Mchizi chizi kichizi
4 months
Nikisema mchezaji fulani ameshuka kiwango sina maana ya kumdharau but kuna quality imepingua au kuna vitu alikuwa anafanya simple tu kwenye game yake ila kwa sasa hafanyi tena ndio maana nasema kiwango kimeshuka.Mfano Konde boy ,Maxi Nzengeli, Saidoo, Enzo, Rashford, Bruno, Gapko