Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari Profile Banner
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari Profile
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari

@wizarahmth

Followers
15,168
Following
14
Media
2,685
Statuses
3,576

Akaunti hii inatoa habari /taarifa Mbalimbali za Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.

Dodoma, Tanzania
Joined December 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Muonekano wa Jengo jipya la ofisi za Wizara linaloendelea kujengwa katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
Tweet media one
6
29
244
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Mhe. Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Balozi Asha Rose Migiro katika ubalozi wa Tanzania.
Tweet media one
5
4
125
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
3 years
SERIKALI MBIONI KUTUNGA SHERIA YA KULINDA TAARIFA BINAFSI Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari @DocFaustine amesema Wizara yake iko mbioni kupeleka Bungeni muswada utakaowezesha kutungwa kwa Sheria ya Kulinda Taarifa Binafsi ili kulinda faragha na taarifa za mwananch
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
31
117
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
MAELEKEZO YA MHESHIMIWA WAZIRI NAPE NNAUYE KWA TCRA, MAKAMPUNI YA SIMU
18
18
98
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
3 years
Tweet media one
4
8
94
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Katibu mkuu wa @wizarahmth , Dkt. Jim Yonaziakiwa pamoja na Mkurugenzi mtendaji wa Tanzania Startup Association bw. Zahoro Muhaji wakisaini mkataba kwa ajili ya uanzishwaji na uimarishaji wa miongozo mbalimbali inayosimamia bunifu na kampuni changa (Startup’s policy) nchini, 14
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
8
24
90
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali mara baada ya kuzindua rasmi Jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU TOWER) leo tarehe 02 Septemba, 2023 jijini Arusha. Wa tatu kulia ni
Tweet media one
2
8
63
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
3 years
Tweet media one
4
6
59
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
3 years
Mkutano wa Waziri na Wawekezaji katika sekta ya TEHAMA
Tweet media one
6
8
58
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Tweet media one
1
10
58
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba (Mb) akimpongeza Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) mara baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 leo Mei 19,2023 Bungeni jijini Dodoma. #TzyaKidijitali
Tweet media one
0
4
47
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Muonekano wa Jengo jipya la Umoja wa Posta Afrika (PAPU) lililopo jijini Arusha, Tarehe 17 Julai, 2023.
Tweet media one
1
4
48
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Uzinduzi wa mtandao wa 5G kutoka Vodacom kupitia teknolojia ya Hologram. Teknolojia hii ni @Nnauye_Nape @VodacomTanzania @imungy #YaKwanzaTanzania #Voda5G #tzyakidijitali #kaziiendelee
4
13
45
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Waziri wa @wizarahmth , Mhe. Nape Moses Nnauye leo Februari 15. 2023 Amefanya Ziara katika kituo cha televisheni cha Chanel Ten na Radio Magic Fm Jijini Dar es Salaam, Katika ziara hiyo amepongeza kazi nzuri inayofanywa na vyombo hivyo vya habari katika kutangaza mambo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
7
42
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Katibu mkuu wa Wizara ya Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt.Jim Yonazi akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Startup Association bw. Zahoro Muhaji (wapili kushoto) na watumishi wa Wizara ya Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Tweet media one
3
16
37
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Maadhimisho ya miaka 60 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) yaliyofanyika Katika Shule ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma (SJMC). @Nnauye_Nape @UdsmOfficial
Tweet media one
0
4
33
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Baadhi ya matukio ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye na baadhi ya viongozi walipotembelea eneo la TBC Iwambi,Mkoani Mbeya. @Nnauye_Nape @UcsafT
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
2
33
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Happening now at the #InnoTechForum . Tag who you know to give them a shout out at being stakeholders at the #Innovation and #Technology ecosystem @InnoTechForum @Funguo_Tz @UcsafT @ict_commission
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
17
31
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) akisalimiana na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) wakati akiwasili katika Kikao Kazi cha 18 cha Maafisa Habari, Uhusiano na Mawasiliano wa Serikali, 2023
Tweet media one
1
9
33
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
📸 na WHMTH Muonekano wa Jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU), jijini Arusha. Tarehe 23 Juni, 2023. #kaziiendelee
Tweet media one
0
4
33
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Kusaini mkataba kwa ajili ya uanzishwaji na uimarishaji wa miongozo mbalimbali inayosimamia bunifu na kampuni changa (Startup’s policy). @yonazijim @imungy #kaziiendelee #tzyakidijitali
1
23
33
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
3 years
DKT. NDUGULILE AENDESHA KIKAO CHA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA NA TAASISI ZAKE • Ajipanga Kuzima Laini za Simu Ambazo Hazijahakikiwa • UCSAF, TTCL na TPC zaongeza makusanyo ya mapato
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
7
31
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Waziri wa @wizarahmth , Mhe. Nape Nnauye (Mb.) alipowasili katika ofisi za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa ajili ya kuoa tamko kwa umma kuhusu maudhui ya mtandaoni yasiyoendana na maadili ya Kitanzania Tarehe 11 Septemba, 2022 jijini Dar es Salaam. @TCRA_Tz
Tweet media one
4
9
30
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Waziri wa @wizarahmth , Mhe. @Nnauye_Nape (Mb) akiwa ameongozana na viongozi wa wizara akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Wizara hiyo, Wafanyakazi wa NHC pamoja na wadau wa mawasiliano mara baada ya kukagua jengo jipya la wizara hiyo
Tweet media one
2
7
31
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
4 months
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) akisalimiana na roboti aliyejitambulisha kwa jina la Eunice ambae anakaribisha wageni na viongozi wanaoingia ndani ya ukumbi wa Bunge jijini Dodoma.
