AdriNuru🔜 IFB🤝
@AdriNuru
Followers
2K
Following
33K
Media
77
Statuses
13K
Enthusiastic storyteller sharing captivating news, thrilling sports, and heartfelt love to inspire and entertain | FOLLOW BACK MACHINE
Joined February 2018
@kigogo2014 Mdogo angu manara Mimi ni simba damu lakin tambua kuwa ni mwanamchi halali mwenye kitambulisho cha nchi ya TWEETER na @kigogo2014 nu RAISI wangu so kwa hili sina msaada na wewe.
15
1
273
@kigogo2014 @kigogo2014 huku kitaa wana wanasema taarifa pekee wanaiamini ni kutoka kwako, so tegemea ushirikiano wa kutosha juu ya hizo taarifa.
1
0
150
@MsumbaNews_ @ccm_tanzania @bajabiri @MarekaMalili @GloryPeter2017 @Kiganyi_ @jesca2019 @SuphianJuma @HecheJohn @MariaSTsehai @fatma_karume @Advocate_Jebra Unapotafuta maana ya UPUMBAVU, basi tafsiri yake sahihi ni @ccm_tanzania .Jamani tuheahimiane nimefanya huu utafiti kwa muda mrefu sanaaaaa!!!!.
0
0
75
@kigogo2014 Daaaa, ningekuwa Mimi ndo serikali ningemtafuta kigogo sio kwa ajiri ya kumuu ila kumpatia ukurugenzi kabisa wa TISS.
1
3
54
@kigogo2014 Pole sana, sasa hutapigwa tena virungu mtoto mzuri! . SASA UTAPIGWA UFAHAMU WAKO, NA UTAKUWA NDONDOCHA KAMA SISI MATAGA WENZIO.
2
0
37
@kigogo2014 TISS siku hizi kimekuwa chombo cha kawaida, wakati zamani ilikuwa ukisikia USALAMA WA TAIFA, mavi yanaanza kugonga CHUPI.
1
0
30
@kigogo2014 Baba mwenye tweeter yake kakohoa, sina maana ya corona I mean KAHUTUBIA JAMUHURI YA TWEETER KINACHOSUBIRIWA NI UTEKEREZAJI TUU!.
1
0
32
@millardayo @kigogo2014 Kibabu hiki kilikuwa kinachukua Taadhari ya CORONA kila MTU alikiona kichizi, lakini kinaelekea kuwa kishujaa.
1
0
34
@kigogo2014 Kudadeki, Sitaki ushauri wa panya yeyote Mimi nafuata ushauri wa KISAYANSI na sio matapishi ya hawa mbwa 🚮.
3
0
29
@kigogo2014 Daaa, ila hapo itakuwa ametumia busara zaidi, maana hapo ilitakiwa walale sero, kumbe hadi walilala na home wakachukuliwa kesho yake? ILA VIONGOZI HAWA WA TZ KIUKWELI NI UPUPU, jamani nimemaanisha!.
4
0
29
@kigogo2014 @umwalimu Aaaaaaah, , 🙊🙊 ila hii CORONA sasa itakuwaje bro MEKO Ataenda wapi? Me naichukia sana corona, inamsumbua sana bro angu.
1
0
29
@kigogo2014 Katika kipindi hiki cha CORONA Mimi binafsi nimeamua kuwa director wa maisha na usalama wangu, kiufupi sitaki kufuatisha maelekezo yoyote ya hawa viongozi, coz wao wenyewe hajui wanataka nini sasa watapipeleka wapi mbwa hawa? 🚮.
1
1
24
@kigogo2014 @kigogo2014 Unamtaka nini lakini Raisi wetu, Unataka hadi atoke mafichoni kwa presha unayompa ili aje huku tunakoishi sisi kungunguni, aumwe corona ADANJE? we unadhani Uraisi sio mtamu eeee? .NILISHASEMA MIMI NI WAKUSAMEHEWA TUU!🙏.
1
0
26
@kigogo2014 Ila MEKO, umeniangusha sana mimi MATAGA kukimbia jiji kumenifanya nikose chakutamba kabisa mjini hapa, na kukosa plani ya CORONA ndo umeniua kabisa fala wewe? 😷.
