iddy nonga Profile Banner
iddy nonga Profile
iddy nonga

@iddynonga_

Followers
24,605
Following
1,303
Media
3,360
Statuses
7,574

Sports presenter || producer || writer || Gossip master || content creator || social media manager || Welcome

Dar es Salaam, Tanzania
Joined May 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@iddynonga_
iddy nonga
8 months
🚨Kisaikolojia Fiston Mayele ni mchezaji wa Simba tayari ila uhalisia ndio unasubiriwa ambapo kama Mnyama ataongeza nguvu kidogo tu wanambeba huyu !!.....
Tweet media one
70
60
2K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
Dogo tangu aondoke Simba hana kabisa uhakika wa kuwa na matumaini ya kucheza Senegal,licha ya kuitwa lakini angekuwa Simba angecheza hii AFCON !!.
Tweet media one
36
28
2K
@iddynonga_
iddy nonga
29 days
Imagine Kibu yupo uwanjani halafu huku nje Mpanzu anamuangalia,rasmi Mpanzu ni mchezaji wenu Simba,tambeni,huyu ni mtu,kaja kuondoka na namba ya mtu!!.
Tweet media one
20
49
2K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
✨Dogo ameamua aendelee kuwaumiza ndugu zake?,ndugu zake wamechukua ubingwa,wapo safarini yeye anatandika photo na kiungo wa mnyama Clotaus Chota Chama 😜 !!.....
Tweet media one
277
54
2K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
🚨Aiseee huyu Inonga ndo tulimnyima tuzo ya beki bora wa msimu,eeeh acha atuonyeshe panapovujaaaaa,hili penati na presha kubwa ya mchezo lakini kaweka chuma muhimu .....
Tweet media one
64
37
2K
@iddynonga_
iddy nonga
3 months
🚨Simba ndio timu yenye msemaji mmoja katika timu tatu za juu,Azam wapo wawili,Yanga wapo wawili,kwa kifupi wanamchangia mzee wa kispika!.
Tweet media one
86
55
2K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
✨Nyuma ya kiwango bora cha Ibrahim Bacca kuna huyu mwanamama Jasmin Razaq,nyuma ya matusi dhidi ya kumtetea Feisal Salum bado mama anawasimamia wachezaji muhimu kwenye kikosi cha Yanga kwa sasa,wakati mnampiga spana kwa baadhi yenu mkumbuke na kumuombea pia !!......
Tweet media one
96
35
2K
@iddynonga_
iddy nonga
23 days
Baada ya kuendelea kuwasha moto na Pyramids,klabu ya Angers iliopo ligi kuu ya Ufaransa imeanza kuinyanyua saini ya Fiston Mateke !!.
Tweet media one
8
27
2K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨ZA HIVI PUNDE🔸Ni suala la muda tu,tukio la Simba day nyota wa Bayern Munich Sadio Mane ana asilimia kubwa ya kuwa moja ya wageni waalikwa kwenye tukio hilo,sababu ya ujio wake inatajwa imetokana na uwepo au kuitwa kwa Pape Sakho timu ya taifa ya Senegal !!....
Tweet media one
47
39
2K
@iddynonga_
iddy nonga
21 days
ZA HIVI PUNDE:- "Spider","Pinpin" Camara kwa sasa ndio kipa namba moja wa timu ya taifa ya Guinea baada ya Ibrahim Kone kuwa na kiwango kibovu katika mechi mbili kufuzu AFCON wakipoteza dhidi ya Tanzania pamoja na DR CONGO,mechi ijayo watacheza na Ethiopia. HONGERA SANA CAMARA!.
Tweet media one
21
38
2K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Kuana wakati nilikua naiona sura ya Ng'olo Kante na zile kazi zake chafu pale Chelsea katika dimba la Mkapa,alifanya kila kitu cha Kipunda dhidi ya Yanga,kuna wakati ilibidi uombe tu asiwe karibu na wewe,alikuwa anakaba nusu ya uwanja,Mzamiru Yassini ni mmoja tu nchi hii !!.
