Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist Profile
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist

@PambilaMailon

Followers
69
Following
142
Statuses
411

q
Joined June 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
4 hours
@MfalmewaX1 Inaua Figo
1
0
0
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
4 hours
@MfalmewaX1 Utaua Figo zako mapema tu kwa ulaji mwingi wa chumvi
0
0
0
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
5 hours
@thomasjkibwana Binafsi naamini kuwa, CCM hawatakubali hizo Reforms kwahyo CHADEMA hawatashiriki uchaguzi, ingawa kutoshiriki kwao uchaguzi itatuchafua kimataifa kama Nchi kwamba hakuna demokrasia. Mabadiliko ni muhimu ili uchaguzi uwe huru na haki na ambao utatusaidia kupata viongozi bora
1
0
0
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
1 day
@WideEdson Mkemia mkuu
0
0
1
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
2 days
@Lordie_Spectre @SportsarenatzTz Boss fanya mambo chapu
0
0
0
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
2 days
@Lordie_Spectre @SportsarenatzTz Kabisa nashangaa yupo kimya anipe changu
0
0
0
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
2 days
@mchizidamas Kiukwel mavambo wa saiz ameshuka kiwango sio yule tuliyemuona mechi za mwanzo
0
0
4
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
2 days
@SteveMchelsea21 Shida ya mavambo hana utulivu kwenye kupiga pasi zake, na pia ni box to box midfield hivyo Kuna wakati huwa anaacha sana mashimo, Ngoma sio mtu wa kutembea sehemu kubwa hivyo anaweza kukaba vizur eneo lake na pia kwenye kupiga pasi ni master sana ziwe fupi au za masafa marefu
1
0
6
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
2 days
@Sativa255 🤣🤣🤣🤣
0
0
0
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
3 days
@Sukayotz Daaa kwa mechi ya Leo achen kumpa lawama kocha, kiukwel JKT wanahitaji pongezi, walikuwa compact sana na walishinda mikimbio mbili sana dhidi ya wachezaji wa yanga
0
0
3
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
3 days
@KibwanaEdgar Mbona Arajiga kachezesha vizur kabisa, alitaka afanyaje tena? nadhan angewapongeza JKT Tanzania kwa kucheza vizur sana hasa upande wao wa kujilinda walikuwa compact sana
0
0
4
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
3 days
@Sativa255 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
0
0
2
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
3 days
@hasheem_ibwe 🤣🤣🤣🤣🤣
0
0
2
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
4 days
@eastafricatv Huyu Mzee wangemwacha aendelee kulea wajukuu tu
0
0
0
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
5 days
@CarolNdosi Tuone mguu mwingine kama nao una kikuku
0
0
0
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
6 days
@bonifacejoseph_ Mwamba ni noma huyu
0
0
1
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
6 days
@Skinny36479503 @prossoff Ohhh Dona Ina nyuzinyuzi nenda kasoma vizur utajua hili
0
0
0
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
6 days
@jemedarisaid Lilikuwa tukio la gafla sana nadhan pia alifikiri anaweza kucheza kwa miguu
0
0
0
@PambilaMailon
Mailon pambila- CPA, IPSAS Specialist
6 days
@FadrayK @rollymsouth Lakin pia mabeki wa Fountain Gate,walifanya makosa kutokuzuia mpira kuanzishwa, wao walienda kumzonga Refa badala mmoja abaki Lile eneo husika kuzuia mpira kuanzishwa kwa haraka, kwa hali ya kawaida Refa pale asingeoana kama ni offside labda kibendela wake
1
0
0