Mchizi chizi kichizi Profile Banner
Mchizi chizi kichizi Profile
Mchizi chizi kichizi

@mchizidamas

Followers
4,813
Following
3,108
Media
1,090
Statuses
53,539

i never fake care to any one what i give. I give from my heart❤️🌴

Joined November 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 days
FUNGUA DM KUNA UJUMBE WANGU FREDDY KOUBLAN:Thread ✍🏻Kaka hongera kwa kuwa mfungaji bora wa ligi kuu ya Zambia 2023/24 licha ya kucheza nusu msimu, lakini kaka leo baada ya mazoezi chukua simu yako kisha ingia Youtube na mtafute mtu anaitwa Meddie Kagere kisha anza kuinjoi…👇🏾
Tweet media one
7
25
230
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
1 month
Chuma kipo Under 17 juzi kwenye Derby kiliuwasha sana potential ya badae kwa taifa hii😂
Tweet media one
144
52
1K
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
5 months
Jana kwenye game ya Monaco Vs PSG Mbappe alitolewa first half na nafasi yake kuchukuliwa na Kolo Muani lakini cha ajabu Mbappe hakurudi kukaa kwenye benchi na wenzake alibadili mavazi kisha akapanda jukwaani kukaa na mashabiki,ikumbukwe juzi alikuwa na kikao na Rais wa Ufaransa
Tweet media one
31
69
1K
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
“Huwezi kuona Azam Fc wakitaka wachezaji wanachukua Young Africans ,Simba Sc wao wanachukua wachezaji Azam FC na Yanga Sc, sijawahi kuona Azam Fc wanachukua wachezaji Simba Sc sio kwamba hawawezi ila hawataki kubomoa makao yao makuu” Amri Kiemba (Mchambuzi)
Tweet media one
Tweet media two
32
74
1K
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
21 days
✍🏻Top player mchezaji wa maana kabisa magoli 13 na Assit 5 bila goli la penalti waraabu wanaisoma namba ✍🏻Kama Mayele anamaliza Top Scorer sio kwa namna yeyote ile pyramids watamuacha aondoke labda uje ofa kubwa kutoka Ulaya ✍🏻Nikikumbuka tulimfananisha na Baleke nachoka 😂
Tweet media one
Tweet media two
16
44
1K
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
16 days
“Kaka nasikia Daktari AKA the Tank hayupo kambini kule Avic na hashiki simu za viongozi sijui shida itakuwa nini au mikono haina nguvu?” MDAU DM😂
Tweet media one
36
36
1K
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
3 months
Mshahara:25M Ada ya usajili: 280M Done deal: ✅ Bango litakaa miezi 6 Mzenji ataenda benchi , mkongo atakuja kati, mzambia winga ,brichi winga,funguo 10, mwana fa anamaliza mbele pale😂 Source: TOMATO
Tweet media one
61
42
1K
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Al Hilal wamekubaliwa ombi lao la kucheza ligi kuu ya Tanzania NBC msimu ujao kutokana na kuwa na vita nchini Sudan, lakini mechi zao zitakuwa kama mechi za kirafiki sababu pointi zao hazitahesabiwa ila wakivunja sheria watapata adhabu iwe kufungiwa au kulipa faini kama kawaida
Tweet media one
63
41
1K
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
POKEA SIMU YA MCHIZI KIBWANA SHOMARI: SHORT THREAD Kaka pokea simu najua ni namba ngeni lakini pokea unisikilize nina ujumbe wako mimi shabiki yako Wakati Yao Yao jeshi anasajiliwa Yanga ilikufanya uingie kwenye kurasa zako za mitandao ya kijamii na kuandika maneno haya….
Tweet media one
Tweet media two
29
69
975
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Mara ya mwisho Kibu Denis kufunga kwenye mchezo wa NBC PL ilikuwa November 5 ,2023 dhidi ya Yanga kabla ya hapo mara yake ya mwisho kufunga ilikuwa 16 April 2023 dhidi ya Yanga Sc ,Msimu huu Kibu ana goli moja na Assit 3 na leo anaenda kutimiza siku 135 bila kufunga goli NBC PL
Tweet media one
Tweet media two
91
95
949
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
BOCCO NA FUTURE YA SIMBA:Uzi🧵 ✍🏻John Bocco ametengeneza timu imara za vijana kwa Simba sport club atleast now wanatoa ushindani sio kama hapo awali mfano timu ya under 20 ilishia nusu fainali na kushika nafasi ya 3 na hii under17 inaongoza ligi kwa tofauti ya magoli na Azam…
Tweet media one
4
46
939
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
5 months
Pale Azam Complex Yanga itakuwa wameweka majini sio bure maana alianza Simba akaukimbia watu tukaona kawaida saivi mpaka Azam wenyewe hawataki kuutumia uwanja wao dhidi ya Yanga wameomba kutumia uwanja wa Mkapa wanaogopa litawakuta jambo hapo Chamazi ujue kufugwa tano sio mchezo
Tweet media one
Tweet media two
38
41
909
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
3 months
Kutana na Pacome Zouzoua mchezaji pekee aliefanikiwa kuifunga Al Ahly kwenye michuano ya CCL 2023/24
Tweet media one
12
51
912
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
25 days
✍🏻Jean Othos Baleke (23) atacheza ligi kuu ya NBC msimu wa 2024/25 ✍🏻Na atacheza Singida Black Stars ambao kwa sasa wameweka kambi Avic Town Source: Tomato 🍅
Tweet media one
11
23
904
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
Twakimu za Chama aliechoka Vs Pacome kwenye ubora Chama kwenye ligi kuu mechi 20 mgawanyo wa dk1561 kafunga goli 7 assit 6 GA ni 13 Pacome kwenye ligi kuu mechi 22 mgawanyo wa dk1458 kafunga goli 7 assit 4 GA ni 11
Tweet media one
Tweet media two
45
58
905
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
Sema Aziz ni mtu wa timu pia ana love kubwa sana amekuwa akishangilia magoli ya wenzie kama yake . Cheki hii short thread akishangilia magoli ya wenzie kama yake no 5 itakushangaza.