Tweet media one
22
54
2K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Kiungo wa Simba Erasto Nyoni amelipa kiasi cha deni la zaidi ya milioni moja walilokuwa wanadaiwa timu ya Majimaji baada ya kushikiliwa na hoteli moja hapa jijini kutokana na deni hilo,pia amewalipia viongozi 10 nauli za kurejea Ruvuma,Nyoni ni mzaliwa wa mkoa huo !!..
Tweet media one
16
47
2K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Maana halisi ya uvumilivu,imagine dogo yupo nyuma ya Manula "Tanzania one" na Beno ambaye ataondoka mwishoni mwa msimu,lakini bado Ally Salim alikubali kupambana nao,leo dabi ya Kariakoo kaimaliza yeye,aliwamaliza pia Ihefu,kuna swali lolote kwa bwana mdogo?,au kuna ugwadu? !!.
Tweet media one
34
57
2K
@iddynonga_
iddy nonga
3 months
🚨Mjomba yuko mwenyewe,hana jeshi la kukodi,mwanzoni walisema hawezi kusimamia kutambulisha wachezaji,sasa hivi wamefyata mkia,huyu chinga ni zaidi ya hatari,anajua huyoooooo !!......
Tweet media one
23
46
2K
@iddynonga_
iddy nonga
5 months
🚨BIG NO,hii tuzo hakustahili afande Bacca,nyanda wa Azam ilipaswa achukue hii tuzo,ilitakiwa adake moto au ndio apewe?,BIG NOOOOOO
Tweet media one
253
36
2K
@iddynonga_
iddy nonga
19 days
Awesu akiwa na "vision" kama Ahoua atakuwa moja ya viungo bora wazawa !!.
Tweet media one
21
24
2K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
🚨Makosa ni yaleyale tu,Simba imeweka ngumu kumuuza Inonga kwenda FAR Rabat lakini baada ya mkataba wake kuisha huenda akaondoka bure,ningekuwa sehemu ya maamuzi ya Simba ningempiga tu bei !!....
Tweet media one
126
33
2K
@iddynonga_
iddy nonga
2 months
🚨Mchezaji kipenzi wa Fadlu Davids kwa sasa ni Edwin Balua,kijana hana mambo mengi,sio msumbufu na kikubwa zaidi hana wenge !!....
Tweet media one
8
29
2K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
🚨Kuna mabeki wenu halafu kuna huyu Inonga Varane,huyu kuna kitu mlimkosea last season sasa anaendelea kuwaumbua,hakuna mlinzi bora kama huyu ila sijui ana shida gani anapocheza Simba majukwaa yanakuwa mengi sana kuliko kawaida !!....
Tweet media one
57
39
2K
@iddynonga_
iddy nonga
28 days
"Wakaniachia na mabaunsa wao"-Ahmed Ally !!.
Tweet media one
2
29
2K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
🚨ZA HIVI PUNDE•Kocha wa Simba Abdelhack Benchikha yupo mbioni kujiunga na timu ya taifa ya Algera,hizi ni taarifa mbaya au nzuri kwa Simba?!!....
Tweet media one
58
44
2K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
✨Khaaaa 😄😄😄😂 kocha wa sasa wa Marumo Gallants aliwahi kuwa kocha wa Simba, huu mwaka huu
Tweet media one
17
28
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
✨ZA HIVI PUNDE🔸Kocha wa Yanga Nasredine Nabi ameachana na timu hiyo na kujiunga na Kaizer chiefs,tangu wiki iliopita kocha huyo ameweka wazi kuwa hayupo tayari kuongeza mkataba mpya kuendelea kusalia jangwani,ataenda Chiefs akiwa na benchi lake la ufundi !!.....
Tweet media one
74
31
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 months
🚨Huu usajili nahisi utakuwa wa kwanza kuondoka Simba,kuna kitu kinaniambia hivyo !!.
