Madee Profile Banner
Madee Profile
Madee

@Madeeseneda

Followers
240,896
Following
516
Media
1,624
Statuses
18,278

Musician & C.E.O Manzese Music (MMB)

Manzese, Dar es salaam
Joined August 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@Madeeseneda
Madee
1 year
Maua yako nnayo na sikupi @Roma_Mkatoliki
Tweet media one
133
146
4K
@Madeeseneda
Madee
4 years
One billion views for Almasi 😳👏👏👏 congratulations... naskia ndio mwafrika wa kwanza kutoka kusini mwa jangwa la sahara.. Tungekua na umoja tungekuandalia kahafla flani nakukukabidhi tuzo,lakini🤷‍♂️
Tweet media one
270
224
4K
@Madeeseneda
Madee
1 year
Umri wangu umekwenda sana,na namshukuru Mungu kwa huu muda alionipa,coz nimeshuhudia marafik wengi sana hawakubahatika kufika 40+,why me?asante Mungu,nnachosikitika nikuchelewa kua mtu mwengine, Umaarufu mbaya sana,nmeamua kuacha yote,naanza nahili STAKI TENA MZIKI na mengineyo🙏
Tweet media one
347
156
4K
@Madeeseneda
Madee
8 months
Arsenal 2 Wolv ...
Tweet media one
39
79
3K
@Madeeseneda
Madee
1 year
hatutoi maua kiboya boya.. chana kweli ... kama @Wakazi wa ukonga staki shari!!!
Tweet media one
181
95
3K
@Madeeseneda
Madee
8 months
wanangu mimi sizamii... nnawatoto.. so ntarudi tu
Tweet media one
71
61
3K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Yoo Naseeb Go Geritiiii ...🏆 Tanhaley (Tandale) @BETAwards
Tweet media one
159
234
3K
@Madeeseneda
Madee
8 months
KILA LAKHERI YANGA YANGU..
Tweet media one
24
78
3K
@Madeeseneda
Madee
2 years
Hivi kuna mwanadamu mwengine Leo anafuraha kunishinda mimi😂
Tweet media one
151
63
3K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Mzee Yusuph kaniangusha sana.. kakazaa wee Dunia inaelekea mwishoni kashindwa😂😂
268
115
3K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Uchebe ametudhalilisha wanaume!!
349
73
3K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Tanga wanaamini mtoto wao kaenda kutafuta maisha.. kumbe kaenda kutafuta magari mazuri yakupiga nayo picha😂😂
Tweet media one
163
69
3K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Nimuda sasa wakuichukua Kongwa yangu... Mihanyenyi !!!!!🤪🤪🤪
Tweet media one
169
71
3K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Leo ndio ile siku nimezaliwa!!🙏🙏🙏🙏
Tweet media one
294
47
2K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Jamani kama umekuja na mtoto njooni tukae huku!!
Tweet media one
64
56
2K
@Madeeseneda
Madee
1 year
Kahiyo leo hakuna mvua sio😂
Tweet media one
65
64
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Kama kuna mtu anajua majina ya team za volleyball naomba anitajie kama tatu hivi ili nichague moja..niachane na mpira wa miguu,hii team yangu itaniua..hospitali nimeambiwa moyo wangu utapasuka!! Oooh Gunnerz why?
Tweet media one
297
84
2K
@Madeeseneda
Madee
1 year
SKUDU
Tweet media one
15
56
2K
@Madeeseneda
Madee
2 years
🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️
Tweet media one
61
21
2K
@Madeeseneda
Madee
2 years
Mmarekani wa mchongo nayeye kaona isiwe tabu 😂 #FOA anayo..(Faster Ondoka America)
Tweet media one
69
52
2K
@Madeeseneda
Madee
1 year
Jumaa Kareem to all muslim!!
Tweet media one
91
69
2K
@Madeeseneda
Madee
8 months
nimezifata zile point zetu tatu za Dhulma...
Tweet media one
27
36
2K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Yani wale wapopo wangekutana na Simba ile ya Konde boy na Chama.. wangekula hata saba!!
