Huu ndio ukurasa Rasmi wa timu ya manispaa ya kinondoni katika mtandao wa twitter ambao utapata taarifa zote za timu na sio Kurasa nyingine ambazo sio Rasmi.
#letsgokinoboys
#kinoboys
#kinondoni
𝗝𝗘𝗭𝗜 𝗭𝗔 𝗡𝗬𝗨𝗠𝗕𝗔𝗡𝗜 𝗡𝗔 𝗨𝗚𝗘𝗡𝗜𝗡𝗜 | 𝟮𝟬𝟮𝟰/𝟮𝟬𝟮𝟱.
Tunayofuraha kubwa kutambulisha jezi zetu za nyumbani
na ugenini ambazo zitatumika kwenye mashindano mbalimbali ndani ya msimu mpya wa 2024/2025.
#WeAreKinoboys
#letsgokinoboys
#watotowamjini
𝗡𝗕𝗖 𝗣𝗥𝗘𝗠𝗜𝗘𝗥 𝗟𝗘𝗔𝗚𝗨𝗘 𝟮𝟬𝟮𝟯/𝟮𝟰
Mchezo wetu wa kwanza wa
#nbcpremierleague
utakuwa dhidi ya Namungo Fc ambao utachezwa siku ya jumamosi tarehe 19/08/2023 saa moja Usiku kwenye uwanja wa majaliwa - Ruangwa.
Kikosi kinaanza safari kuelekea Lindi-Ruangwa kwa ajili ya mchezo wa ugenini wa kwanza wa ligikuu dhidi ya namungofc tutakao cheza tarehe 19th,Agosti 2023 . Mungu atujalie safari njema kinoboys …. ! 🙏 Amen
#letsgokinoboys
#wakishua
@meridianbettz
@ina_sports1
Nani anastahili kuwa mchezaji bora wa mchezo wetu wa leo dhidi ya mtibwa ?
Karibuni kwa Mawazo yenu mashabiki wa KMC ?
Hii ni yetu sote ✍🏾
#letsgokinoboys
#kinoboys
#watotowamjini
Kikosi chetu
@kmcfc_official
Leo tumefanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo wetu wa kesho dhidi ya JKT Tanzania , Mchezo ambao tutacheza katika dimba letu la Nyumbani la Uhuru .
kampuni ya
@ina_sports1
“ ambayo ni wazalishaji wa vifaa vya klabu yetu imemuandalia jezi maalumu ambayo inaonyesha mabao 50 aliyowahi kufunga ndani ya Ligi kuu .
HEAD COACH 🗣️ |
“Tumeyafanyia kazi mapungufu yetu tunataka kutumia vema uwanja wetu wa nyumbani tunaamini utakuwa mchezo mzuri tunaenda kumkosa mchezaji mmoja Vicent Aboubakar ambaye ana majeruhi ya muda mrefu,”
#letsgokinoboys
@meridianbettz
@ina_sports1
@azamtvtz
Majukumu ya kitaifa 👊
@ibrahim__mao
Leo ni siku ya mchezo wa kufuzu
#afcon
kwa timu ya somalia dhidi ya Eswatini, majira ya saa nne usiku katika uwanja wa stade el abdi nchini morocco.
@somaliastars
Afisa habari akielezea ratiba ifuatayo baada ya hapa . Na kikosi leo kimefanya mazoezi yake ya mwisho apa jijini Mwanza na kuanza safari yake kuelekea jijini Geita gold kujianda na mchezo wa jumamosi
#letsgokinoboys
#wakishua
@meridianbettz
@ina_sports1
Katika kujiandaa na Mchezo wa ligi ulio mbele yetu dhidi ya geita , Mapema asubuhi ya leo tulikuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya klabu ya Green warriors .
Matokeo [ 1 - 1 ]
#Friendlymatch
#Letsgokinoboys