Tweet media one
114
32
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Mwenye picha ya basi la Yanga lenye mashabiki wakiwa wanajiandaa kwenda Congo naomba uniwekee chini hapo katika comment
Tweet media one
50
20
1K
@iddynonga_
iddy nonga
6 months
🚨Pacome huenda akapishana na Chama kwenye kikosi cha Yanga,kuna mambo mengi lakini ninachokifahamu mpaka sasa ni hicho,Chama huenda anaenda kuvaa viatu vya Pacome pale Yanga,tusubiri tuone muda utaamua vipi
Tweet media one
74
27
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨ZA HIVI PUNDE🔸Kiungo mkatili na mwenye roho mbaya Sadio Kanoute "Putin" ameongeza mkataba mpya kuendelea kuicheza Simba sports kwa muda mrefu zaidi,kwenye dili hilo Kanoute pia kasaini bila ya kucheka !!.
Tweet media one
15
31
1K
@iddynonga_
iddy nonga
3 months
🚨Nafasi ya Kibu,Simba inazidi kupungua,Mpanzu jina lake limerudi tena katika meza ya mazungumzo na Simba, awamu hii ni kuzibwa nafasi ya Kibu,so anytime Simba huenda wakatoa taarifa ya kustua kidogo kuhusu mustakabali wa Kibu pale Simba sports !!...
Tweet media one
22
29
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Mwenzenu yupo AFCON nyie huku mnamsema hovyo hovyo bila ya kumpa heshima yake ya kuipeleka Burkina Faso AFCON
Tweet media one
16
20
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
✨ZA HIVI PUNDE🔸Juma Mgunda kocha mpya Simba queens,sasa Pep Guardiola mnene anaenda kukiwasha Simba queens !!.....
Tweet media one
16
18
1K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
🚨Haya sasa kwenye michuano ya AFCON kabaki peke yake Inonga baada ya Diarra kutoka,hapa mashabiki wa Yanga wataanza visababu vya ajabu ajabu,apewe heshima yake Inonga !!...
Tweet media one
80
50
1K
@iddynonga_
iddy nonga
4 months
🚨Simba imevuna dola 200,000 ikiwa ni sawa milioni 525 kwa kumuuza mlinzi Henock Inonga kwenda FAR Rabat,hapa Simba imepiga hela,vipi hajaacha pengo?
Tweet media one
26
18
1K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
Tuliwaambia huyu yupo kwa mkopo mkawa mnabisha,haya TP Mazembe fasta wamemtaka mchezaji wao
Tweet media one
27
23
1K
@iddynonga_
iddy nonga
5 months
🚨Huyu siku Simba ikifanya vizuri atarudi tu,nipo hapa 😂, Simba mna mashabiki wengi walioenda Yanga !!....
Tweet media one
86
39
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Msimu wa mwaka 2020-21 Baleke alishinda Battle akawa mfungaji bora wa Ligi ya DR Congo kwa kufunga magoli 14,msimu ujao hii battle inarudi tena ndugu zangu !!..
Tweet media one
29
17
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 month
🚨Huyu ndio Che Malone,kwenye uwanja wa ugenini na anapiga hili tukio na linafanikiwa,huu ni uthubutu na kujiamini kwa kiasi kikubwa !.
Tweet media one
34
31
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨ZA HIVI PUNDE🔸Yanga yamsajili kiungo wa Singida BS Bruno Gomes ambaye ni raia wa Brazil 😁!!.....
Tweet media one
27
22
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨ZA NDANI🔸Simba inaelezwa kuwa wapo katika mipango ya kutaka kumsajili kiungo wa zamani wa Yanga Feisal Salum,hii inatokana na kiungo huyo kwa sasa kutajwa thamani yake na Yanga ambao kuna namna wanaonekana kuwa tayari kwa ajili ya kumuuza kwenda sehemu nyingine !!.
