![09Vato Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1834681821952356352/dqvtob0Q_x96.jpg)
09Vato
@09Vato
Followers
250
Following
8K
Statuses
3K
@KennedyMmari Hivi kilichofanya hasa hasa wanafunzi wengine wasi protest ni kwasababu aliyotoa mkufunzi au kwasababu generally Human beings are conditioned to subject themselves to authority even if its wrong?
0
0
0
@Nrs_Kethz The kind of love between man and his wife, or sidechick is a Romantic Love. The kind of love between Father and Daughter is Familial/ Storge love. Calling your 5 year old a sidechick is grossly inappropriate and immoral. Its offensive.
4
0
2
Tatizo ni Exposure Kwa tamaduni za wazungu, anachofanya ni kitu cha kawaida. Wana exposure kubwa. Kuna nguo ukivaa hapa mjini, watu hawatakushangaa. Watu wa mjini wana Exposure kubwa. Ila ukienda huko interior nguo hiyo hiyo watu watakuona uko uchi, kama tu sisi tunavyomwona Bianca. Mfano, gauni ulilovaa wewe DP maeneo mengi utaonekana uko Uchi.
0
0
0
Wazo zuri, lakini hilo sio lengo la Sanaa. Lengo ni hadhira kuangalia, na kuumiza kichwa ili kupata maana. Na maana sio moja. Umuhimu na Thamani ya kazi ya sanaa kama hii ya masoud, vinyago au art galleries iko katika Ambiguity/ Subjectivity. Ambiguity hiyo ndio inakuza uwezo wa hadhira kufikiria kwa kina ili kupata maana inayoendana na hiyo kazi ya sanaa. Masoud Akishaanza kutafsiri kazi zake, zitapoteza mvuto.
1
0
0
@ngodajr @MfanyakaziNews @Mwabuk2Boniface 😄😄 najua ndugu Joji sasa hivi unaniona mimi ni kada wa CCM kindaki ndaki. Itabidi siku moja nikutafute nikuelezee vizuri mrengo wangu wa kisiasa ana kwa ana..
2
0
1
Madai ya ubaguzi aliyoyatoa Trump dhidi ya Serikali ya Africa Kusini binafsi nimewahi kuyasikia before yakitolewa kwenye online platdoems za White Supremacist groups za Ulaya na Marekani (Far Right/ Alt Right movements). Wazungu wengi kwenye haya makundi wanasema Africa Kusini kuna genocide dhidi ya Wazungu (Afrikaners) inaendelea. Lengo lake ni ku-cement narrative ya White Victimhood kama namna ya kujenga hofu na kuhalalisha vitendo vya kibaguzi na ubaguzi. Hili jambo lina surface now kupitia Trump kwasababu makundi ya wazungu wabaguzi wa Afrika Kusini yanafanya lobbying Marekani ili madai haya yapewe airtime, kama tu Waisrael wanavyo lobby kupata support ya Marekani kupitia AIPAC.
0
0
0
Hapa kuna mijadala miwili; 1. Umuhimu wa Kukata Bima. 2. Umuhimu wa kuboresha huduma za afya kwa wanaotumia Bima. Huduma mbovu kwa walio na bima hakuondoi umuhimu wa kuwa na bima, na sio justification ya kutokuwa na Bima. Havihusiani kabisa. Kwasababu ni tatizo la kiutendaji, sio tatizo la kimfumo.
2
0
0
Ukishaona hivyo ujue hela za magumashi. Ni kama yule Chief Godlove. Anatembelea gari ya Milioni 100 halafu eti anavaa jeans ya Crux ya elfu 25, Tshirt ya elfu 25 na sendo za clarks za elfu 35, na saa ya elfu 50. Hoja kwamba kipaumbele sio muonekano ni hoja ya Kichawa, na Kimaskini, Mbona GSM na Yusuf Bakhresa wanapiga vitu Vikali?
1
0
1
Bima ya Afyra ni hiyari kama una uwezo wa ku raise hela ya matibabu unapopata dharura. Kama huna bima ya afya ni lazima. Tuko hapa tunatetea wanachuo wasiwe na bima ya afya kwa kusema ni hiyari, halafu siku wakipatwa na matatizo wakashindwa kutibiwa kwasababu ya gharama kubwa since hawana bima tutarudi hapa kufanya what we are good at, kuvinanga na kulaumu vyuo na serikali kwa kuruhusu wanafunzi kusoma bila bima ya afya.
2
0
2
@mosesdesdery @GillsaInt Whether utumie Alibaba au AliExpress it depends unataka kununua nini. Shein siwajui. Hakuna option ya kutumia Masterpass kwenye manunuzi ya Alibaba na AliExpress.
0
0
1
Alibaba - Target Suppliers - B2B - order/ procure direct from manufacturers/ Kiwandani - Wholesale Business - meaning In most cases wanaweka minimum order quantity which means inabidi ununue bulk. AliExpress - Consumers - B2C - Order from Online Shops za Manufactures - Retail business. In Most Cases ni Card yako ya Benki (Debit/ Credit Card) kwa AliExpress. Kwa Alibaba ni Same au other neans kama Letter of Credit arrangement kwa contracts kubwa. Vitu vinavyokuja ni kama ulivyoagiza, nimenunua zaidi ya mara moja pia. Soma na Zingatis Descriptions and Specifications za unavhotaka kununua, hakikisha ndicho unachohitaji. Soma na Zingatia Reviews za wanunuaji wengine
1
1
2