KhalidChukuchuku93🇹🇿 Profile Banner
KhalidChukuchuku93🇹🇿 Profile
KhalidChukuchuku93🇹🇿

@Khalidchukuchuk

Followers
312,040
Following
3,203
Media
6,793
Statuses
18,607

Football Correspondent , Son of Ligi Kuu ⚽ Fluidity Mildfilder (Kiungo Bamia) , Ambassador @SifexAirCargo @kmcfc_official MCO

Dar es Salaam, Tanzania
Joined October 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Njia za kuongeza Thamani yako ✍🏾usiwe mtu wa kupatikana kirahisi ✍🏾jaribu kuwa busy hata kama hauko busy ✍🏾Usijibu vitu kwa haraka , Tafakari ✍🏾Usijali kuhusu maisha ya wengine ✍🏾Jifunze Kusema hapana sio kila kitu ndio ✍🏾Tafuta Furaha yako mwenyewe Good Morning 🙏🏾
30
133
935
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Mtaalamu yuko njiani kurejea Unyamani …
Tweet media one
138
130
5K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Huyu mwamba ni Super Super commentator 🔥🔥🔥🔥 Anaitwa Nazareth Upete wanaoangalia mpira TBC ni mashahidi 🙌🏾🙌🏾
Tweet media one
373
131
5K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Hakuna kocha ndani ya Tanzania anakuwa na Aziz K ndani ya Squad na akathubutu kumuweka nje , ni Nabi tu ndio anaweza na anajua kwanini 😁
Tweet media one
131
101
5K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Nilikuwa naamini 🇺🇬 Emanuel Okwi ndio mchezaji bora zaidi wa Kigeni kuwahi kucheza Simba sc , ila nimebadilisha mtazamo wangu , Mpaka kipindi kijacho . Ladies and Gentlemen Continue to Enjoy 🇿🇲Clatous Chama Show 😁😁
Tweet media one
Tweet media two
65
156
5K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Mbona Jina Lake linaanza kupotea Au Mimi Sifatilii Mpira wa Tz 😂😂
Tweet media one
525
118
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Taratibu Falsafa za Mzee 🇧🇷 Olivier Robetinho zimeanza kuingia , Kibu amekuwa mchezaji wa kutegemewa , Chama amerejea kwenye Ubora wake , Kanoute ameongezeka kiwango chake, Zimbwe na Shomari hawahitaji maelezo . Let’s Trust the Process 🎯
Tweet media one
118
112
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Kwahiyo mlipiga simu asicheze mechezaji wenu 😂😂😂?
Tweet media one
125
98
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Mzigo uko tayari Jezi Jezi 😂
Tweet media one
137
83
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Leo Klabu ya Simba sc imetuma Pasi ya Usafiri (Pasport) ya Ceasar Manzoki ambayo ilikuwa Tanzania kwajili ya kushungulikia baadhi ya Taratibu , Baada ya kupata passport hiyo Ceasar Manzoki ataanza Taratibu ya Kusafiri Kuja Tanzania . Jioni Njema .
Tweet media one
156
144
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Baada ya mechi Samson Mbangula amekwenda kwenye Dressing Room ya Simba sc kwenda kumuomba msamaha Henock Enonga . That is Football 🙏🏾
92
105
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Nimesikiliza Maneno ya Mama Feitoto aibu naona mimi 😁😁 4M Monthly Salaries + Bonus. ila kijana anakula ugali na Chumvi .. 🙌🏾
Tweet media one
199
74
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
The Legend of 🦁🦁
Tweet media one
42
75
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Nimefika Kwenye Duka la Vunja bei Sinza , Demand ya Jezi ni kubwa kuliko mzigo ulioenda Sokoni , mpaka sasa jezi ambazo Zilikuwa Vunja bei zimeisha , na bado watu ni wengi , Mpaka muda huu Jezi ya Simba sc Inauzwa mpaka laki 1 na watu Wananunua. 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Tweet media one
161
102
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
🚨 Kama wachezaji wawili watafungana kwenye ufungaji wa mabao , Tuzo ya mfungaji bora atapewa mchezaji aliyefunga mabao machache ya penati na kama watalingana basi Aliyetoa Assists nyingi ndio atakuwa Top Scorer. Kwa Sheria hii Mayele Ndio Mfungaji bora wa NBC PL.