94
52
2K
@Madeeseneda
Madee
1 year
eeeh Mungu naomba usubiri nimalize kusomesha wanangu.. haswa hawa wakike🙏
Tweet media one
79
64
2K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Tunaonewa sana.. wanatupangia ratiba ngumu .. na bado mared card.. watatuua hawa..
192
54
2K
@Madeeseneda
Madee
2 years
Sio kesi wananchi.. Next tym tutarudi imara zaidi yasasa!!💪
Tweet media one
125
40
2K
@Madeeseneda
Madee
11 months
nyie hili limtu nyoko kabisa... 💪
173
364
2K
@Madeeseneda
Madee
1 year
yani haya mashindani ya Africa .. utadhani ni spesho kwa waarabu... wanafanya maujinga kibao na Caf wala hawawafanyi kitu! .... ila kama kuna mtu karibu aje achukue simu yangu.. Naelekea kubaya😬😬
Tweet media one
117
56
2K
@Madeeseneda
Madee
2 years
Oiii son.. nimuda sasa wa mziki wa Manzese... punguza safari!! Kesho natoa wimbo wako @dogojanjatz
Tweet media one
39
34
2K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Anakimbia kushinda IST yako😂😂👆
Tweet media one
93
30
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Kwani kuna nn kinatokea uko kwenye tv jamani? Me sioni mjue
98
35
2K
@Madeeseneda
Madee
10 months
ndiomana kuna muda naona aibu kusema natokea Tanga kwasababu ya watu kama hawa.. sasa mambo yahumu kuyapeleka instgrm ili iweje... yahumu yaishe humuhumu...
Tweet media one
48
40
2K
@Madeeseneda
Madee
5 years
Happy birthday to me!!
Tweet media one
167
38
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Msije kumwambia Jay z..🤪🤪
Tweet media one
181
41
2K
@Madeeseneda
Madee
6 months
unajua kwanini hii biashara ya KUBET sikuhizi imekua ngumu? 😂😂 wale tuliowaamini waitetee mikeka yetu nawao wanabet (Wachezaji)
Tweet media one
37
58
2K
@Madeeseneda
Madee
5 years
Tunabezana tu lakini simba wamepiga hatua..simba wanamikakati..natamani kuona yanga mpya..yanga yavijana sio wale kina Akili nani sijui..mana tunataniwaaa mpk tumezoea..
135
82
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Hamisi unatutisha mbona upo kimya mpaka sasa? Au ulishapewa piki piki
104
31
2K
@Madeeseneda
Madee
5 years
Kaka @Roma_Mkatoliki si urudi basi😂😂 huku pako poa hakuna shida😂😂
Tweet media one
119
35
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Hii ni picha mpya nimeikuta uko mitandaoni.. nafkiri Mungu amezisikia Dua zetu.. huu ndio mwili nnaoujua mimi toka kwa Cheed benz!! Mungu azidi kukuongoza bro!!
Tweet media one
125
54
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
RC mstaafu kumbe nae Arsenal.. leo ndio nimegundua
Tweet media one
95
25
2K
@Madeeseneda
Madee
1 year
Nimepigiwa simu nahitajika ubalozi wa Libya haraka sana.. dua zenu jaman😂
Tweet media one
74
31
2K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Kiukweli mimi mpaka leo siamini kama @Roma_Mkatoliki alitekwa.. nakama kweli kwanini walimuacha na vikovu viwili vitatu? Mbona wengine tunasikia wanang'olewa mpaka meno? Au Kuna lipi kubwa kafanyiwa? UTEKWAJI WA MCHONGO!! 😂😂
220
50
2K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Tunaanza kurudishana matatizoni sasa😬😬
153
35
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Hamisi watatu na Hamadi mmoja!!
Tweet media one
36
31
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Kama suala la *MORRISON* limekuwa gumu kwa *TFF* bac ipigwe *GAME* moja kati ya *SIMBA na YANGA* atakayeshinda ndo amchukue *morrison* (Nimeiokota uko)
92
30
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Hili kocha jipya la Wananchi ninoma.. kuja na kuja tu limeshinda mechi mbili siku moja..
Tweet media one
95
48
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Tumebakiza mechi 36 tu kutangazwa kuwa Mabingwa wapya wa EPL”
120
44
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Yani natamani umu twitter tubaki Arsenal tu kwa mwezi mzima.. tufanye sherehe yetu!
