♚ King Salum Pelembo Profile Banner
♚ King Salum Pelembo Profile
♚ King Salum Pelembo

@KingSaluu

Followers
1,882
Following
994
Media
423
Statuses
2,487

African Football Insider & Sports Analyst @magicfmtanzania 📻|| • Sports Management 📚|| • Risk Manager📚 ||•East African Scout for FSAG

Dar es Salaam, Tanzania
Joined September 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 month
Looking at how Edwin Balua has developed is amaizing. Few years ago he was in the lower divisions with DTB then moved to Coastal Union where he struggled to even get chances to play, then his move to TZ Prison changed, at the moment he's a valuable player in Simba,Rock and Rollin
Tweet media one
9
22
401
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Nimeamini kuwa good coaches ni wale ambao wanavouch gor their decisions and plans bila kujali mitazamo ya watu wengine. Lucho amemuacha Alcantara, Tite amemuacha Bobby, Southgate ameenda na Maguire na aanza kwenye first team na wote wamepata matokeo bora. Its all about the guts.
Tweet media one
9
7
350
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Kagere tayari amethibitisha kubaki, whats up kwa Mugalu na Lwangankuna taarifa zozote wapwa? @Khalidchukuchuk @robbiejacobrj @iddynonga_ @Tiganalukinja @privaldinho
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
5
302
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Ukireview mabao ambayo Yanga ameconceed jana utagundua mambo kadhaa, kwanza kabisa, The issue si kimo kama wengi wanavyozungumza, ni switching off (Kukosa umakini). Ukitazama katika move zote 2 za mabao, Bangala anashtuka wakati mpinzani yuko in motion.....
Tweet media one
9
8
280
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
10 months
Ayoub Lakred with a masterclass performance in the first half. His reflexes are top notch, 3 important saves to keep Simba on the line. Life is a gamble and i have laid my cards on the table, Its very difficult to see our beloved back on his top spot.
Tweet media one
1
9
217
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Having two best creative midfielders is GLORY to strikers. Saido Ntibazonkiza is finally back in Dar Es Salaam, the difference this time is that he's Red and White.
Tweet media one
3
2
201
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
4 months
Chama has penned down a 2 year contract with the Msimbazi Reds, done and dusted.
@Iamfelixtz
FELIX JASON
4 months
Updates 👇 ➡️ Young Africans 🇹🇿 are closing in on deal to sign Clatous Chama 🇿🇲 from Simba Sc 🇹🇿 as new Midfielder. ➡️ I know, Chama already said yes to Young Africans. ➡️ As it Stands 🤔 Simba iko kwenye wakati mgumu sana wa kumbakisha. But.. Football 🤔
Tweet media one
Tweet media two
93
64
1K
15
7
186
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
The biggest mistake that Premier League teams are doing is giving Halaand space. If there's room to run he will always punish you, always. He is now on 5 after 4 games but didn't score on 2 games. Pep brought us a scoring monster let him create nightmares😅.
Tweet media one
7
10
151
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
9 months
Alot of depth on Simba's attacking options, Transfer Deadline Day has brought us Pape Omar Jobe and FredyKouablan, definately their attacking pattern is about to change. We shall either experience 2 strikers on field, or one prominent goal scorer who will be Bemchikha's Talisman.
Tweet media one
Tweet media two
2
5
148
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Adel Amrouche amepewa nafasi ya kuchagua wataalamu 4 kuambatana nao kwenye timu ya taifa kama sehemu ya benchi lake la ufundi. Na taarifa zinadai kuwa Cedric Kaze ndio chaguo la kwanza la kocha huyo. Kaze ni mwanafunzi wa Adel, pamoja na kuwa kama Godfather wake kwenye soka.
Tweet media one
4
4
119
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
Tshabalala Aiteka Afrika ya Kusini Taarifa kutoka nchini Afrika Kusini zinaripoti kwamba neema imefunguka kwa mlinzi wa Kushoto wa Simba SC Mohammed Hussein 'Tshabalala' ambaye anatakiwa na klabu tatu za Ligi kuu Afrika kusini
Tweet media one
Tweet media two
4
1
117
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
UPDATES ZA BIGGY 🚨🚨 Baada ya Simba kuachana na Jonas Mkude kiungo mwandamizi sasa wamemgeukia kiungo na nahodha wa Coastal Union Mtenje Albano ambaye pia alikuwa nahodha kikosini humo.
