Mboka Mwambusi Profile
Mboka Mwambusi

@MwambusiMboka

Followers
122
Following
40
Statuses
127

Humble

Joined July 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
2 days
@MaxTz255_ Itakuwa haina nondo, kokoto na cement
0
0
0
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
9 days
@privaldinho Umeamua kujipiga spana. Huku kicheko tuu!
0
0
0
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
12 days
@zittokabwe Mdogo wangu Zitto uko bias sana na huu mgogoro wa Congo! Unaharalalisha sana uharamia wa Rwanda kwa mgongo wa M 23. Ila ipo siku wacongoman watasimama kwa miguu yao.
1
0
2
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
14 days
@zittokabwe @juliusmassabo Kwangu hajatoa darasa kakimbiaaa
0
0
0
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
14 days
@zittokabwe Kwa kigezo cha kuishi miongo mingi Congo šŸ‡ØšŸ‡© wana qualify kuwa wacongoman lakini hawana haki ya kuleta vurugu na kuwaamulia wananchi wa Drc. Hakuna popote serikali ya Congo inawafukuza. Changamoto ni Rwanda kuwapatia Silaha na wanajeshi. Kweli jumuia zote za kimataifa hazijui?
0
0
1
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
14 days
@zittokabwe Kaka sijui wapi pagumu kwenye huo mgogoro. Banyamulenge ni wakongo kweli lakini nani yupo nyuma yao kuwapatia silaha na utoroshaji wa madini? Hao Mulenge walimpindua Mabutu, ndio walimuua Kabila, kabila mtoto akaishi nao kwa akili tu, sasa ni Tshisekedi apinduliwe. Shame Rwanda
1
0
3
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
14 days
@IAMartin_ @Ntobi_ Bado hauoni Tatizo la Rwanda. Unaamini Congo šŸ‡ØšŸ‡© inapambana na raia wake? Yaani kajamii kadogo kananyonya rasilimali nyingi za wacongoman wote na kupeleka Rwanda? Halafu hakagusiki? Ndio maana ya diplomatic mission za Monusco, Sadec, Tanzania n.k Martin hauoni mkono wa Rwanda?
0
0
1
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
14 days
@IAMartin_ @Ntobi_ Mnufaika wa madini ya Congo ni Rwanda. Na ndio sababu ya nguvu kubwa ya uasi wa M 23 inatokea Rwanda. Mabutu na Lawrent Kabila waliondolewa au kuuwawa kwa uratibu wa Rwanda na Banyamulenge. Joseph Kabila akaishi nao kimtindo na sasa Tshisekedi hoi nani ni hao hao Nyamulenge.
1
0
0
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
14 days
@IAMartin_ @Ntobi_ Wote mnaongea sawa though hamkubaliani. March 23 resolution haikusema Congo ikatwe bali ilitambua wanyamulwnge wana haki ya kuishi pale Kivu na Goma na ni wacongoman. Lakini Martin changamoto unafahamu reserve ya madini na export ya Rwanda? Hao watusi wanalangua na kuiba madini.
0
0
0
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
19 days
@privaldinho Wakulungwa bado nn hapo? Hiyo kitu tamuuuu
Tweet media one
0
0
2
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
19 days
@hassanhassan_1 We unaijua ndizi ya Tukuyu???
0
0
0
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
1 month
@RamadhaanMathey @mshambuliaji Haihusiani na uyanga wala usimba ni ratiba za ndege huondoka alfajiri. Qatar, KQ na ET
0
0
1
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
1 month
@realTrumpNewsX I will appreciate if you can invite me in inauguration ceremony 20th January 2025!
0
0
1
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
1 month
0
0
0
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
1 month
@ElonMuskOde Chenza in Swahili from Tanzania Lalanji in native language Kyusas
0
0
1
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
1 month
@diversity2028 @SportsarenatzTz @shaffihdauda1 @FKihamu @millardayo @spana_Konki @SimbaSCTanzania @kigogo2014 @ahmed__ally Soo sad kwa wachambuzi wakubwa kutokuwa na jicho la tatu kuelewa huu mchezo pendwa. Hakuna asiyejua kipaji kikubwa alichonacho Ben, inashangaza Eddo kutokutambua mchango wa Ben kwa simba na yanga. Inasikitisha kumponda kwa kiwango hicho. Kweli usijue Ben anatafuta fitness Ken.
1
0
0
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
1 month
@privaldinho Simba anahitaji draw na bravos a qualify. Kwa maneno rahisi points 10 zinatoshaaaa.
0
0
0
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
1 month
@Kingvannytz_ Mbona seems ni kuchafuliana biashara. Kuna watu wameingia mzigoni kuichafua hiyo shule.
0
0
0
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
2 months
@SheikhPonda K lk w w
0
0
0
@MwambusiMboka
Mboka Mwambusi
2 months
RT @ExMayorUbungo: Ndugu yako akitaka kupigana vita na wewe, mkatalie na umsihi sana asitoe upanga ndani ya ala yake. Asiposikia akataka vā€¦
0
241
0