Desdery Moses Profile
Desdery Moses

@mosesdesdery

Followers
596
Following
7K
Statuses
3K

Meteorologist @tma_services I Weather ⛈️ | Climate 🌡 | Energy ☀️ I @CYNESA Country Director for Tanzania

📍 Dar es salaam, Tanzania
Joined March 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
@mosesdesdery
Desdery Moses
5 days
RT @MariaSTsehai: ‼️Natimiza wajibu kuwaletea hili tangazo kwa wakatoliki wenzangu!‼️ Mhashamu Askofu Severine Niwemugizi wa Jimbo Katoliki…
0
242
0
@mosesdesdery
Desdery Moses
6 days
@Thommunkondya Maeneo yapo ila itabidi serikali/watu binafsi waingie gharama kidogo kupata kitu kizuri. Mfano Morogoro road pale Shekilango opposite na NHC kuna warehouses zimeongozana mpaka unafika kwenye sheli ambapo Abood zinapaki. Lile eneo pangejengwa mall ingekuwa poa sana
0
0
2
@mosesdesdery
Desdery Moses
8 days
RT @kabigwa_78: KISUKARI: UGONJWA WA KIMYA UNAOHARIBU MWILI TARATIBU!! Uzi 🧵 👇
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
96
0
@mosesdesdery
Desdery Moses
9 days
@gabyconscious wako na moto sana, washafungua ofisi riverside ubungo na mbagala
0
0
0
@mosesdesdery
Desdery Moses
9 days
@Sonic563 @GillsaInt Alibaba ni bulk sidhani kama wanauza bidhaa moja, labda bidhaa moja in a bulk.
0
0
1
@mosesdesdery
Desdery Moses
10 days
@MarekaMalili Fikiria pia labda the opponent wako vizuri
0
0
0
@mosesdesdery
Desdery Moses
10 days
RT @09Vato: @mosesdesdery @GillsaInt Alibaba - Target Suppliers - B2B - order/ procure direct from manufacturers/ Kiwandani - Wholesale Bus…
0
1
0
@mosesdesdery
Desdery Moses
10 days
@09Vato @GillsaInt For your advice, kwa anayeanza ungemshauri anunue from Ali express au Alibaba? Pia kuna wandewa wanaitwa Shein what can you say about them? Kwenye malipo kuna hizi Visacard za mitandao ya simu do you advice watu watumie hizo pia au lazima ziwe hizo za mabenki?
1
0
0
@mosesdesdery
Desdery Moses
10 days
@selemanykitenge Mwandamizi nakuelewa sana comrade, tumpe muda.
0
1
1
@mosesdesdery
Desdery Moses
11 days
@thomasjkibwana @theutdcode Kaka kuna wale Wanguu ambao inasemekana wanaongea lugha zote mbili za Kisambaa na Kipare.
0
0
0
@mosesdesdery
Desdery Moses
12 days
RT @changa601: WMO Director for Africa, Dr Agnes Kijazi (R), introduces Dr Ladislaus Chang’a (L), the Permanent Representative of Tanzania…
0
1
0
@mosesdesdery
Desdery Moses
15 days
Kuna nyakati unaweza kuhisi @Imaniluvanga anamuonea sana @JumaAyoo kwenye utani-burudani wao ila kuna time kibao kinageukaga mpaka unamuonea huruma malkia 😀 We love you guys, keep it up! 🤜🤛
0
0
0
@mosesdesdery
Desdery Moses
16 days
RT @UKinTanzania: "Clean energy transforms lives!" – Delicia Mwanyika, Youth Climate Activist in 🇹🇿, inspires action via advocacy for susta…
0
6
0
@mosesdesdery
Desdery Moses
21 days
RT @Kudu_ze_Kudu: @mosesdesdery I completely agree with this
0
1
0
@mosesdesdery
Desdery Moses
21 days
@Kudu_ze_Kudu I agree with you @Kudu_ze_Kudu but there is an issue of repercussions associated with the changes you make. Will they be bearable or not? Sometimes people are reluctant to make changes because of the consequences that are followed after.
1
1
1
@mosesdesdery
Desdery Moses
23 days
That was a scapegoat, you have actually pointed out a vivid example of Al Hilal. We expect him to do much better than Ibenge.
@salimosaid
Cholo Moyo
24 days
Many coaches who come to Tanzania think what Ramovic said, but don’t always say it in public. Not all leagues are created equal. You have to find solutions to prime your team for the CL. Al Hilal have topped the group despite issues in Sudan & not having a real home advantage.
0
0
0
@mosesdesdery
Desdery Moses
26 days
Maisha ya kimbunga #Dikeledi tangu kilipoanza mpaka kilipofikia tamati.
@InOrbitIvan
Ivan Smiljanic
26 days
Run around Madagascar. Life-cycle of TC Dikeledi captured with 8-day loop of #FCI GeoColour RGB. Luckily not very impactful one (mostly lived as Cat 1 storm).
0
2
0
@mosesdesdery
Desdery Moses
26 days
@thomasjkibwana Ukitoa wamiliki wa vyombo vya habari, je kuna namna hawa waandishi wanakuwa regulated na bodi Yao kama vile ERB (wahandisi) au TLS (mawakili)? Au tunaacha tu busara za MWAJIRI afanye anachojisikia? Naona kila mwanahabari amekerwa lakini hakuna hatua zinachukuliwa. Zumbe upo? 😀😀
0
0
0