El_3 Profile
El_3

@ElastoMbel20817

Followers
177
Following
50K
Statuses
3K

Joined June 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
@ElastoMbel20817
El_3
1 year
#ZINGATIA_$$$ Pata miche kwa bei za jumla; Parachichi Tsh.2600/_ Embe Tsh.4400/_ Kahawa miche minne Tsh.800/_ Migomba bora kwa Tsh.8000/_ Na yakawaida ni Tsh.3500/_ Miche ya miti ya paina 8 kwa Tsh.1700/_ Tuna safirisha popote. 0756861362 MjumbeSr
Tweet media one
1
0
6
@ElastoMbel20817
El_3
6 hours
@godbless_lema Binafsi nikiona mtu ana iamini na kuitegemea sana serikari hua nina amini ana upungufu wa AKILI yaani ana low IQ
1
0
1
@ElastoMbel20817
El_3
7 hours
@EsirEid Dah... Namna gani tena!
0
0
1
@ElastoMbel20817
El_3
17 hours
@ShirimaYvonne Mnavyo anza mahusiano yenu ndivyo mta maliza. Kwanini mna taka Wanaume wapretend?
1
0
1
@ElastoMbel20817
El_3
17 hours
@Eric__Bernard Tulia wewe usi ingilie faragha za watu aisee...
0
0
0
@ElastoMbel20817
El_3
18 hours
@Addy_Adams Hii sasa ina itwa entintlement mentality! Mtu haamini kama amesha pumzishwa.
1
0
1
@ElastoMbel20817
El_3
18 hours
@ReganTesla_ "...ila tukipata nafasi tukae na wazazi wetu kuna namna ambavyo uzoefu wao kwenye malezi una weza kutusaidia..." Rudia kusoma.
1
0
3
@ElastoMbel20817
El_3
21 hours
@EsirEid Gari ni kama midori wanayo uziwa watu wazima!! Tengeneza ASSET kwanza.
Tweet media one
1
1
16
@ElastoMbel20817
El_3
1 day
@LilianLevelian Elon ni alikua broke! Bill Gate ni broke Kanye ni Broke! Tofautisha kua choko(simps) na kua broke! Kua broke ni kwa MUDA tu;lakini kua masikini ni eternal. PESA ni nyenzo tu! Hauwezi kununua UPENDO.
0
0
12
@ElastoMbel20817
El_3
1 day
@ManenoIzaak Kheee! Tume fikia huko?
0
0
2
@ElastoMbel20817
El_3
1 day
@MariaTshe Mbona unapo kopa hukuja hapa? Madeni ni unayo lipa wewe kwa damu na jasho lako ni UTUMWA.Hata ukifa uta daiwa kwenye ulimwengu wa roho
0
0
1
@ElastoMbel20817
El_3
1 day
@John_Pambalu Kuhusu SUGU na HAONGA walicho kifanya kwenye chaguzi kanda ya nyasa kuanzia kwenye ngazi ya Kata mpaka kanda.... Hawa paswi kusameheka kamwe.Labda kama hawata gombea ubunge ndo waseme hayo maneno...wakigombea tu;UBAYA UBWELA
0
0
0
@ElastoMbel20817
El_3
2 days
@awamisammy Zisi PiiPOZ
0
0
0
@ElastoMbel20817
El_3
2 days
@feRA1828 Duh@
0
0
0
@ElastoMbel20817
El_3
2 days
@apvmpkin Maji
0
0
1
@ElastoMbel20817
El_3
2 days
@Ibraahfx @jckyTheBon Unataka usemaje? Sidhani kama hii ni KAZI yangu hasa kujibu swali kama lako.Wewe nenda kwa kindagaten wenzako! Huku ni kwa ajili ya senior class tu
0
0
0
@ElastoMbel20817
El_3
2 days
@The_TruthView @GetrudeMligo @MarekaMalili @KennedyMmari Kama nime kosea naomba jinisahihishe
1
0
0
@ElastoMbel20817
El_3
2 days
@selemasaki Na sisi ambao majina yetu yana anzia na E,Je?
0
0
1
@ElastoMbel20817
El_3
2 days
@MalemboLE Gold are those dayZ GONE
0
0
3