Hizi sasa ndio zitakuwa app zetu Rasmi tutazo kuwa tunatumia kubetia.
App zote zinatumia njia ya malipo ya mitandao ya simu.
App zote Promo code jaza:DAMIANO
App zote zina bonus kwa depost za mara ya kwanza
App zote ni rahisi kutumia
Jinsi ya kujisajili betwinner
O level: Division II 20
A level: Division II 18
University: GPA 3.5
Professionalism: Accountancy
Work: Jobless
Side Hustle: Bajaji Driver & Broker
And you?
Leo tukishinda dhidi ya Al Ahly nitatoa milioni 30 kwa kila mchezaji aliyeanza, milioni 20 kwa aliyetokea sub na milioni 10 kwa aliyeko Benchi na wote waliosafiri na timu
Kutapeli wabongo ni very easy ndio maana wanaijeria wamejaa Bongo wanaishi kwenye apartment za bei kali. Just imagine jana nilivyojiita Mo Dewji kuna wadau walikua wanakuja DM serious kuniomba mikopo & misaada wakidhani ni Mo kweli ๐๐
Karume kuna mchizi bonge hivi ana kofia la pama anauza juice basi akikuona anakuita kama anakujua anaanza kukupigisha stori huku anakumiminia juice ukishakunywa tu basi umeisha ๐๐๐
Barua ya wazi kwa
@Neypaul01
Habari za siku?
Natumaini ni mzima wa afya wewe na familia yako, mimi pia ni mzima wa afya napambana na changamoto za maisha japo kipato changu papatu papatu si unajua tena kazi zetu za Bajaji? Kidogo tunachopata tunagawana na Askari barabarani ๐ฅฒ
Shida watu wa humu mnachukua code tu mna boom Ila sasaโฆ.
hamtoi retweet,comment wala like wakati mnapata faida na code zetuโฆ
acheni roho za hivo ๐ฎ
Niko zangu naendesha Bajaji nikakutana classmate wa Advance now ni Askari wa SUMA JKT alikua PGM me HGE tulikua tunaitana Pilot & Banker. Haya maisha bana, imebidi tuchekane tu ๐คฃ๐
Nilikua napiga stori na Bitch mmoja wa Riverside hapa akasema zile kondomu zilizotumika kuna watu hua wanakuja kuzinunua aah kmmk tumekwishaaa ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ
Jana nilishindwa kubadili username ya Mo Dewji kwa sababu maalumu ila ningesepa sana na kijiji naona Vijana wanajaribu kujiita Mo ila hawajafikia ile standard niliyoiseti kusepa na kijiji mpaka Clouds FM ๐๐๐
Broo mwanamke atakupenda ukiwa na at least kitu kimoja kati ya hivi
Pesa
Kipaji
Elimu
Umaarufu
Muonekano
Fundi kitandani
Kama huna hata kimoja hapo I feel sorry to you Broo ๐ญ๐
Kuzaliwa Tandale na kutoboa Africa & World Wide kwa kipaji tu sio elimu is very hard in this country. Kuna muda inabidi tukae chini tumrespect sana mwanetu ๐
Baadhi ya mastaa duniani wasiokua na tattoos kwenye miili yao licha ya umaarufu wao mkubwa
1. Cristiano Ronaldo
Mwaka 2012ย akiwa kwenye interview na Italian news website Diretta, Ronaldo alisema "I don't have tattoos so that I can donate blood more often."
Kuna jamaa kamwambia Neypaul kudate na mimi imemchafulia sana CV ๐ ila trust me I think ile date ndio imemfungua milango ya deals kibao humu! Respect Elders
Form Six leaver ulikua ukiwauliza unataka kwenda kusoma chuo gani wanajibu UDSM, IFM, CBE, TIA mara MUHAS
Sahivi ndio wanajua kumbe Theofilo Kisanji na Kampala University navyo ni vyuo ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ
Wanangu wa Bajaji kesho nina habari kubwa na ninyi. Kuna mashindano ya kuendesha Bajaji so zitahitajika Bajaji kama 1000 kushiriki
Mshindi
1. Bajaji Mpya + 5M Cash
2. Bajaji Mpya
3: 5M
4: 4M
5: 3M
6: 2M
7: 1M
Wapi? lini?
Kaeni karibu na hii page. Kindly repost wengi wasanuke
Ila humu bana....
Eti kuna watu wanaumia mtu kutoa Odds bure๐
Aisee mtu Anaforce kabisa
Ufungue VIP uuzie watu mikeka ๐
Kwani hizo hela mnazo Win aziwatoshi.?
Shida watu wa humu mnachukua code tu mna boom Ila sasaโฆ.
hamtoi retweet,comment wala like wakati mnapata faida na code zetuโฆ
acheni roho za hivo ๐ฎ
Siku moja moja ita malaya nunulia kinywaji afu piga nae story why kaamua kujiuza, kuna story nyingi sana behinde. Wengine walikua wakishua wazazi wakafa ndugu wakapita na mali watoto wakabaki wanahangahika mjini bila msaada
Hii lazima tushinde
Stake 20,000 Win 3millions
Code nitatuma baada ya kufikisha retweet 100
Pia nitagawa 500,000 kwa watu 50 watoa retweet na kucomment wa kwanzaโ๏ธ
Twendee kazi๐
Kuna dogo wa first year UDSM katoka Mbwinde huko ana ukame wa kutosha afu hostel mnampangia Mabibo Hostel? Near Riverside office, mna mpango gani na BOOM lake? ๐ ๐ ๐