Tweet media one
19
45
895
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
5 months
Pichani ni pacome Zouzoua profile yake inamtambulisha kama MVP wa ligi ya ivory coast 2022/23,ambae hatambuliki na waziri wa michezo wa nchi kwao lakini dunia ya burudani inamtambua kama kiungo bora mshambuliaji amabe ana kila sifa ambayo unaitaka kutoka kwa mchezaji wa kisasa
Tweet media one
8
51
875
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
“Yanga wanahitaji maboresho kwenye nafasi mbili moja ni winga mwenye quality ya Makabi Lilepo awe na kasi na abbility ya kufunga pia mshambuliaji aina ya Fiston Mayele kisha wawabakize Pacome,Max,Yao,Aziz,Aucho am sure kabisa Yanga watabeba ubigwa wa Africa mapema tu”Hans Raphael
Tweet media one
21
34
804
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
27 days
✍🏻Simba wamekamilisha usajili wa beki Abdulrazack Hamza(21) kutoka klabu ya Supersport United ya Afrika kusini ✍🏻Hamza anamudu kucheza beki wa kati pia aliwahi kuvitumikia vilabu vya Mbeya City na Namungo ✍🏻Mpaka sasa eneo la beki wa kati Simba kuna Malone,Kazi,Lawi ,Hamza
Tweet media one
Tweet media two
6
33
819
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
KIUNGO BORA VS MCHEZAJI BORA: SHORT THREAD Kuna utofauti mkubwa kati ya kiungo bora na mchezaji bora, kiungo bora anaweza kuwa mchezaji bora lakini mchezaji bora sio lazima awe kiungo bora sijui tunaelewana hapo? Pale Yanga kuna Khalid Aucho anasaidia kwenye rest defense…
Tweet media one
Tweet media two
31
48
795
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Ukiniuliza Yanga wamemiss uwepo wa Aucho nitajibu yes kwenye zile first pass zake baada ya kupoka mpira huwa ni accuracy, ukisema Pacome jibu litakuwa Yes sababu vile anavyo drive timu kutoka chini na dribbling zake husaidia wenzake kufanya movement hatarishi na kutengeneza space
Tweet media one
18
39
775
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
18 days
THE CALL FROM HELL: Short thread 🧵 ✍🏻Toka jana sijapata usingizi sababu hii namba imekuwa ikinipigia 2024/25 na inadai kuna maafa makubwa yanakuja kutokea na kitu pekee cha kuyazuia haya ni ukweli na watu kuto pingana na wakati uliopo sasa simu hii imetaka nifikishe ujumbe…
Tweet media one
Tweet media two
16
45
791
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Faida ya kuwa na kipa Sweeper kwenye counter attack anakuwa CB kwenye kuanzisha mashambulizi anasaidia kufungua space kutokana na uwezo wake wa kupiga pass then timu ikiwa pressed anasaidia kupoza presha, ukitoa Onana wa Man United kwa makipa wa Africa ni Williams na Diarra
Tweet media one
Tweet media two
12
39
723
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
3 months
Guede alikuta tayari Yanga wameshatengeneza System ambayo haikuwa Familia na uchezaji wake hivyo ilihitaji muda kuweza kuingia kwenye mfumo na kuanza ku deliver
Tweet media one
14
36
720
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
24 days
✍🏻Awesu Awesu alikuwa na mikataba ya Simba na Yanga anatembea nazo zote ✍🏻Kwa mujibu wa taarifa ni kuwa Simba wamefanikiwa kuinasa saini yake lakini KMC hawatambui usajili huu sababu Awesu alikuwa na mkataba na Simba hawajapeleka ofa ✍🏻Yaleyale ya Lawi na Valentino michezo tu
Tweet media one
Tweet media two
16
30
725
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Mtu anasema Mamelod ni timu ya kawaida kisha anasema kocha Rulani ni avarage sema hype ni nyingi ok fine unamuuliza kwanini anasema hivyo anasema kisa hajawafunga Yanga na ameshidwa kupata goli dhidi yao kwenye dk 180, unamuuliza je Katwila ni kocha bora sababu kawafunga Yanga?
