Seif Mselem Profile Banner
Seif Mselem Profile
Seif Mselem

@SeifJamal21

Followers
2,371
Following
766
Media
235
Statuses
12,280

Business Consultant & Sales Expert 📈

Business
Joined November 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 days
⚠️WAJASIRIAMALI ROUND UP! Tutors: Seif Mselem & Meet Khaled Tarehe: 24–26 October 2024 Muda: Kuanzia Saa 3 Kamili Usiku. Eneo: WhatsApp Class Fee: Tshs 19,999/= Tu. Payment Methods: 0767-693-030 (Grayson Range) 0758-401-164 (Seif J. Mselem) See you Soon Fellas.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
10
16
@SeifJamal21
Seif Mselem
1 year
1). Mwanafunzi Akija Kununua Kalamu Kutoka Dukani kwako huyo ni... Customer! 2). Mwanafunzi Akija tena Kununua Kalamu, Daftari, Rula, Kichongeo na Ufuto toka Dukani kwako huyo ni...Client! NB; Ukitaka Kupiga Hatua kubwa kwenye Biashara yako FOCUS kwenye "Clients"
19
75
443
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Kuna Kitabu Nimekisema kwenye Pdf yangu ya WACHINA wa Mkuranga... Kinaelezea Njia 50 za Kumfanya Binadamu yoyote yule Akubali Ombi Lako hata Kama Hajawahi Kukuona kwa Mara ya Kwanza. PS: Kama Bado Hujasoma PDF Hiyo Mpya Unaweza kwenda kwenye Pinned Post ili Kuisoma.
0
30
314
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Hakuna Kampuni Hapa Bongo Linajua Kufanya DISTRIBUTION Kama Metlgroup. Hawa Jamaa Hawajaweka Nguvu kubwa kwenye KUJITANGAZA Ila Wamewekeza Kila kitu kwenye USAMBAZAJI!
13
12
248
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
1). Tafuta Kijana Mmoja Makini. 2). Mfundishe Jinsi ya Kuuza kwa Watu Asiowajua. 3). Mnunulie Baiskeli + Kibebeo cha Bidhaa zako. 4). Mlipe Mshahara Safi + Bonuses za Kumwaga Akifikia Target 5). Mpe Mitaa 2 hadi 3 ya Demo. 6). Muangalie Progress yake na Matokeo anayoleta. 👇
9
33
242
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
1). Tafuta Mitaa 100 yenye Uhitaji wa Bidhaa au Huduma yako. 2). Tafuta Timu ya Vijana 10 wa Uhakika...Wafanyie Interview. 3). Wafundishe Jinsi ya Kuuza kwa Watu Wasiowajua. 4). Walipe Mashahara Mzuri + Bonuses kwa Top Perfomers 5). Wagawie Kila Mtu Mitaa 3 ya Kuanzia. 👇
11
44
188
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Tangu Umezaliwa Umewahi Kuona TANGAZO La Madawa ya Kulevya Mahali Popote Pale? Jiongeze Mtu wangu Unaweza Kutengeneza Biashara ya Kukupa FAIDA Kubwa na Nzuri Bila hata Kufanya Marketing!
18
19
178
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 months
Kabla Hujajifunza Jinsi ya Kutengeneza PESA Hakikisha Kwanza Unajifunza Jinsi ya Kutokupoteza Pesa!
7
33
173
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Kama Unataka Kujifunza Kuhusu DISTRIBUTION Basi Nenda Katafute na Kaangalie Movie Zote za... MADAWA YA KULEVYA! Mule Ndio Utajua Jinsi ya Kusambaza Bidhaa zako kwa Walengwa wako!
7
17
169
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 months
⚠️Kama Wewe ni SOCIAL MEDIA MANAGER na Umekosa KAZI za Kufanya Basi Fanya Hivi…👇 UZI 🧵👇
Tweet media one
18
53
161
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 months
⚠️ [MPYA]: Kama Ningekuwa Naanza KUJIFUNZA Kitu Chochote Kile Basi Ningeanza Kwanza Kujifunza Hivi Vitu Vitatu (3) Hapa...! PS: Sio Copywriting, Sales, Content Marketing, Freelancing, Affiliate Marketing, Forex, Crypto, Graphic Design wala Coding! UZI 🧵👇
Tweet media one
21
53
154
@SeifJamal21
Seif Mselem
4 months
Huwezi Kutengeneza Biashara yenye MAFANIKIO Kama Huwezi Kumrudisha Mteja wako Kuja Kununua kwa Mara ya Pili, Tatu na Kuendelea.