145
44
2K
@Madeeseneda
Madee
2 years
Hahahahaha Nyumbu usiku wa Deni...😂😂
Tweet media one
84
40
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Huu utaratibu wa Darasa la saba wanafanya mitihani halafu nje kuna mapolisi wamevaa magwanda anamabomu yamachozi, bunduki..😂😂sio utaratibu mzuri...tunawajengea hofu madogo.. utafutwe utaratibu mwengine.. (Wazo lakini)
127
69
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Umeongozwa na marais wote watano na mpaka leo bado unakaa nyumban.. ndugu tafuta kwako!!
95
32
2K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Mwanangu wale jamaa walitaka nisiandike tena mamistari..wakavunja vidole viwili.. ukikua fanya mpango ulipize kama mtoto wa dharmender.. sawa?
Tweet media one
63
38
2K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Next Season mnyama akifika stag robo fainal,basi atafika fainal.. kuna kitu kajifunza kwenye hii stage..
47
60
2K
@Madeeseneda
Madee
4 months
Ulaya Ulaya tu Jana uropa imeisha Leo droo Africa wakawa wanasubiri wiki mbili nzima ili vile vimipira wavikariri wajue Cha Yanga ni kipi na cha Mamelod ni kipi 😂 @Ujuguhapa
83
90
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Rostam #kakatuchat 🔥🔥🔥
42
55
2K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Oya @HKigwangalla kama una access ya kuchungulia acc ya wasudan embu fanya hivo j3,kacheki Kweli kaweka? Maana ww peke yako ndio mwamba💪🏿🤪Dah sijawai kuona tajiri wanamna hii duniani😂😂😂
116
63
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Unifanya ning’are madam shusho!!
Tweet media one
70
20
2K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Pale palipoandikwa MAGUFULI WEKA✅
Tweet media one
371
84
2K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Wapo nane sio saba.. nane wanamkaba Saka Messi
Tweet media one
79
33
1K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Saniii la mchongo 😂😂😂
Tweet media one
70
23
1K
@Madeeseneda
Madee
5 years
Saimon Msuva kila game anatuonyesha vile mchezaji wa kutoka nje anatakiwa kua!!
48
45
1K
@Madeeseneda
Madee
2 years
Naachia mandevu nakua Lacazette!!
Tweet media one
47
21
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Burundi wamekuja na kocha msaidizi.. kocha mkuu wamemkuta huku huku..😂😂
73
26
1K
@Madeeseneda
Madee
5 years
Ukiacha penalt mpira gani kapiga umeelekea golini?
225
34
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Msaada jamani..twitter kuingia mpaka niwashe VPN nimimi tu au wote?
369
36
1K
@Madeeseneda
Madee
9 months
kama kocha ana alama za namna hii na anafukuzwa.. sijui huyo ajae atatakiwa kufanyaje😂😂😂😂
Tweet media one
52
65
1K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Ndio tunaamka sasa!
Tweet media one
87
30
1K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Dem kaja geto kimagumashi na boda boda😂😂😂 Kanuni zinasemaje?
127
27
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Hivi ngapi ngapi uko mikiani.. kati ya msingida na Mnzega?
111
21
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Iliokua budget ya birthday yangu leo,nimeamua niielekeze kwenye kupambana na janga la corona.. so hatutachoma nyama leo wana.. zaidi ntanunua Barakoa kadhaa.. sanitizer na ndoo ntazipeleka kuzigawa maeneo ya manzese .. then ntarudi home kukata cake na chonge kuepuka mikusanyiko
Tweet media one
104
63
1K
@Madeeseneda
Madee
1 year
Namiliki FEDHA na HESHIMA
Tweet media one
25
39
1K
@Madeeseneda
Madee
2 months
Police wamekuja kuniuliza anapokaa fundi aliemshonea jamaa yetu @JabirSaleh ile suti😂😂 bila hiyana nikawaelekeza .. nitandale kwa Ally Maua😂
Tweet media one
47
48
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Kwataarifa yenu wenyewe tushazoea.. wala haituumi.. #shenzytype
132
32
1K
@Madeeseneda
Madee
5 years
Nikujulishe tu kaka khamis @MwanaFA dogo alivoona hii clip unaskiliza wimbo wake...kainama chini kama dk tano then kuinuka machozi kibao..anasema haamini anachokiona..anahisi bado yupo ndotoni..
