Tigana lukinja Profile Banner
Tigana lukinja Profile
Tigana lukinja

@Tiganalukinja

Followers
26,556
Following
130
Media
1,393
Statuses
2,407

Sport journalist and Pundit, Football Coach

Joined November 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Picha hii imenifariji sana kuona Wachezaji wawili Wakitanzania Mbwana Samatta na Novatus Dismas wakipambana kwenye mechi ya Ligi kuu Belgium ( Pro League) ukubali ukatae ni hatua fulani kwenye soka letu
Tweet media one
37
113
3K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Timu gani hii?
Tweet media one
222
66
3K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Ukiona hii Jersey mchezaji gani anakujia akilini?
Tweet media one
917
84
3K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Wenye United yenu mtuambie hapa kibao kilikuwa kinamuita mchezaji gani aliyekuwa anatumia Jersey no hiyo
Tweet media one
221
62
2K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Hii itakuwa timu ya Taifa gani ambao wachezaji wake wanatoka kwenye hivi vilabu
Tweet media one
483
69
2K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Pamoja na maswahibu anayopitia ndani ya Simba kwa sasa kwangu bado huyu ndio mlinzi bora wa kati NBC Premier league.
Tweet media one
70
34
2K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Kwa mujibu wa Score 90 hicho ndicho kikosi bora cha muda wote kwenye soka unakubaliana?
Tweet media one
251
65
2K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Tunaposema akina' Mwafulani ' walishindwa kucheza Morocco muwe mnatuelewa , dogo kama Ounahi anakimbia km 14.5 kwenye game hii tuna jambo la kujifunza
Tweet media one
79
40
2K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Aziz Ufunguo hana footwork nzuri anaficha udhaifu huo kwa first touch nzuri jumlisha na maamuzi sahihi kwa wakati sahihi bila kusahau target ( shabaha) unamfanya kuwa hatari mno anapoface angle C
Tweet media one
182
40
2K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
"Waheshimu Baba na Mama upate miaka mingi na heri Duniani "kisa cha Dele Alli inatukumbusha hiyo
Tweet media one
35
30
2K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Yupi kwako ndiye mchezaji bora kutoka Congo kwenye msimu huu ulio tamatika?
Tweet media one
201
40
2K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Hawavumi lakini wamo,Ibenge bonge la Kocha ila haimbwi kabisa vinywani mwa watu!
Tweet media one
32
25
2K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Fanya kutupia kiungo wako anayestahili kuichezesha hii timu
Tweet media one
973
70
2K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Nitakuwa nimekosa nikisema huyu ndiye mchezaji mwenye mafanikio zaidi kwenye historia ya Soka la Tanzania?
Tweet media one
53
38
2K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Huku Mane huku Alhaj Diouf, wote wana tuzo ya mchezaji bora wa Africa mara mbili na wote wamecheza world Cup,wote wamepita Liverpool. Unakwenda na nani?
Tweet media one
131
44
2K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Mshambuliaji kimataifa raia wa Zambia Obrey Chirwa anayekipiga katika Club ya Ihefu akiwa kwenye mashindano ya Masoko Cup
Tweet media one
9
11
2K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
'Jiko' gani kati ya haya mawili kesho litaivisha chakula mapema?
Tweet media one
27
32
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Ukiona hizi soksi na aina hii ya viatu ni mchezaji gani wa kwanza anakujia akili?
Tweet media one
242
35
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Nimeulizwa swali hili binafsi nimekosa majibu ya moja kwa moja nani ni maarufu zaidi kati ya wawili hawa
Tweet media one
117
21
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Kuna maswali mengi sana juu ya ujio wa Gael Bigirimana kwenye kikosi cha Yanga, nani anaenda kumpisha kwenye nafasi ya kiungo?
Tweet media one
55
31
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Hichi ni kituko cha msimu kwenye ligi ya NBC ,kocha Melis Medo kumpora kadi ya njano Mwamuzi kisha yeye kumuonesha hiyo kadi Line 1,then Center referee akamuonesha nyekundu nikajikuta nakumbuka kisa cha Paul Gazza
Tweet media one
Tweet media two
34
40
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Model football inataka kipa awe na uwezo mkubwa wa kuanzisha mashambulizi kwa kutumia miguu Moja ya sifa ya Djigui Diarra ni kucheza kwa miguu.
