JACOBUDA Profile
JACOBUDA

@EdwinNtundu

Followers
104
Following
1K
Statuses
685

Father|Liverpool Fan|Simba Fan|

Joined September 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@EdwinNtundu
JACOBUDA
2 days
@Sonic563 @prossoff Nafikiri uko mbali sana na kilichojadiliwa
0
0
0
@EdwinNtundu
JACOBUDA
2 days
@Sonic563 @prossoff Swala hapa ni kwamba mhusika unakuwa huna uwezo wa Ku afford fees au swala ni mzazi mwenza kumpeleka mtoto shule yenye fees kubwa? Km ulinielewa km swala ni uwezo litabakia kwako kuamua ila yeye ata angalia what's good kwa mtoto wake
0
0
0
@EdwinNtundu
JACOBUDA
3 days
@Mwitah_tz 😅😅 ends justify the means... Umezunguka sana kuja kufikisha ujumbe wako
1
0
1
@EdwinNtundu
JACOBUDA
3 days
@Sonic563 @prossoff Cha kujiuliza kwa nn alazimishe izo shule?Analazimisha kwenye ubora iyo perception ya kwamba anajilinganisha ni sisi tunaijenga. Izo shule zinatoa elimu Bora ndomana na yeye anatamani mtoto wake asome shule izo
3
0
1
@EdwinNtundu
JACOBUDA
3 days
@ElastoMbel20817 @prossoff Elimu siku hizi inanunuliwa na ushindani Gvt schools hakuna elimu madhubuti km zaman kumuandalia mazingira ya kielimu mwanao kwa uwezo wako ni Jambo jema km huwezi afford ni sawa kumpeleka shule za uwezo wako bila kujiumiza
0
0
0
@EdwinNtundu
JACOBUDA
5 days
@Thereal_taivina Km Kuna ushahidi as u stated ni kwenda mbele kudai haki ukianzia na Gaming Boards of Tanzania ambao ndo wasimamizi wa bashiri Tanzania
0
0
0
@EdwinNtundu
JACOBUDA
5 days
@samuelmway @BenjanhoA Kwa mwaka anaingiza almost 9B kwa mahesab yako Uhalisia unajua maisha anayoishi? Mtu wa 9B per year unajua status ya maisha yake inabid iweje? JITAFAKARI...
1
1
6
@EdwinNtundu
JACOBUDA
6 days
@Phbhimself All major channel USA zinamilikiwa na whites Tena wenye asili ya kiyahudi Kanye says all wamejitahid sana kumuangusha na kwel Oprah ni mtu snayetumika na mfumo wa watu weupe
0
0
0
@EdwinNtundu
JACOBUDA
8 days
@Wakazi Shida ya series za sasa Gayish things za kumwaga sana.... Mazingira ya wengi na movies qmbazo tulikuwa na access nazo ni genre ya action movies plus hizi series zinqhitaj attention to details na wengine kitambo shule tulizopitia hazikutupa ubobevu wa kung'amua lugha
0
0
1
@EdwinNtundu
JACOBUDA
11 days
@prossoff Chanzo ni civilization na modernization kukua kwa miji kipindi iko kuishi kwa social na communical village kwa number ya 200 people kupata bikra rahisi sasa unaiahi kwenye jamii ya less than 3.5m iyo bikra unaipata wap? Tuangalie roots kwanza
0
0
0
@EdwinNtundu
JACOBUDA
17 days
@prossoff Ndo yale yale ya utumwa Kutenga mda na budget juu kisa upupu...
0
0
3
@EdwinNtundu
JACOBUDA
17 days
@INFLUENCERjr @sokomoko_tz Mond with limited access ya media kipindi kile na social media hasingetoboa Mond kajua kujipimp sana kwenye promo na it work out well Wakina Nature ilikuwa kazi tu
0
0
0
@EdwinNtundu
JACOBUDA
17 days
@INFLUENCERjr @J_Camavinga Hamchotwi shida hamjawai kushuhudia their Era.... Inakuwa shida kufanya comparison
1
0
1
@EdwinNtundu
JACOBUDA
17 days
@INFLUENCERjr Km hizi social media zingekuwepo by then Mond hafikii umarufu wa Nature hata nusu Jamaa alikuwa kipenz haswaaa wa watu labda wew ulikuwa mdogo sana
0
0
1
@EdwinNtundu
JACOBUDA
17 days
@MvuviMovies America Primevial
0
0
0
@EdwinNtundu
JACOBUDA
17 days
@Phbhimself Hili Jambo kwa matajiri hasa athletes na wanamusic waliofanikiwa uko ughaibuni limewatia kwenye umaskini sana Simple cases za Tiger Woods Bezo na wengine almost half of their fortune zimegawanywa
0
0
0
@EdwinNtundu
JACOBUDA
18 days
@Thommunkondya Yote unayoeleza ndo inabidi ifanyike hivyo... Jambo la kujiuliza wenye mamlaka ya kusimamia Wana nia na utashi huo.. Km ujenz wa mashimo ya vyoo bado tunategemea foreign aid.. Uamuzi kwa wenye maamuzi bado changamoto wananchi ndo tutapata maumivu
0
0
0
@EdwinNtundu
JACOBUDA
21 days
@George_Ambangil Analeta Mambo ya Ladack Chasambi acha tuone kwenye civilized world how they react
0
0
1