Umri wangu umekwenda sana,na namshukuru Mungu kwa huu muda alionipa,coz nimeshuhudia marafik wengi sana hawakubahatika kufika 40+,why me?asante Mungu,nnachosikitika nikuchelewa kua mtu mwengine,
Umaarufu mbaya sana,nmeamua kuacha yote,naanza nahili STAKI TENA MZIKI na mengineyo🙏