Tweet media one
1
10
29
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
3 years
TAARIFA KWA UMMA
Tweet media one
3
3
28
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Matukio mbalimbali katika picha wakati wa majadiliano ya Jukwaa la nne la Ubunifu na Teknolojia lililoandaliwa na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) linalofanyika leo Agosti 19, 2022 jijini Dar es Salaam. @yonazijim @InnoTechForum #InnotechForum #MitandaoTz
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
10
29
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Utungwaji wa Sera ya Kampuni Changa za Ubunifu (Startups)
0
16
27
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Leo Mei 22, 2023, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) amefanya kikao na Wakuu wa Taasisi na Watendaji wa wizara pamoja na Menejimenti ya Wizara akizungumza juu ya utekelezaji wa shughuli watakazo ziainisha juu ya utekelezaji wa bajeti
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
5
27
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ikiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Selestine Gervas Kakele pia imeshiriki katika hafla ya ufunguzi rasmi wa Maonesho ya 47 ya DITF (SabaSaba) katika viwanja vya Saba saba, jijini Dar es Salaam.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
1
27
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
5 months
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) wakati akiwasili kwa ajili ya kushiriki ibada ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha Hayati Edward Moringe Sokoine, Waziri Mkuu Mstaafu katika kijiji cha Enguiki kilichopo Monduli Mkoani Arusha.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
5
26
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Kwa mara ya kwanza kabisa Tanzania na dunia nzima hologram ya pande mbili (double hologram) imekua mubashara kwa hisani ya mtandao supa #Voda5G #YaKwanzaTanzania
Tweet media one
1
6
27
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Matukio mbalimbali katika picha wakati wa Kongamano la Kuunganisha Wadau wa Wote wa TEHAMA Wakiwemo wa Miundombinu wa Ndani na Nje ya Nchi ‘Connect 2 Connect - C2C’ leo Septemba 7, 2022 katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. #C2CSummit22 #C2CSummit2022 @Afridigital
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
8
27
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Salaam za Mheshimiwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. @Nnauye_Nape wakati wa hafla ya Serikali ya Tanzania kwa Wajumbe wa Mkutano wa WTDC kuwaomba nchi wanachama wa ITU kura. Tanzania inakusudia kugombea Kiti Cha Baraza Kuu la ITU Mwezi Septemba 2022.
