Mtibwaofficial Profile Banner
Mtibwaofficial Profile
Mtibwaofficial

@mtibwaofficial

Followers
97,649
Following
105
Media
3,133
Statuses
4,983

Official Twitter Page Of Mtibwa Sugar Sc

Morogoro, Tanzania
Joined April 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Tweet media one
27
64
2K
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
6 months
Mwaka mmoja sasa umepita tangu mwenzetu Iddy Mobby alipotangulia mbele za haki. Bado uko mioyoni mwetu, endelea kupumzika kwa amani MOBBY. #HiiNiYaMobby #UnitedWeStand
Tweet media one
24
57
2K
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
4 years
Timu imewasili salama Jijini Mwanza. #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
52
48
1K
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Hakikisha una bando la kutosha...! #UnitedWeStand
Tweet media one
32
25
1K
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
17:00 EAT. ✍🏾 #UnitedWeStand
Tweet media one
15
9
1K
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
"Leo tumemalizana na Yanga Sc kuhusu usajili wa Mshery, hivyo basi sisi kama Mtibwa tunamtakia mchezaji kila lakheri katika timu yake mpya" CEO #UnitedWeStand
Tweet media one
14
20
689
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
FULL-TIME. Washamba wa Manungu ni mabingwa tena kwa mara ya tano (5) mfululizo. #MTBGGF #U20PremierLeague #u20PL #UnitedWeStand
Tweet media one
13
22
664
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
8 months
Umeweka alama klabuni na haitafutika kamwe, kila la kheri kijana wetu @ladack_68 ✍🏾 @jr_farhanjr 🎙️ @lamarcedro 🎬 @mtes_grapher #UnitedWeStand
Tweet media one
6
22
638
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Hatujamalizaaaaaaa.....! 14:00 EAT #UnitedWeStand
Tweet media one
8
5
616
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
😂😂😂 #UnitedWeStand
Tweet media one
12
14
577
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Tweet media one
5
11
551
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
14:00 EAT. ✍🏾 #UnitedWeStand
Tweet media one
12
7
478
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Tunayofuraha kumtangaza mwanafamilia mpya wa Mtibwa Sugar Deo Kanda raia wa DRC. Kabla ya kujiunga nasi amezitumikia TP Mazembe, Simba,Raja Casablanca,Vita Club AE Larisa na DC Motema Pembe. Karibu sana Deogracias A-Mukok Kanda katika mkoa wa Shigela #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
20
416
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Sisi Jumapili tunapiga kwenye mshono 😂😂😂 #UnitedWeStand
40
9
403
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Salum Shaaban Mayanga is our new technical bench Gaffer. Welcome. #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
9
9
389
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Nahodha wa makombe 🏆🥇 @ladack_68 #UnitedWeStand
Tweet media one
3
8
373
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Mchezo wetu wa kwanza wa Play-off tunaucheza kesho Sokoine Stadium Mbeya dhidi ya Tanzania Prison saa 10:00 jioni. #PRSMTB #NBCPL #NPL #UnitedWeStand
Tweet media one
19
7
300
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
5 years
Tweet media one
23
31
291
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Leo ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa mlinda lango Razack Shekimweri. Happy birthday @shekimweri_1 M/MUNGU akupe hitaji la moyo wako. Unaweza mtumia hapa salamu za siku yake ya kuzaliwa akazipata. #UnitedWeStand
Tweet media one
4
5
288
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Asante sana James Kotei...! Kila la kheri. @officialkoteijames3 #UnitedWeStand
Tweet media one
7
5
293
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Mashindano ya vijana chini ya miaka 20 yameanza leo huku ikikumbukwa sisi ndio mabingwa watetezi wa kombe hilo tukichukua mara tatu (3) mfululizo (back to back). MABINGWA TUMEREJEA....! #MTBDFC #U20PremierLeague #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
6
279
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
NYUMBANI KWETU...! Kwenu mnapaitaje kwa kilugha chenu...? #UnitedWeStand
Tweet media one
15
8
254
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
11 months
Our New Gaffer...! #UnitedWeStand
Tweet media one
3
12
248
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Mchezaji bora wa mashindano ya vijana chini ya miaka 20 imeenda kwa Ladack Chasambi. Well done boy...! #MTBGGF #U20PremierLeague #u20PL #UnitedWeStand
Tweet media one
4
8
250
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Tweet media one
11
13
242