Tweet media one
85
60
710
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
Naheshimu na napenda kila alichokifanya Gamondi msimu huu but for me kocha bora nitampa David Ouma kocha wa Coastal Union jinsi alivyoikuta timu imegawanyika akaingunisha na kuifanya kuwa moja ya timu tishio na shindani wakifanikiwa kumaliza top 4 na watacheza CCC next season..
Tweet media one
Tweet media two
122
38
708
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
9 days
✍🏻Last season Skudu ndio aliteka usajili wa Yanga but Max aka run the show ✍🏻Dirisha hili Chama na Dube wameteka usajili but Duke Abuya na muona akirun the show ✍🏻Sababu ni mzuri kwenye Passing,good decision kwenye muda sahihi na Energy ipo + anacheza katikati na wide pia😎
Tweet media one
14
54
692
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
25 days
✍🏻Singida Bs walikuwa wameshakubaliana kila kitu na Jean Othos(21) na mchezaji alikuwa ameshawasili kambini Avic Town ✍🏻Kocha kamkataa Sowah na kumpendekeza Baleke kilichofanyika ni Kiongozi wa Singida ambae pia ni kiongozi Yanga kupiga simu moja ✍🏻Jean Baleke atacheza Yanga
Tweet media one
14
32
667
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
14 days
✍🏻Michuano ya Kagame Cup 2024 imefikia hatua ya Nusu fainali na hakuna timu ya Tanzania bara wala visiwani iliyofanikiwa kufuzu ✍🏻Timu zilizofuzu ni Al Hilal ya Sudan, Red Arrows ya Zambia, Al Wadi ya Sudan kusini na APR ya Rwanda ✍🏻Red Arrows Vs Al Wadi , Al Hilal Vs APR
Tweet media one
Tweet media two
4
27
675
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
“Wenzetu wanapitia kipindi kigumu tajiri amegoma kutoa hela saivi wanalipana mishahara kama michezo ya upatu hivyo mimi kama mwenyekiti wa wasemaji leo pale jamuhuri nitaendesha harambee ya kuwachangia ndugu zetu hivyo kwa mashabiki wa Yanga kila mtu aje na 100 au 200” Ally Kamwe
Tweet media one
18
24
643
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
1 month
Pale Muhimbili wamelala wagojwa, Makuburi ya kinondoni yamelaza mashujaa ,Guest house zinalaza wenyeji lakini Mkapa Studium iliwalaza wageni,Zikowapi zile nyakati za pira biriani kabla ya kufunga goli mnyama anapiga pasi milioni mbili,pichani ni usiku usiosahulika what a cameback
Tweet media one
17
37
634
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
LEGEND IN MY BOOKS: SHORT THREAD🧵 Wanasemaga nabii hakubaliki kwao na pia Mungu akikupa kilema anakupa na mwendo, kutoka Mbagala mpaka kariakoo mpaka Lubumbanshi mpaka Genk kisha villa park huko kote uliweka rekodi na kufungua njia kwa watanzania kuamini kuwa inawezekana…
Tweet media one
Tweet media two
18
56
617
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
23 days
✍🏻Beki Chamou Karaboue jana ameaga kwenye klabu yake ya Abijan Racing na kushukuru kwa ushirikiano wao wa miaka 6 ✍🏻Chamou anakuja Simba Sc kuchukua nafasi ya Inonga baada ya dili la Fasika kushindikana ✍🏻Mabeki wa kati pale Simba mpaka sasa ni Chamou,Abdulrazack na Malone
Tweet media one
Tweet media two
9
32
614
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
3 months
Sema ndio hivyo Mungu hakupi vyote ila ile role anayopewa Muda pale Yanga kama angekuepo Feisal aisee maji tungeita mma , Fei amekuwa na kiwango bora sana msimu huu akifunga magoli 15 na Assit 7 kwenye mechi 24 what a solid perfomance kutoka kwake
Tweet media one
23
47
594
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
12 days
✍🏻Awesu Awesu aliandika barua ya kuomba kuvunja mkataba ili kuondoka klabuni na moja ya sababu ikiwa ni kupata changamoto sehemu nyingine ✍🏻KMC wamesema hawautambui usajili wa Awesu kwenda Simba sababu barua ya mchezaji ilikuwa na mapungufu mengi ✍🏻KMC wamepeleka kesi TFF
Tweet media one
12
36
601
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
Wapinzani wa Yanga hawashindani wanapambana 😆
Tweet media one
7
25
589
