![Logic Analyst Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1882838474295791616/GRM3iy_K_x96.jpg)
Logic Analyst
@LogicAnalyst_
Followers
224
Following
5K
Statuses
6K
#DEMOCRACY FIGHTER ll Mbowe deserve Respect.
Joined February 2020
@Ntobi_ Ata kulima 🚫 sasa hivi. Hana uwezo wa kuhimili hoja kinzani anakimbilia ku 🚫 Anataka akosoe ila yy asikosolewe. Sasa sijui tofauti yake na Ma CCM ni ipi?
0
0
1
@HoseaMwangende @donminja47 @Sativa255 @MugundaK68723 @ErNyoni @NyariJohn3899 @Mostunner1 @chalii_adam Personal attack, out of point
1
1
1
@fatma_karume Shangaz waambie Rafiki zako wasiwe washamba wawe wavumilivu kama wao wanavovumiliwa. Maria & Mwambukusi Wao wanakosoa kila siku serikali na watu ila sisi tukiwakosoa wanakimbilia 🚫 Sasa waanatofauti gan na Ma CCM? Wangekuwa na dola si wangetuteka hawa.
1
0
9
@RoseMakei @TunduALissu Dada Rose. Huyo ali sema Mbowe alishindwa itikiwa alipootisha Maandamano akaishia toka yy na Mtt wake. Mean yy anauwezo wa kuyaitisha usiogope tutatoka kwa maelfu He will fix it
0
0
1
@pius_asteri @MugundaK68723 @donminja47 @NaomiUliza @godbless_lema @NyariJohn3899 @chalii_adam @ErNyoni @EssauAbrah87558 @EsirEid @isagro3350 Hela ya mkutano mkuu Mkutano ulio mchagua kuwa Mwenyekiti
1
0
2
@MugundaK68723 @pius_asteri @donminja47 @NaomiUliza @godbless_lema @NyariJohn3899 @chalii_adam @ErNyoni @EssauAbrah87558 @EsirEid @isagro3350 Na wali mtetea . Yy Hachangii hela ambazo mwisho wa siku anakula Posho. Sisi tuchange ili IWEJE?
1
1
4
@MugundaK68723 @donminja47 @hakaido2 @JumaAbdukarim @NaomiUliza @godbless_lema @NyariJohn3899 @chalii_adam @ErNyoni @EssauAbrah87558 @EsirEid @isagro3350 @freemanmbowetz @JoelyMsuya @lifeofmshaba Hakuna kukosolea Chumbani Tunakosoa hadharani kumuenzi Muaasisi wa kuropoka mambo ya Chama kwenye media.
0
2
4
@pius_asteri @donminja47 @NaomiUliza @MugundaK68723 @godbless_lema @NyariJohn3899 @chalii_adam @ErNyoni @EssauAbrah87558 @EsirEid @isagro3350 Tuna waonya cz mwisho wa siku zitawatokea Puani kuwa zimetoka kwa huyu kibaka .
0
0
2
@sindai_mabula @donminja47 @Sativa255 @MugundaK68723 @ErNyoni @NyariJohn3899 @Mostunner1 @chalii_adam Ni kweli Nisha changa sana Ofisi ya kata na wilaya niliopo naichangia Sana. Kipindi cha Uchaguzi waliitukana Sana pesa na kuzusha sana Uongo na walituahidi Ruzuku wata zishusha ngaz ya chini. Sasa kuanza kuomba hela ina kuwa ninkinzani na ahadi za kuleta Ruzuku ngaz za chini
1
1
3
@Ntobi_ Huyo MWAMBUKUSI hastail kukalia ofisi ya Umma. Nili challenge kuhusu hotuba yake kwa Mama Abdul kuwa swala la utekaji kalizingumzia kitapel ila gari kaomba kwa herufi kubwa. Kani 🚫
1
0
3
@donminja47 @Sativa255 @MugundaK68723 @ErNyoni @NyariJohn3899 @Mostunner1 @chalii_adam Kipaumbele Chao kwa sasa ni kukusanaya pesa za masikini ili warushe Chopa.
3
1
3
@donminja47 @charlzkituru @JumaAbdukarim @NaomiUliza @hakaido2 @MugundaK68723 @godbless_lema @NyariJohn3899 @chalii_adam @ErNyoni @EssauAbrah87558 @EsirEid @isagro3350 @freemanmbowetz @JoelyMsuya @lifeofmshaba @kighera50 Kama huyu @mdudenyagali Kisa mitazamo tofauti kat ya FAM na TAL kapiga 🚫 alafu anawasema CCM hawana uvumilivu ukiwasema wanakuteka. Yy alichokosa na power walio nayo CCM ila roho zao ni zilezile
0
1
4
@donminja47 @charlzkituru @JumaAbdukarim @NaomiUliza @hakaido2 @MugundaK68723 @godbless_lema @NyariJohn3899 @chalii_adam @ErNyoni @EssauAbrah87558 @EsirEid @isagro3350 @freemanmbowetz @JoelyMsuya @lifeofmshaba @kighera50 Kila siku tunakosoa Serikali Ila wakikosolewa wao ni mwendo wa 🚫 sasa wangekuwa na Mamlaka kama CCM siwangetuteka na kuuwa hawa. Wapinzani na wanaharakati ma dikteta
2
1
4
@kangalaWilliam3 @ChademaTz @TunduALissu Kuwa centralised HQ bila kuja ngaz za Chini tafsi yake nini? Kwamba zipo za kufosheleza kushuka chini but HQ wana over spend?
1
0
0