Tweet media one
2
2
114
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Mubiru Abdallah has crafted Mbeya City very well, they are among the best coached teams in Tanzania. He has essentially changed the team from how they played under Mathias Lule to how they do it now. Kuddos to Emmanuel Kimbe for the recruitment from players to coaches.
Tweet media one
2
6
111
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Look at the number of players on Coastal Union's zone. Its very sarcastic to see that they conceeded. Somebody tell the coaches the difference between defending and having many players on your goal. @prosperbartha @daudi10emmanuel @George_Ambangil @MichaelMwebe
Tweet media one
5
6
104
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Pablo Franco once said in the NBC PL setpieces can be a good cheat code to win games even if you don't play well, just be efficient using them. Ihefu were better on setpieces today and then dealt with other basics like rebounds, duels and so on which Yanga lagged behind.
1
12
88
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Musonda is great in combining and linking up with other individuals bao alilofunga linachangiwa kwa ukubwa na kazi aliyoianzisha. Bangala Achangamke kidogo, Aucho anapata kadi kwa sababu yeye hatimizi majukumu yake, anamuacha Aucho anacover alot of ground.
Tweet media one
4
2
89
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
3 months
UPDATES ZA BIGGY🚨🚨 Makocha wa Tanzania Murshid Kika na Josia Steven wamejiunga na klabu ya Al Merrikh ya Sudan ambayo ipo nchini Tanzania kwa maandalizi ya kuelekea msimu ujao wa kimashindano. Murshid Ally Kika ni kocha wa viungo na Josia Steven ni kocha wa magolikipa.
Tweet media one
2
4
84
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
UPDATES ZA BIGGY 🚨🚨 Kocha wa zamani wa klabu za Far Rabat, Simba na Wydad AC Sven Van De Broeck ametangazwa kuwa kocha mpya wa mabingwa wa Algeria🇩🇿 CR Belouizdad.
Tweet media one
3
1
79
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
4 months
Huyu Mendoza anaweza kuwa the best foreign central defender we have seen in the recent years. The guy is so complete. Calmness with the ball, strong on duels, good anticipation and pace. Things you need any good defender to replicate on the pitch.
Tweet media one
11
6
81
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Mchezo wa soka ni mchezo wa muda na nafasi (Time and Space) na siyo tuu kiwanjani, nadharia ya muda na nafasi inaapply hata nje ya uwanja. Nafikiri doubters wengi tumeanza kulielewa hili, Baleke, Musonda, Lomalisa, Mwamnyeto n.k wameishi hii nadharia na kilichobaki ni ithibati.
Tweet media one
0
2
78
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Kosa kama la jana limerudiwa leo. Bao la pili la Moses Phiri liliingiliwa na John Bocco ambae alikuwa katika offside position. Lilistahili kuwa offside, same to bao la Ruvu Shooting leo. Rolland Msonjo anapiga mpira Samson Kwakwala anauingilia akiwa katika offside position.
6
4
77
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
10 months
Top Top Top Coach🙌. 3 Continental Silverwares. 2 Super Cups and 1 Confederation Cup.
@SimbaSCTanzania
Simba Sports Club
10 months
Karibu Unyamani kocha wa makombe Abdelhak Benchikha. #WenyeNchi #NguvuMoja
Tweet media one
631
704
6K
1
3
72
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
INFACT Juma Mgunda, anaandika rekodi ya kipekee kuwa kocha wa kwanza mzawa kuipeleka Simba kwenye hatua ya makundi, baada ya kuvushwa kwenye hatua hiyo na wageni wengi kama James Siang'a, Sven Van De Broeck, Patrick Aussems nk.
1
10
68
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
5 months
Yes alifanya makosa, Yes ndio kosa lililopelekea Simba kuruhusu bao la kwanza, Yes hakuwa regular kwenye kikosi labda hakustahili kupewa mchezo, Naam hana uzoefu kama Kennedy Juma lakini Abdelhakh Benchikha alimuamini na kilichotokea si dhambi ya kumuandama maisha yake yote.