1
7
25
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Tweet media one
0
10
25
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
10 months
Picha za matukio mbalimbali ya Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Mathew Andrea Kundo (Mb) alipokuwa anafungua majadiliano ya Kitaifa ya Vijana kuhusu jinsi ya kuwa salama Mtandaoni katika ukumbi wa CIVE AUDITORIUM (UDOM)
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
8
25
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Rais Aagiza Kutumika kwa Namba Moja kwa Kila Mtanzania
0
7
26
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Ni lazima tuwe na Sera ya Startups. @Nnauye_Nape
0
8
25
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Katibu Mkuu wa @wizarahmth , Dkt. @yonazijim alipowasili kushiriki kama mgeni rasmi kwenye Jukwaa la nne la Ubunifu na Teknolojia lililoandaliwa na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) linalofanyika leo Agosti 19, 2022 DSM. @InnoTechForum #InnotechForum #MitandaoTz
Tweet media one
0
10
24
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Kikao Kazi cha 18 cha Maafisa Habari, Uhusiano na Mawasiliano wa Serikali, 2023 #Kaziiendelee
Tweet media one
1
4
25
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
PRESS RELEASE📌
Tweet media one
3
6
25
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Zoezi la upandaji miti katika jengo jipya la wizara lililopo katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
0
3
25
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
#TanzaniaDRCIctInvestmentForum “Nichukue nafasi hii kuhamasisha makampuni mbalimbali ya TEHAMA, Ubunifu (Start Ups), Biashara na Uwekezaji kujitokeza kwa wingi kuchangamkia fursa zilizopo nchini” Waziri HMTH- Mhe. @Nnauye_Nape
Tweet media one
2
10
23
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.
Tweet media one
5
7
25
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU TOWER) leo tarehe 02 Septemba, 2023
Tweet media one
3
5
23
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Waziri wa @wizarahmth , Mhe. @Nnauye_Nape akiwasili Bungeni kuhudhuria Mkutano wa Kumi na Moja, Kikao cha Ishirini na Tisa kinachoendelea Bungeni. Miongoni mwa shughuli za leo ni pamoja na Wizara ya Hahari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuwasilisha Hotuba ya Bajeti kwa
Tweet media one
4
4
24
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
The Permanent Secretary Dr @yonazijim giving a keynote speech at the #InnotechForum #MitandaoTZ happening right now.
Tweet media one
0
8
25
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari pamoja na viongozi mbalimbali katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) mara baada ya hafla ya hafla ya Uzinduzi wa Jengo la
Tweet media one
Tweet media two
6
6
24
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
3 years
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe @Nnauye_Nape akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Gulf Data Hub kuhusu utayari wao wa kuwekeza kwenye kituo cha kuhifadhi data cha intaneti nchini Tanzania katika maonesho ya #DubaiExpo2020 yanayofanyika Dubai
Tweet media one
0
3
22
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
3 years
Tweet media one
0
3
24
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Uzinduzi wa Minara Milele-Katavi @Nnauye_Nape
3
3
24
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
11 months
Forum on Internet Freedom in Africa 2023 #FIFAfrica23
Tweet media one
0
8
22
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
3 years
DKT. NDUGULILE ATEMBELEA MAONESHO YA MAKISATU Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari @Docfaustine ametembelea mabanda ya wabunifu mbalimbali kwenye Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU) yanayofanyika katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
4
23
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
3 years
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknollojia ya Habari, Nape Nnauye akikabidhi leseni ya magazeti yaliyofungiwa ya Mseto na Mwanahalisi kwa Said Kubenea baada ya magazeti hayo kufungiwa kwa zaidi ya miaka miwili. @Nnauye_Nape @SKubenea @yonazijim
Tweet media one
0
3
23
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI KUTUNGIWA KANUNI NA SHERIA ILI UWEZE KUTUMIKA KATIKA MATUMIZI YA KAWAIDA
1
2
22
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwa njia ya Hologram na Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete - akiwa chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika Hafla ya
Tweet media one
1
6
22
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Tweet media one
0
5
22
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Jengo jipya la darasa litakalotumika kama maabara ya TEHAMA katika Shule ya Sekondari Msomero, iliyopo kijiji cha Msomero, Wilayani Handeni – Tanga. @Nnauye_Nape @EngKundo @yonazijim @imungy @TCRA_Tz #kaziiendelee
Tweet media one
2
6
22
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Katibu Mkuu wa @wizarahmth , Dkt. @yonazijim akiwa katika picha ya Pamoja na Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Uongozi, Bw. Kadari Singo wakati wa kikao cha tathmini ya utendaji kwa Menejimenti ya Wizara na Taasisi zake leo tarehe 28, Julai 2022 katika ukumbi wa Kibo Palace, Arusha.