Tweet media one
339
182
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Nyie Nyie. 😂😂
Tweet media one
87
64
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
11 months
Mwenye namba ya waziri wa maliasili na Utalii amwambie Dogo apewe kabisa huo ubalozi wa Utalii kabla ajaenda Madrid 2025/26 😂😂
Tweet media one
18
78
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Aziz K anapiga Kona yeye , Faulo anapiga yeye , Anakaba, anarusha , Anataka kufanya kila kitu Mara nyingi zaidi ya mwenzake uwanjani , hiyo ndio sifa ya mchezaji “exceptional” Huyu Jamaa anajua mpira 🙌🏽🙌🏽
Tweet media one
136
111
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Watu wanaichukulia poah Yanga sc, kila mtu Ana Amini Yanga sc atatolewa kirahisi na 🇸🇩Al Hilal , watu wanasahau standard ambayo Yanga sc wameiset kwa sasa , Yanga sc wanaweza kuifunga klabu yoyote kwenye huu ukanda wa CECAFA , As Vita , Mazembe , Al Hilal , Simba sc nk .
Tweet media one
Tweet media two
670
176
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Kuna Rafiki angu kutokea Ghana amenipigia simu ananambia 🇬🇭Okrah yuko na kiwango cha chini kuliko uwezo anaoujua , anasema kama atarejea kwenye ubora wake tutaenjoy sana .
Tweet media one
99
79
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Manzoki asipocheza Simba sc naomba niulizwe mimi 😂😂😂😂
Tweet media one
154
81
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Bongo ni nchi Tamu sana , Pablo yuko zake Dar es salaam anakula maisha 🙌🏾🙌🏾
Tweet media one
61
65
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Kwangu Peter sio mchezaji Pekee wa Simba sc , Peter Banda ni mchezaji wangu bora kwenye NBC . Note : Bora kwangu
Tweet media one
84
60
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
🇲🇼Peter Banda atakutana na Klabu yake ya Zamani Nyasa Big Bullets.
Tweet media one
16
54
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Zalan FC ya Sudan kusini kuutumia uwanja wa Mkapa kama wenyeji. Kifupi Yanga sc watacheza michezo yote ya awali ya Klabu bingwa kwa Mkapa.
Tweet media one
118
71
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Sawa Kaka Asante kwa kutupa Mechi nzuri Philippe Kizumbi 🙌🏾🙌🏾
Tweet media one
114
60
4K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Kocha wa Klabu ya Maki Zoran amevutiwa na uwezo wa 🇹🇿Erasto Nyoni na amemuweka kwenye mipango ya Klabu msimu wa 2022/23 .
Tweet media one
124
60
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Kiungo 🔥🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Tweet media one
79
106
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Finally 🙌🏽
Tweet media one
97
52
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Laleli kwa amani sasa 😂😂
Tweet media one
102
98
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Klabu ya Simba sc imekubali kutoa kiasi cha USD 100,000 = 200+k kukamilisha Uhamisho wa Ceasar Manzoki kutokea Vipers , iko kiasi kimekubaliwa na Klabu hiyo ya Uganda . 💥 Boom
Tweet media one
142
121
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Mzee wa Ugali na Sukari 🙌🏾🙌🏾
Tweet media one
83
64
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Hawa Al Hilal wakipangiwa Simba sc kwenye Group Stage Simba sc ana Alama zake 4 , hawa ni weupe sana .
Tweet media one
131
78
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Hii ni Jezi ya Timu ya Taifa ya Cameroon 🇨🇲 , Iko ni kitambaa cha Unahodha na huyu alievaa Kitambaa cha Unahodha na Beki mpya wa Simba sc anaitwa Che Molone 🙌🏾
Tweet media one
83
88
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Daaa🥲 Not Fair
Tweet media one
214
79
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
🇿🇲Moses Phiri In last 8 games for Simba sc . 8 Games 8 Goals The Real Meaning of Goalgater .
Tweet media one
23
82
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Nimedokezwa Al Hilal wanaweza kuwa wapinzani wa Simba sc kwenye Simba Day .
Tweet media one
66
47
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
23 + 22+13 + 8 = 66 goals in last 4 for Season . Thanks Meddie Kagere Simba sc Legendary 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Tweet media one
31
45
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Karibu NBC Premier League 🇨🇩Kazadi Kasengu
Tweet media one
67
40
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Mchezaji bora wa Mwaka kwenye Tuzo la Baraza la Michezo Tanzania (BMT )ni 🇹🇿Aishi Manula 🏅
Tweet media one
44
58
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Shikamoo Mwalim Maki Zoran 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 hii ni gift Kubwa sana kwa Soka La Tanzania 🔥🔥🔥
Tweet media one
59
58
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Tanzania Best player of all time .
