JohnMazanzaga Profile Banner
Mazanzaga Profile
Mazanzaga

@JohnMazanzaga

Followers
239
Following
2K
Statuses
2K

In love with my mother Land 🇹🇿 we shall no longer slavery minded, say no to neo-colonialism

Dar es Salaam, Tanzania
Joined April 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
3 hours
@Inkubuman @imaaJr_ Akili ndogo haiwezi kujua kama tunanyonywa na haiwezi mwelewa heche, ndo kosa tulofanya watz, kuwatanguliza akili ndogo mbele matokeo yake wakoloni wanarudi kwa mgongo wa wawekezaji, wakasaini mikataba ya ajabu na kijinga ata Babu zetu waliokufa miaka mia 5 iliyopita wasingekubal
0
0
0
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
6 hours
@earadiofm @AntipasPamba @exaudwamtei @kissadaniel2 Sifa za chawa ni kupenda uchafu, ukiona mtu mwenye akili timamu anasifia uchafu ujue huyo ni chawa, mfano mtu anasifia uuzwaji wa Rasilimali za Taifa Kwa wazungu Kwa kupewa sahani ya wali wa dengu, hiyo mtu lazima awe chawa, mtu mwenye akili timamu hawezi fanya hivyo
0
0
0
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
6 hours
@dictatorbin Tatizo hujui kutofautisha kati y unyonyaji na uwekezaji, sawasawa hao wenye fikra Duni walishindwa kutofautisha Hilo wamejikuta wnagawa urithi wa Nchi Kwa sahani ya wali wa dengu, wamekula wamemaliza Sasa wazungu wnaendelea kutafuna unono wa nchi, afu Kna vijana kma ww wnshngilia
0
0
0
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
6 hours
@dictatorbin Ndo maana nakwambia ungekuwa angalau una ata kiasi Cha punje ya haradali, ungeona tatizo, ila Kwa sababu ndo hivyo tena huwezi kung'amua mambo! Kipofu aliyechangamka katikati ya utajiri wa kutupwa, so sad😢. Kama kweli chama kinatengeneza watu wa namna hii bas mbele ni Giza nene
0
0
0
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
7 hours
@Inkubuman @imaaJr_ Na inapaswa kutengeneza vijana wa aina ya heche, kulinusuru Taifa kutoka mikono ya wakoloni
1
0
0
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
2 days
@ReeYanga @jokateM Ata kipindi Cha kina Nyerere walikuwepo vijana wasaliti na mapapeti wa wakoloni! Hatuwashangai... Upo muda utakuja madhira ya watawala yatakapowagusa kila mtu apo ndo tutaongea lugha moja.... Hakuna atakayesema acheni, kila mtu atasimama na kwenda bila kushawishiwa na mtu
0
0
0
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
3 days
@Rahma_Simba Muuaji wa watngnyk
0
0
0
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
4 days
@Cutyhusnah Mungu yupi unayeanza naye Kwa kutukana watu na kuwatweza??
0
0
0
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
4 days
@dictatorbin @SuluhuSamia Kwa sifa hizi, Kuna namna Magu hakufa kifo Cha kawaida, msaidizi anahusika Ili atakeover
0
0
0
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
4 days
@imaaJr_ Matusi yote hayo ni Kwa sababu anatetea watanzania, na kuwasema mafisadi... Mnadhani watanzania wanatumia makalio kufikiri ... Ata mgechafua vipi sisi tunajua nyie ndo vichaa... Maana sifa ya kichaa ni kutukana
0
0
0
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
5 days
@jokateM Wazungu sio wajinga, wanatoa takataka tunawapa madini yetu, tunarudi Kwa wananchi kuwarudikia Kodi Ili mkazigawane Kwa njia za ufisadi
0
0
0
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
6 days
@HildaNewton21 Akili za ushoga tu hizo
0
0
1
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
6 days
@MzalendoDaily Wakiaza kumfanyia ivi mama enu Msije kukimbilia kuua laiya
0
0
0
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
7 days
@TweveDevota Kwenye ulinzi wa Rasilimali zetu Ili zimnufaishe mwanamke huko kijijini hampo, kugombea hampo, sasa
0
0
1
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
7 days
@EduTalkTz Kwa Sasa huwezi kutrend bila kumtaja huyo jamaa...
0
0
0
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
7 days
@John_Pambalu Umenena vyema, kutoa tumaini jipya lazima tu utagusa ubaya wa watangulizi, mfano kutumia Rasilimali zetu kuleta maendeleo lazima utasema Kwa sahihi kivipi Rasilimali hazitumiki ipasavyo kuleta kuondoa umasikini badala yake kuwanufaisha wazungu na watu wachache wasio wazalendo
0
0
4
@JohnMazanzaga
Mazanzaga
7 days
@lwaitama1 Lakini nadhani Bora ata gwaji kuli mama wa kambo ata thinking capacity zitofautiana sana mbali mno
0
0
0