challenging them. Tulizembea kwa Azory, Erick mtamrudisha tu. #FreeErickKabendera #FreeErickKabendera
@Liberatus80
Liberatus Mwang'ombe
5 years
Erick Kabendera‘s last week article on The EastAfrican. Does this article has anything to with his abduction? No end in sight as Tanzania’s CCM goes for ‘dissenters’ via @The_EastAfrican
7
47
149
0
11
64
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Inaponyesha mvua kabla ya kuwaza ngono na uzinzi ebu tuwaze kilimo na fursa nyingine zinazoletwa na mvua!! Tabia ya watu kupigia chapuo ngono imekuwa common sana siku hizi humu tweeter!
4
2
57
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Kwa uhakika kabisa, baada ya Lissu, @zittokabwe ndie mbunge ambaye @ccm_tanzania and co. watakuwa wanamchukia zaidi. Huwezo wake wa kujenga hoja na kufuatilia maswala nyeti uko juu sana, jamaa ni mkubwa kuliko umri wake....
3
6
60
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Appreciation tweet Sijawai kuonana nao wala nini, Ila we vibe in TL @kigogo2014 @abdulazackabdul @ProsperMasau @Wakusnooz @LordeB_ @GIVENALITY @Leyenda_vivien @TitoMagoti @vihendameek And many unmentioned good people, you have been superb. Tuendelee kujengana Na kuconnect
5
7
57
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Tungekuwa hatuna unazi wa kijinga watu kama Lissu, Kibatala, Kabudi, Karume na wengine wabobevu wangeunga nguvu ya pamoja na kutetea pesa za umma!! Ila unazi umetujaaa! Ujinga kwetu kwetu ndio tunu. I love my country but I am ashamed of my government😖😖
@MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus
6 years
Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID), imeikataa rufaa ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kupinga hukumu iliyotolewa ya kuilipa Benki ya Standard Chartered, Dola 148.4 millioni za Marekani sawa na shilingi billion 336 za Tanzania #KwanzaHabari
Tweet media one
25
21
125
2
12
55
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
DEAR TANZANIANS @usembassytz @SwedeninTZ @UnitedNationsTZ have already choose to side with the Tanzanian Gangster Republic Government, it's time we stop hoping for anything good from them. TANZANIA we be liberated by Tanzanians themselves. #BringBackMdudeAlive
0
14
52
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
@KennedyMmari @Tz_Kwanza Kutokuonesha vyeti vyake vya elimu🤣🤣🤣
1
0
53
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Yaliyotokea huko mgodini nina jambo moja tu la kusema, kamwe huwezi kuziba tundu la panya kwa kipande cha mkate!!! 🙌
0
7
53
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Wangapi tutaungana mikono kupanda miti milioni 2 kama serikali itakaza shingo na kupuuzia kilio chetu cha kutofyeka miti milioni 1? Tukubaliane serikali hii ni kiburi na itafanya vile inajisikia bila kujali. Tuibuke na wazo mbadala. #ChangeTanzania
4
12
51
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Yote ya UDART yanayopaswa kusemwa yamesemwa, sina cha kuongeza. Ila katika video hii nimeona mambo mawili makubwa. 1. Walioweka mgomo hapo na kusimamia zaidi ni WATOTO WA KIKE. 2. Watoto walioweka mgomo wanatoa shinikizo ili wapatiwe ufumbuzi, kuna MBUZI mmoja anawanyamazisha
@SuphianJuma
Suphian Juma Nkuwi
6 years
Angalien wanafunzi wa shule ya Msingi Dar, walipogoma jana kwa kukaa njia ya mwendokasi ili wasafirishwe baada ya kupoteza zaidi ya saa 3 maeneo ya DIT. Tujiulize ni madhara mangap huwa wanapata kutokana na adha hii? Tunaposema MWENDOKASI ni KERO naona Serikali inatuona mazwazwa!
