![Mtutura Abdallah Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1514224750180151301/k6Wne4Pa_x96.jpg)
Mtutura Abdallah
@AMtutura
Followers
246
Following
14
Statuses
271
Msemaji wa Tasnia ya Kilimo, Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Katibu wa ACT Mkoa wa Kichama wa Selous, Mbunge wa vipindi viwili wa Tunduru na Tunduru Kusini
Joined April 2022
RT @AdoShaibu: Ikiwa sehemu ya ziara yangu kwenye Mkoa wa Kichama wa Mwambao, Leo nimefanya kikao na viongozi wa Jimbo la Rufiji, moja ya N…
0
25
0
RT @ACTBarazaKivuli: Kiongozi wa Chama cha @ACTwazalendo, Ndugu, @SemuDorothy amefanya uteuzi wa Kamati ya Kuunda Ilani ya Uchaguzi ya Mwak…
0
17
0
@MchinjitaIR @ChademaTz Uko sahihi sana Kiongozi Mchinjita. ACT ni Chama cha kinachofunguwa milango kwa wanaobuguziwa na Vyama vingine vya siasa. Nendani Chama Cha ACT Wazalendo mkaendeleze MAPAMBANO ya kupigania HAKI za Watanzania wote.
0
1
1
RT @MchinjitaIR: Ninawatakia kila la kheri chama cha demokrasia na maendeleo @ChademaTz katika mkutano wao mkuu leo . Mkutano huu ni muhimu…
0
26
0
RT @ACTwazalendo: "Ndugu zangu. Tanzania inahitaji uongozi mpya. Kuondoa changamoto zinazotukabili na kuimarisha mustakabali wa Taifa letu,…
0
11
0
RT @EduTalkTz: Leo Zitto Kabwe ana chama kikubwa, kina mifumo ya kuandaa viongozi wa kesho na kupokezana madaraka, kina mfumo mzuri wa kule…
0
49
0
RT @ayo_shangwe: Tumeamua kwenda mahakamani kupambana kwa ajili ya ustawi na maendeleo ya wananchi; kuishinda dhulma ya dola na CCM. https:…
0
15
0
@othmasoud Ukoloni ni hali ya watu wa nchi moja kuwaamulia mambo watu wa nchi nyingine. Ukoloni siyo LAZIMA Mweupe amtawale Mweusi, hata ikiwa Mweusi anamtawala Mweusi mwenzake huo pia ni Ukoloni. 2025 ZANZIBAR LAZIMA IWE HURU kwa kupewa MAMLAKA KAMILI. ZANZIBAR iwe Singapore ya Africa 🔥
0
2
4
RT @MchinjitaIR: Ninawatakia wa Tanzania wote heri ya mwaka mpya 2025. Huu ni mwaka muhimu sana ktk historia ya taifa letu , Mwenyezi Mungu…
0
8
0
RT @ACTwazalendo: "Mtanzania akienda Mahakamani hana hakika kama atapata haki yake. Hata akilala hajui kama ataamka salama. Tunahitaji mage…
0
17
0
RT @ACTwazalendo: "Kijana wetu alitekwa na CCM. Halafu wakampeleka polisi; akapigwa sana. Watu wa Polisi ambao wanaishi kwa kodi zetu–wanas…
0
22
0
RT @zittokabwe: UPDATE #FreeNondo Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa @NgomeyaVijana ndg @abdulnondo2 amefichwa kituo cha polisi…
0
200
0
RT @ACTwazalendo: #FreeMbowe Chama cha @ACTwazalendo kinataka Mwenyekiti @freemanmbowetz aachiwe huru bila masharti.
0
86
0
RT @ACTwazalendo: "Vyama vyote tafauti yake ni mavazi tu, ila nyinyi mnajitafautisha kwa kuja na vitu kama hivi(ilani). Hii ilani ndio work…
0
11
0
RT @Vicent_Kassala: Nakukaribisha sana @ACTwazalendo Ndg. @TunduALissu. Huku utapata heshima unayostahili. Tumejenga Chama hiki kwa misingi…
0
15
0