Tweet media one
33
49
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Mahaba ni maradhi ,Kocha wa Polisi ya Kenya Fransis Baraza akiwa anatizama game huku katupia Jersey ya Wananchi hii ikoje kwenye Professionalism?
Tweet media one
61
19
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Moja ya sajili bora kabisa ya dirisha ni ya huyu Nickson Kibabage kutoka Mtibwa kwenda Singida Big stars
Tweet media one
12
24
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Kwa waliowahi kuwaona hawa jamaa watupe jibu nani alikuwa fundi zaidi
Tweet media one
212
33
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Nje wa Pele na Maradona nani kaitendea haki zaidi Jersey no 10 kati ya hawa
Tweet media one
217
40
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Man of the match kwa jana alistahili?
Tweet media one
30
15
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Al Nassr kweli hawana masihara hata kidogo naambiwa orodha ni ndefu ya mafundi wanaowataka
Tweet media one
19
21
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Hapo vipi kwenye kosi bora la mashindano kuna maoni yeyote?
Tweet media one
131
23
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Hivi kwa NBC Premier league timu gani yenye wachezaji warefu zaidi miongoni mwa timu 16
Tweet media one
46
28
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Kitu pekee kilichonivutia katika game ya Simba na Vipers ni uwepo wa huyu Mwamuzi Bamlak Tassema toka Ethiopia huwa namuelewa sana
Tweet media one
16
13
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Unakichukuliaje kitendo cha shabiki kuingia uwanjani kumkumbatia au kumlaki mchezaji anayekubali ?
Tweet media one
8
11
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Imeandikwa Kocha bora hujifunza kila siku hongera Robertinho Oliviera kwa kupiga msasa
Tweet media one
Tweet media two
18
24
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Hiki ni kikosi bora cha muda wote Champion league unakubaliana nacho?
Tweet media one
173
18
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Sajili gani ya kigeni kunako NBC Premier league hadi sasa haijalipa?
Tweet media one
31
12
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
11 months
Achana na ushindi huo mkubwa itoshe kusema Wananchi wametoa tafsiri halisi ya kikosi kipana
Tweet media one
13
37
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Hadi sasa ndiyo kikosi bora cha msimu ,una maoni yeyote?
Tweet media one
135
18
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Sakho Sakho Sakho una deni kubwa kwa huyu jamaa, nakuambia amejinasibu sana juu yako
Tweet media one
17
20
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Hapa nilipo hakuna anayeizungumza robo fainali ya kombe la shirikisho CAF, kila mtu anazungumzia tarehe 16 /04 /2022 !
Tweet media one
9
9
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Huyu dogo Saeed Mohamed wa U-20 @yangasc1935 ana u Phillipe Countinho kwa 90%
Tweet media one
24
27
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Kumekucha Saudi Arabia wapinzani wa timu iliyomsajili CR7 Al Hilal wanamtaka mwanaume huyu kwa kitita kikubwa zaidi kwa mwaka
Tweet media one
20
29
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Nimeshuhudia ni kweli hizi ni sahihi za Malegend, hii Jezi ni kali hapa mbunifu nampa 100%🔥
Tweet media one
28
35
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Huu utata tuumalize mapema kabla mafundi hawa hawajastaafu kati ya Luka Modric na Ivan Rakitic nani bora zaidi
Tweet media one
172
22
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Kama fainali ya WC inahusisha timu toka Bara la Ulaya ( UEFA) na America ya Kusini (CONMEBOL) kulikuwa na sababu gani Mwamuzi kutoka Poland?
Tweet media one
33
10
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Umetuacha kwenye "Ubao mweusi chaki nyeusi" R.IP Fundi wa mpira😭😭
Tweet media one
11
24
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Kisa cha mwanampotevu ,alivyorudi kwa Baba yake akakuta na udhamini mpya kifuani !
Tweet media one
16
15
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Kama uliwaona hawa viungo Michael Ballack na Steve Gerard nani alikuwa bora zaidi kwako
Tweet media one
115
27
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Baada ya kuzishuhudia game zote 8 za round ya kwanza ya ligi kuu ya NBC kwako wewe ipi ilikuwa bonge la mechi?