17
38
125
5
8
50
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
MY GREATEST WISH! Natamani sana kila mwananchi ajue tu nini kimeandikwa kwenye katiba yetu katika ibara ya 8, sura ya kwanza, kifungu (a) na (c). Tukijua nguvu ya vifungu hivi, utakuwa ni mwanzo mzuri wa wananchi wote collectively kusimama imara na kudai haki zetu pasipo uoga.
1
2
48
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Tuko tweeter: Kuelimika - kuna watu humu wako knowledgeable bala Kuhabarika - kuna watu wako dedicated kuhabarisha watu 24/7 Kujenga connections - kuna watu ni noble na wa maana sana tumejuana humu Kuburudika - kuna watu wao wa burudani tu and the feel our lives with laughters
3
5
42
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
On world spotlight again, and YES, it's all for the wrong reasons again.
@KenRoth
Kenneth Roth
6 years
Tanzania has detained these two @PressFreedom staff members and seized their passports while they were legally visiting the country. They should immediately be freed.
Tweet media one
10
194
242
0
12
44
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
And it's JK who paved a way for this maniac Makonda, JK owe us an apology asee.....kwa kutuletea hili janga JK kuna siku inabidi aamke na auombe umma msamaa, ni vigezo gani ambavyo alitumia JK kumpromote huyu jamaa? Makonda ni mfano tu, wapo kina Myeti na Muro, total disgrace!
@AnethStanley
Aneth Stanley
5 years
Wahuni wako karibu na mkuu wa nchi, wanakula naye pamoja
3
4
67
3
2
39
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Anayesema tutenganishe SIASA na DINI ni MJINGA. Huwezi kutenganisha haya mambo mawili, yote yanahusiana na ustawi wa watu, ila moja lina uwanda mpana kuliko lingine. Kwanini Padre/Askofu au Shekhe asikemee pale mwanasiasa anapokosea? #ChangeTanzania
5
6
40
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
1/4 @ChangeTanzania na wadau wote, ebu tuisaidie hii serikali kwa kuendelea kuwa kumbusha, katika mazingira ya sasa ya elimu yetu, na wao kuendelea kuwekeza katika kununua madege na kupuuzia "hali mbaya ya elimu yetu" ni kosa kubwa mno.
2
8
36
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Kama trash bags hazijapigwa marufuku, nikiamua kubeba mihogo yangu ya kukaanga kwenye trash bag nitakuwa salama?? Nawaza tu hapa🤔🤔
3
0
37
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Mwanangu ukioa jitahidi kufanya hima mpate watoto maana waswahili husema, "zizi lisilokuwa na NDAMA liko mbioni kuaNGAMIA", ushauri huu nilipewa na Jenerali Mstaafu Mboma #TweetLikeTogolani
0
6
40
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
@fatma_karume Shangazi haya ni maneno mazito mno!! Mtu MOUGA akikabidhiwa bundiki anaweza hata kupiga risasi kivuli chake mwenyewe.
1
0
38
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Kamanda aache porojo, aseme tu WALIMTEKA Erick, now wampe ruhusa ya kuwasiliana na ndugu zake na mostly meanasheria wake, huu ujinga waache. The guy was doing his job, within constitution constraints. #FreeErickKabendera #FreeErickKabendera
@Mwanahalisitz
MwanaHALISI Digital
5 years
Kamanda Jeshi la Polisi Kinondoni Mussa Taibu amesema ni kweli Jeshi la Polisi linamshikilia Mwandishi Erick Kabendera na yupo anahojiwa ila kuhusu kuachiwa itategemea baada ya kumaliza kumhoji.
Tweet media one
1
15
83
2
7
39
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
I stand to be corrected! Kwa Mara ya kwanza, leo nimejihisi kusikia kauli ambayo anaweza nikasema proudly kuwa raisi wangu kaongea, thou najua this feeling will last for a very short time.
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
6 years
Part 2 Rais @MagufuliJP anatusaidia kujibu yale maswali 👇🏾 - kwa nini hakuna orodha ya wanufaika anapokea mtu binafsi? (Kapanga kuwapa shule kadhaa tu) - makontena yana nini? Declaration of goods inaonyesha kaleta nini mf makochi Shopping mall hii je? 😝 #ChangeTanzania
12
23
116
1
6
37
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Meanwhile hapa Tanzania hata kuandamana kwa yanayotuhusu tu ni shida, ukomavu huu tutafikia link sisi😔😔.
