@ndembo255
Anaonekana yupo so excited kukutana na timu inayocheza mpira unaoendana nayeye.
Sio kukutana na waarabu wanaopaki bus na kulala lala kupoteza muda mambo yakowa magumu
@FKihamu
Mzee ulitaka kusemaje labda?!. Aziz ki chance of goal scoring a goal was denied by lameck lawi..the moment anaanza kumvuta jezi ki, alikuwa mchezaji wa mwisho mpaka yule beki wao kujifanya kuwahi mbele..CLEAR RED CARD..
tukiwaskiliza kila kitu nyie watu tutachelewa sana kufika!.
@iddynonga_
Ulishangaa pia ata mayele alivyoondoka so sisi hatushangai wewe kushangaa endelea zako kushangaa tu,
na moja ya kazi ya yanga ni kuzidi kuwashangaza wachambuzi uchwara kama nyinyi kadri muda unavyosogea
@PresenterNoah
“Kama wanadhani wakija na presha ya kulipa kisasi inaweza kuwasaidia basi linaweza pia kuwa kosa kubwa pia"
iyo sentensi imekaa kimkakati sana yani INAOGOPESHA😅
siri za matajiri zipo nyingi sana.
Bila shaka utakuwa na shauku kubwa ya kutaka kuzijua siri ambazo matajiri hawapendi kuzitoa hadharani kusudi na wengine nao waweze kufanikiwa kimaisha kama wao..
By the way..
Kuna hiki kitabu (pdf), nakitoa leo FREE kwa watu 50 tu..
shuka👇🏾
Nakutana sana na hii statement “debt money is tax free”
Nahitaji msaada mtu anieleweshe..
“Why debt money is tax free?”
nimejaribu kufwatilia lakini wapi..
Brother
@nickyrabit
🙏🏾
Kuna hiki kitu humu kiyosaki kagusia vizuri sana “lag time” huu ni muda unaokuwepo kati ya new idea na product formation..
Iko hivi kwa mfano..
katika Automotive industries utakuta lag time yake ni 25 years..
yaani..
haya magari unayoyaona leo brand new, idea yake ilikuwepo👇🏾
Story ya kusikitishana ya mwanzilishi wa migahawa ya KFC duniani “Colonel Harland Sanders”..
yenye ukumbusho wa kuwa MAFANIKIO HUJA KWA WAKATI SAHIHI.
🧵
Repost ifikie wengi🔁
Nimesoma vitabu vingi kuhusu elimu ya fedha huku nikifanikiwa kujifunza kanuni mbalimbali za kifedha, moja ya kanuni iliyoni”bamba” ni hii..
”Parkison’s law of financial independence”..
Lengo ni kukusogezea nawewe leo, twende sawa sasa👇🏾
Nimesoma hiki kitabu chooote lakini…
leo nimeamua ku-summarize kitabu chote katika sentensi moja tu..
Na summary iyo ni kama ifuatavyo..👇🏾
~If a woman has become the point of your life, then You are lost..!
Repost iwafikie wana wote🔁
💪🏾
There are only two ways to make money in this world..
1) providing servicing value
2) selling something
Kila mtu unaemwona jua kuwa ana pesa yako mfukoni mwake..
Swali la kujiuliza tu ni hili..
Value gani utampa ili mbadilishane yeye akulipe pesa..!
Nmemaliza kusoma kitabu cha joel nanauka kinachotuelimisha kuhusu marafiki tunahusiana nao kila siku. Nakuacha na mstari huu ambao umenigusa ata mimi..
"Ukihofia kuwaondoa marafiki wabaya kwa sababu watajisikia vibaya, kesho utajilaumu kwa sababu umeshindwa kufikia
hatima yako."
Mwanadamuanasukumwa na aina mbili za hisia-hisia za furaha na hisia za woga.
Hii aina ya pili (uoga) ndiyo inayotumika ata na watu wachache kuongoza DUNIA..
Mambo yote makubwa yanayotokea duniani jua tu hayatokei kwa bahati mbaya!..
Tafuta hiki kitabu usome [utanielewa vizuri]
Kamwe usije ukaingia kwenye mtego wa wale “sisomi vitabu vya abroad kwasababu havi-apply bongo”..
Narudia tena kamwe..!