Tweet media one
60
16
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Ushawahi kujiuliza ikiwa @yangasc1935 watamuweke sokoni Mayele mteja wa kwanza atakuwa nani?
Tweet media one
58
15
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Hii Sub ya Mkude ya dk 35 ndiyo kusema game imemshinda?
Tweet media one
49
11
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Moja ya Kocha mkubwa sana kwa sasa sijui kama umemtambua ana kasifa kake pekeee hivi
Tweet media one
120
15
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Hakuna marefu yasiyo na ncha,hatimaye Beki wa Mpira toka pale Man City Benjamin Mendy hajakutwa na hatia katika shitaka lake la kubaka!
Tweet media one
20
22
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Huwezi kuamini kwamba hii ni timu ya Majimaji ya Songea ikicheza mchezo wa ligi kuu Tanzania bara na Jersey ya timu ya Taifa ya Croatia baada ya mdhanimi kuchelewesha vifaa miye ndani ya kikosi hapo
Tweet media one
35
33
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Nani kabadilika zaidi kati ya hawa jamaa alivyokuwa awali na alivyo sasa kiasi kwamba unaweza ukapishana naye usimtambue!
Tweet media one
51
18
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Ukiliona dimba hili la Estadio De Mkapa nini kinakuja akilini?
Tweet media one
71
17
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
"Akishinda vita vya namba dhidi ya wenzake atashinda vita vya mashabiki"
Tweet media one
5
9
1K
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Killer 'Mbappe hakuibuka from no where aliandaliwa kufikia hapa alipo ,tusikwepe gharama kwenye uwekezaji wa vijana, soka haina njia ya mkato
Tweet media one
23
34
988
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Hapa unajifunza nini?
105
57
959
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Umemtambua mwenye hicho kigimbi?
Tweet media one
136
12
963
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Manzoki kuwepo nchini ni issue?
Tweet media one
46
15
970
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
"Kweli Mkate mkubwa kiboko yake chai "jamaa kamaliza issue ya Chama
Tweet media one
11
16
971
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Tuweke akili vizuri hili ni kosi la Taifa gani kwenye kombe la Dunia
Tweet media one
131
22
939
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Waweza kumuita 'Mzee wa miba' kwa ile shughuli yake pale dimbani anaongoza kwa kadi za njano NBC akiwa nazo 9 na ndiyo kwanza game ya 22
Tweet media one
5
18
950
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Kwenye kikosi bora cha Real Madrid nani aingie nani atoke?
Tweet media one
155
20
917
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Kama ataperform kwa kiwango hichi kwenye CAF Confederation basi namuona mbali sana
Tweet media one
9
14
953
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Kiasili Zambia ni moja ya nchi yenye vipaji vikubwa sana vya soka tangu zani angalia top talent kama Godfrey Chitalu Kalusha Bwalya nk nadhani peformance Chama Musonda na Phiri inadhihirisha
Tweet media one
8
19
944
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Naambiwa huu ndiyo usajili bora wa United kwenye karne 21 unakubaliana?
Tweet media one
43
21
934
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Nilichogundua kati ya CR7 na United kuna moja hamtaki mwenzake kwa sasa
Tweet media one
25
8
922
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Kwako wewe nani alikuwa bora zaidi kati ya mawinga hawa wawili?
Tweet media one
104
25
909
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Hili litakuwa Taifa gani ,katika kombe la Dunia bado wamo au wamerudi nyumbani?
Tweet media one
87
23
929
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Imeisha hiyo "siku zote 'shetani' mambo yake maovu huyafanya usiku mkubwa'
Tweet media one
9
13
933
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
"Ukianza kwa kuzomewa jiandae pia kwa kushangiliwa na kinyume chake ndivyo hivyo hivyo" nafurahi kuona Robertinho anapewa heshima stahili kwa sasa
Tweet media one
12
24
939
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Huyu atakuwa mchezaji gani aliyefanya transfer hizi
Tweet media one
95
14
909
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Leo nimegundua aliyetunga sheria 17 za soka alitudhulumu sana kwenye ile no 7 muda wa mchezo ( game duration) hii mechi ilistahili kuendelea tu
Tweet media one
3
8
909
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Moja ya ubora wa Professor Nabi ni uwezo mkubwa wa kusoma mchezo na kufanya substitute zenye tija hongera zake!