Tweet media one
52
24
1K
@iddynonga_
iddy nonga
25 days
Assist namba 4 kwa Ahoua mpaka sasa, huyu ni zaidi ya kiungo mshambuliaji, jamaa ana IQ kubwa ya mpira,huyu kazaliwa kuwa kiungo wa mpira !.
Tweet media one
24
28
1K
@iddynonga_
iddy nonga
5 months
🚨KARIBU tena UNYAMANI Moses Phiri ✌️ !!....
Tweet media one
13
26
1K
@iddynonga_
iddy nonga
8 months
🚨Hapa ndio Chama anapotumbusha kuwa hapaswi kufananishwa na Pacome, mwana anajua sana boli,anajuaaaa !!..
Tweet media one
78
49
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 months
🚨Ndio yule Kibabage?,ndio yule Chilambo?,au kuna mwingine?,kama taifa hasa wapenda soka,Tshabalala tunatakiwa tuendelee kuomba Mungu awepo,hatuna namba 3 mzawa mwenye uwezo wake kwa sasa,elewa neno kwa sasa !!.
Tweet media one
30
38
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
✨Unayemuona ni Bouly Sambou straika bora wa Wydad akimkumbatia kipa wa Simba Ally Salim,Sambou anasema alitakiwa aondoke na mpira lakini bwana mdogo kafanya kazi kubwa kumzuia,siyo kitu cha kawaida kwa Salim,kuna timu ina makipa watatu,kipa wa tatu hana mechi hata moja ya CAF!.
Tweet media one
65
45
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Kuna muda njumbi bombi "Erasto Nyoni" alikuwa anainjoi kucheza eneo la kiungo dhidi ya viungo wa Yanga,alikuwa anafanya kila kitu kwa usahihi,kuna wakati ilikuwa raha na burudani kumuangalia akiwafundisha soka wadogo zake,ni kama Modric fulani hivi, anazeeka na utamu wake !!.
Tweet media one
11
35
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 months
🚨ILA SIMBA:- Simba sports imejitosa katika kinyang'anyiro cha kumtaka kwa mkopo staa wa Mamelodi Sundowns, Abubeker Nasir,Fadlu Davids ndio mchora ramani wa kukamilika kwa dili hilo,kuna asilimia kadhaa huenda Simba wakamnasa huyu bwana mdogo !!....
Tweet media one
15
31
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Kocha kakasirika kupoteza dhidi ya Simba, kocha kakasirika kupoteza dhidi ya Robertinho, kocha kakasirika mpaka kaongea kiingereza, Kiswahili na kifaransa kwa wakati mmoja,halafu anatokea bwana mdogo anasema eti ushindi wa Simba ndio ubingwa wao,serious?,Simba ilikuwa bora !!.
Tweet media one
40
40
1K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
🚨Huyu ni mchezaji,kama Simba watakuwa wavumilivu Jobe atakuwa msaada mkubwa sana kwao !!....
Tweet media one
13
27
1K
@iddynonga_
iddy nonga
6 months
🚨NI MISSION PUNGUZA WAKONGO?:- Alianza Moloko,Mukoko,Thitshimbi na sasa Lomalisa nae anaondoka Yanga, huko nyuma Makambo,Bangala na Djuma Shabani waliondoka wakiwa ktk kiwango kikubwa,anyway Lomalisa anaenda kucheza soka la kulipwa nchini Libya !!...
Tweet media one
32
12
1K
@iddynonga_
iddy nonga
10 months
"Ukimuona panya anakudengulia ujue yupo karibu na shimo" Anayway Rasmi Simba imemsajili kiungo namba 10 aliyekuwa anacheza AD Comerciantes ya ligi daraja la pili nchini Peru,anaitwa Mauricio Armero,jamaa anapiga mawe kama anataka kuua baada ya kumfuatilia na kumuona !!.