Tweet media one
130
72
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Mkataba baina ya Ceasar Manzoki na Dalian ya Nchini China utaisha mwezi January , Manzoki amechagua kwenda China ili asiwe sehemu ya kikosi cha Vipers ambao wangeweza kumsahili kwenye mashindano ya CAF . Mwezi January Ceasar ataungana na Simba sc na kucheza mashindano ya CAF.
Tweet media one
188
101
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Picha ya kutishaa 🦁
Tweet media one
29
90
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Nilisema kuhusu 🇨🇫Ceasar Manzoki I was aware on his Saga , nilijua kila kitu , Najua anaipenda Simba , Najua thaman ya mkataba , Najua Lini anakuja Dar , ila watu walinitukana kuhusu hii Saga na ukweli Mimi niliandika kwa kile nilichokuwa Najua . Time will tell Good Morning
Tweet media one
175
86
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Hawa wazee watatupa ligi Nzuri sana msimu ujao .
Tweet media one
Tweet media two
39
98
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Tusisahau hii Visit Tanzania kabla ya kuwasema vibaya Maadimin wa CAF 😂😂 , hii ni Free advertisements ya Visit Tanzania , ambayo Rwanda wanawalipa Arsenal sisi tunaipata bure kabisa .
Tweet media one
Tweet media two
57
85
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Najua Tabia nyingi za Wachezaji wa Afrika , kilo kitendo cha 🇹🇿Aishi Manula kwenda kwenye hafla ya ugawaji wa Tunzo licha ya kujua awezi kushinda ni zaidi ya kupevuka , alichokifanya ni kitendo cha ukubwa . Hii ni high Level of Maturity 🙌🏽
Tweet media one
69
64
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Fundi Ashapata Timu Djibout Arta Solar , Sasa atacheza na Song na Kalou timu moja .
Tweet media one
16
47
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Man of The Match , Master Class Coach . Nabi ameitengeneza Yanga sc kuwa Timu na wala sio Timu ya Kumtegemea Mtu mmoja , Leo anacheza Mudathir , Kesho Sure Boy , Job anakaa Bench na timu inaflow in Good Rythim . Huyu ndio Nabi anaweza kumuweka Aziz K Benchi . Super Coach🤝
Tweet media one
119
119
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Saido Ntabanzokiza 🇧🇮
Tweet media one
41
31
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Moja ya Kiumbe hatari kuwahi kucheza ligi Kuu 🙌🏾🙌🏾
Tweet media one
65
65
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Saido Ntabanzokiza 🇧🇮 the real meaning of the word Football Play maker ..
Tweet media one
29
53
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
🚨Transfer Saga
Tweet media one
74
58
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Historia Mpya inawekwa ✍🏿 Klabu kubwa Mbili kutoka 🇹🇿Tanzania Zimefuzu hatua ya Robo kwa Pamoja katika Mashindano ya CAF Interclub Competitions. Boom 💥
24
70
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Huyu Mwamba wa mbele ni Legend 😂😂, Tangu amepewa hiko Kibegi siku ya Pili ajakiachia na wala Jezi kuvuja 😂
Tweet media one
83
106
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
🚨Deal Done ☑️ Klabu ya Simba sc imekamlisha uhamisho wa Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Rayon Sports 🇨🇲 Willy Esomba Onana kwa Mkataba wa miaka 2 . I’m here to confirm ✍🏾
Tweet media one
134
99
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Manzoki awezi kucheza pembeni ya Kivuli cha Mayele , wala hayuko tayari kukaa Benchi , anajua Situation ya Yanga na Mayele .
Tweet media one
165
52
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Our Own Didier Drogba 🙌🏾 He is Just 19 years . The Future is Bright 📦
Tweet media one
124
40
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Full Time 🇫🇷Ufaransa 1 Tanzania🇹🇿 2 Ushindi wa Mama @SuluhuSamia
Tweet media one
260
76
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Sasa Je 😂😂😂
Tweet media one
54
32
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Nimependa Kitu hapa kwa Mkapa Wakati Kibu Denis anasimama kwenda Kufanya Warming Up mashabiki wa Simba wamesimama na kumpigia makofi . This is Maturity … 🔥🔥
Tweet media one
38
62
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Kipindi Ambacho wewe umeamka na kwenda kwenye mishe zako , Kuna Mwanang mmoja yuko Gheto , anatamani nae angemka kwenda kwenye mishe bahati mbaya hana hiyo sehemu ya mishe mishe , wengine wanamsema hajitumi kumbe anatamani ajitume zaidi yao ila hana sehemu ya kujituma 😢. Life
182
279
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Describe Chama in One word ! Me : Maestro 🔥
Tweet media one
175
84
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
No Banda , No Sakho , No Kanoute , No Enonga Baka , No Problem . Three Points Sealed and Delivery 📦 to Msimbazi .
