Je Siri ya MAFANIKIO ni Ipi?...
.
Hili ndilo Jibu la “Socrates” Baada ya Kuulizwa hilo Swali na Kijana wa Miaka 21...
.
Ilikuwa ni Miaka 379 BC...
.
Alitokea Kijana mmoja Smart na Jasiri sana mwenye Miaka 21...
.
Siku moja alimfuata Socrates...👇🏻
@gabyconscious
Bora tu ununue hisa DSE , UTT ni kwa wale ambao sio risk takers
Imagine unaweka 100000 ili upate 12000 kwa mwaka
Mwaka wote unasumbukia 12000😁
Eeeh Mungu ni asubuhi nyingine tena , tunaomba baraka zako lakini pia tuepushe na hawa wadada wenye majina mafupi mafupi kama zuuh , fetty , emmy , aggy na wengine wengi🤣🤣💔