![#MagufuliLegacy Profile](https://pbs.twimg.com/profile_images/1840813675910660096/H--a6LiA_x96.jpg)
#MagufuliLegacy
@saitech_hack
Followers
6K
Following
23K
Statuses
50K
Ukweli na Uwazi huleta uwajibikaji na maendeleo chanya kwa Taifa
Venezuela
Joined December 2016
RT @Jambotv_: VIDEO: Mzee John Samwel Swai(61) mstaafu wa Jeshi la Polisi amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumsaidia asiondolewe katika…
0
97
0
RT @Mwabuk2Boniface: KUTEKWA NA KUPOTEZWA KWA WATU HAKUHITAJI KATIBA MPYA ILI KUKOMESHWA. Tatizo la "Enforced Disappearances" (kutekwa na…
0
107
0
RT @almasoud07: @Omary_KB Tajiri muda mwingi anashughulishwa na utafutaji wa pesa, anakosa muda mwingi wa kukaa na familia. masikini akisha…
0
1
0
RT @LuhagaMpina: Ujenzi wa SGR Lot III & IV unakabiliwa na wizi mkubwa. Serikali ituambie kwanini iliacha kutoa tenda kwa ushindani na ikat…
0
353
0
RT @MwanaHabariNews: Msikilize kwa Makini Nabii Denis kutoka Morogoro na utuambie unakubaliana na maneno yake juu ya nchi yetu ya Tanzania.…
0
131
0
@JomanKennedy Mbaya zaidi anaandika kitabu nje ya nchi na kutuma kwa akina @fatma_karume ndio wajumbe wake watu ambao wamelamba asali na ikawaziba midomo
0
1
1
@EJ_Mwita @HecheJohn Ndio sababu kupokea ofisi na kuanza oparation hapo hapo inamhitaji mwamba hapo tu
0
0
1
@MsigwaGerson hii ni aibu unaletea taifa hii habari ya @MwananchiNews inachochea nini maana ukweli barabara zilifungwa kupisha viongozi wa kitaifa na kimataifa kukutana na kujadili suala hilo uchochezi upo wapi @TZMsemajiMkuu @BasataTanzania @wizarahmth
0
0
0
@joeselasini Ile njia ya ushirikina wa kwenda kufunga jina la mtu kwenye mti nahisi ulitumika kwa huyu mwanamapinfuzi
0
0
0
@kabsjourno mtakatiehaji fedha haramu hata angeandika kwa wino wa rangi ya kinyesi cha binadamu hawezi chafua mema aliyofanya @MagufuliJP aendelee kujificha huko huko na atatapa tapa sana
0
0
0
RT @EmmanuelKapyela: @godbless_lema Hii combination ya Trump na Elon Musk ni kama, Lissu na Heche 😂👋
0
1
0