3
38
143
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Hizi Hapa Biashara 10 Zilizotengeneza MAMILIONI ya Pesa Hapa Bongo kwa Kufanya Distribution Tu. 1). Madawa ya Kulevya. 2). Mafuta...(Crude Oil) 3). Maduka ya Bidhaa 4). Mazao 5). Migahawa ya Chakula. 6). Hotels 7). Kubeba Abiria...(Mabusi) 👇
6
12
139
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 months
1). Ukitaka kuwa na HEALTH BODY Basi fanya...Mazoezi na Kula Diet. 2). Ukitaka kuwa na HEALTH MIND Basi fanya...Meditation na Soma Vitabu Vizuri 3). Ukitaka kuwa na HEALTH SOUL Basi fanya...IBADA 4). Ukitaka Kuwa na HEALTH RELATIONSHIP Basi Mpende...Mpenzi wako & Familia yako.
4
36
134
@SeifJamal21
Seif Mselem
2 months
1. Heineken Wametengeneza Uhusiano kati ya Kuangalia Mpira na Kunywa Bia 2. Coca-Cola Wametengeneza Uhusiano kati ya Kula na Kunywa Soda 3. Gymshark Wametengeneza Uhusiano kati ya Kufanya Mazoezi na Kuvaa Nguo zao 4. Redbull Wametengeneza Uhusiano kati ya Kinywaji Chao na...👇🏻
Tweet media one
16
59
132
@SeifJamal21
Seif Mselem
6 months
Jifunze Kupotea kwa MUDA Kabla Hujaanza Kuona Matunda ya Kile Unachokifanya. Watu wote Waliofanikiwa kwenye Kitu Chochote Kile DUNIANI Wanajua Jinsi ya Kupotea. Huwezi Kujifunza SKILL yoyote Kubwa kama Hutoweza Kuingia Chimbo na Kuzima Data ya Simu yako kwa Miezi 3 na Zaidi.
8
29
124
@SeifJamal21
Seif Mselem
3 months
Equation ya KUJITAFUTA kwenye Maisha Iko Hivi... Hustler + Kujifunza + Miaka 20's = Kujipata + Bata + Miaka 30's Sasa Kosa La VIJANA Wengi huwa ni Kupindua hiyo Equation... Tunaanza kwa Kula BATA Then Ndio Tunakumbuka Kuanza Kujitafuta. Ndio Maana...👇
8
33
120
@SeifJamal21
Seif Mselem
6 months
Kaa Chini Siku Moja na ANDIKA Vitu Vyote Unavyovifanya Kuanzia Asubuhi Hadi Jioni Muda wa Kulala. Kuanzia Jumatatu Asubuhi hadi Jumapili Jioni. Andika Kila kitu hata Kama ni kwenda Toilet. Hiyo LIST ya Vitu vyote Ambavyo huwa Unavifanya Ndio..."WEWE HALISI" Na...👇
3
10
108
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Marketing... ni Kuwajulisha Wateja wako kuwa na Wewe Upo Sokoni. Distribution...ni Kuwafikishia Walengwa wako Bidhaa au Huduma yako Mahali walipo. PS: Tangaza na Muda huo huo Hakikisha una SAMBAZA Bidhaa za Wateja wako!
4
22
110
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
1). Azam ni BRAND Focused...(Marketing)! Na... 2). Metlgroup ni DISTRIBUTION Focused. Wahindi wao wame Base kwenye Kutafuta DEMAND na Kufanya DELIVERY Ipasavyo!
6
16
106
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Kataa Ukubali Mtu Anaweza Kukuza BIASHARA yake Hadi Kufikia Mtaji wa 100M kwa Kufanya DISTRIBUTION Tu Bila Kufanya Marketing!
5
11
103
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 months
Kama uko kwenye 20's na Wewe ni MTOTO wa Kiume Basi... Hakikisha Una BET kwenye kuwa Mtu wa THAMANI Zaidi kwenye Room yako. Sacrifice kila Kitu ambacho Hakiongezi UZITO kwenye Malengo yako ya Mbele. Ziba Masikio, Jifanye Fala Then MUDA Ukifika Wataelewa Ulikuwa unafanya nini.
5
26
102
@SeifJamal21
Seif Mselem
3 months
BIASHARA Haiwezi Kukufanyia Kitu Chochote Kile cha Maana Kama WEWE Hujaifanyia Chochote Kile cha Maana. PERIOD!
4
13
102
@SeifJamal21
Seif Mselem
3 months
Huwezi Kuishi Maisha Anayoishi MILLARD AYO Sasahivi. Huwezi Kuishi Maisha Anayoishi DIAMOND PLATNUMZ Sasahivi. Huwezi Kuishi Maisha Anayoishi GEORGE AMBANGILE Sasahivi. Huwezi Kuishi Maisha Anayoishi SAMATTA Sasahivi. Kwanini? Kwasababu...👇🏻
9
13
103
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Kama Unataka Kujifunza DISTRIBUTION Basi Nenda Kajifunze Kutoka kwa Wauzaji wa... CANNABIS SATIVA! Hawa Jamaa Hawajui Cha SPONSERED Ads wala CONTENT Marketing Ila Sales zao Ziko Juu Muda wote.
