Shaadyah Salum Profile Banner
Shaadyah Salum Profile
Shaadyah Salum

@SalumShaadyah

Followers
2,834
Following
5,884
Media
170
Statuses
1,638

يتم رجم شجرة الفاكهة دائمًا yatimu rajm shajarat alfakihat dayman

Zanzibar South and Central, Ta
Joined July 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
5 months
Unaweza ukaniambia unawaza nini upoangalia hii picha?
Tweet media one
39
10
45
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
5 months
Watanzania tutakukumbuka sana Uncle Magu hususani Wananchi wa jimbo la Kawe tutakukumbuka zaidi maana umetuchia Mwamba Gwajiboy anaendelea kutenda uliyokuwa unatutendea Watanzania💯
31
11
27
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
@kigogo2014 Gwajima ni mwanaume anayejua kupambana anatumia akili kupata kitu, anaonyesha yeye ni mwanaume kuliko huyo mwanamke anayepiga porojo zisizo na sera.Yeye ni mwanamke lakini anafanya mambo ya mwanaume na safari hii atatafuta bwana tu wa kumuowa ili aache usagaji
16
0
27
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
@DefendTanzania @halimamdee Ilani ipi hiyo aliyoitekeleza au ilani ya wana Chadema peke yao? Wana Kawe tuna kero nyingi sana wakati wa kampeni 2015 aliahidi kutekeleza lakini tangia tumchague ndiyo anarudi leo kuomba kura tena. Chagua Askofu Gwajima kwa maendeleo ya Kawe.
10
0
20
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
5 months
Usimuhukumu mtu kwa vile unavyomuona leo, anavyojiona yeye sivyo unavyomuona wewe
Tweet media one
16
7
16
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 months
Tunahitaji Nchi yenye MAONO ya muda mrefu, ili Rais yeyote anapoingia madarakani ayatumikie MAONO aliyoyakuta, na kipimo cha mafanikio yake kipimwe kulingana na uwezo wake wa kutekeleza MAONO tuliyojiwekea kama Taifa. #AskofuGwajima #MNEC #MbungeKawe Hichi ndiyo kichwa
28
9
17
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
5 months
Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Josephat Gwajima (MNEC) amewataka watanzania kuwekeza katika sekta ya utalii wa ndani na kutumia fursa hiyo ili kubadilisha maisha yao na kukuza sekta ya utalii ndani ya nchi.
28
6
16
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Tweet media one
1
0
13
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
5 months
Ni kero gani unahisi huyu mwamba angekwepo angekuwa ameshaitatua?
Tweet media one
19
6
16
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
5 months
Katika maisha nidhamu, bidii na ibada daima havijawai kumtupa mtu mkono. Ukivikumbatia na kuvitilia mkazo matumaini ya kufanikiwa nimakubwa. Ikawe wiki yenye mafanikio na baraka lukuki na mapambano yetu MUNGU akayajibu kwa wakati. 🙏
Tweet media one
20
5
16
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
@halimamdee Ila usisahau kuwaambia wana Kawe ubadhilifu wa fedha ulio ufanya kwenye jimbo la Kawe na tabia yako ya usagaji unayoendelea nayo. Kwa kifupi wana Kawe tumekuchoka tunaenda na Gwajima.
13
0
15
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Wale Mafisadi waliendaga wapi au Ufisadi ndiyo ulishamalizwa na Uncle Magu?
3
1
9
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Unahitaji huduma gani kutoka kwangu nikuhudumie kwa gharama nafuu sana?
1
0
9
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Nataka nianze kujifunza kunywa Pombe nani anaweza kuwa Mwalimu wa kunifundisha?
0
0
9
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
3 months
0
0
8
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
3 years
@jgwajima Tupo pamoja Baba Askofu kamwe hatuchanjwi
0
0
8
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
6 months
0
0
8
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
6 months
Tuseme tu ukweli tuache siasa katika hii nchi hakuna Mbunge anayeleta maendeleo kwenye jimbo lake na anayewasaidia wananchi wake kama Gwajima, Nimekukubali sana Mh Gwajima
22
1
8
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
3 months
Kama hadi watoto wanamkubali kwa kazi anayoifanya Gwajiboy wewe usiye mkubali ni mchawi😎😎
14
4
8
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
3 years
Imagine Spika anakuwa muongo namna hiyo. Ukute hata taarifa ya kamati ni ya uongo maana wabunge wanaoshtakiwa hawajaongea bungeni. @SamirMohamed_ @Cheka___tz
5
2
7
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
3 years
@millardayo Shujaa wetu huyo ambaye Mungu ametuandalia watanzania kwa ajili ya kutuvusha. Songa mbele Gwajiboy sisi tupo na ww
6
0
6
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
3 years
@jgwajima Mm na familia yangu hatuwezi kuchanjwa Askofu
1
0
7
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
5 months
Kipi ni bora kwako?
Tweet media one
17
2
7
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Mtu gani unaye muheshimu sana Twitter ?
2
1
6
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Tweet media one
1
0
4
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
6 months
Nawatakia Waislam wenzangu wote mfungo mwema wa Ramadan
Tweet media one
12
1
6
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Huyu Kamanda namkubali sana kama na ww unamkubali konga like yako hapo. Anaye mfahamu naomba aniunganishe naye