Kwanini nakwambia hivi..?
Jibu ni rahisi tu..!
» principles are the same duniani kote..so stop fooling yourself..
Shuka..👇🏾
🧵
Repost🔁
Kuna hiki kitabu (bomu) ni recommendation ya Robert kiyosaki..
kinaitwa Grunch of Giants..!
Grunch » Gross Universal Cash Heist
Nakuacha na hii..
“the government puts their hands in your pockets via taxation and turns that money over to their friends who control..👇🏾
Watu wana INVEST kwa Mtu ambaye ni...VALUABLE!
Jifue na Kujinoa Usiku na Mchana uwe ASSET na Sio Liability.
Hata kazi huwezi Kutimuliwa kama Wewe ni...IRREPLACEABLE!
PS: ASSET >>> LIABILITY!
Sometimes ili uziendee ndoto zako ni lazima ufanye pia kinyume na utaratibu wa kawaida..
It is rather to ask for forgiveness than to ask for permission..
sometimes inatakiwa uwe hivi.
Sometimes!!
@NyandaAmosi
Matajiri wana leverage na kuinvest. Wengine wanasave bila kujua huko kwenyewe wanakosave pesa kwenye mabenki sio salama kwa pesa zao. Elimu ya fedha ni ya kuitafuta kwa gharama yoyote ile.
@Iamfelixtz
Huyu jamaa watu hawamuimbi sana maybe kwasababu hana zile drama zilizozoeleka..ila taarifa zake nyingi huwa ni za uhakika hakurupuki…binafsi huwa namfwatilia sana.✊🏾
@prossoff
Hapo mpaka uoe mtu sahihi
Maana skuizi wazungu wametuletea haki sawa, wanawake wanapambana kuwa wanaume wanaita haki za binadamu.
Ndoa zimekuwa ndoano, cheating mtindo mmoja! Mke na mume wanashindana kula na kuliwa nje.
FINANCIAL ADVICE kutoka kwa Warren buffett tajiri No.8 duniani kwa mwaka 2024.
~The Biggest Financial Advantage you can give yourself in your 20's is Resisting the urge to Impress Anyone.
Live a small place, drive a modest car, keep a simple wardrobe, and patiently Accumulate
Kuna watu wa aina mbili hapa..!
1) kuna ambao wakianza kuongea mbele za watu wanatetemeka..
2) kuna ambao hawana kabisa ujasiri wa kuongea kwenye hadhira ya watu.
Kitabu hiki kina majibu yote ya maswali unayojiuliza…
Ufumbuzi utaupata humu.
Hiki ni cha kusomwa na kila mtu..!
Maarifa unayochukua kwenye vitabu yaweke kwenye matendo itapendeza sana.
Kusoma vitabu bila kufanyia kazi unayoyasoma ni sawa na kuweka maji kwenye gari badala ya petrol na ukitegemea gari litawaka..
Your life is the reflection of your dominant thoughts.
Kamwe usijinenee wala kujiwazia mabaya kwa gharama yoyote ile kwasababu “NATURE itakuadhibu kweli”..
Mwandishi humu anasisitiza..
Never change your mind to please your woman..
Unajua kwanini?.
Ni hivi..
Akiwa anaongea mskilize sana lakini hakikisha maamuzi ya mwisho unatoa wewe kwa mtazamo wako..
ikiwa tofauti maanake nini?
Hujiamini..
Kama hujiamini yeye anakuamini vipi?
@prossoff
Katika vitu vya kuepuka ni kutumia pesa nyingi ili kutimiza tamaa za mwanamke wako!.
Kosa lingine uyo jamaa kalifanya ni kumfanya mwanamke kuwa maisha yake (kumpreoritize). Hili ni kosa kubwa.
Ukweli ni kwamba women don’t want to be your life, they just want to be part of it.
Hizi ndizo vitu banks hazitokushauri wala hutoskia matajiri wamakuambia hili..
Unaposkia matajiri wote duniani wanakopa, jua hawakopi ili wajenge wala sijui kununua gari..
Mwambie asome ajue kuhusu Good debt vs Bad debt..
Elimu ya PESA ni ya kuisaka kwa gharama yoyote ile!!..