Tweet media one
10
16
925
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Ninachofahamu Mimi Klopp anajua sana kusaini Wachezaji wa maana
Tweet media one
23
26
876
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Hakika matokeo yote ya mchezo wa soka hupangwa na Mwenyezi Mungu!
Tweet media one
24
20
893
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
'Silaha ya maangamizi 'ya Geita Gold George Mpole ashindwa kusafiri na timu baada ya kuugua muda mchache kabla ya safari
Tweet media one
19
18
868
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Kikosi bora cha 16 bora unakubaliana nacho, nani atoke nani aingie?
Tweet media one
115
18
876
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Sawadogo anaweza asiwe fundi sana lakini confidence yake inamfanya aonekane kwenye kundi la mafundi
Tweet media one
24
10
870
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
FT Mtibwa 3-4 Azam nachelea kusema kipa pekee wa kigeni anayeitendea haki nafasi hiyo kwenye NBC premier league ni Diarra
Tweet media one
14
12
869
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
9 months
Stars kwa sasa ugenini kama nyumbani tu
Tweet media one
7
12
882
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Nachoweza kusema kuna utofauti mkubwa wa kimbinu na ufundi ikiwemo kasi ya mchezo kati jana na Leo hapa Estadio De Mkapa
Tweet media one
28
12
866
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Ukubali ukatae Soka letu linapiga hatua kwa sasa , kufuzu hatua ya robo final kabla ya mchezo 1 kwenye kundi kuna ujumbe fulani
Tweet media one
13
9
871
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Mawinga hawa wawili Phillipe Kinzumbi (TP Mazembe ) na Zakaria Habti wa Raja wote wanatumia miguu ya kushoto wanacheza winga ya kulia katika timu zao hakika wametoa burudani na somo kubwa sana weekend hii
Tweet media one
17
14
868
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Luis Miquissone na Augustine Okrah wanafanana kwa asilimia ngapi na nini kinawatofautisha?
Tweet media one
87
12
843
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Hii kitaalam tunaitaje ?
Tweet media one
98
14
837
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Muonekano mpya wa fundi @ClatousCC Ametisha au amezingua?
Tweet media one
Tweet media two
30
24
827
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
CR7 effect hatimaye Vincent Aboubakar amejiunga na Besiktas akiwa free agent
Tweet media one
7
8
840
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Stephane Aziz KI ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa ligi ya Ivory Coast 💚💛
Tweet media one
12
30
830
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Maisha ni tofauti kwa watu tofauti!
Tweet media one
4
9
828
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Kwa ufupi tu tunatoka au hatutoki?
Tweet media one
131
19
801
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Unakubalia kuwa ndiyo kikosi bora cha wiki ya kwanza ya World Cup nani atoke nani aingie
Tweet media one
149
13
797
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Kama thamani ya deal ni vile tunavyoambiwa hapa hakuna lawama zaidi ya pongezi
Tweet media one
5
8
806
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Hivi ni mchezaji gani wa 'Wananchi' aliyeacha gumzo kubwa zaidi Tunisia?
Tweet media one
67
12
803
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
9 months
Hapa ndipo ujue kwanini mashabiki wa @simbasctanzania wanamuhitaji sana Moses Phiri kwenye pitch kuliko kukaa pale kwenye' mbao ndefu'
Tweet media one
11
18
806
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Kikosi bora cha hatua ya makundi ya Wc unakubaliana nacho?
Tweet media one
108
9
784
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Unaweza kusema damu nzito kuliko maji utakuwa sahihi, hawa wote ni Waargentina ila Mimi niseme hakuna mbabe asiye na mbabe mwezie Lisandro Martinez nunda sana huyu jamaa
Tweet media one
18
20
792
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
1 year
Wachezaji wengi wanahukumiwa juu ya viwango vyao bila kupewa nafasi dimbani
Tweet media one
6
9
783
@Tiganalukinja
Tigana lukinja
2 years
Kwa mujibu wa tafiti yangu ya awali jersey hii nyeusi (third kit )ndiyo imewabamba wengi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
26
27
767