Picha hii imenifariji sana kuona Wachezaji wawili Wakitanzania Mbwana Samatta na Novatus Dismas wakipambana kwenye mechi ya Ligi kuu Belgium ( Pro League) ukubali ukatae ni hatua fulani kwenye soka letu
Aziz Ufunguo hana footwork nzuri anaficha udhaifu huo kwa first touch nzuri jumlisha na maamuzi sahihi kwa wakati sahihi bila kusahau target ( shabaha) unamfanya kuwa hatari mno anapoface angle C
Huku Mane huku Alhaj Diouf, wote wana tuzo ya mchezaji bora wa Africa mara mbili na wote wamecheza world Cup,wote wamepita Liverpool.
Unakwenda na nani?
Hichi ni kituko cha msimu kwenye ligi ya NBC ,kocha Melis Medo kumpora kadi ya njano Mwamuzi kisha yeye kumuonesha hiyo kadi Line 1,then Center referee akamuonesha nyekundu nikajikuta nakumbuka kisa cha Paul Gazza
Huwezi kuamini kwamba hii ni timu ya Majimaji ya Songea ikicheza mchezo wa ligi kuu Tanzania bara na Jersey ya timu ya Taifa ya Croatia baada ya mdhanimi kuchelewesha vifaa miye ndani ya kikosi hapo
Kiasili Zambia ni moja ya nchi yenye vipaji vikubwa sana vya soka tangu zani angalia top talent kama Godfrey Chitalu Kalusha Bwalya nk nadhani peformance Chama Musonda na Phiri inadhihirisha
Mawinga hawa wawili Phillipe Kinzumbi (TP Mazembe ) na Zakaria Habti wa Raja wote wanatumia miguu ya kushoto wanacheza winga ya kulia katika timu zao hakika wametoa burudani na somo kubwa sana weekend hii
Unaweza kusema damu nzito kuliko maji utakuwa sahihi, hawa wote ni Waargentina ila Mimi niseme hakuna mbabe asiye na mbabe mwezie Lisandro Martinez nunda sana huyu jamaa