Tweet media one
6
4
68
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Roberto Oliveira ameingia kwenye moja kati ya timu kubwa na shindani.Namna alivyoshangilia jana inakuonyesha dhahiri pressure aliyokuwa nayo kudeliver matokeo haraka. It's all about BRN (Big Results Now) wakati huohuo Simba ina misingi na miiko yao ambayo fans wanataka itukuzwe.
Tweet media one
2
2
66
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
WAZIRI WA MAJI - JOYCE LOMALISA MUTAMBALA🙌🙌
Tweet media one
1
2
67
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
Klabu ya Simba imetoa taarifa rasmi kuwa Pape Sakho ameuzwa kwenda kwenye klabu ya Quevilly Rouen Metropole iliyopo Ligue 2 nchini Ufaransa. Well and good hili ni jambo kubwa kwa klabu na mchezaji lakini sisi tunakwama wapi, Sakho hakuwa mchezaji bora sana hapa kwetu lakini...
Tweet media one
7
2
67
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
@shaffihdauda1 You are technically right. Na hili kimsingi lilikuwa tatizo lao last season ila replacement yao imeenda kuover do. Japo, kuwa nao ni muhimu kuliko kuwakosa. Creative hub yao ipo congested na quality, wapo watakaoathirika kwa kukosa game time.
2
1
65
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
9 months
Ukame wa mabao ni ndoto mbaya kwa kila mshambuliaji. Ni nyakati ambazo wachezaji wengi bora wamewahi kuzipitia, saikolojia yako hupimwa kwa kiasi kikubwa kwani huu unaweza ukawa ndio mwanzo wa kuporomoka kwako kama hautatulia. Baleke anahitaji msaada kuliko lawama.
Tweet media one
2
4
64
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
@CAFCLCC Mohamed El Shenawy - Alhy Issama Mpeko - Tp Mazembe Ali Maloul - Ahly Salif Koulibaly - T Mazembe Ahmed Hegazi - Ahly Faousseny Koulibaly - Esperance Frank Kom - Esperance Achraf Bencharki - W Casablanca Ayoub El Kaabi- W Casablanca Walid Soliman - Ahly Roger Assale -Tp Mazembe
5
1
63
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
4 months
This is the only country where people can decide to put you on tatters just because they don't like you. It's fair to say that maybe the other boys are doing better at Young Africans but it doesn't mean Mwamnyeto is a shitty defender. He still has the quality to make it anywhere.
Tweet media one
15
4
64
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
Yanga wanahitaji kusajili mshambuliaji, Kennedy likes to play free, anamudu sana kucheza kama mshambuliaji wa pili ama atokee pembeni kwenye central role inamwia vigumu kwa sababu hastick langoni. Otherwise anahitajika pia kiungo mkabaji, a proper defensive. A sitter at the base.
Tweet media one
5
5
60
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
Robertinho ameletewa jamaa yake Hategekimana wayafanye yale bora waliyoyafanya pale Rwanda na Rayon, lakini wameamua pia Cadena aje aongeze nguvu kwenye benchi hili jipya la Lunyasi. Wote wawili wanakuja na faida ya kuyajua mazingira kinachobaki ni kukijua kituo kipya cha kazi.
Tweet media one
Tweet media two
0
1
60
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
11 months
I'm a believer of playing with a natural winger against teams that play with a low block. You must have a player who can stretch opponents and attack spaces. Jesus Moloko provides that for Young Africans, but good enough is second half decisions from Gamondi has....
Tweet media one
Tweet media two
1
4
58
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
5 months
Nimewatazama Mashujaa wakipambana na Yanga leo, nimetazama aina ya squad waliyokuwa nayo, nimeangalia mipango ya kocha Baresi na display ya ubora wa kimbinu kutoka kwa wachezaji wake, kisha nikautazama msimamo wa NBC PL kimoyomoyo nikajisemea viongozi wa Mashujaa ni.....
Tweet media one
6
2
56
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
The hype for jersey number 6 is what has created alot of and demeanoured comments on Mahlatse Makudubela "SKUDU". He was not the player most people were expecting, others feel like this was a backup option after missing their first shot. All in All, I think we need time...
Tweet media one
4
5
53
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Hatimaye Boniface Mkwasa amejiuzulu. Ni kocha mwenye profile kubwa, ana historia nzuri lakini mzigo wa Ruvu Shooting ulionekana kumuelemea. Ni kama alikuwa anatoa kwa watu wasioweza kutafsiri alichohitaji. Ukitazama quality iliyokuwepo Ruvu, kiwango chao hakikuwa cha kuridhisha.