@Ugaman01
UGAMAN
6 years
I have been informed that Kenyans will have a peaceful demonstration heading towards the Ugandan high commission tomorrow (Monday) demanding the release of @HEBobiwine . Thanks for standing with Bobi 🙏. #FreeBobiwine #ReleaseBobiwine More details loading.
Tweet media one
Tweet media two
53
849
2K
0
5
37
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Kumbukumbu muhimu zitazotumika kule ICC
3
4
37
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Wakili msomi @TitoMagoti @Leyenda_vivien naomba kupata muongozo, hivi utaratibu wa kisheria wa mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) unasema nini juu ya NGO kuwa na affiliation na mambo ya kisisa? Je NGO inaweza kuendeshwa kwa misingi ya kisiasa za kivyama?
2
2
33
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Jaribu kumuunga mkono CAG na uwe sehemu ya watanzania wanaopinga ufisadi ulioibuliwa na CAG.
0
2
36
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
I am always fascinated na kiwango cha ujinga cha watu wanaojifanya pro-magufuli!!
12
7
35
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Moyo wangu utavunjika mno nikijua kuwa baada ya wanasiasa kupiga picha na masikini wakipanda magali yao wanasafisha mikono na sanitizer, God forbid! Ila i am seriously against hizi show off za wanasiasa na kujifanya wanasaidia masikini. @Semkae @Leyenda_vivien
2
9
36
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Ukosefu wa elimu, weredi , utashi na ubinadamu unasababisha yote haya. Imagine mtu kama huyu akipewa amri na mtawala afanye jambo, hata kama lina madhara makubwa kiasi gani hatojali, yeye atajikita katika kumfurahisha mtawala tu. #Policebrutality is real in TZ #ChangeTanzania
1
7
33
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
0
0
25
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Ukitaka kupata heshima kutoka kwa wanaokuzunguka, sharti uanze na kuuchunga moyo wako kisha chunga mdomo wako, kwani hakuna kinachomchafua mtu kama mawazo ya moyo wake na maneno ya mdomo wake, maneno hay niliambiwa na mpwa wangu @GeofreyMMsuba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 #TweetLikeTogolani
2
6
31
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Jukata hongereni kwa kuthubutu kuhoji, ni ujinga nchi nzima tukiingia kwenye wingu la ukimya. Jambo moja mnatakiwa kulitazamia ni kuingia katika msukosuko tu
@MwananchiNews
Mwananchi Newspapers
6 years
Jukata wahoji polisi kushangilia baada ya uchaguzi kumalizika>
Tweet media one
0
18
74
0
6
33
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Naheshimu sana maamuzi ya kaka yangu @ManenoIzaak ya kubadiri gia angani, ila natamani sana kama angeamua kuyafanya anayoyafanya pasipo kutaka wote ambao wameamua kuwa wapiga mbinja kuungana na yeye kwa kuwapa kauli za kuwavunja moyo kwa mgongo wa kubeza hali zao za kiuchumi
2
3
33
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
@Paul_Makonda Kama sio baba yake ungemteka chap, sio?
1
1
34
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
@HusseinBashe Shekhe unabadilisha bio saa ngapi?
1
0
31
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Ukiangalia hii clip Na hao wanaojibu kwenye background ndio utajua hii nchi ina wajinga wengi kiasi gani
@millardayo
millardayo
5 years
"Wale waliotoa tamko la kunipa siku 7, nikajiuliza Mkuu wa Mkoa unampa siku 7 unaelewa mamlaka ya Mkuu wa Mkoa? nadhani mlionaona kwenye vyombo vya habari, niliposoma hilo tamko nikacheka sana.. nikasema eeh Mungu wasamehe hawajui walitendalo" RC Iringa Ally Hapi
9
9
70
5
2
28
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
@MariaSTsehai Katiba inasema 8.(1) Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi inayofuata misingi ya demokrasia na haki ya kijamii, na kwa hiyo (a) wananchi ndio msingi wa mamlaka yote, na Serikali itapata madaraka na mamlaka yake yote kutoka kwa wananchi (c) Serikali itawajibika kwa wananchi
1
6
33
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
@SingoRaggy Nipo south, na nilikuwepo uwanjani....i can confirm this is a lie.
