As a man maisha hukuwa ngumu sana,unaenda mjengo unapata 500, mindset inagonga betting,tena unataka kusave alafu the worst ni ukuwe weni pussified nigga kuna huyo mdem unafaa kutumia 300 ya chocolate
Lakini as a man being a punny and simp is the lowest thing unafaa kufanya,nimetoka green app kuangalia screenshot jamaa ameanikwa akiambia dem ata amhurumie yeye ni orphan
Leo nimeenda interview kwa shule Fulani huku North Eastern,hawa worias wanakuja interview bila papers zozote na nimebeba hadi transcripts hadi za last sem na still nikalishwa L
Kuna huyu boys nilimuuzia exam last year akapata D- ikabidi amerudia tena form 4,This Year namwambia nimuuzie tena anakataa,kwani hataki nipate ya supp?