Tweet media one
2
4
52
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
5 months
Against Azam yesterday these guys were like the three musketeers. They carried the game on their shoulders, took everything to their opponents, Mzamiru with the defensive work while Balua and Chasambi doing the offence, they gave Simba width and depth while building attacks.
Tweet media one
1
2
52
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
4 months
A busy day for Simba Sc... First Dani Cadena and now Board Members. Its all chaos, but one thing for real is how poorly the club was run. Good enough everything is happening at the right time. The off season quarells are good because they dont associate the bench or players.
Tweet media one
4
2
52
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
Baada ya tambo za bajeti kutoka kwa timu kubwa kwenye ligi, je unafikiri huu ni wakati sahihi wa kutambulisha suala la udhibiti wa matumizi kwa vilabu? Kinachozungumzwa kuingia na kutoka, Je ni fedha halisi ya mpira? Fair competition iko wapi if pesa zinatoka mifukoni mwa watu
Tweet media one
3
5
51
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
IMBOMBO JILIPO..!!! Wanakomakumwanya Mbeya City wamekwisha fanya comebacks 4 kabla ya mchezo wa leo dhidi ya Simba. Mubiru Abdallah ametemgeneza "Never Say Die Mentality " kwa wachezaji wake kitu kinachowapa motivation ya kutoka nyuma hata wakitanguliwa. Haijaisha mpaka iishe.
Tweet media one
2
5
48
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 month
Yes he has not impressed lakini natamani tumpe muda, he's never gone outside of the country so reallocation ain't anyone can adopt easily. By the time tunafika December tunaweza kuwa na mengi ya kusema juu yake. MVP wengine waliotoka Ivory Coast wananipa guts za kumsubiri.
Tweet media one
Tweet media two
2
3
53
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
I will choose Phiri over Saidoo kwenye mechi ya leo, work rate ndio main issue. Lakini maswali yangu ni match fitness yake inaswihi kuanza nae mbele ya Wydad, Tough decisions to make. Off the ball Phiri can offer more but also create chaos on the other half. Fitness is my worry.
Tweet media one
10
1
50
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
5 months
Edwin Balua and Karabaka have proven that it was Benchikha's issue giving them an opportunity to play in the squad. They still had the quality to feature in some games. Good enough the kids are proving what was rightfully theirs.
Tweet media one
2
5
47
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
4 months
Wanadeserve kujiuzulu either kwa hiari au kwa kulazimishwa. Kama ni hiari basi ni kutokana na wao kuvaa responsibility ya poor performance kwenye timu msimu huu. Ila kama ni kwa masharti ya mwekezaji ni sahihi pia kwani yeye ndio anawapa KPI's wajumbe wake na kama haoni....
Tweet media one
4
3
43
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Another Nabi Classic at the Benjamin Mkapa Stadium... Good game plan, good substitutions and yet good results yielded. I'm thinking of this squad getting a classical number 10 and other wingers to rebuff the team, this is unless they are not dismantled next season.
Tweet media one
0
0
45
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Yusuph Athumani amewaaga Wananchi kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, na inasemekana kituo kinachofuata ni Coastal Union kwa mkopo. Huenda akawa sehemu ya mchezo dhisi ya Namungo leo au kukaa jukwaani kwenye uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
Tweet media one
3
0
46
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Stephane Aziz Ki assists for the first time in the NBC PL. Wow what a way to open your assists account. @salimosaid @prosperbartha #LigiKuu
5
1
42
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
Yanga wamemtambulisha Gift Fred mlinzi wa kimataifa kutoka Uganda lakini nikitazama sajili hii naona ni kama inakuja kureplicate kilichopo ndai ya klabu, ukimtazama Fred he's more of a Libero/Sweeper, mlinzi kiongozi kwenye ukuta kitu ambacho kipo ndani ya klabu...
Tweet media one
2
1
42
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
BREAKING NEWS⚡ Former Kaizer Chiefs Coach Ernest Midendrop is said to have resigned from Singida Fountain Gate, a club that recently gave him a mouth watering contract. External influences are said to have driven Midendrop to the tough decision.