3
2
23
@kigogo2014 Hawa jamaa wakiwa kwenye mamlaka wanasahau kuwa na wao pia ni RAIA cheo ni kwa muda tuu, ikifikia hatua sheria waliyotunga wenye inaanza kuwatafuna, wanajua sana kutia huruma kwa RAIA mbwa hawa.
0
0
20
@kigogo2014 @PatrickBilungo Bro unanipaga matumaini sana, kuna wakati hata nikiwa na njaa nasema nitakula fact za kigogo tuu.
3
0
21
@kigogo2014 Dotto umeingia kwenye anga za @kigogo2014 kwanini lakini, . @kigogo2014 GONGA SPANA TUU MBWA HAWA.
0
0
19
@kigogo2014 Jamani sisi MATAGA tumeshasema tuna hela zaidi ya $5 billions so tunaakiba ya kutosha hazina, ILA NACHEKA LAKINI NAOGOPA, aaaa MEKO tuuwe tuu baba 😏.
1
0
17
@kigogo2014 Ndio sababu ya Mimi kuchukua Urai wa twitter huko kwenu mambo yalininishinda, Mh Raisi @kigogo2014 wanasemaje huko Matopeni?.
1
0
15
@kwanza_tv @kigogo2014 @ACTwazalendo 🤣🤣🤣 NCHI hii kuna wakati hutakiwi kupanic zaidi ya kucheka tu!.
1
0
15
@kigogo2014 Jamani hivi ni nani huwa anawaambia hawa WB kuwa sisi MATAGA hatuna akili? 🤔 au litakuwa ni hili li @kigogo2014 ?.
1
0
15
@kigogo2014 Hii, nchi Mimi binafsi naona tunapoteza muda, Kuna usemi wanasema "Mungu na mbio" serikali inawaza maombi badala ya tenga fungu la kusambaza barakoa, kupunguza bei za sanitizer na pia kutenga maeneo yaliyoathirika zaidi, kwa hili SERIKALI IMEKWEPA MAJUKUMU YAKE,.
1
0
14
@fatma_karume @kigogo2014 @fatma_karume kifo ni njia yetu wote hakuna mtu ataishi milele, lakini mtu unapofurahia kifo au mtu mwingine kusababishiwa kifo sio jambo jema, huyu mama Mimi nadhani misingi ya dini aliisahau na kuona kama mbingu ni @ccm_tanzania na kama mtu uko CCM basi kifo hakiko upande wako.
0
0
14
@Cheka___tz Mwanangu wewe nifollow, uone vile nita follow back kwa Speed ya Fisi Mwenye Njaa.
2
0
13
@lastking1602 Mwanangu wewe nifollow, uone vile nita follow back kwa Speed ya Fisi Mwenye Njaa.
1
0
12
🌱 We Rise by Lifting Each Other 🌱.Follow me, and I’ll follow back. Let’s share stories, support growth, and lead with purpose—in business, advocacy, and love. Together, we thrive. 🙌.#GrowTogether #BuildingDreams.
6
6
12
@Cheka___tz Mwanangu wewe nifollow, uone vile nita follow back kwa Speed ya Fisi Mwenye Njaa.
0
0
11
@kigogo2014 @thedoni3 Sisi kama MATAGA kwa sauti ya NNE tunasena MSITUTISHE na hatuna habari tuko huku tumelala juu ya MAWE, CORONA hili litapita.
0
0
11
@MsigwaPeter @MsigwaPeter wewe ni mchungaji, sijui kwanini huwa nakuamini japookuwa Mimi sijawahi kuwaamini wachungaji.
2
0
10
@kigogo2014 Wewe @kigogo2014 unaona wivu kwakuwa wewe sio MSUKUMA acha WASUKUMA tule nchi bwanaaa! @makonda_paul @HKigwangalla au mnasemaje? Sisi kwetu MEKO ni pilau nyama 🤣🤣.
2
0
12
@Mkuruzenzi @kigogo2014 @MkulimaGauteng @HKigwangalla SISI MATAGA TUMEKAA KIKAO, SOON TUNATOA TAMKO!.