2
2
31
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Blaza @Leyenda_vivien huyu mwana nzengo @Arafat__AH ni kama ananishawishi nibadili kale kamsimamo kangu, vipi wewe?
@laumlaki
Lawrence Mlaki
5 years
Wana Yanga tumchague Arafat A Haji nafasi ya Mjumbe. Tunamuhitaji huyu kwa Yanga yenye Umoja, Uwazi na inayoweza kujitegemea. All the best brother ✊
2
5
26
1
2
29
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
When you are not done wondering WTF is happening in Sudan here comes Nigeria with another drama! What is wrong with authorities in this continent?
@TheCitizenTz
The Citizen Tanzania
5 years
Nigeria shuts private TV, radio close to opposition
Tweet media one
0
0
4
0
4
31
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
@lovel_ford @vihendameek Whoever is dicking down this gal abarikiwe kokote kule alipo
4
1
30
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Nilidhani nimeona yote, not until i saw this? #MACHAGA oyeee
@TitoMagoti
Tito Magoti
5 years
#MACHAGA oyeee 😊😊
52
40
180
1
2
28
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
Wadau wa elimu na rafiki wa elimu kuna umuhimu mkubwa kufanya mjadala wa wazi kuhusiana na hili swala la ELIMU BURE. Madhala ya tamko la elimu bure ni makubwa kuliko inavyodhaniwa. Tujadili @ChangeTanzania @HakiElimu @FCSTZ @MabalaMakengeza @Twaweza_NiSisi @MariaSTsehai
4
7
29
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
@Semkae @godbless_lema alisema gari lilikuwa na pancha, so wadwanzi wakafanya kubadilisha taili😆😆😆
1
2
26
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
People putting wax in their ears and pretend kama vitu viko sawa hivi......
@MariaSTsehai
Maria Sarungi Tsehai
5 years
Ila mnajua kuna Muswada ukipita all this will be waste of time and money!? Haya waambie wakasaini pia petition #UhuruWetu #ChangeTanzania
3
6
26
0
3
28
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
Nimefanya hivi mapema mwaka huu, matokeo yake simu nilionunua imetumika kunicheatian through whatsapp calls.....anyways maisha yanaendelea
@ManenoIzaak
Handsome La Kijiji
5 years
Sitasahau 2014 Niliwahi Kuhonga Techno Ya 250K Wakati Huo Mimi Natumia Nokia 110 Nikidhani Naweza Kupendwa. Tofauti Na Matarajio Yangu Jibu Badala Ya Kupewa Ahsante Niliambiwaga Simu Yenyewe Umenipa Nzito Sana Hivi Hakuona Simu Nyepesi. Vijana Msihonge Ili Kuboost Mapenzi.
34
25
285
1
1
27
@your_essayhelp
Your Essay Help
6 years
@SuphianJuma @ManenoIzaak @geline_gee @TitoMagoti @AbdulNondo2 @MarekaMalili @KennedyMmari @Kiganyi_ @PatricOleSosopi @ChademaMdude @MariaSTsehai @OleMtetezi Ujasiri wa kuisimamia kweli (HARAKATI) unatakiwa uwe-driven na kitu ambacho kinatoka moyoni, na ni lazima kiwe na nguvu au ushawishi mkubwa kuliko hata NJAA, MATESO YA MWILI NA HATA KIFO. Uwanja wa uwana-harakati ni uwanja wa watu jasiri na ambao hawana uoga ndani yao.
1
7
26
@your_essayhelp
Your Essay Help
5 years
@MarekaMalili Hapa watakuja had watu wenye wiki mbili kazini na kutoa ushauri🤣🤣🤣
1
0
28