10
16
102
@SeifJamal21
Seif Mselem
1 year
⚠️Soma Hii Kama Unataka Kujua MBINU Waliyotumia “Milk Duds” Kutawala Soko La PIPI Marekani!.. . …kama Umekuwa ukitafuta Mbinu ya kutawala Soko La biashara yako ili uweze Kuuza zaidi basi Soma hiki… . Kilichofanywa na hawa “Milk Duds” huko Nchini… . Marekani! . [MADINI TIME]👇
Tweet media one
13
39
94
@SeifJamal21
Seif Mselem
8 months
⚠️[FREE PDF]: Jinsi Wachina wa MKURANGA Wanavyopiga PESA Kwa Kuuza Mayai! Hii Ndio Formula ya SIRI Wanayotumia Wachina Kutengeneza MAMILIONI ya Pesa Kila Wiki. Kama Uko INTERESTED Kujua Mbinu Wanazotumia Kupiga Mpunga...Basi Gusa Link Hapa Chini👇🏻
12
25
96
@SeifJamal21
Seif Mselem
1 year
Hivi Umewahi Kujiuliza kwanini AKILINI Mwako Unajua Kabisa unatakiwa Ufanye nini Ili Ufanyikiwe ILA... Still haukifanya Hicho Kitu Ili Utimize Malengo yako? Why..? Ni Kwasababu... Swala la Kufanikiwa SIO Concious Pekee yake bali ni... Unconscious Pia! Mafanikio Yanaanzia👇
7
21
90
@SeifJamal21
Seif Mselem
8 months
⚠️[MCHONGO]: Kama Wewe ni KIJANA Mdogo na Bado Unaishi NYUMBANI Basi Fanya Hivi...👇🏻 1). Tafuta Kazi INAYOLIPA kwa Commission. 2). Jifunze SALES Hasa hasa Cold Calling au Door to Door. 3). Anza Kuuza hizo Bidhaa/Huduma huku Ukifanyia Mazoezi Ulichojifunza. 👇
Tweet media one
11
29
94
@SeifJamal21
Seif Mselem
6 months
1). Tengeneza RULES zako. 2). Ongoza Kikundi cha WATU wako. 3). Ishi kwenye EMPIRE yako. 4). Kuwa na BIASHARA zako. Na Mwisho Kabisa... 5). Kuwa KING wa Maamuzi yako. PS: Sio Lazima Ufanane na Kila Mtu kwenye hii Dunia. Kuwa kama MONKS!
2
19
90
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 months
Ukitaka Kuuza Bidhaa zako za Bei KUBWA Basi Zipange katika Mtindo huu... A — Tshs 3,000 B — Tshs 8,000 C — Tshs 9,000 Ukitaka Kuuza Bidhaa zako za Bei ya KAWAIDA Basi Zipange katika Mtindo huu A — 4,000 B — 5,000 C — 10,000 Hii Mbinu Kitaalamu Inaitwa... MAGNETIC MIDDLE!
7
21
85
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
1). Kama kila Ukipanga kwenda Msikitini/Kanisani...Huendi. 2). Kama kila Ukipanga Kuamka Asubuhi...Huamki. 3). Kama kila Ukipanga kwenda Kumtembelea Mshika...Huendi. 4). Kama kila Ukipanga Kufanya Kitu Chochote kile...Hufanyi. 👇
1
13
86
@SeifJamal21
Seif Mselem
1 year
⚠️[MPYA]: Jinsi Ya Kutumia "Compound Interest" Kwenye Mafanikio!.. . ...Kama umekuwa Ukitafuta Njia rahisi ya Kutumia Formula hii Hatari ya ki BENKI kwenye Mafanikio yako basi UZI huu wa Leo ni zaidi ya Nyuzi zangu zote Nilizowahi Kutuma hapa X... . [MADINI TIME]👇
Tweet media one
16
52
81
@SeifJamal21
Seif Mselem
1 year
⚠️Siri Moja Ya MAFANIKIO Ambayo Haijawahi Kufichwa Milele! kama Umekuwa ukitafuta Siri za Mafanikio kwa Muda Bila kuzipata Basi UZI huu ni kwa ajili yako... Kwasababu... Ndani yake Nitaenda kukuonesha SIRI moja ya Kipekee Inayoishi ambayo haijawahi Kubadilika [FULL Thread]👇
Tweet media one
8
29
76
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 months
Wanawake Option yenu Sio tu Kufanikiwa ILA Hata Kuolewa na Mtu mwenye Mafanikio. Sisi Option yetu ni Kufanikiwa au Kuendelea Kuishi kwenye Madharau na Masimango! PS: Mtoto wa Kiume Usipo MAKE Basi Expect Disrespect Sana Kuanzia Kitaa hadi kwenye Familia yako.
0
16
77
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 months
Njia Rahisi ya Kumpoteza MTEJA Wakati wa Kuuza ni Kumpa Machaguo Zaidi ya Matatu!