Tweet media one
98
72
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Kaibiwa Tena Airport 😂😂😂
Tweet media one
72
53
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
🇹🇿Teps Evance golden Boy 🔥
Tweet media one
37
34
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Time for Ibra Mawe 🔥🔥
Tweet media one
26
37
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Timu zimefanya Usajili mkubwa ila Naona Simba sc wanaweza kurejea kwenye Utamaduni wa Kushinda Mataji , Wamesajili kila eneo ambalo waliiona lina mapungufu , Wameleta wachezaji Experienced na Wachezaji vijana , Nawaona Simba sc kufanya vizuri ligi kuu zaidi ya last Season.
Tweet media one
142
90
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Guess Who ?
Tweet media one
70
44
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Samaki Wakubwa Mara zote ula Samaki Wadogo 😁😁
Tweet media one
58
49
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Leo Nimetumia zaidi ya lisaa kusoma na kuwajua wale wa Brazil wa Singida Big Stars , hawa jamaa wana Profile kubwa sana kuliko wabrazil wote ambao wamewahi kuja Tanzania , tutakuwa wanafiki kama tutaacha kuwapongeza viongozi wa Singida Big Stars .
Tweet media one
65
56
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Hivi Kigezo gani kinawapa Simba sc nafasi ya Kushiriki “Africa Club Super Cup “ ambacho Yanga sc hana ? Mafanikio ? Uchumi ? 😇😇
Tweet media one
437
55
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Nimeitazama Ile Video ambayo wachezaji wa Simba sc wanampokea Ntabanzokiza , Mtazame Aishi Manula namna alivyotabasabu huku Moyo wake ukisema Angalau huyu mtu amekuja kuad kitu kuelekea vita ya Ubingwa 🙌🏾🙌🏾
Tweet media one
74
35
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
🇿🇲Clatous Chota Chama the man of Big occasions 🤝🤝
Tweet media one
13
55
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Tumewah kuandika Makala kuhusu Ubora wa Ajibu , Tukamuelezea Sana Ndemla , Wako tuliomsifia Mo Ibrahim , wote walishindwa kuweka hata alama yao ndani ya Simba sc anakuja mwanaume mmoja kutokea Kigoma anakuwa kipenzi cha makocha wote . Na Huyo ni 🇹🇿Mzamiru Yasin ….
Tweet media one
34
60
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Ndugu yetu , Afisa Habari wa Simba sc kaka @ahmed__ally amepata msiba wa kuondokewa na baba yake mzazi . Pole sana kaka @ahmed__ally Allah akupe Nguvu kwenye hiki kipindi kigumu . Amein 🙏🏾
Tweet media one
123
87
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Huyu Kocha Ana kitu , Tumpe Muda , anajua kuanza mechi , Lakini pia anajua kumaliza mechi , Mathematically hawa Uganda ndio wana nauli yetu ya kwenda Ivory Coast kama Vipers kwa Simba sc , Algeria 🇩🇿 hatudeal Nao 😁, Tunadeal na Weusi wenzetu .
Tweet media one
66
55
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Nimedokezwa kuna Klabu moja kubwa mpaka sasa ni 50/50 kushiriki Mashindano ya Mapinduzi , sababu ni Pesa , matumizi yanazidi kinachopatikana kwenye mashindano hata ukiwa bingwa . 🥲
142
75
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Baada ya Hii Tuzo mashabiki , Viongozi wa Simba sc mtegemee chochote kinaweza kutokea , Thamani ya Sakho sokoni imepanda , leo watu kutoka Ufaransa , italia , Uingereza , Spain wamemjua Sakho , baada ya kesho Email ya Simba sc itaanza kuingia offer Nyingi ni muda wa Simba kuamua.
Tweet media one
87
68
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Manzoki na Mayele wote wamewahi kucheza Kunako klabu ya 🇨🇩As Vita na Manzoki alikuwa anamuweka Mayele Benchi .