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Manungu Complex (MACHINJIONI) 🎋 #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
34
7
238
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Bwana ametoa na Bwana ametwaa! #UnitedWeStand
Tweet media one
5
7
241
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
NEXT MATCH. 🆚 @SimbaSCTanzania 🗓 Sunday 30th Oct 2022 ⏱ 19:00 EAT. 🏟 Mkapa, Dar. 🏆 #NBCPremierLeague #NPL #SSCMTB #️⃣ #UnitedWeStand
Tweet media one
1
5
233
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
MATCHDAY. @yangasc1935 🆚 Mtibwa Sugar 🗓 Tuesday 13th Sept 2022 ⏱Kick-Off 19:00 🏟 Mkapa, Dar. 🏆 #NBCPremierLeague #NPL #YNGMTB #️⃣ #UnitedWeStand
Tweet media one
15
8
233
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
FULL-TIME. Kumbe huku juu kuna baridi kweli 😂😂😂 Simba anafuata kwa Mkapa. #DFCMTB #NBCPremierLeague #NBCPL #UnitedWeStand
Tweet media one
14
6
230
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Asante kwa nyakati nzuri ukifanya kazi nasi, Tunajivunia wewe Deo Kanda. Kila la kheri katika changamoto mpya..! #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
1
5
233
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Tuna account moja tu ya twitter na tunapatikana kwa handle ya @mtibwaofficial pekee. #UnitedWeStand
Tweet media one
1
20
229
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
5 years
(RASMI) KIBABAGE KUJIUNGA NA DIFAA HASSAN JADIDI YA MOROCCO MWISHONI MWA MSIMU. Mchezaji Nickson Kibabage wa timu ya vijana U20 ya Mtibwa Sugar anataraji kujiunga na Timu yake mpya yenye maskani yake nchini Morocco inayofahamika kama DIFAA HASSAN JADIDI (DHJ). #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
47
224
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Good morning...! Kuanzia sasa tutakuwa tunavunja records zetu wenyewe ligi kuu ya vijana. #U20PremierLeague #u20PL #UnitedWeStand
Tweet media one
7
3
220
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Road to Champions...! 🏆🏅 #Fainali NEXT MATCH. 🆚 @geitagoldfc 🗓 Sunday 02nd June 2023 ⏱ 18:00 EAT. 🏟 Azam Complex, Dar. 🏆 #U20PremierLeague #u20PL #MTBGGF #️⃣ #UnitedWeStand
Tweet media one
5
9
219
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Kijana wetu Ladack Chasambi ambaye pia ni mchezaji bora wa michuano ya vijana chini ya miaka 20 kwa miaka miwili mfululizo rasmi amepandishwa kikosi cha timu kubwa (Senior Team) #UnitedWeStand
Tweet media one
1
5
214
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
09:30 EAT. ✍🏾 #UnitedWeStand
Tweet media one
3
1
195
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Ama kwa hakika sisi ni wa MUNGU na kwake MUNGU tutarejea, Pumzika kwa amani Iddy Mobby. #UnitedWeStand
Tweet media one
16
11
196
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Vijana wetu wakiwa katika majukumu ya pande mbili tofauti. Sisi ni CHUO CHA MPIRA ⚽⚽⚽ #UnitedWeStand
Tweet media one
10
8
192
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
14:00 EAT. ✍🏾 #UnitedWeStand
Tweet media one
7
3
191
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
WIN or LOSE still MTIBWA SUGAR 🎋 #UnitedWeStand
Tweet media one
15
5
196
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Karibu Mtibwa Sugar Matheo Anthony Simon. #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
4
194
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Endelea kupumzika kwa amani...! 🤲🏾 #UtamuKolea #UnitedWeStand
Tweet media one
2
5
189
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Leo ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kiungo wa mpira Kelvin Nashon Naftali. Happy birthday @kelvin_nashon_matari26 M/MUNGU akupe hitaji la moyo wako. Unaweza mtumia hapa salamu za siku yake ya kuzaliwa akazipata. #UnitedWeStand
Tweet media one
6
6
180
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 month
Karibu Mtibwa @mgrmelis Melis Medo atakuwa kocha wetu mkuu msimu 2024-2025 #UnitedWeStand
Tweet media one
5
8
193
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Football 🤝🏽. On to the Next One #NBCPL #NPL #UnitedWeStand
Tweet media one
25
1
184
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Mashindano hayakuwa na tuzo kwa mwalimu bora, lakini kwetu wewe ni Mwalimu bora wa viwango kabisa. Kazi nzuri Mastermind 🧠 @awadhmani8 #MTBGGF #U20PremierLeague #u20PL #UnitedWeStand
Tweet media one
3
3
180
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Kiwango bora kabisa leo kwa mlinda lango Toba Ruben Kutusha...! The future is bright. #MTBAZM #U20PremierLeague #u20PL #UnitedWeStand
Tweet media one
2
3
179