Tweet media one
2
3
42
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Aisee kumbe Idris Ilunga Mbombo bado yupo Azam😇. Good to see him score again, ila sina hakika kama nitamuona tena na uzi wa matajiri wa Chamazi. Inahitaji imani ya watu wa Agano la kale kuamini Mbombo atauwasha tena. @Khalidchukuchuk @prosperbartha @MichaelMwebe
1
3
43
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
I was on a Bajaji, coming back home Yesterday. The driver was throwing shots to the passenger bragging about Simba and condemning Yanga, indeed the passenger who was a Yanga fan was not easy to defeat, it was quite a good convo. Its all about our Tz teams thi weekend...
1
1
41
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
8 months
Tabora United Vs Simba SC will be a very exciting fixture at Ali Hassana Mwinyi Stadium. Tabora United known for their ability to do fast breaks (Counter attacks) and deal with transitions so well against a cautious Simba under Benchikha's watch. Najim, Milandu, Munganga....
Tweet media one
Tweet media two
3
5
42
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
Nikiwatazama Tabora United leo dhidi ya Tz Prison, nimeona wachezaji bora sana waliokuwa na viwango vizuri lakini akili na mipango ya Capunovic imelala kwenye miguu hii ya kijana huyu Ibrahim Najim. Mashambulizi mengi ya hatari yalianzia miguuni mwake, jambo jema huyu ni mzawa.
Tweet media one
3
3
41
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
MICHEZO NA MAGIC @MagicFmTZ 92.9 DSM & ZNZ || 101.7 MWANZA || 93.3 DODOMA || Doing What We Do Best📻
Tweet media one
2
1
38
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
5 months
Goli la Freddy Kouablan dhidi ya KVZ jana linamfanya kutimiza jumla yamabao 9 kwenye mashindano yote aliyoichezea Simba msimu huu. Je Freddy Kouablana anastahili kuwa sehemu ya wachezaji watakaounda safu ya ushambuliaji ya Simba msimu ujao?
Tweet media one
Tweet media two
5
2
41
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
Hivi ni wakati gani umewahi kuwa bora sana kwa Stephane Aziz Ki akiwa na uzi wa Young Africans? Tunazungumzia kuflop kwa perfomance tuliyowahi kumuona nayo akiwa na Asec au hii akiwa amejiunga na Yanga? Nina split thoughts kuhusu Ki lakini i think system ya Yanga inamlimit...
Tweet media one
8
1
40
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 months
Khalid Aucho might have not deserved to be in the best midfielders award because of the disparity between him and the other midfielders who have scored and assisted, but missing him in the best 11 is a disgrace to football, his replacement in the squad is much more of a disgrace
Tweet media one
8
5
39
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
3 months
UPDATES ZA BIGGY🇧🇧🚨🚨 Baada ya burudani ya mchezo wa hisani wa Wape Tabasamu kutoka kwa Teaam Job na Team Kibwana, Prince Dube na Clatous Chama ni miongoni mwa wachezaji watakaokuja kuwapa tabasamu Wananchi msimu ujao.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
2
38
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Ali Ahmada ana kauzembe flani hivi ambako wakati mwingine hakavumiliki. Ni kipa mzuri na ana profile ya kutisha ila namna anavyoconcede mabao inashangaza kiasi. Au nyie mnaonaje??
Tweet media one
4
0
33
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Call Up kwa Fei ilitosha sio kupewa mchezo kabisa, obviously asingeperform he's literally been out for 3 months. Adel Amrouche ameanza vizuri, amepalilia deni kuwa kubwa zaidi, naamini timu itatengemaa kadri siku zinavyozidi kwenda. Defense🙌🙌 Berlin Wall.
Tweet media one
2
1
37
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Kwa jinsi Saido alivyokuwa na mchango Geita, ilikuwa ngumu kumuona akifeli Simba Sc. Ameanza ka kumake statement. Ataenjoy final 3rd ya Simba kuliko Yanga kwa sababu ya creativity iliyopo kwenye eneo hilo. Huku mzigo wa kutafuta mabao hauko mabegani mwake pekee. DIVERSIFICATION
Tweet media one
1
0
36
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Tz Prison Vs Namungo Mohamed Issa "Banka". Wow👏 that pass broke 2 defensive lines and met a well timed run from Shiza Kichuya and he decides to choose the right angle. Fanastic display🙌. #LigiKuu @salimosaid @prosperbartha
2
1
37
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
5 months
Mashabiki hucheza mechi yao majukwaani, lakini walimu na wachezaji mechi yao huwa inashia uwanjani. Hapo hakuna wachambuzi, hakuna viongozi, hakuna chawa. Azam ni kama waliicheza zaidi mechi nje, walijiamini mno na kusahau kuwa Simba is just a sleeping giant.
