![Dua Lyamzito ๐น๐ฟ Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1882705386236411904/gUIx0hRX_x96.jpg)
Dua Lyamzito ๐น๐ฟ
@duahamud
Followers
2K
Following
9K
Statuses
5K
KATIBU MKUU BAVICHA TAIFA (2025-2030)||Medical personnel &Research scientist
Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2014
Jana nilipata nafasi ya kusalimia katika mkutano wa mapokezi ya makamu mwenyekiti wa Chama mh @HecheJohn na kumkumbusha waziri wa elimu kuwa chadema kupitia @bavicha_taifa tulishatoa mwelekeo wa namna ya kutatua changamoto ya ajila kupitia Sera yetu ya vijana ya mwaka 2020.
0
1
3
RT @AdvMahinyila: Ahsanteni Kakole, Lamadi na Tarime Mjini. Tumemsindikiza nyumbani Makamu Mwenyekiti wa Chama chetu @HecheJohn Tukutane keโฆ
0
58
0
Mwenyekiti wa @bavicha_taifa Mhe @AdvMahinyila, Mkt Kanda ya Magharibi Mhe. @AdvMatata na Mhe. Lucas Ngoto Mkt Kanda ya Serengeti wakizungumza na wananchi wa kata ya Lamadi Wilaya ya Busega Mkoa wa Simiyu leo Feb 13,2025. #MapokeziMakamuMwenyekitiChademaJohnHeche
1
25
77
Kauli hii ya waziri Ina maana gani?Kwamba waziri anataka kutwambia kuwa waliokosa ajira baada ya kuhitimu masomo yaliyoziacha familia zao zikiwa masikini,wauze hata kidogo kilichobaki wakasome Tena ili wakirudi wakute familia zao zimekufa njaa kabisa!!!,Je shida ya ajira hizi inatokana na elimu ya wahitimu kuwa ndogo!na je hawaajiliki kwa sababu hawajajiendeleza!!,Au lengo ni kuongeza vigezo vya kuacha kuajili walisiojiaendeleza!!!na je serikali kwa Kauli hii ya waziri mmejiuliza wakijiendeleza wote itakuwaje.@bavicha_taifa tunaishauri serikali ichukue hatua mathubuti juu ya tatzo la ajira nchi,hizi Kona kona hazitolisaidia taifa sana sana zitatufanya tuone shibe ya watawala na kiburi Chao dhidi ya wananchi,na hatutakubali kwa sauti kubwa.Rejeeni public document ya Sera ya BAVICHA ya 2020 juu ya utatuzi suala la ajira kwa vijana nchini kama hiyo ni ngumu kaeni pembeni tuongoze nchi vijana wa Kitanzania wanufaike.@ortamisemitz
@HakiElimu @Jambotv_ @TheChanzo @earadiofm @wasafifm
1
8
26
RT @earadiofm: #SupaBreakfast:- Kwenye ngenga za siasa, Leonard Toja Manyama, Mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Kawe anahoji kuhusiana ni kituโฆ
0
32
0
RT @NectoKitiga: Katibu mkuu wa @bavicha_taifa kamanda @duahamud atakuwepo TARIME kumsindikiza makamu mwenyekiti wa @ChademaTz nyumbani kwaโฆ
0
14
0
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu atalihutubia Taifa Jumatano tarehe 12 Februari 2025, saa kumi jioni. Hotuba hiyo itafanyika Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam, waandishi wote wa habari mnakaribishwa. #StrongerTogether
0
31
151
Kazi nzuri mwenyekiti,mungu atutie nguvu
Kijiji cha Mashese, Kata ya Ilungu, Jimbo la Mbeya vijijini leoโฆ NB: Uchaguzi umeisha tumerudi fieldโ๐พ๐ฅ #StrongerTogether
0
6
97
RT @jacksonmnyawam2: "Naapa naahidi Mbele za Mungu Chadema nitakulinda Moaka Kufaa" ๐ถ๐ถ๐ถ๐ถ๐ถ๐ถ๐ถ๐ถ๐ถ Leo Februaly 06,2025 Kata ya Kirando,Jimbo lโฆ
0
17
0
RT @ChiefMKOMWA: Katibu Mpya Wa Baraza La Wanawake @BawachaTaifa Mhe @Ladymaassay katika Kikao Cha Kamati Kuu Pamoja Na Katibu wa Baraza Laโฆ
0
11
0
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama wakiwa katika picha ya pamoja baada ya Kikao cha Kamati Kuu ya Chama kilichoketi leo tarehe 04 Februari 2025 Bagamoyo Mkoa wa Pwani. #StrongerTogether
3
27
133
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. @TunduALissu, anatarajia kupokelewa Ikungi tarehe 15.02.2025! #HodiIkungi
#Lissu2025
#CHADEMADaima โ๏ธ
1
28
149