![The head of the Table Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1855876711524585472/LxgPwDqR_x96.jpg)
The head of the Table
@FrankItogoro
Followers
141
Following
15K
Statuses
6K
Joined July 2022
@Jambotv_ Hata wakibaki hakuna kitu mutawafanya, rejea sakata la wadada poa ubungo na mkuu wa wilaya lilifikia wapi..?
0
0
1
@Jambotv_ @TunduALissu @ccm_tanzania Sasa hata nywele zimemusaliti ni nani atamuelewa wakati hata ushawishi hana. CCM tafuteni mbadala wa huyu mzee. Mfano toka ameanza kazi ni nini cha maana amezungumza kikawachachafya wapinzani zaidi ya kusinzia kwenye mikutano
0
0
0
@MariaSTsehai Kwani maridhiano yamewahi kufanyika lini na makubaliano ya pande zote yalikuaje..? Hayo maridhiano yamewanufaisha vipi wananchi..? Na hiyo MARIDHIANO DAY itakuwa na manufaa gani kwa wananchi..?
0
1
3
@CloudsMediaLive Licha ya yote aloongea, swali la msingi ni kwamba why always TUME HURU YA UCHAGUZI & why hamutaki mabadiliko munaogopa nini..? Tz ni nchi ya kidemokrasia ambayo Rais na wabunge na viongozi wa serikali za mtaa wanapatikana kwa njia ya uchaguzi wananchi wanaamua but why TUME
0
0
1
@ayubu_madenge Haha acha kutuleta basi, huu uwanja umejengwa lini au kandarasi iilitangazwa lini mbona hatujui au lakin nilikuwepo Tz muda wote lazima ningesikia. Amna
0
0
3
@tanpol Police tunawapongeza kwa kazi nzuri ya kuhakikisha amani inakuwepo muda wote. But hii imekaa kama memes tu, sidhani kama inahitaji kuipa userious kiasi hicho ila mnaweza mkakanusha na kusonga mbele.
0
0
0
@Dominicksalamb1 Awapi angekuwa na uwezo huo Bacca wasingemuacha, look Lamine Yamal ameanza kutumika Bacca akiwa na miaka mingapi na uwezo wake ukoje then compare na huyu wa dinho
0
0
0