Tweet media one
5
2
36
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
10 months
There are positions that needs character, a golie is one of them. Djigui Diarra is a joker in the pack, makes the difference everytime. The penalty save was crucial to keep Young Africans on the lane. He's hard like concrete.
Tweet media one
0
1
36
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Heri ya Kuzaliwa #LigiKuu DieHard @Khalidchukuchuk Be Blessed Bro. Hoping for More Success, More Doors Opened.
Tweet media one
3
0
35
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Die hards, who deserves the headliners... Sixtus Sabilo who benchmarks 7 Goals. Djigui Diarra Perfomance Vs Kagera Sugar. Clement Mzize debut goal for Young Africans. #LigiKuu @salimosaid @prosperbartha
3
3
35
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 month
If numbers matter then It should have been Valentino over any striker at Simba. He operates efficiently with a few minutes in the game other than that he's the most experienced player in the squad when it comes to knowing the NBC PL since this is his third seasons. 2 goals now.
Tweet media one
0
3
35
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Power of the brand, Mass of Flocking Fans and a Good Creativity all combined in one spot. @yangasc1935 are revolutionizing the jersey industry, making money but servicing the fans with the best stuff. Congratulations @Arafat__AH @Caamil8 @privaldinho @AliKamwe Everything Spot On
Tweet media one
0
2
34
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Ulaya imeletewa tatizo jipya.... Huyu ataleta matatizo makubwa akiwa na Bayern aisee, he a pure stylist when it comes to how he wants his team to play, ni kocha mwenye dynamics nyingi sana na kuweza kuimprove wachezaji. With Bayern on the CL quaters.... Anything can happen.
Tweet media one
2
1
34
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
Raha za Masoko Cup 2023 "Wazee wa Vibe" Soko la Wachinja Kuku Shekilango. Shangwe zikiendelea. Ushindi wao dhidi ya Midizini Market uliwapa uhakika wa kusonga hatua ya Robo Fainali. Leo wanacheza mechi ya mwisho Vs Keko Market, Kinesi 10 Jioni. #MasokoCup2023WaleteKonaZote
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
0
34
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
4 months
The way people as speaking about Ley Matampi is as if he's a low class golie and this is only because he plays for Coastal Union. What most people don't know is that this guy has won different silverwares in Africa than most players in the NBC PL with Congo DR and Mazembe.
Tweet media one
4
1
32
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
9 months
Okra anakuja kusolve tatizo la Yanga kwenye kiungo. Kivipi? Ukimsikiliza Mwl Gamondi, anasema Yanga ana viungo wengi wakabaji kuliko washambuliaji na ndio maana huwa anamdrop Pacome from ule utatu wa juu na kumchezesha na Aucho. Kwa maana hiyo Sure, Mudathir, Mauya, Jonas nk..
Tweet media one
2
2
33
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
8 months
Setpieces are a technique, but when it comes to moments on pitch, they are defined by how aware and active you are on the game. Stars conceded simply because Mudathir wasn't active and aware, when Patson was heading near post, he had to follow, he had to harass. As simple as that
Tweet media one
1
4
32
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 month
My take on Mukwala, he's as good as he is but Fadlu has to make sure he stays on the box. It's good being a player with the ability to do link up plays but a striker playing for a team as desperate as Simba has to score goals if not then the roasting shall move him off track.
Tweet media one
3
1
32
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
5 months
It looks like its going to be personal between the former pair at Young Africans. We are heading to the end of the season and stories about the MVP are slowly creeping into thoughts of Ligi Kuu Diehards, who is gonna bag it in? Stephen Ki Aziz or Feisal Salum.. #LigiKuu
Tweet media one
Tweet media two
2
0
30
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
7 months
After the Musa Haji, Lambert Sabiyanka show, Today Lucas Kikoti, Greyson Gwalala and Ajib are ruining the midfield. Ngoma and Sarr are too slow, then don't pass and follow, they pass and stay. Simba are struggling with Coastal's transitions, good enough Ayoub is sweeping today.