Tweet media one
0
0
4
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Hivi HAJI MANARA alikuwaga bado hajaowa au huyu aliyemuowa ni Mke wa pili?
1
0
5
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Yanga wote piga keleleeeeeee
Tweet media one
0
1
5
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
6 months
@BalaYunusabala9 I follow back immediately @SalumShaadyah
0
0
5
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
5 months
Viongozi wa Nchi ya Tanzania inabidi mbadilike hii misaada mingine inaweza kuigharimu Nchi pasipo nyie kujua
Tweet media one
23
1
5
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
@RealHauleGluck @ccm_tanzania @halimamdee Tafuteni hoja za kuwashawishi wananchi wa Kawe acheni kushinda kwenye mitandao na kuandika pumba.
1
1
5
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
5 months
@lhonzy_himself Follow @SalumShaadyah Follow you back
0
0
5
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Wabunge wa COVID 19 Viti maalum.
Tweet media one
0
2
5
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
7 months
Utafiti unasema, Watoto hurithi uwezo wa akili zaidi kutoka mama na sio Baba. Hivi ni kweli?
46
1
5
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Hii ni kweli kabisa
Tweet media one
1
0
4
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Kweli Gwajima ndiyo chaguo sahihi la wana Kawe #magufuli5tena #kawempyanagwajima @GwajimaKawe
0
1
5
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
WANAUME KUPIGA PUNYETO NI SAHIHI?
1
0
5
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
3 years
Mzee wa Capernaum aliyemuona Yesu na mke wake
Tweet media one
0
0
4
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
@halimamdee Huna Sera ww kwa sasa zaidi ya hiyo ya kununua na kuuza maana huna ulilolifanya Kawe ahadi zako zote ni uongo mtupu wana Kawe hatuhitaji hata kukuona tapeli wa kike ww, Gwajima ndiyo chaguo letu wana Kawe.
Tweet media one
1
0
5
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
NILETEENI GWAJIMA NILETEENI GWAJIMA NILETEENI GWAJIMA NILETEENI GWAJIMA #Magufuli5Tena #KaweMpyaNaGwajima @GwajimaKawe @HildaNewton21 @halimamdee @DefendTanzania
2
2
5
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Hivi kwani SIASA ni nini?
0
0
4
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
3 years
Waziri wa fedha anakusanya fedha za wananchi huku ana mpango wa kugombea 2025. Samia asiposhtuka mapema atajikuta ni rais tu lakin nchi inaongozwa na Mwigulu na genge lake.
0
0
4
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Hivi Haule alisharudisha account yake au bado amepigwa Spana?
0
0
3
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
@GwajimaKawe @JayJayN7 @UsalamaWaTaifa @MankindUwezo @FatmaMkweli Kawe tumepata kiongozi anayependa mabadiliko na ndiyo tunaenda naye awamu hii ni yeye Askofu Gwajima ndani ya Kawe.
0
1
4
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
5 months
@GODWIN389 Follow @SalumShaadyah Follow you back
0
0
3
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Kweli Uchawi upo kama huamini muulize huyu Naibu Waziri aliyeshindwa kuapa Leo.
0
0
2
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
3 years
@MSalimu @RealHauleGluck @SuluhuSamia Kweli vichaa wa milembe wamesingiziwa vichaa wapo huku. Ww wakakuchunguze akili zako huwezi kuwa sawa kabisa maana mwenye akili timamu hawezi kumpinga Baba Askofu Gwajima kwa anachokisema
2
1
3
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
@RealHauleGluck @ccm_tanzania @halimamdee Unawaonya ww kama nani na wakati ww mwenyewe umenunuliwa kama kibaraka wa chama tu na tunakufahamu. Waambie hao wapuuzi wenzio Gwajima ndiyo Baba lao na Kawe ameshakubalika tukutane October 28.
0
0
4
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Kwani Mwanamke Mjamzito akiwa anakaribia kujifungua akifanya Sex ni vibaya?
Tweet media one
0
0
4
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Dada Hilda anahasira kwa sababu na yeye hawajamchagua kwenda Bungeni. Hata ukilia Dada haisaidii ndiyo umeishatemwa waache wenzio wakuwakilishe acha hizo fitina zako mitandaoni. @HildaNewton21
Tweet media one
0
0
3
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
5 months
Mliopo maeneo ya Jangwani kwa mvua hii ya leo kuanzia asubuhi panapitika kweli au nitafute njia nyingine yakunifikisha nyumbani😎😎?
0
1
4
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Kwa sababu tu ni vinara wa Ligi hadi wa Dada nao wapo juu kileleni hii kweli Timu ya Wananchi.
Tweet media one
0
0
2
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
Watanzania tuwe tu wakweli tusilete siasa, uchama wala ushabiki kipindi Corona imechachamaa Rais wetu Magufuli angeamuru na sisi tujifungie ndani, kiukweli tusingekuwa salama. Watanzania tungekufa na njaa wala siyo Corona tena.
0
0
4
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
4 years
@HildaNewton21 Huna lolote katafuteni mabwana muolewe acheni kuchezeana chezeana boya ww.
Tweet media one
1
0
4
@SalumShaadyah
Shaadyah Salum
6 months
@mtanganyikaorg Tutakula mawe leo
0
0
4