6
3
71
@SeifJamal21
Seif Mselem
14 days
Nadhani Moja ya Kitu Cha KIJINGA Pia ni Kuchelewa Kujibu Meseji Ili "Kuonekana" Uko Busy Wakati kwenye Uhalisia Hauko hata na Jambo La Kufanya. —NO OFFENSE 👎
6
10
73
@SeifJamal21
Seif Mselem
4 months
Kabla Hujaanza Kufanya Vitu VIKUBWA Kwenye Maisha yako Anza kwa Kujifunza kwanza Kufanya Vitu VIDOGO!
3
13
72
@SeifJamal21
Seif Mselem
4 months
Utofauti Uliopo kwenye KUTENGENEZA Elfu Kumi na Kutengeneza Millioni Moja ni kwenye... SCALE & MINDSET! Ukitaka Kutengeneza 10k Inabidi Uwafikie Watu Wachache na Uwe na MINDSET ya Kawaida. ILA... Ili Utengenezaji 1M Unahitaji Uwafikie Watu wengi na MINDSET yako iwe ni Kubwa.
0
20
72
@SeifJamal21
Seif Mselem
8 months
Kila Nikikaa Chini Kufanya MEDITATION Ndio Naamini Kwamba Kichwa Changu Kilikuwa Kimeoza😂😂
3
5
72
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 months
Watu wana INVEST kwa Mtu ambaye ni...VALUABLE! Jifue na Kujinoa Usiku na Mchana uwe ASSET na Sio Liability. Hata kazi huwezi Kutimuliwa kama Wewe ni...IRREPLACEABLE! PS: ASSET >>> LIABILITY!
6
18
74
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Kama Huwa Unatumia MUDA Mwingi kwenye Kufikiria Basi kuna DALILI kubwa Kwamba wewe ni Muahirishaji Mzuri!
4
7
71
@SeifJamal21
Seif Mselem
6 months
Kama Bado Huamini Kwamba Vitu Unavyovifanya Sasahivi Ndio Vinajenga Maisha yako ya Baadae. Basi Kuna Namna Unajidanganya Pakubwa Sana!
0
17
71
@SeifJamal21
Seif Mselem
2 months
Ukitaka Kumpa INFLUENCER Yoyote yule Akutangazie Bidhaa au Huduma yako Basi... "Usimpe Tu APOSTI Picha ya Bidhaa yako Pekee yake" Badala yake Mwambie... "Aionyeshe Jinsi ANAVYOITUMIA hiyo Bidhaa Kwenye Maisha yake ya Kila Siku" Hapo Ndipo...👇🏻
3
12
69
@SeifJamal21
Seif Mselem
4 months
Soda za Coca-Cola Zinapatikana Kila NCHI Duniani Ispokuwa... North Korea & Cuba. Na... Kilichowafanya Wafike Kila PANDE ya Dunia ni Kitu Kinaitwa...SYRUP! Kinachokuja Bongo Sio Makreti ya Soda Kutoka MAREKANI Ila ni Ladha ya Soda za Coca-Cola. PS: Remember DISTRIBUTION Boys?
2
9
69
@SeifJamal21
Seif Mselem
1 year
@iamKaga Super IDEA Brother 💡 Bila Kusahau hizi Law hapa👇 1). The Law of Entropy 2). The Law of Initial Conditions 3). The Law of Feedback Na... 4). The Law of Non Linearity Hizi ni LAW Zinazoendesha Biashara na Maisha yetu kwa Ujumla! By the way... Ulipotelea wapi Kaka Kaga?
3
11
67
@SeifJamal21
Seif Mselem
1 year
@NyandaAmosi Exactly Brother Nyanda ✅ . Biashara Inahitaji Patience + Consistency . Kama hauko Tayari kufanya "Long Term Investment" basi Bora Ukacheki Mahali pa Kujishikiza... . Starting a Business Is Like CARING a Baby...It Needs Your Time, Attention, Focus, Money, and Energy! . Gracias🙏🏻
4
12
67
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Biashara yako Sio Nyumba wala Getto La Kuishi Usitumie Muda Mwingi Kufikiria Jinsi ya KULIPAMBA Badala yake Tumia Muda Mwingi Kufikiria Jinsi Utakavyouza Hizo Bidhaa zako.
1
12
68
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Kuna Wajasiriamali wengi Sana Biashara zao ziko OFFLINE Ila Wanauza zaidi Kuliko Biashara nyingi Zilizopo ONLINE! Marketing Vs Distribution. PS: Jua Biashara yako INAHITAJI nini Ili Kufanyikiwa. Usifuate Tu Mkumbo wa Watu wengine!
6
13
68
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 months
1. Gareth Bale Alianza Kucheza Beki 3 Then Akaja kuwa Winga 2. Thierry Henry Alianza Kucheza Winga Then Akaja kuwa Striker 3. Mimi Nilianza Kucheka kama Striker Then Nikaja Golini Hivyo hivyo na kwenye Biashara Una Anza Kufanya kwanza Then Ndio Unapata Career ya Maisha yako!