Tweet media one
50
40
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Akiwa Simba pekee tena kwenye michezo ya ligi jamaa alifunga mabao 42,narudia tena akiwa Simba jamaa alifunga mabao 42 hapo hakuna mabao ya kombe la shirikisho wala kombe lingine,huyu kifaru cha Rwanda alikuwa mtu kweli kweli ni vile hayupo Simba kwa sasa !!.
Tweet media one
56
38
1K
@iddynonga_
iddy nonga
5 months
🚨Kitendo cha Simba kumbakisha Chama na kumuahidi kumjengea timu kumzunguka yeye huenda msimu ujao Chama akajituma zaidi,sababu kubwa ni ya kutaka kumalizana vzr na Mnyama, Chama anautaka u-legend Simba kama wachezaji wengine wa kigeni waliowahi kupita Simba !!...
Tweet media one
30
26
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Azam FC wanataka kurejesha heshima yao kwenye soka ilioanza kupotea katika vichwa vya watu,rasmi mabingwa mara moja wa ligi kuu hao wameanza mchakato wa kuzungumza na kocha wa Al Hilal,Florent Ibenge juu ya kumpa kazi ngumu ya kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho chenye fedha nyingi
Tweet media one
43
22
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
✨Nasikia Fabrice Ngoma kapotezwa Airport na watu waliovaa mashati ya Lunyasiii !!....
Tweet media one
30
26
1K
@iddynonga_
iddy nonga
3 months
🚨Fadlu Davids yupo serious sana Simba,hamtaki Freddy kutokana na uvivu wake mazoezini,Manzoki jina lake limerejeshwa tena mezani,Simba wanaangalia uwezekano wa kumpata, Wapo serious na project yao,wanatakiwa kuogopewa season hii 🔥!!...
Tweet media one
28
32
1K
@iddynonga_
iddy nonga
10 months
Tusamehe kaka,wewe leo ulikuwa zaidi ya kipa,kwa lugha rahisi kazini kwa Manula kuna kazi !!....
Tweet media one
6
29
1K
@iddynonga_
iddy nonga
3 months
🚨Simba wana kila sababu ya kuwa na matumaini tarehe 8 dhidi ya Yanga,mechi ishakuwa ngumu hii,Simba wana nafasi na si kama wengi wanavyofikiria
Tweet media one
89
26
1K
@iddynonga_
iddy nonga
3 months
🚨Ahoua ni staa mpya wa ligi yetu,Ahoua ni mchezaji ambaye atawasahaulisha Simba haraka kuhusu Chama na Saidoo !!.
Tweet media one
38
27
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
Zama zimebadilika au wachezaji wa kigeni hawajui au hawaambiwi uchungu wa kupoteza dabi?,how come mpaka nguvu ya kupiga picha inapatikana?,yule Kapombe na Mo Hussein uliziona zile hisia zao baada ya mechi?,vipi kuhusu mashabiki unawaona wanavyoteseka?!!.
Tweet media one
125
31
1K
@iddynonga_
iddy nonga
8 months
🚨Fiston Mayele ameomba kuvunjiwa mkataba na klabu yake ya Pyramids, Yanga ndio chaguo lake la kwanza kwa mazingira yaliyopo,kwenda Simba pia kimazingira ni ngumu kama ilivyo kwa Miquissone alivyotamaniwa Yanga ila ikashindikana !!...
Tweet media one
31
27
1K
@iddynonga_
iddy nonga
3 months
🚨Simba wamefanya maamuzi magumu dhidi ya Manula,miaka ya nyuma kidogo ilikuwa ngumu kutokea hivi kama ilivyotokea,Ayoub anapaswa kuwalipa imani kwa waliomuanini !!...
Tweet media one
9
12
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
♀️Wakati mkisifia kila leo sajili za kina Mayele ndugu yetu mtanzania kabisa Baraka Gamba Majogoro leo kacheza kama hatocheza tena akiwa na Chippa United,kwa mara ya kwanza leo amechaguliwa kuwa nyota wa mchezo dhidi ya Supersports united,hongera sana Majogoro !!.