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Kuna Ambangile wawili 1:Ambangile wa maandishi 2:Ambangile wa sauti Kwangu mimi ni fan wa Ambangile wa maandishi kuliko sauti sababu maandishi napata vitu vingi sana kuliko nikimsikiliza akiongea But all in all Bruh @George_Ambangil ni Goat 🐐🙌
Tweet media one
62
39
586
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
14 days
✍🏻Kwa mujibu katiba ya Yanga mahakama imesema haiwatambui Hersi na viongozi wote wa Yanga na wanatakiwa kukabidhi ofisi mara moja ✍🏻Wazee wameshinda kesi kihalali lakini mpira wetu bado unahitaji wakina Hersi wengi ✍🏻Sijui itakuaje lkn mbuzi wa bwana Heri shamba la bwana Heri
Tweet media one
34
32
588
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Nkane sio mchezaji mbaya lakini yupo sehemu ambayo ina high quality players hata ikifanyika rotation kwa sasa ni ngumu sana kuona anapata namba kwenye kikosi cha kwanza,muda ni sasa anaweza kuipambania kesho yake aidha fedha au kipaji ila midtable teams karibu zote anapata nafasi
Tweet media one
Tweet media two
13
26
563
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
RETURN OF CHAMPIONS PAMBA FC: Uzi🎣 Pamba fc kwa kipindi cha miaka minne imekuwa ikiishia kwenye playoff za kupanda ligi kuu ukiachana na makundi ya ndani ya klabu yaliyopelekea kuigawa timu na kukosa mshikamano hasa hatua za mwisho mwa ligi ambako ndio wanakuaga na anguko kubwa
Tweet media one
31
49
566
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Hivi mlisema Mkude ni usajili wa kisiasa ili kuwakomoa watani sio ok it is joy to whatch him what a perfomance kutoka kwake,Aziz Ki anakitaka kiatu , Guede kafungua akaunti ya mabao NBC,Timu bigwa hushinda ata mazingira magumu point 3 na goli 3 juu kileleni kituo kinachofata😂🙌
Tweet media one
11
32
564
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
22 days
✍🏻Kwasi na Gadiel Michael wakati wanakuja Simba kwa nyakati tofauti kila mmoja mechi za mwanzo alifanikiwa kumuweka bench Zimbwe lakini badae Zimbwe akapindua meza na kilichofata ni historia ✍🏻Valentine Nouma usajili mpaya wakuja kumpa challenge captain all the best kwake
Tweet media one
Tweet media two
3
35
560
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
26 days
✍🏻Kuna ile kauli wachezaji wa kigeni ni kikwazo kwa wazawa huwa inanifurahisha sana ✍🏻Mtizame Lomalisa ameachwa na Yanga sio kwamba ni mchezaji mbaya no ila hajafikia pale Yanga wanataka awe ✍🏻Lakini kuna wazawa wamesalia lakini in term of perfomance Lomalisa alikuwa on top
Tweet media one
11
25
539
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
10 days
✍🏻Max Mpia Nzengele mkongomani mwenye moyo wa Amerika Kusini atakupa good game both on ball and off ball ✍🏻Wapo watakao gombania namba ila sio Max what a special player #Mchiziwashereagain 🤝🏌🏿
Tweet media one
13
39
546
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
3 months
Twisila Kisinda AKA Turbo mwana weekend hii anaenda kucheza fainali yake ya tatu mfululizo kwenye michuano ya CCC akiwa na RS Barkane kwenye fainali mbili zilizopita kashinda moja kapoteza moja tusubiri ya mwaka huu 2021/22 Rs Berkane 2022/23 Young Africans 2023/24 Rs Berkane
Tweet media one
11
44
522
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
5 months
Ureno na FC Port wana Pepe, Man United walitubariki Vidic, Real Madrid wakatupa Ramos na Juventus wakatukabidhi Chiellini kisha Tanzania tuna Kelvin Yondani wakati anacheza kariakoo Inonga alikuwa anajitafuta huko kongo,Bacca na Job walikuwa wapo shule lakini mpaka leo anauzimaa
Tweet media one
Tweet media two
22
58
521
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
AKILI YA GAMONDI KWENYE UWEZO WA MUDARTHIR: SHORT THREAD🧵 Kwenye maisha yake ya soka Mudathri alikuwa akitambulika kama moja ya wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kupora mipira, work rate yake uwanjani anakupa full energ kwa dk zote pamoja shooting ability kwa kiasi chake….