Points kutoka kwa mwanamke huwa kama ni 1 basi ni 1 tu..
yani aliempa gari aliempa kiepe wote wanachukua 1..
ndomana utampa gari ya 10M + 50k ya wese lakini bado ata-crash na mtu wa sheli kisa kamuongezea wese la efu10..
Hiki kitabu ni must-read kwa wanaume wote.
Cha moto🔥
JE UNAJIULIZA KUWA UTAPATA WAPI MUDA WA KUTOSHA KUSOMA VITABU? JIBU HILI HAPA NMEKUWEKEA👇🏾
SIRI 10 ZITAKAZO KUWEZESHA KUTENGA MUDA WA KUSOMA VITABU KATIKA RATIBA YAKO YA KILA SIKU.🧵
NB: bookmark hii tweet kwa matumizi ya baadae.
#BookTwitter
Chukua hii.!
Unapokutana na mtu aliefanikiwa ni vyema kuuliza maswali ya udadisi ya hapa napale lakini..
chunga sana usije ukauliza swali ambalo litashusha hadhi yako uonekane hujui unachouliza..
Kwa mfano..
Unakuta mtu anakutana na mfanya biashara aliefanikiwa anamuuliza..👇🏾
Aim kuwa mwezi, ikishindikana kabisa utakuwa nyota, still utakuwa una angaza angani. Ndoto yako kama haikuogopeshi basi bado una safari ndefu sana
$1 M dream
cc:
@NyandaAmosi
@SeifJamal21
Kuna msemo unasema “kukiwa na vita kati ya kundi la kondoo linaloongozwa na simba vs kundi la simba linaloongozwa na kondoo basi kundi la kondoo linaloongozwa na simba litashinda”..
Lazima uangalie unaambatana na kina nani, nani ndo kama kiongozi kwenye hilo group.. ni muhimu📌
Ushawahi jiuliza Kwanini unapigiwa kelele kuwa pesa zako bank hazipo salama..?
Unataka kuelewa zaidi kuhusu banking systems..?
Fanya juu chini usome hiki kitabu..
Narudia Fanya juu chini..!
Bookmark🔖saizi ili ikusaidie baadae.
Repost🔁 pia iwafikie wengine
Ni kitabu gani unatamani kila mtu asome kwasababu unaamini kinaweza kubadilisha maisha yao 100%?..
Mimi: Rich dad poor dad.
Comment cha kwako hapo chini..👇🏾
Huu ulimwengu una siri na sheria zake, Kitabu hiki kitakuonyesha namna mawazo yako yanavyoweza kuathiri maisha yako.
Ndani ya kitabu mwandishi anasema…
“Our feelings are a feedback mechanism to us about whether we'r on track or not, whether we're on course or off course”.
Kama una roho nyepesi usimfwatilie kabisa kiyosaki..
Utajikuta Unachukia school system bila shuruti😄..
Anakwambia..
“I don’t trust college professors, because they’re poor people with college degrees”.
You’ve to go to school to be a doctor, lawyer or an engineer but you..👇🏾
Kuna nguvu kubwa sana katika kusoma vitabu..
hapa unakuta kuna vile vitabu unasoma kuanzia cover page tu unakutana na tittle millionaire..bla bla..
Ukiingia ndani unakutana na maneno kama “millionaire” kibaao..
Unaweza kuchukulia poa..lakini hayo maneno yana-stick kwenye..👇🏾
Hii sijui ni mimi tu ndio naona?!..
Kuna namna ukiwa unasoma vitabu vya Denis mpagaze, unaona kama anakufokea hivi😄..
Anyway ni namna tu ya kufikisha ujumbe..na katika hilo anafanikiwa📌
Kuna vitabu vinaandikwa na mwandishi anatumia zaidi ya miaka10 kufanya tafiti + experience yake kutokana na mada ya kitabu husika..
Unapopata bahati ya kusoma kitabu kama hiko maana yake ni nini..?
Unaenda kupata experience ya 10yrs ndani ya pages200+ ndani ya muda mfupi tu..!
There is just no limit to what people can accomplish when they develop their minds and use books to acquire knowledge.
Hii line ya mwisho dammn✊🏾👇🏾
“If we commit ourselves to reading thus increasing our knowledge, only God limits how far we can go in this world”..
Matatizo yana tabia ya kutengeneza makundi mawili:
1) matajiri..