2
9
66
@SeifJamal21
Seif Mselem
6 months
Hivi Umewahi Kujiuliza Kwanini FAMILIA Nyingi watu wake Huwa Wanafanana In Terms of Mafanikio? Ukiachana na Sababu Zingine Moja ya Sababu Kubwa huwa ni kwamba WATOTO wengi Huwa Tunarudia Kile Walichofanya Wazee. Ukitaka Kubadili Hali ya Kwenu USIRUDIE Walichofanya Wazee wako!
4
15
65
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Kwenye Biashara yoyote Ile Huwezi Kufanikiwa kwenye DISTRIBUTION Kama Huwezi Kuwaamini Watu wengine Wafanye Kazi kwa Niaba yako!
0
12
63
@SeifJamal21
Seif Mselem
6 months
Ukiongea Tu na Mtu yoyote wa Mtaani Ndio Utajua kwamba Hana BARRIERS In terms of Mindset. ILA... Kutana na Sisi wa SHULE Ndio Utajua kwamba Kuna Namna Tumetengenezwa Tuwe kama Tulivyo.
7
11
65
@SeifJamal21
Seif Mselem
11 months
>Kama Una Shida na Tabia, Soma Kitabu Kuhusu...HABITS >Kama Unapoteza Nidhamu, Soma Kitabu Kuhusu...DESPLINE >Kama Unapata Shida Kuuza Soma Kitabu Khs...SALES >Kama una Shida Kichwani, Soma Kitabu Kuhus...MINDSET PS:Soma KITABU Kinachofanana na Hali yako ya Sasa ya Maisha!
6
26
63
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 months
Kuna Mbinu Moja kwenye KUUZA Huwa Inaitwa... "Foot–In–The–Door Technique" Yaani... Unaanza kwa ku Omba Kitu kidogo Kutoka kwa MTEJA Kabla Hujaomba Kitu Kikubwa. Mfn: Unaomba Dkk 10 za Mteja Kabla Huja Muonesha Bidhaa yako.
1
16
61
@SeifJamal21
Seif Mselem
1 year
Ukiwa na NJAA na Mtu Akakupa Pilau Kuku Moja safi Huyo atakuwa Ametatua Tatizo La Njaa Ila Ameleta Tatizo Lingine La...KIU! Yaani...Mwisho wa Tatizo Moja huwa Ndio Mwanzo wa Tatizo Lingine Hiyo Inaitwa... "Problem – Solution Cycle" Na...
3
15
60
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
⚠️Consulting! Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Day: 01
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
10
61
@SeifJamal21
Seif Mselem
4 months
Kama Biashara yako Inaweza KUTENGENEZA Elfu Kumi Basi TRUST ME Inaweza Kutengeneza Millioni Moja pia. Sema Shida Ipo kwenye... SCALE MINDSET Na... UJUZI Kama Utaweza Kuondoa hivyo VIZUIZI hapo Juu Basi Biashara kwako Itakuwa ni kama Kucheza Game. EASY!
1
15
62
@SeifJamal21
Seif Mselem
6 months
1). Jeff Bezos Ametengeneza... eCommerce Store. 2). Elon Musk Ametengeneza...Electric Car. 3). Steve Jobs Ametengeneza...iPhone na MacBook. 4). Bill Gates Ametengeneza... Microsoft Window. PS: Kwenye Ujasiriamali kama Huwezi KUUMBA Basi ni Ngumu Sana Kufanikiwa!
9
13
60
@SeifJamal21
Seif Mselem
9 months
Hii Ndio SCRIPT FORMULA yangu Ninayoitumia kwenye Kuuza. 1. Greeting 2. Set an AGENDA 3. Ask SITUATION Qns 4. Ask PROBLEM Qns 5. Ask IMPLICATION Qns 6. Ask NEED PAY OFF Qns 7. Present an OFFER 8. Close the Deal 9). Qualify the Customer This Is for Hgh TICKET Products!
4
18
60
@SeifJamal21
Seif Mselem
4 months
Moja ya Siri ya MAFANIKIO ya Watu wengi Waliofanikiwa ni Uwezo wa Ku Design na Kupangilia Maisha yao.
1
12
59
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
1. Hakikisha Unakijua Vizuri Kile Unachokifanya...(Craftsmanship) 2. Hakikisha Unajua Jinsi ya Kusambaza hicho Unacho Kitengeneza...(Distribution) 3. Anza Kutengeneza PESA Kupitia hicho Unachokijua PS: Huhitaji kuwa na Rundo La UJUZI Ili Uanze Kutengeneza Pesa kwenye Biashara.
4
15
57
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Kama Kuna Mshikaji wako Huwa Anauza Hadi ODA 50 kwa Mwezi kwenda Mikoani na Nj'e ya Nchi. Basi Huyo Ndio Mwalimu Sahihi wa Kukufundisha Kuhusu DISTRIBUTION Kwenye Biashara. PS: Distribution Is EVERYTHING In Growing Business!