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Kijana wetu kutoka timu ya vijana chini ya miaka 20 sasa amepandishwa rasmi timu kubwa. Hongera SAID KAZI (LUSANGA FINEST). #UnitedWeStand
Tweet media one
3
4
175
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
4 years
Tunashukuru kwa mchango wako kila la heri katika timu yako mpya ya Namungo ABDULHALIM HUMOUD. #UnitedWeStand
Tweet media one
6
2
174
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
19:30 EAT. ✍🏾 #UnitedWeStand
Tweet media one
3
0
176
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Tumefanikiwa kuinasa saini ya kiungo wa mpira Kelvin Nashon Naftali, rasmi sasa Nashon ni mlima miwa wa Manungu...! #UnitedWeStand
Tweet media one
1
5
168
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Here is our new Gaffer ⚽ #UnitedWeStand
Tweet media one
7
6
166
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Leo ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kipa wa mpira Mohamed Makaka. Happy birthday Makaka unaweza mtumia hapa salamu za siku yake ya kuzaliwa akazipata. #UnitedWeStand
Tweet media one
5
7
164
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
9 months
Tumepoteza mchezo wetu dhidi ya Yanga lakini sio mwisho, tarehe 19 Mashujaa wanakuja kufia MANUNGU. #YNGMTB #NBCPremierLeague #NBCPL #UnitedWeStand
Tweet media one
15
3
161
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
United we Stand.
Tweet media one
0
4
155
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Tumefanikiwa kupata saini ya kiungo fundi mwenye hadhi ya juu kabisa nchini Said Hamis Ndemla kutoka Simba Sc kwa mkopo wa mwaka mmoja. Karibu sana Ndemla ufundi wako ukichanganywa na sukari yetu bora kabisa mambo yote yatakuwa ✌️🤟👍 @Ndemla13
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
18
23
157
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
29 🔋 🔋 🔋 #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
2
156
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Tweet media one
2
2
157
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
19:00 EAT. ✍🏾 #UnitedWeStand
Tweet media one
1
1
162
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Karibu James Kotei katika familia ya sukari bora. #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
4
7
156
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Chuoni na wanafunzi wake...! #UnitedWeStand
Tweet media one
3
2
152
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Machine mpya katika eneo la kiungo. karibu sana Balama Mapinduzi. #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
7
7
155
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
MATCHDAY. Yanga SC 🆚 Mtibwa Sugar 🗓 Wednesday 29th June 2022 ⏱Kick-Off 16:00 🏟 Mkapa, Dar. 🏆 #NBCPremierLeague #NPL #YNGMTB #️⃣ #UnitedWeStand
Tweet media one
2
6
147
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
HALF-TIME. Tutarejea vyema kipindi cha pili. #SBSMTB #NBCPremierLeague #NBCPL #UnitedWeStand
Tweet media one
6
2
153
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Hongera Taifa Stars 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 #UnitedWeStand
Tweet media one
0
6
151
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
16
1
153
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
5 months
Tweet media one
3
6
154
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
MATCHDAY. Mtibwa Sugar 🆚 Simba SC 🗓 Saturday 22nd Jan. 2022 ⏱Kick-Off 16:00 🏟 Manungu (Machinjioni) 🏆 #NBCPremierLeague #NPL #️⃣ #UnitedWeStand
Tweet media one
5
3
149
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Golden Generation...! #UnitedWeStand
Tweet media one
4
4
145
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Juma Liuzio Ndanda 🔋🔋🔋 #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
2
143
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Mchezo wetu unaofuata wa ligi kuu ya NBC tunacheza Manungu dhidi ya Yanga jumamosi ya mwisho wa mwaka tarehe 31 Disemba saa 10:00 jioni. Siku hiyo Wananchi wanakutana na shoo za Wanyoli (Wakata miwa). Mnawafahamu Wanyoli....? #MTBYNG #NBCPremierLeague #NBCPL #UnitedWeStand
Tweet media one
13
4
147
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Sisi ni wa MUNGU na kwake tutarejea. Pumzika kwa amani Ally Mtoni. #UnitedWeStand
Tweet media one
4
6
144
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
11 months
Happy Nyerere Day...! #UtamuKolea #UnitedWeStand
Tweet media one
0
7
147
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Caption Duchu 🗣️ #UnitedWeStand
Tweet media one
1
2
144
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Invisible man. 39' Mtibwa Sugar 2-2 Simba SC ⚽ 06' ⚽ 09' ⚽ Matheo 20' ⚽ Matheo 22' #MTBSSC #NBCPremierLeague #NBCPL #UnitedWeStand