Tweet media one
0
1
29
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 months
Yanga feels like nothing is changed. They closed their lovely books for holidays and now they are opened up. Dube's inclusion upfront helps them open more pockets and add no's when the pressing machine Mzize is cooking, the Ki goal is a witness. Still solid, Kazier are reignited.
Tweet media one
1
1
30
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
4 months
If footballers and their managers/agents continue to bear the mindset they have at the moment we shall see few Tanzanian players prosper in the international scene. We experience fear of these sides taking risks. The focus is more on monetary concerns rather than career growth.
Tweet media one
1
1
27
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
8 months
Nimemtazama Eric Johora kwenye mechi 3 za NBC PL akiwa na Mashujaa, kisha nikarejea ile perfomance yake katika mechi ya ufunguzi wa ligi kati ya Geita Gold na Ihefu pale Highland Estates. Kuna maswali magumu najiuliza, hasa nikifuatilia namna Geita ilivyowaacha....
Tweet media one
1
0
30
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
UPDATES ZA BIGGY 🚨🚨 Nyota wa Young Africans Yusuph Athuman amesajiliwa kwa mkopo wa mwaka 1 na klabu ya Fc West Armenia ambayo inashiriki ligi kuu nchini humo. Nyota huyo ameambatana na Eric Mwijage wa Kagera Sugar pamoja na Abalkassim Suleiman wa Ruvu Shooting.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
2
29
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 months
Good to see our youths on the score sheet, one of my biggest worries for the coming season was to see a consistent approach of making sure the boys play (Balua, Chasambi and the newly joined Mashaka). Mgunda showed us a great potential and disparities between him and Benchikha.
Tweet media one
Tweet media two
1
4
28
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
6 months
He might be struggling to put the ball in the net but he's currently one of the best players on and off the ball. There's alot of pressure on him but how he sublimes it and try to give his best its evident we shall see his growth prosper. Fans should just invest in time.
Tweet media one
7
1
27
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
6 months
An outstanding perfomance from the Citizens. They leave the tournament high headed like a cock,they didn't get an easy fall. But all in all, in Africa you kill games at home. Young Africans couldn't do that, so they got punished away. This is where Mediocre strikers leave you
Tweet media one
3
2
28
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
11 months
Its now official like referee with the whistle. Roberto is chopped off as Simba's coach. Everyone saw this coming from the very beginning, Simba just missed the right reason to do so. He never delved into the clubs philosophy. His style was more different from what was needed
Tweet media one
3
2
29
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
Risky move iliyofanywa na uongozi wa Young Africans ilikuwa ni kuextend contracts zote za wachezaji wao potential na wale wenye umri mdogo , kitu ambacho si tamaduni yetu. Now hiyo move inasimama kama insurance ya endapo kikosi kitabomolewe basi hawatapa hasara financially.
Tweet media one
1
1
29
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
Azam look so serious in this transfer window. They have restored their best and sign other ones. Sillah comes to solve the creativity issue but also makes the midfield options broaden. He's got a different style compared to the rest so agile, fast & loves scoring.
Tweet media one
1
2
27
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
10 months
Oppa Clement ni miongoni mwa washambuliaji hatari sana kwenye kikosi cha Twiga Stars huyu atakuwa miongni ma wachezaji wa kutazamwa kwenye WAFCON. Tazama alaivyoreceive mpira, kisha kuipiga pasi kwa Amina na kushambulia nafasi, huku akifanya blind side movement.....
5
4
26
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
Watu hawafikirii impact ya kusema mwalimu angeondoka wakati ule ingekuwaje. Wiki iliyofuata kulikuwa na derby, kisha kuianza safari ya robo fainali, kungekuwa na taharuki kiasi gani. It needs a leader to understand the way other leaders lead. Kudos kwake Hersi, alicheza kete dume
@abissay_stephen
Abissay Stephen Jr
1 year
Lengo kuu la Rais wa Yanga SC, Eng.Hersi lilikuwa ni kutaka kuendelea kulinda utulivu uliopo ndani na nje ya klabu, ndiyo maana hakutoka nje na kutangaza kwamba Kocha Nabi ataachana na timu msimu ukiisha. Ni 'Utashi wa Kiuongozi' na wala sio kitu cha kuzodoa zodoa. Alikuwa sahihi
Tweet media one
47
32
608
4
1
28
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
It's nice to recall, It's nice to remember.
