![Mfalme👑🇹🇿 Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1833801785946832897/cHBNw6ZV_x96.jpg)
Mfalme👑🇹🇿
@MfalmewaX1
Followers
14K
Following
3K
Statuses
2K
Coach | Men’s health | Work Hard | Matrix is real
New York, USA
Joined September 2024
Kila nikiona makala zinazosema nyama nyekundu zinasababisha hili au kile huwa naumia sana. Kwenye hili huhitaji kutumia akili ya darasani hata kidogo ila akili ya kuzaliwa tu. Najua wazi ajenda ya dunia, nina uhakika mambo wanayosema juu ya nyama nyekundu ni maelekezo kutoka shirika la afya duniani. Shirika ambalo viongozi wake waliweka wazi kuwa mpango wao ni kupunguza idadi ya watu duniani. Tangu mwanzo wa dunia hii nyama ilikuwa chakula chetu, tangu kizazi cha Habili na kaini hata Mungu alipendezwa na sadaka ya mnyama kutoka kwa Habili. Mungu alimpa Ayubu mifugo mingi, Alimpa Isihaka mifugo mingi same kwa Nabii suleimani leo out of blue wanasema nyama ina sababisha (Myoc…). Sisi watanzania tunakula kipi sana kati ya ugali/ wali na nyama? Nyama kwetu ni kama emergency au sherehe kwani wataalamu hamuwezi kuchuja hili. Hamjui kuwa metabolic syndrome zote zinaweza kutibiwa na carnivore diet na zinachochewa kwa ulaji wa wanga? Kwanini magonjwa kama moyo, uric acid, figo, presha n.k wanakatazwa wasile nyama ilhali hamsemi chochote juu ya matunda, sukari, wanga za kiwandani, oats, soseji, viazi mviringo, mafuta ya mbegu & soda! Hivi mnania njema kweli na kizazi cha binadamu au mnapush kila ajenda bila kujua wanachojali wao ni kukuza viwanda vyao ambavyo vinazalisha muunganiko wa kemikali kisha wakaita vyakula. Tangu 1920 Tycoon John Rockfeller anatutawala Kwanini utajiri wa zamani ulikuwa na mifugo ambayo ni vitu halisi lakini utajiri wa siku hizi ni makaratasi yaliyoandikwa makaratasi kisha tukaita pesa! Kama nyama nyekundu ni hatari kiasi hicho ni wazi inatosha kupewa taarifa tu, lakini kwanini Bill gates anataka kuwachoma sindano wanyama wote barani Afrika ambao wanafugwa? Kwanini Mungu alitupa tuwafuge Ng’ombe, Mbuzi na kondoo lakini hakutaka tuwafuge simba na chui? Kama Binadamu ni Kiumbe mwenye hadhi ya juu kuzidi Majini kwanini anakatazwa kutokula nyama ila sadaka za mifugo zinapokewa na viumbe wasioonekana? Maswali yananipeleka mbali lakini niishie hapa sitaki kujifanya najua sana. Sitaki kuanzisha mrorongo sio lazima uwaze kama mimi.
2
4
21
VITU 10 VYA KUJIFUNZA ILI USIKWAME KIMAISHA: 1. Usiishi maisha ya kitajiri kujaribu kuwavutia watu 2. Yaliyopita sio yako, lakini baadae yako ipo mikononi mwako 3. Kadri unavyozidi kuwa na marafiki wengi ni ndivyo unavyokuwa na matatizo mengi 4. Tunza hela ili hela ije kukutunza, huu sio ushauri ni ONYO. 5. Watu wanavyofikiria sivyo utakavyokuwa. Unavyojifiria ndivyo unavyokuwa. 6. Usionee wivu wengine. Hujui mwisho wala mustakabali wa maisha yao 7. Kuna upweke ukishakuwa mkubwa, upweke ni gharama unayoilipa kwa kuwa bora 8. kama usipoitawala akili yako na maisha yako, kuna mtu atakutawala 9. Vikwazo havikuziki, vikwazo vinakufukia ardhini ili uote 10. Kamwe usibet dhidi yako mwenyewe, wewe ni mtu wa muhimu zaidi kwenye maisha yako.
7
16
71
RT @MfalmewaX1: WANAUME, NIKUKUMBUSHE HAYA FASTA 1. Usitoe sadaka malengo na ndoto zako kwq sababu ya mahusiano 2. Kadri unavyokumbatia m…
0
18
0