0
0
10
@kigogo2014 Sasa kama Mimi MATAGA najijua sina AKILI ila kuna siku nitakuja kuwa KIONGOZI sasa @kigogo2014 Unategemea nitakuja kutoa proper direction? Msijidanye simple definition of AFRICAN R LEADERSHIP IS 🚮.
0
0
11
@SheeChumba Unlock fresh insights and inspiration daily—hit follow and let's grow together, I'll follow you back soon, 🙏.
0
0
10
@Cheka___tz Mwanangu wewe nifollow, uone vile nita follow back kwa Speed ya Fisi Mwenye Njaa.
2
0
11
@ProfessorJayTz @freemanmbowetz Bro nakuona mbali sana, ila sijui lini kuja kukuona waziri kamili wa MADINI, time will tell ✌.
0
0
9
@abelmaiko6 Follow me, I'll follow you back immediately, and consider my pinned post, please repost 🙏.
0
0
9
@TZFanatic @YerickoNyerere NGOJA MIMI NIRUDI KIJININI KWETU TUKATAMBIKE MIZIMU, maana DESMUND TUTU alishasema Wazungu walipokuja Afrika walitukuta waafrika tunaardhi ya kutosha, wakatuambia tufimbe macho tuombe, baada ya kufumbua waafrika tulikiwa na biblia wao na ARDHI, ila mimi ni mkatoliki.
0
1
10
@kigogo2014 Mimi kujifukiza nimeona nachelewa kutimiza agizo la Mh MEKO sasa Niko NAJICHEMSHA, na kwa tetesi ninazo zisikia kwa watu walio karibu wanasema SUPU imefana sana,.
0
0
10
@kigogo2014 Sasa kwa kuwa meko huwa anapenda SIFA ATAJICHANGANYA ATATOKA CHIMBO AKIJA TUU ATAKATA MOTO, so ushauri utulie tuu, ila kipindi cha uchaguzi sijui atakuja kudanganya nini.
1
0
9
@kigogo2014 🤣🤣🤣 sasa ninayo fomular ya kuwa RAISI siku nikiwa mkubwa, simple ni kuwa BOYA TUU.
0
1
9
@kigogo2014 Mungu pekee tuu ndiye atatuvusha, maana hii mi viingozi yetu hii haina vision yoyote.
0
0
8
@SalimoAnne Follow me, I'll follow you back immediately, and consider my pinned post, please repost 🙏.
0
0
9
@SalimoAnne Follow me, and I’ll follow you back right away. Don’t forget to check out my pinned post your repost would mean a lot 🙏.
0
0
9
@kigogo2014 Woyowoyooooo! Khaa mimi nae kweli mimi MATAGA yani sijui hata kitu cha kushangilia, si MSIBA huu? TBC mkifa wote MEKO atajua this shit is serious, am sure next time wataanza kukata moto MAWAZIRI.
1
0
7
@SheeChumba Let’s connect and inspire! Follow me, and I’ll follow back. Together, we can achieve more.
0
0
8
@fredrickjustne Huyu bro sikuhizi amekuwa MPUMBAVU! njaa zinamuelemea sana, so njia anayoona inafaa ni kujioendekeza ili apewe hisani ya UWAZIRI.
0
0
8
@kigogo2014 🤣🤣 wakati mwingine nikiwa nacheka mtu asiniulize, maana naweza kufa na wewe SICHEKI KWA FURAHA.
0
0
8
@kigogo2014 Kweli CORONA Imekuja na mambo mengi, kunatukia limetokea huku mtaani kwetu jamaa amekufa Mara baada tuu ya kuvaa barakoa, hii ni kutokana na harufu ya mdomo wake kuzidi, .Jamani nisamehewe tuu sijawahi kuwa na akili ndo maana nikaitwa MATAGA, Mzaha hadi kwenye issue serous, 🤔.
0
0
7
@abelmaiko6 Follow me, I'll follow you back immediately, and consider my pinned post, please repost 🙏.
0
0
8
@Stanley45438379 Follow me, and I’ll follow you back right away. Don’t forget to check out my pinned post—your repost would mean a lot 🙏.
0
0
7