Tweet media one
27
63
515
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
11 days
CF YANGA SC ✍🏻Dube na Mzize hawategemei system ya timu ili wawe bora ila Baleke anahitaji System ya timu ili awe bora ✍🏻Dube na Baleke wana wastani mzuri wa matumizi ya nafasi kuliko Mzize ✍🏻Mzize anaweza kucheza wide na akatoa performance bora kuliko Dube na Baleke…
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
18
39
522
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
26 days
✍🏻Kama mambo hayata badilika basi tegemea kuziona hizi sura ndani ya Coastal Union Next Seanson ✍🏻Tuisila Kisinda (RW)- Free agent ✍🏻Saidoo Ntibanzokiza(RW,AM)- Free agent ✍🏻Shabani Djuma(RB)-Free agent ✍🏻Duke Abuya(LW)- SInginda BS ✍🏻Isah Yakubu(CB)-Stade Malien Source: Tomato
Tweet media one
Tweet media two
4
39
506
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
27 days
✍🏻MVP wa Ivory Coast msimu wa 2021/22 alikuwa Aziz Ki ✍🏻MVP wa Ivory Coast msimu wa 2022/23 alikuwa Pacome ZouZoua ✍🏻MVP wa Ivory msimu wa 2023/24 ni Jean Charles Ohoua ✍🏻Rasmi Simba wamethibitisha usajili wa maestro OHOUA(22) ✍🏻Magoli 12 Assit 9 ✍🏻Welcome and All the best
Tweet media one
Tweet media two
9
33
494
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
25 days
✍🏻Kwa mujibu wa @FKihamu ni kuwa Lameck Lawi atajiunga na GENT ya Ubeligiji endapo atafuzu vipimo vya afya na Coastal Union watapata 248M huku kukiwa na kipengele cha gawio kama GENT watamuuza Lawi ✍🏻Binafsi nilivyoona Simba wamemsajili Hamza Faki nikajua ngoma isambe hiyo😂
Tweet media one
17
28
493
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
25 days
✍🏻Simba wamekamilisha usajili wa mshambuliaji Valentino Mashaka(20) kutoka Geita Gold ✍🏻Msimu uliopita alifunga goli 6,Assit 1,mechi 24 sawa na dk 1499 ✍🏻Lakini pia Simba wanapush kukamilisha dili beki wa kulia la Kelvin Kijili(24)kutoka Fountain gate Source: @BracuszCadabra
Tweet media one
Tweet media two
5
37
486
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
Azam wanataka kuifanya Yanga kuwa shamba lao msimu huu walimchukua Feisal na Bangala na kama mambo yataenda sawa basi Joyce Lomalisa atajiunga na Azam Fc kama mchezaji huru. Upande wa kushoto wa Azam fc kuna Msindo pamoja na Sidibe ambae ameuomba uongozi kuondoka klabuni hapo
Tweet media one
17
32
455
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
22 days
USAJILI WA SIMBA NA MAZINGATIO:Short Thread 🧵 ✍🏻Sajili za Simba msimu huu ni sajili nzuri ndio maana husikii kelele nyingi sana kwa wadau sababu zimezingatia mahitaji ya Simba kutokana na mapungufu ya msimu uliopita. Sehemu walizozingatia ni Umri,Kikosi kipana na quality…👇🏾
Tweet media one
Tweet media two
7
30
461
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
Kuna ule msimu George mpole alikuwa anashindana na Mayele waandishi wakiongozwa na msemaji wakapitisha mchango kumchangia Mpole kama hamasa na mwisho George akawa mfungaji bora , msimu huu vp wazee hakuna mchango tuchangie 😂😎
Tweet media one
6
21
444
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
3 months
Sifa namba moja ya mshambuliaji ni uwezo wa kutumia nafasi kisha ndio yanafata hayo mengine 🎯
Tweet media one
7
16
439
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Nikisema mchezaji fulani ameshuka kiwango sina maana ya kumdharau but kuna quality imepingua au kuna vitu alikuwa anafanya simple tu kwenye game yake ila kwa sasa hafanyi tena ndio maana nasema kiwango kimeshuka.Mfano Konde boy ,Maxi Nzengeli, Saidoo, Enzo, Rashford, Bruno, Gapko
Tweet media one
50
28
437
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
KONGOLE YOUNG AFRICA: SHORT THREAD🧵 The beautiful game called football and the strongest team is Yanga Sport Club hatimae wamevuna walichokipanda toka mwaka jana mwezi wa 8 safari ilikuwa ndefu sana humo ndani walikutana na wagojwa wakila aina ….
Tweet media one
Tweet media two
8
38
430
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Nikisema Yanga walimiss huduma ya Aucho na Pacome ni kutokana na jinsi flow ya mchezo ilivyokuwa siku hiyo unaona kabisa kuna vitu wangefanya vikaleta postive result ila haimaanishi wakiwepo kule South Yanga watashinda au kupata kitonga bali inategemea na mbinu za mechi husika
Tweet media one
Tweet media two
10
31
424
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
1 month
KIJIWE CHA MCHIZI :NO //001//CHUKUA MAUA YAKO ZAHERA ✍🏻Pale Yanga umekuwa na awamu mbili moja kama kocha na ya pili kama Mkurugenzi wa soka la vijana kwenye hizo nafasi mbili zote ulionyesha mapenzi yako na taasisi kuna muda ulikubali kutoa pesa mfukoni ili timu ifanikishe…
Tweet media one
11
34
423
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Hamis Tambwe alitoka Simba kwa figisu za baadhi ya viongozi kuwa ameshuka kiwango japo alimaliza Top scorer,Yanga wakapitanae na the rest was a history moja ya washambuliaji bora kabisa kuibariki ligi yetu, unakumbuka goli lake la mkono dhidi ya Simba lilifanya watu kung’oa viti
Tweet media one
14
25
421