Tweet media one
13
18
1K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
🚨Simba wameingia ktk mtego wa Yanga wa kuogopa kupata matokeo tofauti wakicheza uwanja mmoja na Yanga kwa ajili ya mashindano mbalimbali,Simba kwa sasa imetuma ombi CAF na bodi ya ligi ili kuutumia uwanja New Amani kwa ajili ya michuano mbalimbali,Azam Complex wanapaona pamoto.
Tweet media one
40
22
1K
@iddynonga_
iddy nonga
3 months
🚨Debora kashavujisha pepa,kwa hiyo Diarra tarehe 8 hatosogea mbele,Mzee wa kispika anasema anaitwa Debraaa na sio Deboraaaaaaaaaaaaaaa !!..
Tweet media one
15
25
1K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
🚨Huyu jamaa Simba alienda kufanya kazi lakini akili na moyo wake upo Yanga, anaenda uwanjani,yupo na majeraha kaja Yanga kutibiwa,Simba kama kawapotezea hivi ....
Tweet media one
79
25
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Hussein Bakari mlinzi wa Geita Gold ni kama ameshajichukulia tuzo yake ya uungwana katika michezo "fairplay awards",upo nyuma kwa mabao mawili tena Musonda akiwa moja ya wafungaji na wewe ni mlinzi na bado unapata ujasiri wa kumnyoosha mguu,what a passion,unastahili tuzo kaka
Tweet media one
17
20
1K
@iddynonga_
iddy nonga
4 months
🚨Huyu bwana kaja na makombe mawili mkononi mwake,kombe la ligi kuu pamoja na kikombe cha ligi (Throne Cup) ,vikombe vyote wamemnyoa Nabi !!.
Tweet media one
26
12
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨ZA HIVI PUNDE🔸Klabu ya Yanga imepanda kutoka nafasi ya 75 kwa ubora hadi nafasi 23 na Simba imepanda kutoka nafasi ya 11 hadi nafasi ya nane Afrika,Klabu zitakazofanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali kwenye michuano ya CAF zitaongeza pointi tano nyingine !!..
Tweet media one
20
20
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
🔺Miquissone kwa sasa ili kumsaidia ni Robertinho kumpa muda mdogo wa kucheza tena kwenye game ambazo hazina presha kubwa
Tweet media one
13
18
1K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
🚨Pa Omar Jobe nimemuona mazoeini ni moja ya bonge la mchezaji,kama huyu mtu hatopigwa misumari Simba fasta watamsahau Baleke !!.....
Tweet media one
33
21
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 month
🚨Kagoma kama hajajikaza,atapoteza "focus",klabu yake inasema imemuuza Simba kwa kuwa Yanga walikuwa kimya, kijana acheze soka lake,yeye ni player halali wa Simba sports !!.
Tweet media one
16
24
1K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
🚨Huna deni Henock Inonga "Varane" haya ni mafanikio makubwa kwenye michuano ya AFCON/kombe la dunia la Afrika kutoka kwa mchezaji anayecheza ligi yetu ya Tanzania,kitendo cha kucheza mshindi wa 3 ni hatua kubwa ambayo sio rahisi kuifikia,mmeenda wengi ila kwako imekuwa tofauti
Tweet media one
21
33
1K
@iddynonga_
iddy nonga
10 months
Mmmmh ila Simba mnapoelekea kuna timu zitagoma kuja uwanjani rasmi wameshusha kiungo atakayekuja kusimamisha maji ya bahari huyu ni wa kuitwa Babacar Sarr,amesajiliwa kutoka klabu ya Monastir ya nchini Tunisia !!...
Tweet media one
34
19
1K
@iddynonga_
iddy nonga
4 months
🚨Huyu ni wa 10 anajiunga na Simba !!...
Tweet media one
21
21
1K
@iddynonga_
iddy nonga
5 months
🚨Simba huku shirikisho walipoanguakia huenda msimu ujao wakafanya vizuri au wakafika mbali,kuna kitu kinaniambia !!..
