✨Maana halisi ya uvumilivu,imagine dogo yupo nyuma ya Manula "Tanzania one" na Beno ambaye ataondoka mwishoni mwa msimu,lakini bado Ally Salim alikubali kupambana nao,leo dabi ya Kariakoo kaimaliza yeye,aliwamaliza pia Ihefu,kuna swali lolote kwa bwana mdogo?,au kuna ugwadu? !!.