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
22 days
✍🏻Usajili wa Chama niliulewa sana watu walikuwa wanajiandaa kisaikolojia kama ikienda tofauti ✍🏻Sishangai kusikia Aziz kuwa hajasain mpaka sasa na sitoshangaa akiondoka pia 😀 ✍🏻Rt pinned post 🙏🏻🏌🏿
Tweet media one
12
27
424
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
1 month
✍🏻kwa mujibu wa chanzo changu cha mr Tomato zifuatazo ni sajili ambazo ni deal done kwa mnyama kinacho subiriwa ni official statement ya Club 1.Kagoma (DM) 2.Omary Omary (AM) 3:Mutale (AM) 4.Okejepha (DM) 5.Nouma (RB) 6.Debora(DM) 7:Mukwala (FW) 8.Lawi (CB) 9.Fasika (RCB)
Tweet media one
Tweet media two
13
25
421
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
5 months
Freddy Michael kwenye mechi 8 na mgawanyo wa dk 387 amefunga goli 3 bila assit kwenye NBC , huku Kennedy Musonda kwenye mechi 14 na mgawanyo wa dk 687 amefunga magoli 3 na Assit 1 kwenye NBC.Sijui nilitaka kusema nini lakini mnasemaga numbers hazidanganyi
Tweet media one
Tweet media two
32
29
423
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
1 month
✍🏻Simba wamekamilisha usajili wa Steven Mukwala raia wa uganda kutoka Asante Kotoko ya Ghana ✍🏻Mukwala alijuwa na ofa kutoka Wydad pamoja na Petrocub ya Moldovia itakayo shiriki UEFA ila project ya Simba ndio imevutia zaidi ✍🏻Mukwala anawania tuzo ya mchezaji bora wa msimu
Tweet media one
19
19
417
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
20 days
✍🏻Huyu nae itakuwa kila dirisha la usajili anasajiliwa Uarabuni ila msimu ukianza anacheza Yanga Sc😂
Tweet media one
6
25
411
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
1 month
MICHEZO YA SIMBA NA COASTAL KWA LAWI: Short Thread🧵 ✍🏻Simba waliwasilisha ofa Coastal Union ya kutaka saini ya Lameck Lawi ,mazungumzo yakafanyika na wakakubaliana kila kitu ikabaki Simba kutoa pesa ilimchezaji awe mali yao halali
Tweet media one
5
28
413
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Kama nchi tumepitia mengi sana jaribu kufikiria huyu mchezaji aliletwa kupiga kampeni na kuisema Yanga kwenye mkutano kisha akasepa zake wakati timu ina uhitaji wa mshambuliaji wa kati kwa muda huo na mpaka sasa , kuongoza mpira Tanzania haitaji nguvu ni akili tu 🤣😁
Tweet media one
24
33
392
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
20 days
NEW FOUNTAINGATE FC: SHort Thread ✍🏻Fountain gate kwa sasa wana deni la 900M ambalo wanalilipa taratibu na deni hili linatokana na kuvunja mishahara ya makocha pamoja na wachezaji ✍🏻Deni hilo lilikuwa la Singinda Fountagate Fc iliyokuwa inamilikiwa na matajiri wawili…👇🏾
Tweet media one
Tweet media two
5
22
398
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
3 months
Baada ya kukosa kombe fainali ya 2020 this time PSG wanaenda kuwa mabigwa ws UEFA 2023/24 haijalishi atakutana na nani but Mbappe anaondoka kama mfalume.🎯
Tweet media one
31
42
381
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
1 month
✍🏻Asilimia kubwa ya Viongozi wameafiki Chama kuondoka sababu wana amini hana cha kuongeza japo wanaheshimu mchango wake kwa klabu ✍🏻Wachache wanaamini akibaki atakuwa kama kiongozi wa project yao mpya kutokana na quality na experience yake ✍🏻Chama atacheza Yanga Source:Tomato😂
Tweet media one
18
28
389
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
HOFU VS UJASIRi :UZI🧵 ✍🏻Yanga kumpa Gamondi mkataba wa mwaka mmoja ilikuwa ni hofu kuwa anaweza asiwafikishe nchi ya ahadi na sio kitu kibaya ✍🏻Gamondi kukubali mkataba wa mwaka mmoja wenye mashariti ya kutetea mataji na kuifikisha klabu makundi ya klabu bigwa ni ujasiri…
Tweet media one
15
33
366
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
3 months
FOOTBALL PROJECT :SHORT THREAD 🧵 Real Madrid na Perez waliwahi kuwa na Galaticos project iliyotumika kukusanya mastaa wenye profile kubwa,experience na high quality walipata faida kibiashara ila uwanjani haikulipa kwa kiasi kikubwa then hapa nyumbani kuna Perez wa low budget…
Tweet media one
15
42
365
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
AZAM FC NA KARATA 3 SHORT THREAD Kuna karata 3 Uongozi wa Azam FC imezicheza msimu huu na zimeleta matokeo chanya kwao na kufanya mpaka sasa kuwa miongoni mwa timu 2 bora kwenye ligi yetu KARATA :01 Hapa nawapa credit kwa maamuzi ya kumbakisha kocha Dabo licha ya maneno mengi
Tweet media one
23
60
363
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
“Mkataba wangu wa kwanza Yanga haukuwa mzuri nilikuwa siwezi hata kuondoka,nilikuwa sijui kingereza meneja wangu nae hajui kingereza anacheka tu na viongozi,mkataba wa pili nilikuja na Dada Yasimini akaomba mkataba wa mwanzo alisikitika sana lakini alinisaidia namshukuru”Mayele
Tweet media one
26
22
355
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
KUAMINI VIJANA INAHITAJI MOYO WA MAWINGU: SHORT THREAD 🧵 Kuna misemo miwili inasema Learning through mistake na practice make perfect, yaani mtu akipata nafasi ndio atajifunza kutokana na makosa anayoyafanya itamjenga na kumfanya kesho aweze kurudi akiwa imara zaidi ….