2) maskini..
Vipindi vigumu vya maisha vimefanyiwa uchunguzi na utafiti, na imethibitika kwamba kuna kanuni zinazowasaidia baadhi ya watu kuibuka washindi..
P.S. Tatizo sio tu tatizo, tatizo pia ni FURSA..!
Partnership kibongo bongo haikui..
~billionea mulokozi kwenye mahojiano na millard ayo..
Hivi sababu kubwa inayopelekea hii hali huwa ni nini?..Mana sio mtu wa kwanza namskia akisema hivi!
Ni tamaa? Ama uaminifu kukosekana kwa vijana wa kiTZ?.
Tujadili kidogo wakuu..👇🏾
Changamoto kubwa inayowakumba baadhi ya watu katika usomaji wa vitabu vya biashara vya “ABROAD” ni ugumu wa kufilter content ipi ya kuchukua ambayo iko applicable kiafrica + kibongobongo na ipi ya kuiacha..
Sasa Moja ya kitabu ambacho kina kila kitu unachotaka kujua kuhusu..👇🏾
Kazi kubwa kuhusu pesa ni kuilinda isipotee..
Watu wengi wanashindwa hapa!!
Kwanini?!..
Kwasababu kitu chepesi unachoweza kufanyia pesa ni kuitumia..
Sasa wengi wanaangukia pua likishafika suala la kufanya SAVING..
Ngoja nikusanue leo ili uone upo kundi gani?!.
🧵
Repost🔁
Uoga unatesa sana..hasa ule uoga wa watu “watanionaje”, “watanisemaje”,“watanicheka” n.k..
Hivi siku ukilala njaa hao unaowaogopa watakuletea chakula?!
Fanya chochote ilimradi mkono uende kinywani. Uzuri wa watu usipofanya watasema, ukifanya pia watasema..sasa si bora ufanye tu
Kuna uyo mdada anaitwa eda alimaliza chuo UDSM hakuwahi kuajiriwa akaingia kwenye biashara direct.
Ndani ya miaka5 kajaribu biashara7 zote zimefeli..sababu kubwa ni2
1. Kutotulia na biashara moja mda mrefu
2. Kutofanya biashara alizozipenda (alijikuta anafanya kwajili ya pesa)
Mule ndani anasema…
“many people fail to become rich because they value a steady paycheck rather than a learning process of becoming financial smarter”.
Kiyosaki mtu sana🙌🏾
nchi zilizofanikiwa zinatumia mifumo ipi kubuild misingi vizazi kwa vizazi..?!
Na kwanini nchi kama TZ tunafeli hapa na solution ni nini..??
Majibu yote yapo kwenye vitabu hivi..
1) why nations fail
2) ten rules of successful nations
3) from third world to first world
Unalalamika huna connections na kila event umo ndani..
Unafkiri connection ni nini hasa?
Unapokuwa kwenye events jitahidi ubadilishane namba za simu na watu..at-least watu 20..
Fanya hivo mara kwa mara kila unapokutana na watu kwenye event ama semina za maana..
UTAJISHUKURU.
For a man..!
Every moment in your life is either a TEST or a CELEBRATION..
Uki-pass test, celebration itafuata..
Usiache hapo kwenye test ukakimbilia celebration..haipo hivyo..
heshimu nature.!
Kuna hii njia huwa naitumia nkiwa nataka kuanza kusoma kitabu ambacho nakisoma kwa mara ya kwanza!.
imenichukua almost miaka 3 kuigundua lakini naenda kushare nawewe ndani ya dakiki 2 utakuwa umeshaifahamu
Naimani itakusaidia ukiizingatia!..
Soma mpaka mwisho..
🧵
Repost🔁
Kwenye kitabu mwandishi anasema..
“Hearing a succession of mediocre singers does not add up to a single outstanding performance.”
In other words, talent is not a commodity you can buy in bulk and combine to reach the needed levels,
There’s a premium to being the best
Shuka👇🏾
..Deep work
..The diary of a CEO
..MBA
..48 laws of power
..Laws of human nature
..Men are from mars women are from venus
..Psychology of money
..The richest man in babylon
..How to win friends and infulence people
..The subtle art of not giving a f*k
..The magic of thinking big