2
19
57
@SeifJamal21
Seif Mselem
6 months
Ni Rahisi Sana Kuamka ASUBUHI Moja na Kukimbia 1 Km kama Sehemu ya Mazoezi ILA Sio Rahisi Kufanya Hicho Kitu kwa Miaka Mitatu Mfululizo.
5
4
55
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 months
Perfect IDEAS Huwa Zinakuja Kipindi Unafanya Kitu Flani SIO Kipindi Unasubiri Kufanya Kitu Flani!
4
10
55
@SeifJamal21
Seif Mselem
2 months
>Elon Musk Anajua Kucheza Ngumi >Mark Zuckerberg Anajua Kucheza Ngumi >Zlatan Ibrahimovic Anajua Kucheza Ngumi >Paul Pogba Anajua Kucheza Ngumi >Rico Lewis Anajua Kucheza Ngumi Kujifunza MARTIAL ARTS Itakusaidia Kuongeza Kujiamini na Kujikubali. SN: Usiwe MNYONGE Mtu wangu.
9
9
55
@SeifJamal21
Seif Mselem
3 months
Kama Bado Hujui Uanze KUUZA nini Ili Uanzishe Biashara yako Basi ANZA Kuuza Huduma! Biashara ya Kuuza HUDUMA Ndio Rahisi Zaidi Kuanza Kuifanya Kuliko Biashara yoyote Ile.
3
8
53
@SeifJamal21
Seif Mselem
3 months
Babu Zetu Walikuwa Wakiingia ULINGONI Kupambania MAFANIKIO TU! ILA... Sisi Tunaingia ULINGONI Sio Tu Kupambana na Mafanikio Ila Kupambana na Mabondia Hatari kama... Cancer, Kisukar, Addictions n.k Yaani Usipokuwa Makini Unaweza Kuta UMERUDI Nyumbani Hujarusha hata Ngumi Moja.
2
10
51
@SeifJamal21
Seif Mselem
4 months
Ukienda kwa Mtu yoyote Aliyefanikiwa kwenye BIASHARA Hawezi Kukwambia kuwa MTAJI Ndio Kizuizi cha Kuanzisha Biashara.
4
11
51
@SeifJamal21
Seif Mselem
1 year
⚠️[MPYA]: Hili Ndilo KOSA Moja Unalofanya Kila Siku kwenye Maisha yako…(Sio Hilo Unalofikiria)! . …kabla Sijakwambia ni Kosa gani Naomba kwanza Nikuulize hili Swali hapa Chini... . [MADINI TIME]👇 .
Tweet media one
13
32
51
@SeifJamal21
Seif Mselem
3 months
Kama Umezoea KAZINI Kwako Kila Mwisho wa Mwezi Unaingiziwa 1M hata Kama Hujafanya Kazi yoyote. Basi Hicho Kitu Kifute Unapokuja Kwenye BIASHARA hasa kwa Zama hizi. Kwasababu... Ili Biashara yoyote Ile Ianze Kuzaa MATUNDA Inahitaji Kila Kitu kiwe Mahali pake. Tofauti na...👇
1
6
50
@SeifJamal21
Seif Mselem
1 year
⚠️Mbinu Waliyotumia “COW-BELLS” Kutawala Soko La Maziwa Nigeria! …miaka ya 90’s Nchini Nigeria… Kampuni moja la Kutengeneza Vyakula Linalojulikana kama “Wonder Foods Nigeria Ltd” Lilitangaza kuzindua na Kuingiza Sokoni bidhaa yake Moja ya Maziwa iliyokuwa Inaitwa… [UZI]🧵
Tweet media one
7
16
50
@SeifJamal21
Seif Mselem
4 months
Kinachomrudisha MTEJA kwa Mara ya Pili Kuja Kununua SIO Customer Care yako Ila ni DESIGN ya Bidhaa/Huduma Zako. By Design I Mean a Habit Forming Product/Service Ndio Itamrudisha Mteja kwako.
2
7
47
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
1). Usianze Kufanya Mazoezi Kila Siku...Anza Kufanya Mazoezi Mara 3 kwa Wiki. 2). Usianze Kusoma Kitabu Kila Siku...Anza Kusoma Kitabu Mara 3 kwa Wiki. Ni Rahisi Sana Kuendelea Kukifanya Kitu kama Utaanza Kukifanya Mdogo Mdogo Kuliko Ukianza kwa Pupa.
3
15
47
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Kuna Machinga wengi WANAUZA Zaidi Kuliko Hata watu wenye Maduka ya Hizo Bidhaa. Unajua ni Kwanini?.. Simple... It's all about DISTRIBUTION Guys!