Tweet media one
Tweet media two
12
37
355
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
3 months
Hakuna mchezaji anae improve kwa kukaa benchi tena ukizingatia ana umri mdogo anahitaji dakika chache au mechi mojamoja ili afanye makosa yatakayomkomaza mechi hadi mechi mtizame Israh alivyoimarika mbavu ya kulia anaziba vizuri mbavu ya kushoto anaiziba furesh bila shida
Tweet media one
5
34
353
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
Yanga Sc ask for Top Scorer and Aziz Ki take it personal 🏌🏿🙌
Tweet media one
1
20
345
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Naamini sifa kubwa ya beki ni uwezo wake mzuri wa kujilinda kwanza mfano Bacca ni mzuri 1Vs1,anashinda vita za juu na chini,tackling,uwezo wa kukaba wide areas sababu ana speed na zile quick recovering zake zinaficha mengi ya hao ball playing defender wenu vitani naenda na Bacca
Tweet media one
14
44
337
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
CLUB ABOVE ALL : SHORT THREAD🧵 Barabara ni Bagamoyo Road foleni ni kubwa ila mataa yameruhusu hapa mwenge gari ni nyingi ila ya kwanza kupita ni bus la kijani na plate no ya njano humo ndani haijabeba watu ila imebeba mashujaa waliotoka kumwaga jasho ili baba Ashura atambe…
Tweet media one
Tweet media two
11
46
343
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
12 days
✍🏻Kesho zitapigwa nusu fainali za CECAFA kagame Cup 2024 ✍🏻Mechi ya kwanza itapigwa saa 9:00 Alasiri( Al Hilal Vs APR) uwanja KMC Complex ✍🏻Mechi ya pili itapigwa saa 1:00 usiku (Al Wadi Vs Red Arrows) uwanja ni Chamanzi Complex ✍🏻Mohamed Abdrahiman ndio kinara wa mabao (5)
Tweet media one
Tweet media two
3
23
341
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
7 months
Simon Msuva mwanzo wa msimu huu Yanga Sc ilitaka kumsajili lakini akagomea dili hilo la Yanga sc sababu aliona bado ana uwezo na nafasi ya kucheza kimataifa na ingekuwa mapema sana kwake kuamua kurejee kucheza soka la nyumbani,mwisho akapata timu Morocco ambako hajadumu sana
Tweet media one
13
16
325
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
3 months
FAKE PROMISE 😭 Wakati Yanga wanapata Uongozi mpya chini ya Rais Hersi Said na makamu Arafat Haji moja ya ajenda aliyokujanayo makamu ni kuhusu soka la wanawake na kwa vijana na ukaenda mbali zaidi na kusema Yanga Princess wasipochukua ubigwa basi tukuulize wewe ni ahadi ulitoa
Tweet media one
Tweet media two
34
29
322
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Labda pengine iliandikwa Simba atafungua njia za kimataifa na Yanga ndie atafanikiwa wa kwanza kama ambavyo wengi wetu hatukuwa na imani juu yenu mwaka jana ndivyo hivyo na mwaka huu lakini nyie mkatuprove wrong basi na ikawe heri leo pale kwa Mkapa Stadium saa3:00usiku. Amen
Tweet media one
7
16
320
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
3 months
USAJILI NA THAMANI FEKI: SHORT THREAD 🧵 Wakati wa usajili ndio wakati ambao viongozi wanatakiwa ku play smart sana,sababu kumekuwa na utaratibu wa wachezaji kupandishwa thamani na kupewa wasizo stahili hapa wanaingia watu wa Media, Menejimenti ya mchezaji na timu pinzani…
Tweet media one
Tweet media two
9
45
317
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
SIMBA NA PUMZI YA MOTO: UZi🧵 ✍🏻Kuna baadhi ya vitu nimevigundua kutokana na hiki kinacho endelea ndani ya Simba hasa baada ya mkutano wa jana wa wajumbe wa bodi upande wa Wanachama ✍🏻Kwanza wamesema wao hawatajiudhuru sababu hawaoni sababu ya kufanya wao waweze kujiudhuru…
Tweet media one
19
39
312
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
21 days
✍🏻Leo ni ufunguzi wa michuano ya Kagame Cup na mechi ya ufunguzi ni kati ya JKU ya Zanzibar na Al Wadi ya Sudan Kusini ✍🏻Mchezo huu unafanyika hapa kwenye Uwanja wa KMC uliopo Mwenge Dar Es Salaam ✍🏻Pitch ni nzuri ila uwanja ni finyu but ni good for the game Nipo Live😂
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
15
30
313
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
11 days
✍🏻Azam Fc wamekamilisha usajili wa kiungo mkabaji Mamadou Samake(24) kutoka klabu ya CR Belouizdad ✍🏻Samake alikuwa sehemu ya kikosi cha Mali under17 kilichobeba ubigwa kule Gabon 2017 ✍🏻Kuweka kumbukumbu sawa james Akaminko ni moja ya wachezaji waliomba kuuzwa kama ikija ofa