Tweet media one
0
3
23
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Matukio mbalimbali katika picha wakati wa majadiliano ya Jukwaa la nne la Ubunifu na Teknolojia lililoandaliwa na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) linalofanyika leo Agosti 19, 2022 jijini Dar es Salaam. @yonazijim @InnoTechForum #InnotechForum #MitandaoTz
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
7
22
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Muonekano wa Jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU) lenye gorofa 17 ambalo limefunguliwa leo Septemba 02, 2023 na Rais Samia Suluhu Hassan Jijini Arusha. #PAPU2023Arusha #PAPUTower
Tweet media one
Tweet media two
0
8
22
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Katibu Mkuu wa @wizarahmth Dkt. Jim Yonazi leo tarehe 9 Septemba, 2022. ametembelea kiwanda cha DZ Card Afrika kinachojishughulisha na utengenezaji wa kadi mbalimbali zikiwemo za Benki na simu kilichopo Export Processing Zone Authority (EPZA) jijini Dar es Salaam.
Tweet media one
Tweet media two
3
5
21
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Tweet media one
2
7
22
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) wakati akiwasili katika Kongamano la Connect 2 Connect(C2C) katika hoteli ya Madinat al Bahr, Zanzibar, leo Septemba 07, 2023. Kulia ni Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Extensia Limited, Bw. Tariq Malik na
Tweet media one
1
1
22
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
11 months
Tanzania 5 Pillars of our Communication Services Hon. @Nnauye_Nape Minister for Information, Communication and Information Technology at Forum for Freedom of Internet Africa 2023 #FifAfrica2023 Tanzania @wizarahmth
0
9
21
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Tweet media one
2
3
22
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Baraza la Ushauri la Watumia Huduma za Mawasiliano kutathiminiwa Upya Kama linawasemea kweli watumia huduma. Hii ni kutokana na serikali kutoridhishwa na mahusiano yaliyopo kati ya watoa huduma na watumia huduma za mawasiliano nchini. @Nnauye_Nape @imungy
Tweet media one
3
3
22
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye (kulia) akiwa pamoja na mwenyeji wake Mkurugenzi Mkuu wa Azam Tv, Tido Mhando wakati akitembea na kukagua studio za Azam Media limited alipotembelea ofisi hizo, leo Agosti 15, 2022 jijini Dar es Salaam. @azamtvtz
Tweet media one
1
3
22
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
9 months
Waziri wa @wizarahmth , Mhe. Nape Nnauye (Mb) katika sherehe za kutoa tuzo kwa washindi wa progamu ya ‘Seeds for the future’ inayotolewa na Huawei kwa kushirikiana na Vyuo Vikuu Tanzania, Hoteli ya Johari Rotana, jijini Dar es Salaam leo Desemba 18, 2023.
Tweet media one
1
3
21
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Kufanikisha Sensa ni Jukumu la kila mmoja wetu, tuhakikishe tunatoa taarifa sahihi 🇹🇿 #JiandaeKuhesabiwa #SensaTZ2022
Tweet media one
1
7
20
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Matukio mbalimbali katika picha wakati Uzinduzi wa Bodi ya Tume ya TEHAMA leo tarehe 25 Oktoba, 2022 katika ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar. @ict_commission @imungy
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
6
21
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Mheshimiwa @Nnauye_Nape Waziri wa @wizarahmth amemtembelea na kufanya mazungumzo na Gavana wa Jimbo la Katanga Mheshimiwa Jacques Kiabula Katwe, jijini Lubumbashi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
8
21
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Maafisa Habari, Uhusiano na Mawasiliano wa Serikalini katika Ziara ya Mradi wa Treni ya Kisasa ya (SGR) jijini Dar es Salaam leo Machi 31, 2023.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
2
19
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Tweet media one
4
3
21
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Tunakutakia Utumishi Mwema Katika Majukumu Yako Mapya🙏🏾📌 @yonazijim
Tweet media one
0
5
20
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
4 years
DKT. NDUGULILE AWATAKA WAFANYAKAZI WA WIZARA YAKE KUACHA KUFANYA KAZI KWA MAZOEA ◊ Awataka watumie TEHAMA kutatua changamoto za wananchi ◊ Asema Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ni Barabara ya Dunia ya Sasa ya Kidijitali ◊ Awataka Wahakikishe TEHAMA Inachangia Pato la Taifa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
4
20
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Waziri wa @wizarahmth wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliongoza kampeni ya Tanzania kuomba nchi wanachama wa ATU kuichagua Tanzania katika uchaguzi uliofanyika kwenye Mkutano Mkuu wa sita wa Umoja huo unaofanyika Jijini Algiers, Algeria. @Nnauye_Nape
Tweet media one
Tweet media two
1
6
20
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
13 days
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko (Mb) akizungumza jambo na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa(Mb), wakati wa hafla ya uzinduzi wa Gari la kutoa mafunzo Kidijitali kwa wanafunzi (DIGI-TRUCK)
Tweet media one
1
6
20
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Tanzania yachaguliwa kuwa M/Kiti wa Baraza la Mawasiliano la Jumuia ya Madola (Commonwealth Telecommunication Organisation - CTO) kwa kipindi cha mwaka mmoja. Uchaguzi huu umefamyika katika kikao cha 60 Cha Baraza la CTO, London UK.