Tweet media one
110
17
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Hivi kwa sasa kuna mchezaji anayecheza soka la kulipwa nje ya nchi anafanya vizuri kumzidi Simon Msuva !!....
Tweet media one
27
12
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 months
🚨Nikiitaja timu ambayo ilikuwa inamtaka hapa Tanzania nitaambiwa nina nongwa,ila dili lake lilikufa baada ya kupigishwa shoti kuwa haendani na hiyo timu,leo Gatech anawafundisha viungo wetu jinsi boli linavyotwangwa ! AISEEEE !😂!!...
Tweet media one
24
30
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
🔵AZAM FC WAMESTUKA🔸Mechi ijayo ya Yanga na Azam fc tayari wenyeji wenyeji wa mchezo huo Azam fc wamesema watatumia Jezi nyeusi, kazi inabaki kwa Yanga waliozielewa jezi zao Nyeusi hapa ndio kanuni zitakumbukwa za matumizi ya Jezi za Ugenini, Nyumbani na Ziada.
Tweet media one
Tweet media two
46
20
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨FEISAL ALITESEKA SANA YANGA🔸“Fei aliteseka sana, aliishi maisha magumu Yanga, kudai haki yake imekuwa shida. TFF itende haki kwenye hukumu. Familia yetu kiujumla tunataka Fei aondoke Yanga.” Mama mzazi wa Feisal Salum ‘Feitoto’
Tweet media one
84
33
1K
@iddynonga_
iddy nonga
4 months
🚨Huyu hapa kiboko ya Chama,Ahoua,anajua mpaka Chama atasahaulika,ila hizi sajili za Kariakoo zinavyosifiwa utadhani kasajiliwa Messi au Ronaldo !!...
Tweet media one
27
19
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Azam FC baada ya kuwa mbioni kumalizana na Florent Ibenge kocha wa Al Hilal kwa sasa wapo kwenye hatua za mwisho kumsajili beki wa kati wa Yanga,Dickson Job kwa kumpa signing fees ya milioni 139 na mshahara wa milioni tano kwa mwezi !!.
Tweet media one
46
25
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Kwa hiyo mwenetu Sakho ata-train na Sadio Mane ground moja ? !!....
Tweet media one
10
22
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 months
🚨A.M.E.R.U.DI. !!....
Tweet media one
11
17
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 months
🚨Kagoma kwa sasa atasubiri kidogo kuichezea Simba,ktk kikao cha sheria na hadhi za wachezaji imeamuliwa mpaka tarehe 20 ndipo wataketi tena,kuna taarifa mchezaji kafanya double signing (kapiga Yanga na Simba) !!....
Tweet media one
16
20
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 month
🚨We! Selemani we Selee!,mabibi na mabwana huyu hapa mfungaji bora msimu uliopita wa ligi ya Znz akiweka chuma 20,kwa sasa akiwa Fountain ktk mechi tatu tu kaweka kamba mbili,msije sema sijawaambia,karibu katika ladha za ligi kuu Selemani Mwalimu!!.
Tweet media one
5
16
1K
@iddynonga_
iddy nonga
8 months
🚨Babacar Sarr ni mchezaji mwingine aliyesajiliwa pamoja na Joseph Guede kwenye dirisha moja,leo mwenzake kafunga bao muhimu dhidi ya Geita,bado Guede yeye anaendelea kupambana,hizi ndio aina za sajili ambazo hazihitaji makala ndefu kazi zao tu zinajieleza,huyu ni kiungo wa ball
Tweet media one
52
26
1K
@iddynonga_
iddy nonga
24 days
Charles Ahoua naamini anaweza kuwa ndiye "MVP" wa msimu huu !!.
Tweet media one
18
16
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
✨ZA HIVI PUNDE🔸hawa wa leo wapo kwenye ligi gani ?,hii pre-season hii !!.....