4
5
48
@SeifJamal21
Seif Mselem
6 months
Bakhersa Anakuwa na KIBURI Cha Kumpa Tshs 250 Muuza Ukwaji wake Kwasababu yeye Ndio Anazitengeneza. LAKINI... Wewe Huwezi Kufanya hivyo kwenye Biashara yako Kwasababu Unachouza kina PROFIT MARGIN Ndoto na Hukitengenezi Ww PS: Faida Kubwa Inakupa Nafasi ya ku SCALE kwa Urahisi!
2
4
48
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Kufanya Marketing Bila Kuwa na DISTRIBUTION Channels za Kueleweka ni Sawa na Kutangaza Bidhaa Ambayo Haipo!
2
9
48
@SeifJamal21
Seif Mselem
6 months
1. Umewahi Kukutana na DAKTARI Anasema Anatamani Angekuwa Mcheza Mpira? 2. Umewahi Kukutana na POLISI Anasema Anatamani Angekuwa Mjasiriamali? 3. Umewahi Kukutana na MWALIMU Anasema Anatamani Angekuwa kwenye Mziki? Hiyo ndio Maana ya "KUTENGENEZWA" Kama vile System Inavyotaka!
2
2
46
@SeifJamal21
Seif Mselem
3 months
Unatumia Muda Mwingi Kufikiria Jinsi Utakavyovaa na Kuonekana KULIKO Jinsi Unavyotakiwa Kuendesha Biashara yako. NO OFFENSE!
0
9
47
@SeifJamal21
Seif Mselem
9 months
Juzi Kati Nilikuwa Nafanya MARKET RESEARCH... Kwenye Pita Pita Zangu Nikakutana na Mtu Anauza... "KASHATA Online" For Sure Nilisikitika Sana Kuona the way Wajasiriamali wa BONGO Tulivyobado na Safari Ndefu ya Kufanikiwa. (Just IMAGINE Unauza Kashata Online)! 👇
7
3
47
@SeifJamal21
Seif Mselem
2 months
Moja ya Vitu Vilinisaidia Ku BOOST CONFIDENCE yangu Zaidi kwenye Maisha, ni Baada ya Kujifunza Boxing na Kwenda Jeshi.
6
6
47
@SeifJamal21
Seif Mselem
6 months
Hivi Umewahi Kujiuliza TOFAUTI Iliyopo Kati ya Watu Waliosoma na ambao Hawajasoma? Wasomi wengi Huwa Tumekuwa... PROGRAMED! Na ambao... Hatujasoma wengi Huwa Tumekuwa... UN–PROGRAMED! Ndio Maana Wasomi wengi tuna FAKE Identity na wa Mtaa wengi tuna REAL Identity!
0
5
47
@SeifJamal21
Seif Mselem
4 months
Kinachofanya Watu wengi Waliofanikiwa WAHESHIMIWE ni Kwasababu Kufanikiwa SIO Kazi Rahisi.
3
8
45
@SeifJamal21
Seif Mselem
6 months
Mjasiriamali ni Mtu ambaye ana UMBA (Kutengeneza) Kitu ambacho Kinaweza Kutatua Changamoto za Watu wengine kwenye Jamii/Sokoni!
2
5
45
@SeifJamal21
Seif Mselem
2 months
Hakuna Salesman Ambaye nina MUOGOPA Kama yule Aliyetokea Kwenye... 1). Cold Calling Na... 2). Door to Door Selling Hawa Jamaa Wakija kwenye... Biashara yoyote Ile ambayo Ina TRAFFIC za Kutosha Basi CONVERSION Rate yao huwa Inakuwa Juu Sana.
4
5
45
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Wajasiriamali wengi Hawawezi Kufanya DISTRIBUTION Kwenye Biashara zao Kwasababu... Hawa Waamini Wafanyakazi wao Kufanya hiyo Kazi kwa Niaba ya Biashara zao. Na... Kwenye Biashara kama Huwezi Kumuamini Mtu Mwingine Afanye Kazi kwa Niaba yako Basi Sahau Kuhusu Kukua.
2
9
45
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Huwezi Kujifunza SALES Kwa Kuangalia Video za Dakika Tano za Dan Lok YouTube. Hizo Video Zimeandaliwa Kucheza na AKILI yako kwa Muda Huo Tu. PS: Tafuta Video za Kuanzia Dakika 30+ Huko Ndiko Utakutana na Madini ya Kutosha.
4
9
45
@SeifJamal21
Seif Mselem
2 months
Kama Unataka Kuongeza Hali yako ya KUJIAMINI na KUJIKUBALI Basi Jifunze Mchezo wowote Ule wa Ngumi.
5
7
44
@SeifJamal21
Seif Mselem
2 months
Ukitaka Kupoteza MADILI ya Pesa Kubwa kwenye Biashara yako Basi... 1). Onyesha Dalili ya GREED...(Tamaa)! Na... 2). Onyesha Dalili ya NEEDY...(Uhitaji)! Uhitaji na Tamaa ni ADUI wa Madili Makubwa kwenye Biashara.
