![J Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1604609573750538244/HZJX8D5a_x96.jpg)
J
@J_Camavinga
Followers
330
Following
947
Statuses
12K
One day, I am going to make the onions cry.
Joined December 2021
@XXY2092 @KennedyMmari Mengi kaandika ya uongo, 2017 Tanzania tulishika nafasi ya pili kwenye kuzalisha mahindi
0
0
0
@KennedyMmari Nakunukuu "...Tanzania has become the second largest maize producer in Africa, a feat we have never attained before..." Hizi taarifa huwa unaota na kuziandika? 2017 tulishika nafasi ya pili pia, alafu unasema hiyo nafasi ya pili we have never attained. Muongo mkubwa
0
0
1
@EsirEid Hakuna content,wapo kweli na wanaishi hivyo, wapo bonde la ufa, pia mkoa wa singida Kuacha hao, wapo wengine wanaishi hivyo wanaitwa wamang'ati, na kabila lingine wanaitwa wapokot Kuna wengine hao wanaitwa wabarbaig Tanzania Kuna makabila yanaishi bado Karne ya 10
8
1
28
@zittokabwe @ACTwazalendo Hivi kwa akili ya kawaida tu mnajua kuwa ccm haitaathiri maamuzi ya mahakama?? Kabisa mnaamini kwa Hali ilivyo mtapata haki?
0
0
1
@bajabiri Bongo kila mtu kachanganyikiwa, anapinga kupita bila kupingwa alafu anawakataa wanaopinga kupita bila kupingwa😁😁 Kiswaga ana mtindio huyu😁
0
1
1
@gladysrikangah @fatma_karume Raisi anakaa madarakani two terms kweli huo Ni utamaduni wao lakini taratibu huzifuata. Form hutolewa moja, huchukuliwa na kurudishwa, sekretariat inajadali jina moja, kamati kuu inamjadiili, alafu mkutano mkuu wa June inampitisha Hii mapema kabisa January ndio imeshangaza wengi
0
0
0
@chaggaking @Enemy_19 Watu wanaishi kwa bajeti, anafikiri kila mtu anaweza kuwa ombaomba kama yeye
0
0
1
@chaggaking @Enemy_19 Hana maisha yoyote mazuri huyu, alikua analia humu watu wachangie pesa ya matibabu
1
0
0