Tweet media one
5
2
143
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Tweet media one
3
2
138
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
FULL-TIME. Defeated at Mkapa. Things sometimes get worse before they get better. #SSCMTB #NBCPremierLeague #NBCPL #UnitedWeStand
Tweet media one
22
3
142
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
FULL-TIME. Sisi ni jiko la shamba, hatuchagui kuni. Eid Mubarak...! #MTBCST #U20PremierLeague #u20PL #UnitedWeStand
Tweet media one
5
6
141
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
11 months
Ule muwa uliozamisha meli ndio huu sasa. FULL-TIME. #MTBGGF #NBCPremierLeague #NBCPL #UnitedWeStand
Tweet media one
3
7
141
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 month
Siku ya kwanza kazini kwa mwalimu Melis Medo. #MtibwaSugar #Mtibwa #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
2
140
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Kikosi chetu pamoja na benchi la ufundi kimewasili salama jijini Tanga kuelekea mchezo wetu wa Jumapili dhidi ya African Sports Mkwakwani Stadium. #UnitedWeStand
Tweet media one
6
5
130
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Mazishi ni leo tarehe 07 March 🙏🏾 #UnitedWeStand
Tweet media one
6
3
134
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Ukurasa rasmi wa klabu kwa upande wa Twitter tunatumia @mtibwaofficial pekee hatuna account nyingine ya ziada, Tunawaomba mashabiki na wapenzi wa Mtibwa kutufuata hapa pekee na kupiga vita kwa account zinazotumia nembo ya klabu kupotosha uma ama kutumia vibaya. #UnitedWeStand
Tweet media one
8
13
127
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Leo ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa mshambuliaji Samwel Mbigiri. Heri ya siku yako ya kuzaliwa. Unaweza mtumia hapa salamu za siku yake ya kuzaliwa akazipata. #UnitedWeStand
Tweet media one
2
3
132
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
8 months
Kila la kheri kiungo wa mpira Kelvin Nashon Naftali 🤝🏾 @kelvin_nashon_matari24 #UnitedWeStand
Tweet media one
1
3
130
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Karibu nyumbani Juma Liuzio...! #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
3
135
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
6 months
Tweet media one
5
5
128
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
FULL-TIME. Siku mbaya kazini, tulizidiwa bahati leo pekee. KMC anafuata...! #YNGMTB #NBCPremierLeague #NBCPL #UnitedWeStand
Tweet media one
12
1
127
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
MATCHDAY. 🆚 @ihefusportsclubtz 🗓 Saturday 24th Dec 2022 ⏱ 14:00 EAT. 🏟 Highland, Mbarali. 🏆 #NBCPremierLeague #NPL #IHFMTB #️⃣ #UnitedWeStand
Tweet media one
16
4
132
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Kipa bora wa mashindano ni Toba Ruben Kutusha. Kazi nzuri kijana...! #MTBGGF #U20PremierLeague #u20PL #UnitedWeStand
Tweet media one
2
3
127
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
KILA LA KHERI ABOUTWALIB MSHERY. Ahsante kwa kumbu kumbu kila la kheri katika timu yako mpya. #UnitedWeStand
8
9
127
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
September to Remember...! ✍🏾 @Ndemla13 #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
12
126
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
2 years
Tweet media one
5
8
126
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
A Tough HALF. Tutarejea vyema kipindi cha pili. #NBCPL #NPL #UnitedWeStand
Tweet media one
12
1
123
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
5 years
Seven players from our Squad named in Tanzania national team (U 20) , Congratulations to the boys Onesmo Mayaya , Frank George (Chumvi), Job, Kibwana, Mohamed Abdallah (Tello), Razack Ramadhani, Abubakar Juma, #unitedwestand @azamtvtz @Tanfootball @MichaelMwebe
5
12
123
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
3 years
Tunayofuraha kumtambulisha kwenu kocha wetu mpya Omog Joseph Marious. Ujuzi wake ukichanganya na ujuzi wa kikosi chetu na Sukari yetu bora nchini mambo yatakuwa matamu sanaaa..! #UnitedWeStand
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
7
15
121
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Leo ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa NASSOR KIZIWA, Happy birthday ( @nassor_kiziwa ) unaweza mtumia hapa salamu za siku yake ya kuzaliwa akazipata. #UnitedWeStand
Tweet media one
3
2
121
@mtibwaofficial
Mtibwaofficial
1 year
Saa 4:00 asubuhi hii....! #UnitedWeStand
Tweet media one
2
1
121