3
7
44
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Humu Ndani Moja ya Wajasiriamali Wanajua Kufanya DISTRIBUTION ya Physical Products zao ni... 1). Mpambazi Sabuni Na... 2). Mudi Biriani Acha Ego zako Watafute Hao Tycoon Ule Shule ya Distribution. Jamaa Wanajua Kuicheza hii Game. Respect🙌
2
3
44
@SeifJamal21
Seif Mselem
5 months
Njia Rahisi ya Kushawishi WANAWAKE ni kwa Kutumia Wanawake Wenzao. Njia Rahisi ya Kushawishi WASANII ni kwa Kutumia Wasanii Wenzao Njia Rahisi ya Kushawishi WATANZANIA ni kwa Kutumia Watanzania Wenzao Binadamu Anapenda Kufanya Kile Watu kama yeye Wanapenda Kufanya. SIMILARITY!
1
7
44
@SeifJamal21
Seif Mselem
1 month
Yaani Hakikisha kwenye MAISHA yako Wewe Unakuwa Tu ni... Li Mtu flani ambalo Unaweza KUTUMIKA kwenye Mishe za Watu wengi. Huwezi Kulala NJAA Mtu wangu. Trust Me.
0
7
44
@SeifJamal21
Seif Mselem
3 months
Ukweli ni Kwamba Kama Utaweza Kuwepo kwenye BIASHARA yoyote Ile kwa Miezi 60 Tu. Basi Kuna kila Namna hiyo Biashara Itakuwa Imekutengenezea FAIDA Kubwa Mno katika Maisha yako. Unahitaji kuwa MVUMILIVU na Mtu wa KUJIFUNZA Ili Uweze Kufika Unakotaka. SN: The Point is not to...👇🏻
2
10
44
@SeifJamal21
Seif Mselem
11 months
Si Unajua KUSHONA kwa Cherehani?.. Si Unajua Kupika CAKE Vizuri Kabisa?.. Si Unajua KUSUKA Watu Hadi Wakapendeza?.. Sasa Kwanini Umeshindwa Kutengeneza KIPATO Unachokitaka Kupitia hicho Kitu?.. Hapo Ndio Utajua Kwamba Shida Sio Skill...Shida ni MINDSET Yako.
2
9
40
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Just Imagine Azam, Metlgroup na Azania Wangekuwa wana Tangaza Tu Bidhaa au Huduma zao. ILA... Hawana Timu ya Wafanyakazi na Magari kwaajili ya Kufikisha Bidhaa zao Congo na Sehemu Zingine? Just Think of That...🤔 Hicho Ndicho Kinafanywa na Wajasiriamali Wengi wa Mtandaoni.
5
6
44
@SeifJamal21
Seif Mselem
8 months
Hivi Kwanini Mtu Anaweza Kutumia Kila Mbinu na Uwezo wake Wote Ili Kutafuta Pesa ya Kulipa DENI na Sio Kutafuta Pesa ya Kuanzisha Biashara?
5
5
43
@SeifJamal21
Seif Mselem
6 months
Watanzania Huu Ndio MUDA wa Kuanza Kujifunza Craftsmanship na Kuacha kuwa Wasambazaji wa Bidhaa za Wachina!
3
7
39
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Ukienda Kusoma Vizuri HISTORIA ya John D Rockefeller Utasikia Akitajwa kama KING of Distribution na Sio Marketing. Kuna Utofauti Mkubwa Sana wa Mteja Kuijua Bidhaa/Huduma yako na Mteja kuwa na Uwezo wa kwenda Kuinunua.
4
5
42
@SeifJamal21
Seif Mselem
1 year
@iamKaga Exactly Kaga ✅ . Njia Ingine ni ya... ku BET All your 20's in Becoming a Valuable (Asset) Person in the Room... Sacrifice kila Kitu ambacho Hakiongezi uzito kwenye Malengo yako ya Mbele... . (Ziba Masikio...halafu Jifanye Fala kwa Muda... Wataelewa tu Ulikuwa unafanya nini)!
2
1
41
@SeifJamal21
Seif Mselem
7 months
Tafuta Sehemu Ambayo Una Uhakika kuna DEMAND ya Bidhaa Unayouza Kisha Tafuta Namna ya Kuwafikishia. Hiyo Ndio Maana ya DISTRIBUTION Ninayoiongelea hapa Kila Siku. Acha ku Complicate Vitu. PS: Simplicity Is GENIUS Guys!
5
10
42
@SeifJamal21
Seif Mselem
4 months
Kusoma Slide 10 Ili Ukajibu Mtihani ni TOFAUTI na Kusoma Slide 10 Ili Uzielewe. Ukisoma Ili Ukajibu MTIHANI Unaweza Kutumia hata Dkk Tano tu Ukamaliza ILA Ukisoma Ili UZIELEWE Unaweza Kutumia hata Mwezi Mzima na Usizimalize Usisome Kitabu kama NOTES Soma kwa Lengo La Kuelewa.
4
11
42