Tweet media one
43
20
1K
@iddynonga_
iddy nonga
5 months
🚨Yanga wamepita watu wengi,tena wenye ubora mkubwa kumzidi hata Feisal,why bado watu hawataki kukubali kuwa mpira ni biashara kwenye miaka hii ya kileo ?,yaani Azam ikicheza na Yanga halafu ikafungwa basi Fei toto huwa anakuwa ndio sehemu ya kutaniwa na mashabiki wa Yanga !!...
Tweet media one
347
31
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Sakho aanzia benchi Senegal,hivi kuna mchezaji kutoka ligi yetu ameanza kwenye taifa lake katika michezo hii ya kufuzu AFCON ?
Tweet media one
121
16
1K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
Kweli maisha yanaenda kasi sana leo hii Miquissone wa kukataliwa kwenye dili la mabadilishano na Tchakei? !!...
Tweet media one
11
10
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
✨Huyu mwana anaujua kweli kweli,Simba leo walisumbuliwa sana !!.....
Tweet media one
13
20
1K
@iddynonga_
iddy nonga
7 months
🚨Bado inafikirisha kidogo,how come Yanga wanamruhusu Lomalisa aondoke akiwa na kiwango hiki?,kabla ya ujio wa Kibabage upande wa kushoto kwa misimu ya karibuni uliwasumbua,lakini huenda akashuka mtu kama Yao na Pacome walivyokuja !!...
Tweet media one
31
27
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
✨Azam Azam Azam nimewaita mara tatu,hili bomu mnaloenda kulitengeneza msimu ujao,hizi Simba na Yanga huenda utawala wao wa soka hapa nchini ukawa kwenye mashaka makubwa sana,uthubutu wa kulipa milioni 40 kwa mwezi sio jambo la kawaida,Ahly wamekubali mziki,ligi ianze tu mapema !
Tweet media one
69
18
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 year
✨Kocha wa mwisho kutoka Yanga na kwenda kufundisha klabu kubwa kama Wydad ilikuwa mwaka gani?,anyway Wydad Casablanca wamempa kibarua cha ukocha mkuu kocha wa zamani wa Simba Sven vandebroeck akichukua nafasi ya Garrido aliyetimuliwa kutokana na matokeo aliyoyapata dhidi ya 🦁!.
Tweet media one
164
35
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 years
✨Jamaa ni msomi Akpan ana Shahada ya Injinia (Degree), lakini kwa sababu anapenda soka akaamua kujikita katika hilo, ingawa anakiri haikuwa rahisi wazazi wake kukubaliana naye!!...
Tweet media one
6
21
1K
@iddynonga_
iddy nonga
2 months
🚨NEW!-Azam FC wamepeleka ofa ya kuitaka tena huduma ya Moallin kutoka KMC,kwa sasa kocha huyo ukitoa timu za Simba,Yanga na Azam FC ndiye kocha anayelipwa zaidi,kapangiwa nyumba, kapewa gari,na sio nyumba wala gari za kinyonge !!.
Tweet media one
13
19
1K
@iddynonga_
iddy nonga
9 months
Bado inafikirisha kidogo kuhusu tetesi za Bacca kuhitajika na vilabu vya Ubelgiji, kwa bahati mbaya soko la walinzi kwa sasa ulaya ni gumu mno hasa katika ligi ambayo anahusishwa nayo, for me nchi za Kiarabu zilizo Afrika na PSL panamfaa zaidi kuliko huko anapohusishwa napo!.
Tweet media one
41
25
1K
@iddynonga_
iddy nonga
5 months
🚨Wasipoangalia kwenye mechi hizi mbili tatu huyu Saido ataingizwa sasa hivi katika mjadala wa wanaowania tuzo ya MVP wa msimu,tupo hapaaaa !!....
Tweet media one
35
20
1K
@iddynonga_
iddy nonga
1 month
🚨Simba wamempata Mpanzu kirahisi mno,mwanzoni aliwadengulia sasa hivi yeye ndio ameitaka Simba,what a deal!.
17
30
1K