Tweet media one
0
0
28
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
5 months
Tukiwa tunaelekea kwenye dirisha kubwa la usajili moja kati ya wachezaji wazawa wanaotajwa zaidi ni mlinzi wa Coastal Union Lameck Elias Lawi. Kijana aliyepita Copco FC na KMC U20 kabla ya kuibukia Tanga Tanzania ambapo amekuzwa vyema. Ana kimo kizuri ana anticipation nzuri pia..
Tweet media one
Tweet media two
3
1
27
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
4 months
UPDATES ZA BIGGY🚨🚨 Klabu ya Young Africans inatajwa kuwa kwenye matazamio na kuangalia uwezekano wa kunasa saini ya mshambuliaji wa Amazulu FC Victor Letsoalo. Mchezaji huyo amefunga mabao 3 katika michezo 27 aliyocheza msimu huu.
Tweet media one
4
3
26
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Ingizo la Halaand limeleta effect, he has been the focal part of City's project hii season, sioni sana kama imeaffect defence inayosababisha wanaconceed though imewapunguzia kitu kwenye kushambulia interms of diversification. @prosperbartha @daudi10emmanuel whats your on this??
4
2
26
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
10 months
Sandaland kama producer wa jezi anastahili kutafuta mtu sahihi wa kumfanyia desining ya merchandise zote za klabu. Ukitazama kwa jicho la tatu utagundua biashara yake inajiendeshha katika muundo wa sub contracting so producer ndio yuko responsible na production akiinclude design.
Tweet media one
1
4
27
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
5 months
Simba kwenye kipindi cha kwanza hasa zile dakika 15 za mwanzo walionekana kuwa na mpango bora zaidi, walitengeneza nafasi kadhaa changamoto ikawa ni ile ile ya siku zote MATUMIZI ya nafasi hizo. Mambo yakawa mabaya zaidi baada ya forced substitution ya Inonga Baka.
Tweet media one
0
1
26
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
2 years
Azam Vs Yanga on Christmas Day was a perfectly planned fixture, i can see alot of movement inside the Mkapa Stadium. Fans are in to watch the most waited game, while things outside the pitch have made the game joyful to wait. Debates in most groups is about Feisals Contract Saga.
1
4
26
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
Beautiful Scenes at Kinesi Stadium, this is not Mohamed V Stadium the prestige of the Moroccan's or Benjamin Mkapa Tanzania's slaughter house. A depict of fans at Masoko Cup 2023 when Shekilango Market was storming Kinondoni Market 4-2. #MasokoCup2023WaleteKonaZote
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
4
26
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
1 year
UPDATES ZA BIGGY🚨🚨 JKT wanahusishwa na usajili wa nyota aliyemalizana na klabu ya Azam Fc Ismail Aziz Kader. Kader aliwahi kuitumikia JKT msimu wa 15/16 hivyo ni kama anarejea nyumbani. Inatajwa vilabu vingi vilihitaji huduma yake lakini JKT wameweka ofa nzuri zaidi.
Tweet media one
0
2
26
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
3 months
UPDATES ZA BIGGY🚨🚨 Klabu ya Namungo FC imefanikisha usajili wa mlinzi wa zamani wa AS Vita na Yanga SC Djuma Shaaban "Soldat ya Bemba" ambaye atahudumu kwenye upande wa kulia wa kikosi hicho kuelekea msimu ujao. Djuma Shaaban hakuwa na klabu tangu kuachana na Yanga SC.
Tweet media one
1
1
25
@KingSaluu
♚ King Salum Pelembo
10 months
UPDATES ZA BIGGY🚨🚨 Licha ya kuvutia vilabu kadhaa vya vikiwemo Sekhukhune Utd, Chippa Utd, na AmaZulu FC, pamoja na wababe wa Tunisia Esperance,nahodha msaidizi wa Jwaneng Galaxy amechagua njia tofauti. Huku mkataba wake na Jwaneng Galaxy ukimalizika mwishoni mwa Desemba...
Tweet media one
1
2
25