Tweet media one
3
9
20
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Ufunguzi wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa TTCL @Nnauye_Nape @imungy @TTCLCorporation
0
12
20
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
6
20
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
3 years
Tweet media one
1
8
20
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
9 months
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama, Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa, pamoja na Wakuu wa Vyombo vya ulinzi na Usalama wamefika katika kijiji cha Gendabi kata ya Gendambi Wilaya ya Hanang mkoani Manyara eneo yalipotokea
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
1
20
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Matukio mbalimbali katika picha: Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. @Nnauye_Nape alipowasili Horombo Hut kwa ajili ya kuzindua huduma za Mawasiliano ya Intaneti yaliyofikishwa katika Mlima kilimanjaro na Shirika la TTCL, leo tarehe 16 Agosti, 2022.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
5
19
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla amekutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Rajeev Chandrasekhar, Waziri wa Maendeleo ya ujuzi, ujasiriamali na TEHAMA wa Serikali ya India ambapo wamejadili namna India na
Tweet media one
Tweet media two
3
8
19
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) akizungumza na Vyombo vya Habari juu ya Utungwaji wa Sera ya Kampuni Changa za Ubunifu (Startups) katika Ofisi za Tanzania Startups Association (TSA), Agosti 14, 2923, Jijini Dar es Salaam.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
6
19
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia kifaa kilichounganishwa na matukio mbalimbali Duniani cha Teknolojia Halisi (Visual Reality) katika Hafla ya Uzinduzi wa Mkongo wa Mawasiliano wa Baharini (Submarine Cable) wa 2 Afrika na
Tweet media one
3
7
20
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Matukio mbalimbali katika picha wakati wa kikao cha tathmini ya utendaji kwa Menejimenti ya Wizara na Taasisi zake tarehe 26, Julai 2022 katika ukumbi wa Kibo Palace, jijini Arusha. @EngKundo @yonazijim @HabariLeo @posta_tz @ConsumerCcc
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
6
18
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
7 months
Tweet media one
2
6
18
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Tweet media one
0
3
19
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Uzinduzi wa Intaneti yenye kasi katika kilele cha Mlima Kilimanjaro. @Nnauye_Nape @imungy @TTCLCorporation #Datakileleni
0
11
19
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI📌
Tweet media one
Tweet media two
0
4
19
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Matukio mbalimbali katika picha wakati wa maonesho ya Siku ya Uwekezaji (Uwekezaji Day) 2023 yaliyofanyika tarehe 12 Marchi, 2023 katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
3
18
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
2 years
Hafla ya kuwashukuru na kuwapongeza Watumishi Wastaafu kwa utumishi wao uliotukuka iliyofanyika tarehe 4 Novemba 2022, Ukumbi wa Mkutano wa Hoteli ya African Dream Area D, jijini Dodoma. @Nnauye_Nape @EngKundo @imungy @yonazijim @maelezonews
1
4
17
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Kueleka Uwasilishaji wa Makadirio ya Bajeti ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari 19 Mei, 2023 3:00 Asubuhi #TzyaKidijitali #MawasilianoNchiNzima #TEHAMAKwaMaendeleo
Tweet media one
1
4
16
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Matukio mbalimbali katika picha wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya Ofisi hiyo na Bi. Salome Kessy, Mkurugenzi mpya wa Idara hiyo yaliyofanyika leo Machi 10,2023 jijini Dodoma.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
7
19
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipowasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro leo Septemba 01, 2023 na kupokelewa na Viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
5
19
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
1 year
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU) Dkt. Sifundo Chief Moyo wakati alipofika Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 28 Agosti, 2023. Kulia kwake ni Waziri wa @wizarahmth , MHe. Nape Nnauye (Mb).
Tweet media one
0
4
19
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
5 months
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Bara (CCM), Ndg. Abdulrahman Kinana akizungumza jambo na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora,
Tweet media one
1
4
18
@wizarahmth
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari
3 years
Tweet media one
2
2
18