55
72
1K
@Madeeseneda
Madee
2 years
Fistooooon kalala kmmk mayeleeeee...
71
43
1K
@Madeeseneda
Madee
5 years
*JEE WAJUA JEE WAJUA..??* *GOAL LA KWANZA LA ARSENAL LIMEFUNGWA TAREHE 01/01/2020* *NA GOAL LA PILI LA ARSENAL LIMEFUNGWA TAREHE 02/01/2020*
57
81
1K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Hii game tukishinda tu .. natoa wimbo mpya wa Maarifa😂😂
58
36
1K
@Madeeseneda
Madee
2 years
Wenzenu tumevuliwa nguo😂😂😂
75
28
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Hamisi mpo wawili tu na wote mpo nyumbu.. naamini mtashinda ubunge na mtausemea vizuri mziki wetu.. Hongereni
Tweet media one
25
26
1K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Happy Independence Day !!!!!
Tweet media one
32
14
1K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Ukiona tajiri anacheza mpaka singeli 😂 ujue Kuna namna hapo
81
52
1K
@Madeeseneda
Madee
3 years
LEO TUNASHINDA..
379
28
1K
@Madeeseneda
Madee
5 years
Haya yote nimaisha...ipo siku yatakwisha...
117
50
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Na kwataarifa yenu Alhamis hatuendi uwanjani
112
22
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Kwahili chama msimu huu uaoanza tunabeba mpaka kombe la dunia😂 La Liga Bundesliga na yote .. hata VPL
62
22
1K
@Madeeseneda
Madee
3 years
Leo ndio siku nimefurahia uwepo wa VAR ...
80
22
1K
@Madeeseneda
Madee
5 years
Amefosi beef mseleleko eeeh tumemkwepaa!! 😂😂
Tweet media one
71
40
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Acheni fujo ndio tunaingia kulala mabingwa!
46
33
1K
@Madeeseneda
Madee
5 years
Hiyo ndio ilikua gar yangu yakwanza kuimiliki na nyumba yangu yakwanza kuijenga..baada yakumaliza fance nikatoka nje kujishangaa hivi nimimi kweli nliekua nachekwa nasemwa nabezwa sijui kurap wala kuimba!leo nnakanyumba kangu na kagar kangu, Tusiwazuie waongeaji ..WAACHE WAONGEE
Tweet media one
88
83
1K
@Madeeseneda
Madee
5 years
Kiukweli kwasasa mimi na mwenzangu khamis Mwinjuma tunafurahia saaaana international break kuliko ile ligi😂😂!
51
29
1K
@Madeeseneda
Madee
5 months
Yanga Raha. Sana...yani tumefungwa lakini kama tumeshinda tu..😂 Wakutucheka anaogopa kutucheka... tutamuonyeshea👋
Tweet media one
16
42
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Wachezaji wenu wana pisi kali kama hizi?
Tweet media one
150
24
1K
@Madeeseneda
Madee
1 year
madogo mbona kama wanataka kuharibu sikukuu yenyewe sasa🤷‍♀️
Tweet media one
76
27
1K
@Madeeseneda
Madee
5 years
Nasikia Roma unachambana na shilole et kweli... wakaka wa Tanga bwn😂
110
34
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Hatungoji mpk boss apigwe mawe ndio tusajili!! Mkoba huu hapa 👇
Tweet media one
107
36
1K
@Madeeseneda
Madee
4 months
Oya Wanangu wa @betPawaTZ leo kuna mawili yakuchagua.. KUFATA HELA or KUFATA MAPENZI 😂😂
Tweet media one
17
23
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Nafkiri sasa tutaheshimiana😂😂
87
33
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Nimeona video Herry Samir Mr blue ameanguka jukwaani.. natoa pole kwaniaba ya wanamziki wote.. Mungu akusimamie urudi tena kazini🙏🙏
38
22
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Tunaongoza ligi!! Nadhani mmeona!!
83
27
1K
@Madeeseneda
Madee
4 years
Leo ndio watasema huo ubingwa waliupatajepataje😂😂😂
65
12
1K