Tweet media one
Tweet media two
98
63
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Kipindi Yanga wanapata sare na Club Africain , Admin wa Simba sc anapost picha hii , unataka mashabiki wa Yanga sc wasikutukane ukiwaongelesha ?
Tweet media one
248
65
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Sakho alishajiunga na kambi Senegal kwa siku kadhaa kwenye list ya Kwanza ya Mwalim Aliou Cisse amesharejea kwenye kikosi cha Simba sc kwajili ya mchezo wa Klabu bingwa dhidi ya Horoya baada ya hapo atakwenda kwenye kambi rasmi ya Senegal . Jioni Njema 😁😁
Tweet media one
Tweet media two
85
59
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
26.1B for 5 years , Remarkable 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 5+ B per Year. Football is Good Business
Tweet media one
44
63
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
No Kanoute No Mzamiru No Isral No Kapombe Vaa Viatu vya Mgunda
Tweet media one
328
54
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
NBC Premier League Huu ndio utabili wangu wa Timu ambazo zitamaliza nafasi 4 msimu 2023/24 . 1. Simba sc 2. Yanga sc 3. Azam Fc 4. Namungo Fc Baba Aiylah ✍🏾
Tweet media one
209
109
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
🇹🇿Kennedy Juma Mtu wa Mtumba 👏🏾👏🏾
Tweet media one
35
31
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
🇨🇮Momoo Quattara’s game by number against St George . 11 blocks 4 Clearance 5 Stepping 18 complete Passes 4 Long Range Pass 4 Aerials ball
Tweet media one
48
53
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Kuna akili Inanambia hii sio namba 6 iliokusudiwa 😂😂
Tweet media one
186
63
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
🇨🇫Ceasar Manzoki atambulishwa na Simba sc nchini Misri . Mchana Mwema .
Tweet media one
89
73
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Kwani sisi tuna Ligi Ngumu sana au Ligi Yetu Ina mambo mengi ? Kambole ameenda kwao ameuwasha na ameitwa Timu ya Taifa 🤝
Tweet media one
119
37
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Deal La Okrah limekaamilika , ila hii ndio habari ngumu zaidi kuwah kuiripoti kwenye maisha yangu ya uandishi 😇😇, Allahmdillah kila kitu kimeenda sawa , kijana wenu niko Salama 🙏🏿🙏🏿
Tweet media one
78
53
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Warm Up Kit 🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
28
32
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Oseeee Anahitaji Game Time anaonekana weight yake imeongezeka sio kama Zamani .
Tweet media one
78
63
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Klabu ya Simba sc imetoa zaidi ya kiasi cha million 100 kununua mkataba wa mlinda lango wa klabu ya KMC Hussein Abel kwa ajili ya kuongeza nguvu kipindi hichi ambacho Manula amepata majeraha .
Tweet media one
41
72
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Ndemla ni mlima alizeti mpya …
Tweet media one
17
42
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
🚨 BREAKING🚨 Vilabu vinne kutoka 🇫🇷Ufaransa Angers SCO , FC Lorient , Troyes na Metz zinaonyesha nia ya kutaka huduma ya kocha wa Al Ahly 🇿🇦Pitso Mosimane.
Tweet media one
38
79
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
2 years
Kama Kocha wa Simba sc atakubali kumuacha Mugalu , nitaanza kuwa na mashaka nae 😂😂. 🇨🇩Chris Mugalu the one among Complete Modern Striker ndani ya NBC .
Tweet media one
291
49
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
The Way Ngoma anafanya scanning ya Uwanja , The way Ana piga pasi , the way Ana i link team Kati walinzi , Viungo wenzake na Washambuliaji unasema Yes this is Mido . Ngoma ni jibu kama swali ni nani kiungo wa mpira .
Tweet media one
46
94
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Bacca Ameenda Yanga kama mchezaji wa Kawaida ila ataondoka kama Legendary.
Tweet media one
37
58
3K
@Khalidchukuchuk
KhalidChukuchuku93🇹🇿
1 year
Kwenye Kipindi cha miaka 10 iliopita Tanzania . Kiungo Bora ni 🇿🇲Chama Washambuliaji hatari 🇨🇩Fiston Mayele / 🇷🇼 Meddie Kagere /Kipre Tcheche. Winga Hatari Jose Luis Miqqusone / Msuva/ Okwi , Ngassa ( mmoja Kati yao) . Overall best player ni 🇿🇲Triple C .
Tweet media one
109
102
3K