Tweet media one
Tweet media two
7
30
310
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
5 months
Story na Mchizi Nilikuwepo wakati wanasema Ajibu akiacha uvivu ni zaidi ya Chama,nilikuepo pia walipo sema Fei ni bora zaidi ya Yake nilikuepo walipo mfananisha Aziz na Chama na bado nipo wanapo mfananisha Pacome na Chama kisha nasema chama ndie marking scheme ya kiungo bora Tz
Tweet media one
11
81
298
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
Yanga bigwa Simba nafasi ya tatu Fei kakosa kiatu Yanga kumpiga Simba 5G Yanga kamfunga Simba nje ,ndani Sema huu msimu Yanga wamemkaba mtani kila kona kasoro kwa kipa bora tu😂🙌
Tweet media one
5
23
298
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
1 month
✍🏻Good for the game ni atleast navutiwa na usajili unaofanyika Simba kuelekea msimu ujao ✍🏻Bad for the game ni kuwa Simba wanafanya usajili pasasipo kuwa na kocha sababu sina uhakika kama Mgunda ndio ataachiwa jahazi ✍🏻Mwisho kocha akija atasema wachezaji hawafit kwenye mfumo
Tweet media one
17
24
300
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
3 months
Dear God Zaidi ya miaka minne tumekuwa tukiomba na kuonyesha nia ya kutaka kupanda ligi kuu lakini kwa neema na baraka zako haikuwekezekana sababu ulitupa tulichostahili na sio tunachotaka, basi ikukupendeza kwa mapenzi yako jioni ya leo pale Arusha tupatie stahiki yetu Amen 🙏🏻
Tweet media one
24
35
290
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
“Siangalii mechi za Simba sababu sina cha kujifunza, nitajifunza nini kwa Jobe wakati namzidi magoli labda yeye aniangalie mimi na ajifunze kutoka kwangu” Adam Adam (Mshambiliaji wa Mashujaa Fc) Vp unaona ni kuwakosea heshima simba au kawapa ukweli simba. Credit: Ayoma Tv
Tweet media one
Tweet media two
36
35
280
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
5 months
Simba hawana scout mbovu ila wanaviongozi wazembe, Scout anafanya kazi yake kwa ufasaha lakini viongozi wana delay kukamilisha dili mwisho inabidi kutafuta mtu wa kusajili kabla ya dirisha kufugwa Mfano Aziz ki, Yao kwasi,Aucho wote hao Simba ndio walianza lakini Yanga wakamaliza
Tweet media one
22
25
278
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
1 month
Mungu asimame na wewe urudi ukiwa salama mchizi🤝
Tweet media one
1
154
280
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Yanga alikuwa anapokea sana wageni lakini Simba alikuwa anashinda, Simba kavaa jezi za wageni sana mwaka jana lakini Yanga wakaenda mpaka fainali, Yanga kavaa jezi za Al Ahly na bado wakapasuka kwa mkapa, CRB kafa chuma 4 na watu wakimsupport ukiwa na timu imara huitaji uzalendo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
18
29
271
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Wakati Yanga wanashida dhidi ya Azam msimu huu kejeli na dhihaka zote zilikuwa zinaenda kwa Feitoto but Fei baada ya juzi kufunga alishangilia kwa kuomba msamaha,Fei katimiza majukumu yake kama mfanyakazi na kumpa faida boss wake wa sasa na kama Azam wangepoteza Fei ndie angeumia
Tweet media one
Tweet media two
12
42
262
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
6 months
Story na Mchizi 2020 kipindi naenda JKT 842 njiani bus letu likapata ajari maeneo ya Namtumbo bahati mbaya nikawa nimeumia mkono na bahati nzuri hakuna aliyepoteza maisha sasa tukapelekwa hospital ya Songea town nikawekewa muhogo then safari ya kwenda kambini ikaendelea
16
38
257
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
2 months
KUELEKEA AFCON 2027 ✍🏻Serikali ya Uganda imetumia kiasi cha 198B kufanya marekebisho ya uwanja wa Nelson Mandela Namboole ✍🏻Lakini pia serikali itafanya marekebisho kwenye uwanja wa Navikubo na itajenga uwanja mwingine mpya ✍🏻Tuwe makini jirani atachukua open game na fainali😂
Tweet media one
Tweet media two
20
30
252
@mchizidamas
Mchizi chizi kichizi
4 months
Aziz Ki this season who sayed no? 1: Mfungaji bora 2:Kiungo bora 3:Mchezaji bora 4: Team of the season
Tweet media one
15
26
251